< داوران 7 >
جدعون با سپاهش صبح زود حرکت کرده، تا چشمهٔ حرود پیش رفتند و در آنجا اردو زدند. مدیانیها نیز در سمت شمالی آنها در درهٔ کوه موره اردو زده بودند. | 1 |
Ndipo Yerub-Baali (yaani Gideoni) na lile jeshi lililokuwa pamoja naye, wakaondoka asubuhi na mapema na kupiga kambi kando ya chemchemi ya Harodi. Kambi ya Wamidiani ilikuwa kaskazini yao katika bonde karibu na kilima cha More.
خداوند به جدعون فرمود: «عدهٔ شما زیاد است! نمیخواهم همهٔ این افراد با مدیانیها بجنگند، مبادا قوم اسرائیل مغرور شده، بگویند: این ما بودیم که دشمن را شکست دادیم! | 2 |
Bwana akamwambia Gideoni, “Jeshi lililo pamoja nawe ni kubwa sana kwa mimi kuwatia Wamidiani mikononi mwao. Ili kwamba Israeli asije akajisifu juu yangu akisema, ‘Mkono wangu ndio ulioniokoa,
پس به افراد خود بگو: هر که میترسد به خانهاش بازگردد.» بنابراین بیست و دو هزار نفر برگشتند و فقط ده هزار نفر ماندند تا بجنگند. | 3 |
kwa hiyo sasa tangaza jeshi lote likiwa linasikia, kwamba: Yeyote anayeogopa na kutetemeka, yeye na arudi nyumbani, aondoke katika Mlima Gileadi.’” Hivyo watu 22,000 walirudi, wakabaki 10,000.
اما خداوند به جدعون فرمود: «هنوز هم عده زیاد است! آنها را نزد چشمه بیاور تا به تو نشان دهم که چه کسانی باید با تو بیایند و چه کسانی باید برگردند.» | 4 |
Lakini Bwana akamwambia Gideoni, “Idadi ya jeshi bado ni kubwa. Wapeleke chini katika maji nami nitawajaribu huko kwa ajili yako. Kama nikikuambia, ‘Huyu atakwenda pamoja nawe,’ yeye atakwenda; lakini kama nikisema, ‘Huyu hatakwenda pamoja nawe,’ yeye hatakwenda.”
پس جدعون آنها را به کنار چشمه برد. در آنجا خداوند به او گفت: «آنها را از نحوهٔ آب خوردنشان به دو گروه تقسیم کن. افرادی را که با کفِ دست، آب را جلوی دهان خود آوردند و آن را مثل سگ مینوشند از کسانی که زانو میزنند و دهان خود را در آب میگذارند، جدا ساز.» تعداد افرادی که با دست آب نوشیدند سیصد نفر بود. | 5 |
Hivyo Gideoni akalileta lile jeshi chini kwenye maji naye Bwana akamwambia Gideoni, “Watenge upande mmoja wale wote wanywao maji kwa ulimi, kama vile mbwa anywavyo, wale wote wapigao magoti ili kunywa wakipeleka mikono yao vinywani mwao, waweke upande mwingine.”
Idadi ya wale waliokunywa kwa kuramba ramba walikuwa 300, lakini wengine wote katika jeshi walipiga magoti ili kunywa.
آنگاه خداوند به جدعون فرمود: «من بهوسیلۀ این سیصد نفر، مدیانیها را شکست خواهم داد و شما را از دستشان خواهم رهانید. پس بقیه را به خانههایشان بفرست.» | 7 |
Bwana akamwambia Gideoni, “Kwa hao watu 300 walioramba maji nitawaokoa ninyi, nami nitawatia Wamidiani mkononi mwako. Waache hao watu wengine wote warudi kila mmoja nyumbani mwake.”
جدعون کوزهها و شیپورهای آنها را جمعآوری کرد و ایشان را به خانههایشان فرستاد و تنها سیصد نفر برگزیده را پیش خود نگاه داشت. شب هنگام در حالی که مدیانیان در درهٔ پایین اردو زده بودند، خداوند به جدعون فرمود: «برخیز و به اردوی دشمن حمله کن زیرا آنها را به دست تو تسلیم کردهام. | 8 |
Hivyo Gideoni akawaacha wale Waisraeli wengine kila mmoja aende kwenye hema yake. Akabakia na wale 300, ambao walichukua vyakula na tarumbeta za wale wenzao. Basi kambi ya Wamidiani ilikuwa chini yake bondeni.
