< داوران 3 >
خداوند برخی قبایل را در سرزمین کنعان واگذاشت تا نسل جدید اسرائیل را که هنوز طعم جنگ با کنعانیها را نچشیده بودند، بیازماید. | 1 |
Sasa Bwana aliyaacha mataifa haya yaijaribu Israeli, yaani kila mtu katika Israeli ambaye hakushiriki vita yoyote huko Kanaani.
خداوند به این وسیله میخواست به نسل جدید اسرائیل که در جنگیدن بیتجربه بودند، فرصتی بدهد تا جنگیدن را بیاموزند. | 2 |
(Alifanya hivyo ili kuwafundisha vita kizazi kipya cha Waisraeli ambao hawakujua kabla).
این قبایل عبارت بودند از: فلسطینیهایی که هنوز در پنج شهر خود باقی مانده بودند، تمام کنعانیها، صیدونیها و حویهایی که در کوهستان لبنان از کوه بعل حرمون تا گذرگاه حمات ساکن بودند. | 3 |
Haya ndio mataifa: wafalme watano kutoka kwa Wafilisti, Wakanaani wote, Wasidoni, na Wahivi waliokaa milima ya Lebanoni, kutoka Mlima Baali Hermoni hadi Hamathi.
این قبایل برای آزمایش نسل جدید اسرائیل در سرزمین کنعان باقی مانده بودند تا معلوم شود آیا اسرائیل دستورهایی را که خداوند بهوسیلهٔ موسی به ایشان داده بود، اطاعت خواهند کرد یا نه. | 4 |
Mataifa haya yaliachwa kama njia ambayo Bwana angeijaribu Israeli, kuthibitisha kama watazitii amri alizowapa babu zao kupitia Musa.
پس اسرائیلیها در میان کنعانیها، حیتیها، اموریها، فرزیها، حویها و یبوسیها ساکن شدند. | 5 |
Basi wana wa Israeli wakakaa kati ya Wakanaani, na Wahiti, na Waamori, na Waperizi, na Wahivi, na Wayebusi.
مردم اسرائیل به جای اینکه این قبایل را نابود کنند، با ایشان وصلت نمودند. مردان اسرائیلی با دختران آنها ازدواج کردند و دختران اسرائیلی به عقد مردان ایشان درآمدند و به این طریق بنیاسرائیل به بتپرستی کشیده شدند. | 6 |
Waliwachukua binti zao kuwa wake zao, nao wakawapa wana wao binti zao, nao wakaitumikia miungu yao.
مردم اسرائیل خداوند، خدای خود را فراموش کرده، دست به کارهایی زدند که در نظر خداوند زشت بود و بتهای بعل و اشیره را عبادت کردند. | 7 |
Wana wa Israeli walifanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, wakamsahau Bwana, Mungu wao. Waliabudu Baali na Asherah.
آنگاه خشم خداوند بر بنیاسرائیل افروخته شد و ایشان را تسلیم کوشان رشعتایم، پادشاه بینالنهرین نمود و آنها مدت هشت سال او را بندگی کردند. | 8 |
Basi, hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawauza mkononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Aram Naharaimu. Watu wa Israeli walitumikia Kushan Rishathaimu kwa miaka nane.
اما چون برای کمک نزد خداوند فریاد برآوردند، خداوند عتنیئیل پسر قناز را فرستاد تا ایشان را نجات دهد. (قناز برادر کوچک کالیب بود.) | 9 |
Watu wa Israeli walipomwomba Bwana, Bwana akamuinua mtu atakayewasaidia wana wa Israeli, na mtu atakayewaokoa: Othnieli mwana wa Kenazi (ndugu mdogo wa Kalebu).
روح خداوند بر عتنیئیل قرار گرفت و او اسرائیل را رهبری کرده، با کوشان رشعتایم پادشاه وارد جنگ شد و خداوند به او کمک نمود تا کوشان رشعتایم را به کلی شکست دهد. | 10 |
Roho wa Bwana akamtia nguvu, naye akahukumu Israeli na akatoka kwenda vitani. Bwana akampa kuishinda Kush-rishataimu mfalme wa Aramu. Mkono wa Othnieli alishinda Kushan Rishathaimu.
