< لاویان 2 >
«هرگاه کسی برای خداوند هدیهٔ آردی آورد، هدیهٔ او باید از آرد مرغوب باشد. او باید روغن زیتون روی آن بریزد و کندر بر آن بگذارد. | 1 |
Yeyote akitoa sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake lazima iwe unga safi, na atamwaga mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake.
سپس یک مشت از آن را که نمونهٔ تمام هدیه است به یکی از کاهنان بدهد تا آن را بسوزاند. این هدیه، هدیهای مخصوص و خوشبو برای خداوند خواهد بود. | 2 |
Atachukua sadaka kwa wana wa Haruni, makuhani na pale kuhani atachukua konzi moja ya unga safi pamoja na mafuta na ubani. Kisha kuhani atateketeza hiyo sadaka juu ya madhabahu kuwa shukrani kwa uzuri wa Bwana. Italeta harufu nzuri sana kwa Bwana, itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
بقیهٔ هدیۀ آردی به هارون و پسرانش داده شود تا برای خوراک از آن استفاده کنند. قسمتی که به کاهنان داده میشود بسیار مقدّس است، زیرا از هدایای مخصوصی که به خداوند تقدیم میشوند، گرفته شده است. | 3 |
Unga wowote uliobaki utakuwa ni wa Haruni na watoto wake. Ni takatifu sana kwa Bwana iliyotolewa sadaka kwa Bwana kwa moto.
«هرگاه کسی نان پخته شده در تنور برای خداوند هدیه آورد، آن نان باید بدون خمیرمایه و از آرد مرغوب مخلوط با روغن زیتون تهیه شده باشد. از نان بدون خمیرمایه که روغن روی آن مالیده شده باشد نیز میتوان به عنوان هدیه استفاده کرد. | 4 |
Kisha utakapotoa sadaka ya unga bila chachu iliyookwa kweye kiokeo, itakuwa mkate lainiya unga safi uliochanganywa na mafuta, au mkate mgumu usiokuwa na chachu, ambao umesambazwa na mafuta.
اگر کسی نان پخته شده روی ساج هدیه آورد، آن نان نیز باید از آرد مرغوب بدون خمیرمایه و مخلوط با روغن زیتون باشد. | 5 |
Kama matoleo yako ya nafaka yameokwa na kikaango cha chuma ni lazima iwe unga safi bila chachu uliochanganywa na mafuta.
او باید آن را تکهتکه کند و رویش روغن بریزد. این نیز یک نوع هدیهٔ آردی است. | 6 |
Utagawanya katika vipande na kumwaga mafuta juu yake. Hii ni sadaka ya nafaka.
اگر هدیهٔ شما در تابه پخته شود، آن هم باید از آرد مرغوب و روغن زیتون باشد. | 7 |
Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa katika kikaango, ni lazima iwe imetengenezwa kwa unga safi na mafuta.
«این هدایای آردی را نزد کاهن بیاورید تا به مذبح ببرد و به خداوند تقدیم کند. | 8 |
Utaleta matoleo ya nafaka yaliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana, italeta kwa kuhani, ambaye ataleta mbele ya madhabahu.
کاهنان باید فقط مقدار کمی از هدیه را به عنوان نمونه بسوزانند. این هدیه، هدیهای مخصوص و خوشبو برای خداوند است. | 9 |
Ndipo kuhani atachukua baadhi ya sadaka ya nafaka ya shukrani ya Bwana, ataitekeza katika madhabahu. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto, italeta harufu nzuri kwa Bwana.
بقیهٔ هدیۀ آردی به هارون و پسرانش داده شود تا برای خوراک از آن استفاده کنند. قسمتی که به کاهنان داده میشود بسیار مقدّس است، زیرا از هدایای مخصوصی که به خداوند تقدیم میشوند، گرفته شده است. | 10 |
Itakayobaki sadaka ya nafaka itakuwa ya Haruni na wanawe. Itakuwa takatifu kamili ya Bwana kutoka matoleo kwa Bwana yatolewayo kwa moto.
«برای تهیهٔ هدیه آردی که به خداوند تقدیم میشود از خمیرمایه استفاده نکنید، زیرا به کار بردن خمیرمایه یا عسل در هدایای مخصوصی که به خداوند تقدیم میشوند، جایز نیست. | 11 |
Sadaka ya nafaka itolewayo kwa Bwana isiwe na chachu, hautatekeza chachu wala asali kama matoleo yatakayotekezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana.
هنگام تقدیم نوبر محصول خود به خداوند میتوانید از نان خمیرمایهدار و عسل استفاده کنید، ولی این هدیه را نباید به عنوان هدیهای خوشبو بر مذبح بسوزانید. | 12 |
Utayatoa kwa Bwana kama mazao ya kwanza, lakini hayatatumika kama matoleo ya harufu nzuri ya moto juu ya madhabahu.
«به تمام هدایا باید نمک بزنید، چون نمک یادآور عهد خداست. | 13 |
Utaweka chumvi katika kila matoleo yako ya nafaka. Usipungukie chumvi ya agano la Bwana katika matoleo yako ya unga. Matoleo yako yote hayatapungukiwa na chumvi.
«هرگاه از نوبر محصول خود به خداوند هدیه میدهید دانهها را از خوشهها جدا کرده، بکوبید و برشته کنید. | 14 |
Kama ukitoa matoleo ya nafaka ya mazao ya kwanza kwa Bwana, utatoa nafaka mbichi yaliyookwa kwa moto, na yaliyopondwa.
سپس روغن زیتون بر آن بریزید و کندر روی آن بگذارید، زیرا این نیز نوعی هدیهٔ آردی است. | 15 |
Lazima utaweka mafuta na ubani juu yake. Haya ni matoleo ya nafaka.
آنگاه کاهنان قسمتی از غلهٔ کوبیده شده و مخلوط با روغن را با تمام کندر به عنوان نمونه بر آتش بسوزانند و همچون هدیۀ مخصوص به خداوند تقدیم کنند. | 16 |
Kuhani atatoa sehemu ya nafaka iliyopondwa na mafuta na ubani, kama sadaka ya shukrani itolewayo kwa uzuri wa Bwana. Hii ni sadaka ya Bwana inayotolewa kwa moto.