Usiku ule ule Bwana akamwambia Gideoni, “Ondoka, ushuke kambini, kwa kuwa nimeitia mkononi mwako.
اما اگر میترسی اول با خادمت فوره مخفیانه به اردوگاه آنها برو. | 10 |
Lakini kama unaogopa kushambulia, shuka kambini pamoja na mtumishi wako Pura,
در آنجا به سخنانی که ایشان میگویند گوش بده. وقتی سخنان آنها را بشنوی جرأت یافته، به ایشان حمله خواهی کرد!» پس جدعون فوره را با خود برداشت و مخفیانه به اردوگاه دشمن نزدیک شد. | 11 |
nawe sikiliza wanayosema. Hatimaye, utatiwa moyo kushambulia kambi.” Basi yeye na Pura mtumishi wake wakashuka na kufikia walinzi wa mbele wenye silaha waliokuwa mle kambini.
مدیانیان، عمالیقیها و سایر قبایل همسایه مانند مور و ملخ در وادی جمع شده بودند. شترهایشان مثل ریگ بیابان بیشمار بود. جدعون به کنار چادری خزید. در این موقع در داخل آن چادر مردی بیدار شده، خوابی را که دیده بود برای رفیقش چنین تعریف کرد: «در خواب دیدم که یک قرص نان جوین به میان اردوی ما غلطید و چنان به خیمهای برخورد نمود که آن را واژگون کرده، بر زمین پهن نمود.» | 12 |
Wamidiani, Waamaleki na mataifa mengine yote ya mashariki walikaa bondeni, nao walikuwa mfano wa nzige kwa wingi wao. Ngamia zao hazikuhesabika, wingi wao ulikuwa kama mchanga wa ufuoni mwa bahari.
Gideoni alifika wakati huo huo kukiwa na mtu mmoja aliyekuwa anamweleza mwenzake ndoto yake, akisema, “Niliota ndoto: Tazama mkate wa shayiri ulioviringana ulianguka katika kambi moja ya Wamidiani, ukaipiga na ikaanguka nao ukaipindua juu chini na hema ikaporomoka chini.”
رفیق او گفت: «تعبیر خواب تو این است که خدا ما را به دست جدعون پسر یوآش اسرائیلی تسلیم میکند و جدعون همهٔ مدیانیان و نیروهای متحدش را از دم شمشیر خواهد گذراند.» | 14 |
Rafiki yake akamjibu, “Habari hii si kitu kingine zaidi ya upanga wa Gideoni mwana wa Yoashi, Mwisraeli. Mungu amewatia Wamidiani na jeshi lote mkononi mwake.”
جدعون چون این خواب و تعبیرش را شنید خدا را شکر کرد. سپس به اردوگاه خود بازگشت و فریاد زد: «برخیزید! زیرا خداوند سپاه مدیان را به دست شما تسلیم میکند!» | 15 |
Gideoni alipoisikia hiyo ndoto na tafsiri yake, akamwabudu Mungu. Akarudi kwenye kambi ya Israeli na kusema, “Inukeni! Bwana amelitia jeshi la Wamidiani mikononi mwenu.”
جدعون آن سیصد نفر را به سه دسته تقسیم کرد و به هر یک از افراد یک شیپور و یک کوزهٔ سفالی که مشعلی در آن قرار داشت، داد. | 16 |
Akawagawa wale watu 300 katika makundi matatu, akawakabidhi tarumbeta mikononi mwao wote na mitungi isiyokuwa na maji yenye mienge ndani yake.
بعد نقشهٔ خود را چنین شرح داد: «وقتی به کنار اردو رسیدیم به من نگاه کنید و هر کاری که من میکنم شما نیز بکنید. | 17 |
Akawaambia, “Nitazameni, fanyeni kama nitakavyofanya, nitakapofika mwisho wa kambi mfanye kama nitakavyofanya.