مدت چهل سالی که عتنیئیل رهبری اسرائیل را به عهده داشت، در سرزمین بنیاسرائیل صلح حکمفرما بود. | 11 |
Nchi ilikuwa na amani kwa miaka arobaini. Ndipo Otinieli mwana wa Kenazi akafa.
بعد از مرگ عتنیئیل، مردم اسرائیل بار دیگر به راههای گناهآلود خود بازگشتند. بنابراین خداوند عجلون، پادشاه موآب را بر اسرائیل مسلط ساخت. | 12 |
Baada ya hayo, Waisraeli wakafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana; Bwana akampa Egloni mfalme wa Moabu nguvu, kuwashinda Waisraeli.
قوم عمون و عمالیق نیز با عجلون متحد شده، اسرائیل را شکست دادند و اریحا را که به «شهر نخلها» معروف بود به تصرف خود درآوردند. | 13 |
Eglon alijiunga na wana wa Amoni na Waamaleki wakaenda na kuwashinda Israeli, na walichukua mji wa Mitende.
از آن به بعد، اسرائیلیها مدت هجده سال عجلون پادشاه موآب را بندگی کردند. | 14 |
Watu wa Israeli walimtumikia Eglon mfalme wa Moabu kwa miaka kumi na nane.
اما وقتی بنیاسرائیل نزد خداوند فریاد برآوردند، خداوند ایهود، پسر جیرای بنیامینی را که مرد چپ دستی بود فرستاد تا آنها را برهاند. اسرائیلیها ایهود را انتخاب کردند تا جزیه را به پایتخت موآب برده، به عجلون تحویل دهد. | 15 |
Wana wa Israeli walipomwomba Bwana, Bwana akamwinua mtu aliyewasaidia, Ehudi mwana wa Gera, Mbenjamini, mtu shoto. Wana wa Israeli wakamtuma kwa Egloni, mfalme wa Moabu, kwa malipo yao ya kodi.
ایهود پیش از رفتن، یک خنجر دو دم به طول نیم متر برای خود ساخت و آن را زیر لباسش بر ران راست خود بست. | 16 |
Ehudi akajifanyia upanga uliokuwa na makali kuwili, urefu wa dhiraa moja; aliufunga chini ya nguo zake juu ya mguu wake wa kulia.
او جزیه را به عجلون که مرد بسیار چاقی بود تحویل داده، همراه افراد خود راهی منزل شد. اما بیرون شهر نزدیک معدنهای سنگ در جلجال، افراد خود را روانه نمود و خود به تنهایی نزد عجلون پادشاه بازگشت و به او گفت: «من یک پیغام محرمانه برای تو دارم.» پادشاه خدمتگزاران خود را بیرون کرد تا پیغام محرمانهٔ او را بشنود. | 17 |
Akampa Egloni Mfalme wa Moabu malipo ya kodi. (Egloni alikuwa mtu mnene sana.)
Baada ya Ehudi kulipa malipo ya kodi, aliondoka na wale waliokuwa wameibeba.
Hata hivyo Ehudi mwenyewe, alipofikia mahali ambapo sanamu za kuchonga zilitengenezwa karibu na Gilgali, akageuka na kurudi, akasema, 'Nina ujumbe wa siri kwako, mfalme wangu.' Eglon akasema, 'Nyamazeni kimya!' Kwa hiyo wote waliomtumikia wakatoka kwenye chumba.
پس ایهود با عجلون در قصر ییلاقی پادشاه تنها ماند. ایهود به عجلون نزدیک شده گفت: «پیغامی که من دارم از جانب خداست!» عجلون از جای خود برخاست تا آن را بشنود. | 20 |
Ehudi akaja kwake. Mfalme alikuwa amekaa peke yake, peke yake katika chumba cha juu cha baridi. Ehudi akasema, 'Nina ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili yeko.' Mfalme akasimama kutoka katika kiti chake.
ایهود با دست چپ خود خنجر را از زیر لباسش بیرون کشیده، آن را در شکم پادشاه فرو برد. | 21 |
Ehudi akanyoosha mkono wake wa kushoto na akachukua upanga kutoka mguu wake wa kulia, na akautia ndani ya mwili wa mfalme.
