< یوشع 17 >

قسمتی از زمینهایی که در غرب رود اردن بود به قبیلهٔ منسی (پسر بزرگ یوسف) داده شد. به خاندان ماخیر (پسر بزرگ منسی و پدر جلعاد) قبلاً زمین جلعاد و باشان (در سمت شرقی رود اردن) داده شده بود، زیرا آنها جنگجویانی شجاع بودند. 1
Na huu ndio mgao wa nchi kwa ajili ya kabila la Manase (aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Yusufu), ambayo ilikuwa kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase, ambaye alikuwa ni baba wa Gilieadi. Watoto wa Makiri walipewa nchi ya Gileadi na Bashani, kwasababu Makiri alikuwa ni mtu wa vita.
پس زمینهای کرانهٔ غربی رود اردن به بقیهٔ قبیلۀ منسی یعنی خاندانهای ابیعزر، هالک، اسرئیل، شکیم، حافر و شمیداع داده شد. 2
Nchi iliyobaki iligawiwa kwa kabila la Manase, walipewa kwa koo zao, ambazo ni Abi Ezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi, na Shemida. Hawa walikuwa ni watoto wa kiume wa Manase mwana wa Yusufu, waliwakilishwa na koo zao.
صَلُفحاد پسر حافر، حافر پسر جلعاد، جلعاد پسر ماخیر و ماخیر پسر منسی بود. صلفحاد پسری نداشت. او تنها پنج دختر داشت به نامهای: محله، نوعه، حُجله، ملکه و ترصه. 3
Basi Zelofehadi mwana wa Heferi mwana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase hakuwa na watoto wa kiume, bali alikuwa na watoto wa kike tu. Na majina ya binti zake yalikuwa Mahila, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.
این پنج دختر نزد العازار کاهن، یوشع و بزرگان اسرائیل آمده، گفتند: «خداوند به موسی فرمود که ما هم می‌توانیم هر کدام به اندازهٔ یک مرد از زمین سهم داشته باشیم.» 4
Walimwendea Eliazeri kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi na wakasema, “Yahweh alimwagiza Musa atupatie urithi wetu pamoja na kaka zetu.” Hivyo, kwa kuzingatia agizo la Yahweh, aliwapa wanawake hao urithi miongoni mwa ndugu za baba yao.
پس چنانکه خداوند به موسی امر فرموده بود، این پنج دختر مانند مردان قبیله‌شان، صاحب زمین شدند. بدین ترتیب قبیلهٔ منسی علاوه بر زمین جلعاد و باشان که در شرق رود اردن بود، صاحب ده سهم دیگر از زمینهای غرب رود اردن شدند. 5
Manase alipewa sehemu kumi za nchi katika Gileadi na Bashani, ambayo iko upande mwingine wa Yordani,
6
kwasababu ya binti za Manase walipokea urithi pamona na watoto wake wa kiume. Nchi ya Gileadi iligawanywa kwa kabila la Manase lililosalia.
مرز قبیلهٔ منسی از سرحد اشیر تا مکمیته که در شرق شکیم است، امتداد می‌یافت؛ و از آنجا به طرف جنوب کشیده شده، به ناحیه‌ای که اهالی عین تفوح در آن زندگی می‌کردند می‌رسید. 7
Eneo la Manase lilianzia Asheri hadi Mikimethathi, ambayo iko mashariki mwa Shekemu. Kisha mpaka ulienda upande wa kusini kwa wale walioishi karibu na chemichemi ya Tapua.
(سرزمین تفوح متعلق به منسی بود، اما خود شهر تفوح که در مرز سرزمین منسی قرار داشت به قبیلهٔ افرایم تعلق می‌گرفت.) 8
( Nchi ya Tapua ilikuwa ni miliki ya Manase, lakini mji wa Tapua katika mpaka wa Manase ilikuwa ni mali ya kabila la Efraimu.)
سپس سرحد قبیلهٔ منسی به طرف وادی قانه کشیده می‌شد و به دریای مدیترانه می‌رسید. (چند شهر در جنوب وادی قانه در خاک منسی واقع شده بودند که در واقع متعلق به افرایم بودند.) 9
Kisha mpaka ulishuka kuelekea kijito cha Kana. Miji hii kusini mwa kijito miongoni mwa miji ya Manase ilikuwa ni mali ya Efraimu. Mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa kijito, na ulikomea katika
زمین جنوب وادی قانه تا دریای مدیترانه برای افرایم تعیین شد و زمین شمال وادی قانه تا دریای مدیترانه به قبیلهٔ منسی داده شد. مرز منسی از شمال به سرزمین اشیر و از سمت شرق به سرزمین یساکار محدود بود. 10
bahari. Na nchi iliyokuwa upande wa kusini ilikuwa ni ya Efraimu, na nchi iliyo upande wa Kasikazini ilikuwa ni ya Manase; bahari ilikuwa ndoi mpaka. Kwa upande wa kaskazini ulifika hata Asheri, na upande wa mashariki, Isakari.