به محض اینکه من و همراهانم شیپورها را بنوازیم، شما هم در اطراف اردو شیپورهای خود را بنوازید و با صدای بلند فریاد بزنید: ما برای خداوند و جدعون میجنگیم!» | 18 |
Wakati mimi na wale walio pamoja nami wote, tutakapopiga tarumbeta zetu, ninyi nanyi pigeni tarumbeta pande zote za kambi na mpige kelele, mseme, ‘Upanga wa Bwana na wa Gideoni.’”
نصف شب، بعد از تعویض نگهبانان، جدعون به همراه صد نفر به کنار اردوی مدیان رسید. ناگهان آنها شیپورها را نواختند و کوزهها را شکستند. در همین وقت دویست نفر دیگر نیز چنین کردند. در حالی که شیپورها را به دست راست گرفته، مینواختند و مشعلهای فروزان را در دست چپ داشتند همه فریاد زدند: «شمشیری برای خداوند و برای جدعون!» | 19 |
Gideoni na wale watu 100 waliokuwa pamoja naye wakafika mwisho wa kambi usiku mwanzoni mwa zamu ya kati, mara tu walipokuwa wamebadili zamu. Wakapiga zile tarumbeta zao na kuvunja ile mitungi iliyokuwa mikononi mwao.
Yale makundi matatu yakapiga tarumbeta na kuvunja mitungi. Wakashika mienge kwa mikono yao ya kushoto na katika mikono yao ya kuume tarumbeta ili kuzipiga, wakapaza sauti zao, “Upanga wa Bwana na wa Gideoni!”
سپس هر یک در جای خود در اطراف اردوگاه ایستاد در حالی که افراد دشمن فریادکنان میگریختند. | 21 |
Wakasimama kila mtu mahali pake kuizunguka kambi pande zote, Wamidiani wote wakakimbia, huku wakipiga kelele.
زیرا وقتی صدای شیپورها برخاست خداوند سربازان دشمن را در سراسر اردو به جان هم انداخت. آنها تا بیتشطه نزدیک صریرت و تا سرحد آبل محوله، نزدیک طبات فرار کردند. | 22 |
Walipozipiga zile tarumbeta 300, Bwana akafanya watu katika kambi yote kugeuziana upanga kila mmoja na mwenziwe. Jeshi likakimbia mpaka Beth-Shita kuelekea Serera hadi mpakani mwa Abel-Mehola karibu na Tabathi.
آنگاه سپاهیان نفتالی، اشیر و منسی سپاهیان فراری مدیان را تعقیب کردند. | 23 |
Watu wa Israeli wakaitwa kutoka Naftali, Asheri na Manase, wakawafuatia Wamidiani.
جدعون برای ساکنان سراسر کوهستان افرایم پیغام فرستاد که گذرگاههای رود اردن را تا بیتباره ببندند و نگذارند مدیانیان از رودخانه عبور کرده، فرار کنند. پس تمام مردان افرایم جمع شده، چنین کردند. | 24 |
Gideoni akatuma wajumbe katika nchi yote ya vilima vya Efraimu akisema, “Teremkeni dhidi ya Wamidiani na mkazuie vivuko vya maji mbele yao hadi Beth-Bara na pia Yordani.” Hivyo watu wote wa Efraimu wakakutanika pamoja na kuzingira mto wa Yordani hadi Beth-Bara.
آنها غراب و ذئب دو سردار مدیانی را گرفتند و غراب را بر صخرهای که اکنون به نام او معروف است و ذئب را در چرخشتی که به اسم او نامیده میشود کشتند. سپس به تعقیب مدیانیها ادامه داده، سرهای غراب و ذئب را به آن طرف اردن نزد جدعون آوردند. | 25 |
Wakawakamata wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu. Wakamuulia Orebu pale penye mwamba wa Orebu, na Zeebu wakamuulia penye shinikizo la kukamulia divai la Zeebu. Wakawafuatia Wamidiani na kuleta vichwa vya Orebu na Zeebu kwa Gideoni, huko ngʼambo ya Yordani.