< یوشع 19 >
دومین قرعه به نام شمعون درآمد. زمین خاندانهای این قبیله، در داخل مرزهای زمین یهودا قرار داشت و شامل این شهرها میشد: بئرشبع، شبع، مولاده، | 1 |
Upigaji wa pili wa kura uliangukia kwa Simoni na waligawiwa kwa kila ukoo wao. Urithi wao ulikuwa katikati ya urithi ulikuwa ni mali ya kabila la Yuda.
Urithi waliokuwa nao ni Beerisheba, Sheba, Molada,
حَصَرشوعال، بالح، عاصم، | 3 |
Hazari Shuali, Bala, Ezemu,
Elitoladi, Bethuli na Horma.
صقلغ، بیتمرکبوت، حصرسوسه، | 5 |
Simoni alikuwa pia na Ziklagi, Bethi Markabothi, Hazari Susa,
بیتلباعوت و شاروحن، جمعاً سیزده شهر با روستاهای اطراف. | 6 |
Bethi Lebaothi, na Sharuheni. Kulikuwa na miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake. Vile vile
عین، رمون، عاتر و عاشان، جمعاً چهار شهر با روستاهای اطراف | 7 |
Simoni alimiliki Aini, Rimon, Etheri, na Ashani. Hii ilikuwa ni miji minne pamoja na vijiji vyake.
و تمام روستاهای اطراف این شهرها تا بعلتبئیر (که رامهٔ نگب هم گفته میشد). این بود زمینی که به خاندانهای قبیلهٔ شمعون داده شد. | 8 |
Miji hii pamoja na vijiji vilivyoizunguka hata kufika Baalathi Beeri (ambao ndio Rama katika Negevu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simoni, waliopewa kwa koo zao.
این زمین از سهمی بود که قبلاً برای قبیلهٔ یهودا تعیین گردیده بود، چون زمین سهم یهودا برای ایشان زیاد بود. | 9 |
Urithi wa kabila la Simoni ulikuwa sehemu ya himaya ya kabila la Yuda. Hii ni kwasababu nchi waliyopewa kabila la Yuda ilikuwa ni kubwa kwao, na hivyo kabila la Simoni lilipokea urithi wao kutoka katika sehemu yao ya katikati.
سومین قرعه به نام زبولون درآمد. مرز زمین خاندانهای این قبیله از سارید شروع میشد | 10 |
Upigaji wa kura ya tatu uliangukia kwa kabila la Zabuloni, na walipewa kwa koo zao. Mpaka wa urithi wao ulianzia huko Saridi.
و به طرف مغرب تا مرعله و دباشه کشیده شده، به درهٔ شرق یُقنَعام میرسید. | 11 |
Mpaka wao ulipanda upande wa magharibi kuelekea Marala na ukaigusa Dabeshethi, na kisha ukasonga kuelekea kijito kilichokuwa mkabala na Yokineamu.
از طرف شرق سارید نیز تا حدود کسلوت تابور و از آنجا تا دابره و یافیع کشیده میشد. | 12 |
Kutoka Saridi mpaka ulizunguka upande wa mashariki kuelekea mashariki na ulienda hadi mpaka wa Kislothi Tabori. Kutoka hapo uliendelea hadi Daberathi na kisha ulipanda hata Yafia.
باز به طرف شرق امتداد یافته، به جت حافر و عت قاصین کشیده میشد، سپس از رمون گذشته، به نیعه میرسید. | 13 |
Kutoka hapo ulipita katika upande wa mashariki mwa Gathi Heferi, na kisha ukafika Ethikazini, baadaye ulienda hadi Rimoni na kisha ukageuka kuelekea Nea.
این خط مرزی در شمال، به طرف حناتون برمیگشت و به درهٔ یفتحئیل منتهی میشد. | 14 |
Mpaka ulizunguka kueleka kaskazini ukafika Hanathoni na ulikomea katika bonde la Ifta Eli.
شهرهای قطه، نهلال، شمرون، یِدَلَه و بیتلحم نیز جزو ملک قبیلهٔ زبولون بودند. جمعاً دوازده شهر با روستاهای اطرافشان به خاندانهای قبیلهٔ زبولون تعلق گرفت. | 15 |
Mkoa huu ulijumuisha miji ya Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala, na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni, waliopewa kwa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
چهارمین قرعه به نام یساکار برحسب خاندانهایشان درآمد. شهرهای خاندانهای این قبیله عبارت بودند از: یزرعیل، کسلوت، شونم، | 17 |
Upigaji kura wa nne uliangukia kwa Isakari, na waligawiwa kufuatana na koo zao.
