< لاویان 6 >
Bwana alisema na Musa kumwabia,
«هرگاه کسی نسبت به شخصی گناه کرده، به خداوند خیانت ورزد، و از پس دادن چیزی که پیش او گرو گذاشته شده خودداری نماید یا در امانت خیانت ورزد، یا دزدی کند یا مال همسایهاش را غصب نماید، | 2 |
“Kama mtu akifanya dhambi na kuvunja amri kinyume na Bwana, kama kujihusisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani cha kutokuwa mwaminifu, au kama akidanganya au kuiba au amemdhurumu jirani.
و یا اینکه در خصوص چیز گمشدهای که پیدا کرده است دروغ بگوید و قسم بخورد که پیش او نیست، یا مرتکب هر گناهی از این قبیل شود، | 3 |
Au akiokota kitu fulani ambacho jirani yake amepoteza na kusema uongo kuhusu hicho, na kuapa kwa uongo au kwa mambo kama haya ambayo watu wanaweza kutenda dhambi.
روزی که جرم او ثابت شود باید اصل مال را پس دهد و یک پنجم ارزش آن را نیز به آن افزوده، به صاحب مال بپردازد. | 4 |
Ndipo itakuwa hivi, kama ametenda dhambi na hatia, kwamba lazima akirudishe kwa vyovyote alichoiba au kudanganya au amedhurumu au kitu kilichopotea naye kukiokota.
Au kama amedanganya kwa jambo lolote, lazima atakirudisha kamilina kuongezea sehemu ya tano kwa kumlipa anayedai, kwa siku ile anayopatikana na hatia.
او باید به عنوان قربانی جبران، یک قوچ بیعیب و با ارزش نزد کاهن به خیمۀ ملاقات بیاورد و به خداوند تقدیم کند. این قوچ باید مطابق معیار رسمی، ارزیابی شود. | 6 |
Ataleta sadka ya hatia kwa Bwana: kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi lake kulingana na thamani yake, kama sadaka ya hatia kwa kuhani.
کاهن با این قربانی برای او در حضور خداوند کفاره خواهد کرد و گناه او بخشیده خواهد شد.» | 7 |
Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele ya Bwana, atakuwa amesamehewa kulingana na chochote kilicho mfanya kuwa na hatia.”
آنگاه خداوند به موسی فرمود: | 8 |
Ndipo Bwana alisema na Musa kumwambia,
«این دستورها را در مورد قربانی سوختنی به هارون و پسرانش بده. قربانی سوختنی باید تمام شب بر روی مذبح باشد و آتش مذبح خاموش نشود. | 9 |
“Mwagize Haruni na wanawe, kusema, 'hii ni sheria ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa lazima iwe juu ya makaa ya madhabahu usiku wote hata asubuhi, na moto wa madhabahu utaendelea kuwaka.
صبح روز بعد، کاهن لباس زیر و لباس کتانی خود را بپوشد و خاکستر قربانی سوختنی را برداشته، کنار مذبح بگذارد. | 10 |
Kuhani atavaa nguo zake za kitani na atavaa nguo za kitani ndani yake. Atatoa majivu yaliyobaki baada ya moto kutekeza sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu, na ataweka majivu pembeni mwa madhabahu.
سپس لباسش را عوض کند و خاکستر را بیرون از اردوگاه ببرد و در مکان طاهری که برای این کار مقرر شده است، بریزد. | 11 |
Atavua mavazi haya na kuvaa mavazi mengine ili kuchukua majivu nje ya kambi na kupeleka mahali palipo safi.
کاهن هر روز صبح هیزم تازه بر آن بنهد و قربانی سوختنی روزانه را روی آن بگذارد و چربی قربانی سلامتی را بر آن بسوزاند. | 12 |
Moto katika madhabahu utaendelea kuwaka. Usizimike, na kuhani ataongeza kuni kila asubuhi. Atapanga juu yake sadaka ya kuteketezwa kama inavyotakiwa, na atateketeza juu yake mafuta ya sadaka ya amani.
آتش مذبح باید همیشه روشن بماند و هرگز خاموش نشود. | 13 |
Moto lazima utaendelea kuwaka katika madhabahu, kamwe usizimike.
«قوانین مربوط به هدیهٔ آردی از این قرار است: کاهن برای تقدیم هدیهٔ آردی به خداوند جلوی مذبح بایستد، | 14 |
Hii ni sheria ya sadaka ya nafaka. Wana wa Haruni watatoa mbele ya Bwana katika madhabahu.
سپس مشتی از آرد مرغوب آغشته به روغن زیتون را با کندری که بر آن است بردارد و به عنوان نمونه برای خداوند روی مذبح بسوزاند. این هدیه مورد پسند خداوند خواهد بود. | 15 |
Kuhani atachukua konzi ya unga laini wa sadaka ya nafaka na mafuta na ubani ambao uko juu ya sadaka ya nafaka, atateketeza juu ya madhabahu kuleta harufu nzuri ya shukrani ya kumpendeza Bwana.
بقیهٔ آرد، متعلق به هارون و پسرانش میباشد تا از آن برای خوراک خود استفاده کنند. این آرد باید بدون خمیرمایه پخته شود و در حیاط خیمۀ ملاقات خورده شود. | 16 |
Haruni na wanae watakula sadaka inayobaki, italiwa bila kutiwa chachu mahali patakatifu. Watakula katika ua ya hema ya kukutania.