تیغه با دستهٔ خنجر در شکم او فرو رفت و رودههایش بیرون ریخت. ایهود بدون آنکه خنجر را از شکم او بیرون بکشد درها را به روی او بست و از راه بالاخانه گریخت. | 22 |
Na kipini cha upanga kikaingia ndani yake baada ya upanga, nao ukatokea nyuma yake, na mafuta yakashikamana juu ya upanga, kwa kuwa Ehudi hakuutoa upanga nje ya mwili wake.
Kisha Ehudi akatoka kwenye ukumbi na akafunga milango ya chumba cha juu nyuma yake na akawafungia.
وقتی خدمتگزاران پادشاه برگشتند و درها را بسته دیدند، در انتظار ماندند چون فکر کردند که عجلون به دستشویی رفته است. | 24 |
Baada ya Ehudi kuondoka, watumishi wa mfalme wakaja; wakaona milango ya chumba cha juu imefungwa, kwa hiyo wakafikiri, 'Hakika atakuwa anajitoa mwenyewe katika hali ya baridi ya chumba cha juu.'
اما وقتی انتظار آنها به طول انجامید و از او خبری نشد، نگران شده، کلیدی آوردند و در را باز کردند و دیدند که اربابشان به زمین افتاده و مرده است! | 25 |
Walizidi kuwa na wasiwasi hata walipoanza kuhisi kuwa walikuwa wakipuuza wajibu wao wakati mfalme bado hakufungua milango ya chumba cha juu. Kwa hiyo walichukua ufunguo wakawafungua, tazama bwana wao, ameanguka chini, amekufa.
در این موقع ایهود از معدنهای سنگ گذشته، به سعیرت گریخته بود. | 26 |
Wakati watumishi wakisubiri, wakijiuliza nini wanapaswa kufanya, Ehudi alikimbia na kupita mahali ambako kulikuwa na sanamu za kuchonga, na hivyo akakimbia kwenda Seira.
وقتی او به کوهستان افرایم رسید شیپور را به صدا درآورد و مردان اسرائیلی را دور خود جمع کرد و به آنها گفت: «همراه من بیایید، زیرا خداوند، دشمنانتان موآبیها را به دست شما تسلیم کرده است!» پس مردان اسرائیلی به دنبال او از کوهستان پایین آمدند و گذرگاههای رود اردن نزدیک موآب را گرفتند و نگذاشتند هیچکس از آنها بگذرد. | 27 |
Alipofika, alipiga tarumbeta katika nchi ya mlima wa Efraimu. Kisha wana wa Israeli wakashuka pamoja naye kutoka milimani, naye akawaongoza.
Akawaambia, Nifuate, kwa kuwa Bwana atawashinda adui zenu, Wamoabu. Wakamfuata, wakakamata vivuko vya Bonde la Yordani, toka kwa Wamoabi, wala hawakuruhusu mtu yeyote kuvuka mto.
آنگاه بر موآبیها تاخته، حدود ده هزار نفر از سربازان نیرومند آنها را کشتند و نگذاشتند حتی یکی از آنها جان به در برد. | 29 |
Wakati huo waliwaua watu elfu kumi wa Moabu, na wote walikuwa watu wenye nguvu na wenye uwezo. Hakuna aliyekimbia.
آن روز اسرائیلیها، موآبیها را شکست دادند و تا هشتاد سال صلح در سرزمین بنیاسرائیل برقرار گردید. | 30 |
Kwa hiyo siku hiyo Moabu ilishindwa na nguvu ya Israeli. Na nchi ilikuwa na amani kwa miaka thelathini.
بعد از ایهود، شمجر پسر عنات رهبر اسرائیل شد. او یک بار با چوب گاورانی ششصد نفر از فلسطینیها را کشت و بدین وسیله اسرائیلیها را از دست آنها نجات داد. | 31 |
Baada ya Ehudi, mwamuzi aliyefuata alikuwa Shamgari mwana wa Anathi ambaye aliwaua Wafilisti 600 kwa konzo la ng'ombe. Pia aliwaokoa Israeli kutoka kwenye hatari.