Eneo lao lilijumuisha Jezreelli, Kesuloothi, Shunemu,
حفارایم، شیئون، اناحره، | 19 |
Hafaraimu, Shioni, na Anaharathi.
Pia ilijumuisha miji ya Rabithi, Kishioni, Ebezi,
رمه، عینجنیم، عینحده و بیتفصیص. | 21 |
Remethi, Enganimu, Enihada, na Bethipazezi.
خط مرزی قبیلهٔ یساکار از شهرهای تابور، شحصیمه و بیتشمس میگذشت و به رود اردن منتهی میشد. جمعاً شانزده شهر با روستاهای اطرافشان به خاندانهای قبیلهٔ یساکار تعلق گرفت. | 22 |
Mpaka wao ulifika Tabor, Shahazuma, na Bethi Shemeshi, na ukakomea katika Yordani. Ilikuwa ni miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Isakari, na walipewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
پنجمین قرعه به نام اشیر درآمد. شهرهای خاندانهای این قبیله عبارت بودند از: حلقه، حلی، باطَن، اکشاف، | 24 |
Upigaji wa kura ya tano uliangukia kwa kabila la Asheri, na walipewa kwa koo zao.
Eneo lao lilijumuisha miji ya Helikathi, Hali, Beteni, Akashafu,
الملک، عمعاد و مشآل، خط مرزی قبیلهٔ اشیر در غرب، به طرف کرمل و شیحور لبنه کشیده میشد | 26 |
Alameleki, Amadi, na Mshali. Mpaka wa magharibi ulitanuka hadi Karmeli na Shihori Libnathi.
و از آنجا به سمت مشرق به طرف بیتداجون میپیچید و به زبولون و درهٔ یفتحئیل میرسید. از آنجا به طرف شمال به سوی بیتعامق و نعیئیل امتداد یافته از شرق کابول میگذشت. | 27 |
Kisha ulizunguka upande wa mashariki kueleka Bethi Dagoni na ukaenda hadi Zabuloni, na kisha ukafika katika bonde la ifutaheli, upande wa kaskazini mwa Bethemeki na Neieli. Baadaye uliendelea mbele hata Kabuli kueleka upande wa Kaskazini.
سپس از حبرون، رحوب، حمون، قانه و صیدون بزرگ میگذشت. | 28 |
Na kisha ulienda hadi Ebroni, Rehobu, Hammoni, na Kana, hata kufika mji mkubwa wa Sidoni.
سپس این خط مرزی به طرف رامه میپیچید و به شهر حصاردار صور میرسید و باز به طرف شهر حوصه پیچیده در ناحیۀ اکزیب به دریای مدیترانه منتهی میشد. | 29 |
Mpaka ulirudi nyuma kuelekea Rama, na kisha ukafika kwenye mji wa Tiro uliokuwa na ngome. Baada ya hapo mpaka ulizunguka kuelekea Hosa na ulikomea katika bahari, katika mkoa wa Akizibu,
عمه، عفیق و رحوب نیز جزو ملک اشیر بودند. جمعاً بیست و دو شهر با روستاهای اطرافشان به خاندانهای قبیلهٔ اشیر برحسب خاندانهایشان تعلق گرفت. | 30 |
Umma, Afeki, na Rehobu. Kulikuwa na miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Asheri, na waliopewa kwa koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
ششمین قرعه به نام نفتالی درآمد. خط مرزی زمین خاندانهای این قبیله از حالف شروع میشد و از بلوطی که در صعنیم است گذشته، در امتداد ادامی، ناقب و یبنئیل به لقوم میرسید و از آنجا به رود اردن منتهی میشد. | 32 |
Upigaji wa kura wa mara ya sita uliangukia kwa kabila la Nafutali, na walipewa kufuatana na koo zao.
Mpaka wao ulianzia Helefu, kutoka katika mwaloni huko Zaananimu, ulipanda hadi Adaminekebu na Yabneeli, umbali kama Lakumu; na ulikomea katka Yordani.