شهرهای زیر که در خاک یساکار و اشیر واقع شده بودند به قبیلهٔ منسی داده شدند: بیت‌شان، یبلعام، دُر، عین دُر، تعناک، مَجِدو (که سه محلۀ کوهستانی داشت)، و روستاهای اطراف آنها. 11
Pia katika Isakari na katika Asheri, Manase alimiliki Bethi Shani na vijiji vyake, Ibleamu na vijiji vyake, wenyeji wa Dori na vijiji vyake, wenyeji wa Endori na vijiji vyake, wenyeji wa Taanaki na vijiji vyake, na wenyeji wa Megido na vijiji vyake (na mji wa tatu ni Nafethi).
اما قبیلهٔ منسی نتوانست کنعانیهایی را که در این شهرها و روستاها ساکن بودند بیرون کند، پس آنها در آن سرزمین باقی ماندند. 12
Lakini kabila la Manase halikuweza kuimiliki miji hiyo, kwa kuwa Wakanaani waliendelea kuishi katika nchi hii.
حتی هنگامی که بنی‌اسرائیل نیرومند شدند، باز آنها را بیرون نکردند بلکه ایشان را به بردگی خود گرفتند. 13
Hata wakati watu wa Israeli walipopata nguvu zaidi, hawakuwafukuzia mbali kabisa Wakanaani, bali waliwafanya kuwa watumwa.
سپس دو قبیلهٔ یوسف نزد یوشع آمده، به او گفتند: «چرا از این زمین فقط یک سهم به ما داده‌ای، و حال آنکه خداوند ما را برکت داده و جمعیت ما را زیادتر از قبایل دیگر گردانیده است؟» 14
Kisha wazawa wa Yusufu wakamwambia Yoshua, wakisema, “Kwanini umetupa mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi, kwa kuwa tuko wengi, na kwa muda wote Yahweh umetubaliriki?
یوشع پاسخ داد: «اگر جمعیت شما زیاد است و زمین کوهستانی افرایم برای شما کافی نیست، می‌توانید جنگلهای وسیع فَرِزی‌ها و رفائی‌ها را نیز بگیرید و برای خود صاف کنید.» 15
Yoshua akawaambia, “Kama ninyi ni watu wengi katika hesabu, pandeni ninyi wenyewe katika msitu na kuisafisha nchi kwa ajili yenu wenyewe katika nchi ya Waperizi na ya Refaimu. Fanyeni hivi kwa kuwa nchi ya milima ya Efraimu ni ndogo kwenu.”
آنها گفتند: «کنعانیهایی که در دشتها ساکنند، چه آنهایی که در بیت‌شان و روستاهای اطراف آن، و چه آنهایی که در درهٔ یزرعیل هستند، ارابه‌های آهنین دارند، و ما از عهدهٔ آنها بر نمی‌آییم.» 16
Wazawa wa Yusufu wakasema, “Nchi ya milima haitutoshi. Lakini Wakanaani wote wanaoishi katika bonde wana magari ya chuma, wote walio katikaBethi Shani na vijiji vyake, na wale walio katika bonde la Yezreeli.”
یوشع به خاندان یوسف یعنی به افرایم و منسی گفت: «جمعیت شما زیاد است و شما قوی هستید. پس بیش از یک سهم به شما تعلق خواهد گرفت. 17
Kisha Yoshua akawaambi nyumba ya Yusufu, ambao ni Efraimu na Manase, “Ninyi ni watu mlio wengi katika hesabu, na mna nguvu kubwa. Hamtakiwi kuwa na sehemu moja ya nchi mliogawiwa.
کوهستان جنگلی نیز از آن شما خواهد بود. این جنگل را صاف کنید و سراسر آن را تصرف نمایید. من یقین دارم که شما می‌توانید کنعانی‌ها را از آنجا بیرون کنید، گرچه آنها ارابه‌های آهنین دارند و قوی می‌باشند.» 18
Nchi ya milima itakuwa yenu pia. Ingawa ni msitu, mtaufyeka na kuimiliki hata mipaka yake ya mbali. Mtawafukuzia mbali Wakanaani, ingawa wanayo magari ya chuma na ingawa pia wanazo nguvu.”

< یوشع 17 >