این قسمت از هدیهٔ آردی را که بر آتش به خداوند تقدیم میشود، خداوند به کاهنان داده است. مانند قربانی گناه و قربانی جبران، این قسمت از هدیهٔ آردی نیز بسیار مقدّس میباشد. | 17 |
Haitaokwa pamoja na chachu. Nimewapa kama sehemu ya sadaka yangu itolewayo kwa moto, ni takatifu sana, kama sadaka ya dhambi na sadaka ya hatia.
پسران هارون نسل اندر نسل میتوانند این قسمت از هدیه را بخورند. این هدیه که بر آتش به خداوند تقدیم میشود، همیشه سهم کاهنان خواهد بود و کس دیگری حق ندارد به آن دست بزند.» | 18 |
Kwa nyakati zote zijazo kupitia watu wa kizazi chako, mwanaume yeyote mzaliwa kutoka kwa Haruni aweza kula ni sehemu yake, ichukuliwayo katika sadaka ya Bwana kwa moto. Yeyote anayeigusa atakuwa mtakatifu.”
سپس خداوند به موسی فرمود: | 19 |
Bwana aliongea tena na Musa kumwambia,
«هارون و هر کدام از پسرانش در روزی که برای انتصاب به مقام کاهنی مسح میشوند باید یک کیلو آرد مرغوب، به اندازهٔ هدیهٔ آردی روزانه به حضور خداوند بیاورند و نصف آن را در صبح و نصف دیگر را در عصر به خداوند تقدیم کنند. | 20 |
“Hii ni sadaka ya Haruni na wanawe ambayo watatoa kwa Bwana katika siku ambayo kila mwana atawekwa wakfu: sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kama kawaida sadaka ya nafaka nusu yake asubuhi na nusu yake jioni.
این هدیه باید روی ساج با روغن زیتون پخته شود سپس تکهتکه شده، به عنوان هدیهٔ آردی به خداوند تقدیم گردد. این هدیه مورد پسند خداوند خواهد بود. | 21 |
Itatengenezwa na mafuta katika kikaango, utaileta ikiwa imeandaliwa imeokwa katika vipande utatoa sadaka ya nafaka ili kuleta harufu nzuri kwa Bwana.
هر کاهنی که به جای پدر خود، کاهن اعظم میشود باید در روز انتصاب خود همین هدیه را به خداوند تقدیم کند. این فریضهای ابدی است. | 22 |
Mwana wa Kuhani Mkuu atakayekuwa Kuhani Mkuu mpya kutoka miongoni mwa wanawe ataitoa. Kama amri ya milele, yote itateketezwa kwa Bwana.
هر هدیۀ آردی کاهن باید تماماً سوزانده شود و چیزی از آن خورده نشود.» | 23 |
Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itatekezwa yote. Haitaliwa kamwe.”
Bwana alisema tena Musa, kumwambia,
«این دستورها را در مورد قربانی گناه به هارون و پسرانش بده. این قربانی بسیار مقدّس است و باید در حضور خداوند در جایی ذبح شود که قربانیهای سوختنی را سر میبرند. | 25 |
“Sema na Haruni na watoto wake kwamba, 'Hii ni sheria ya sadaka ya dhambi: Sadaka ya dhambi lazima kuchinjwa mahali pa sadaka ya kuteketezwa itachinjwa mbeleya Bwana. Ni takatifu sana.
کاهنی که قربانی را تقدیم میکند، گوشت آن را در حیاط خیمۀ ملاقات که جای مقدّسی است، بخورد. | 26 |
Kuhani atakayeitoa kwa ajili ya dhambi ndiye atakayeila. Italiwa mahali patakatifu katika ua wa hema ya kukutania.
فقط کسانی که تقدیس شدهاند، یعنی کاهنان، اجازه دارند به این گوشت دست بزنند. اگر خون آن قربانی به لباس ایشان بپاشد باید لباس خود را در مکانی مقدّس بشویند. | 27 |
Yeyote atakayeigusa nyama yake atakuwa ni mtakatifu na kama damu itadondokea mavazi yatafuliwa mahali palipodondokewa, mahali patakatifu.
ظرف سفالینی که گوشت در آن پخته میشود باید شکسته شود. اگر گوشت در یک ظرف مسی پخته شده باشد باید آن ظرف را کاملاً تمیز کنند و با آب بشویند. | 28 |
Lakini chungu kikipikiwa kitavunjwa, kama imepikiwa katika chombo cha shaba, lazima kitasuguliwa na kusafishwa kwa maji.
هر مردی از خانوادۀ کاهنان میتواند از این گوشت بخورد. این قربانی بسیار مقدّس است. | 29 |
Mwanaume yeyote miongoni mwa makuhani anaweza kula nyama hiyo kwa sababu ni takatifu sana.
اما در مواردی که خون قربانی گناه برای کفاره در قدس به داخل خیمۀ ملاقات برده میشود، گوشت قربانی را نباید خورد بلکه باید تماماً سوزاند. | 30 |
Na hakuna sadaka ya dhambi italiwa ambayo damu yake imeletwa katika hema ya kukutania kufanya upatanisho katika mahali patakatifu. Ni lazima iteketezwe.