این خط مرزی در غرب به سمت ازنوت تابور میپیچید و از آنجا به طرف حقوق پیش میرفت. زمین نفتالی با زبولون در جنوب، با اشیر در غرب و با رود اردن در شرق هم مرز میشد. | 34 |
Mpaka ule ulizunguka upande wa magharibi kuelekea Aznothi Tabori na ulipanda hadi Hukoki; uligusa Zabuloni katika upande wa kusini, na ulifika hata Asheri katika upande wa magharibi, na Yuda katika upande wa mashariki huko katika mto Yordani.
شهرهای حصارداری که در زمین نفتالی واقع شده بودند از این قرارند: صدیم، صیر، حَمَت، رَقَت، کنارت، | 35 |
Miji yenye ngome ilikuwa ni Zidimu, Zeri, Hammathi, Rakathi, Kinnerethi,
قادش، ادرعی، عینحاصور، | 37 |
Kedeshi, Edrei, na Eni Hazori.
یَرون، مجدلئیل، حوریم، بیتعنات و بیتشمس. جمعاً نوزده شهر با روستاهای اطرافشان به خاندانهای قبیلهٔ نفتالی تعلق گرفت. | 38 |
Pia kulikuwa na miji ya Yironi, Migdaleli, Horemu, Bethi Anathi, na Bethi Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa, pamoja na vijiji vyake.
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali, na walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao.
هفتمین قرعه به نام دان درآمد. شهرهای خاندانهای این قبیله عبارت بودند از: صرعه، اِشتائُل، عیرشمس، | 40 |
Upigaji wa kura ya saba uliangukia kwa kabila la Dani, na walipewa kufuatana na koo zao.
Eneo lao la urithi lilijumuisha miji ya Zora, Eshitaoli, Iri Shemeshi,
شَعَلبین، اَیَلون، یتله، | 42 |
Shaalabini, Aijaloni, na Ithila.
Vile vile lilijumuisha miji ya Eloni, Timna, Ekroni,
اَلتَقیت، جِبَتون، بعله، | 44 |
Eliteke, Gibethoni, Baalathi,
یهود، بنیبرق، جترمون، | 45 |
Yehudi, Bene - Beraki, Gathi Rimoni,
میاهیرقون، رقون و همچنین زمین مقابل یافا. | 46 |
Me -Yarkoni, na Rakoni sambamba na eneo la karibu na Yopa.
(ولی زمینی که برای قبیلهٔ دان تعیین شد، برای ایشان کافی نبود. پس قبیلهٔ دان به شهر لَشَم در شمال حمله برده، آن را تصرف نمودند و اهالی آنجا را قتل عام کردند. سپس در آنجا ساکن شدند و نام جد خویش، دان را بر آن شهر نهادند.) | 47 |
Ilitokea wakati mpaka wa kabila la Dani ulipowapotea, kabila la Dani waliishambulia Leshemu, wakapigana nao, na wakauteka. Waliua kila mtu kwa upanga, wakauchukua ukawa mali yao, na wakakaa ndani yake. Wakauita mji ule Dani jina la babu yao badala ya Leshemu.
این شهرها و روستاهای اطرافشان به خاندانهای قبیلهٔ دان تعلق گرفت. | 48 |
Huu ulikuwa urithi wa kabila la Dani, waliopewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
پس از اینکه زمینها میان قبایل اسرائیل تقسیم شد و حدود هر کدام تعیین گردید، قوم اسرائیل مطابق دستور خداوند، به یوشع ملکی پیشنهاد کردند و او تمنه سارح را که در میان کوهستان افرایم واقع شده بود برای خود برگزید و آن را دوباره بنا کرد و در آن ساکن شد. | 49 |
Walipomaliza kugawana urithi wa nchi, watu wa Israeli walimpa urithi Yoshua mwana wa Nuni kutoka miongoni mwao.
Kwa amri ya Yahweh walimpatia mji wa Timnathi Sera ambao aliuomba, ulikuwa katika nchi ya milima ya Efraimu. Aliujenga mji na akaishi huko.
به این ترتیب، قرعهکشی و تقسیم زمین بین قبایل اسرائیل در شیلوه، جلوی دروازهٔ خیمهٔ ملاقات انجام شد. در این قرعهکشی که در حضور خداوند برگزار گردید، العازار کاهن، یوشع و سران قبایل حاضر بودند و نظارت میکردند. | 51 |
Na huu ndio urithi ambao Eliazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli, waligawa kwa kupiga kura huko Shilo, mbele za Yahweh katika mlango wa hema la kukutania. Na hivyo wakamaliza kuigawa nchi.