< یوشع 16 >
مرز جنوبی زمینی که به حکم قرعه به بنییوسف (افرایم و منسی) تعلق گرفت، از آن قسمت رود اردن که نزدیک اریحاست، یعنی از شرق چشمههای اریحا شروع میشد و از صحرا گذشته، به ناحیهٔ کوهستانی بیتئیل میرسید. | 1 |
Nchi waliyopewa kabila la Yusufu ilianzia katika Yordani huko Yeriko, mashariki mwa chemichemi za Yeriko, kupitia nyikani, kupanda kutoka Yeriko kupitia nchi ya milima ya Betheli.
سپس از بیتئیل به طرف لوز و عطاروت در سرحد سرزمین اَرکیها امتداد مییافت و بعد به سمت مغرب به سرحد سرزمین یفلیطیها تا کنار بیتحورون پایین و تا جازر کشیده شده، انتهایش به دریای مدیترانه میرسید. به این ترتیب قبیلۀ یوسف، یعنی منسی و افرایم میراث خود را گرفتند. | 2 |
Kisha uliendelea kutoka Betheli hadi Luzi na kupita hata Atarothi, iliyo miliki ya Waarkiti.
Kisha ilishuka chini upande wa magharibi kuelekea himaya ya Wayafuleti, hadi kufika miliki ya Loweri Bethi Horoni, na kisha iliendelea hadi Gezeri; na ilikomea katika bahari.
Ilikuwa ni kwa njia hii makabila ya Yusufu, yaani Manase na Efraimu yalipata urithi wao.
این است زمینی که به خاندانهای قبیلهٔ افرایم داده شد: مرز شرقی این زمین از عطاروت ادار شروع میشد و از آنجا تا بیتحورون بالا امتداد مییافت و به دریای مدیترانه میرسید. مرز شمالی، از دریای مدیترانه شروع شده، به سمت مشرق کشیده میشد و از مکمیته میگذشت و به تعنت شیلوه و یانوحه میرسید. | 5 |
Eneo la kabila la Efraimu ambalo lilikuwa limegawanya kwa koo zao lilikuwa kama ifuatavyo: mpaka wa urithi wao katika upande wa mashariki ulikuwa Atarothi Ada uliopanda kuelekea Bethi Horoni ya juu,
na kutoka pale uliendelea hadi katika bahari. Kutoka Mikimethathi katika upande wa Kasikazini ulipinda upande wa mashariki kuelkea Taanathi Shilo na kupita ng'ambo yake katika upande wa mashariki kukabili Yanoa.
از یانوحه به سمت جنوب کشیده شده، به طرف عطاروت و نعره پایین آمده، به اریحا میرسید و به رود اردن منتهی میشد. | 7 |
Kisha ulishuka kutoka Yanoa hadi Atarothi na hata Naara, na kisha ukafika Yeriko, na kuishia katika Yordani.
سپس از آنجا به طرف غرب کشیده شده، از تفوح به درهٔ قانه میرسید و به دریای مدیترانه ختم میشد. این است زمینی که به خاندانهای قبیلۀ افرایم به ملکیت داده شد. | 8 |
Kutoka Tapua, mpaka uliendelea katika upande wa magharibi hata kijito cha Kana na ulikomea katika bahari. Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Efraimu, uliogawanywa katika koo zao,
علاوه بر این، بعضی از شهرهایی که در سرحد خاک نصف قبیلهٔ منسی بود با روستاهای اطراف به قبیلهٔ افرایم داده شد. | 9 |
pamoja na miji yao iliyochaguliwa kwa ajili ya kabila la Efraimu iliyokuwa ndani ya urithi wa kabila la Manase - miji yote pamoja na vijiji vyao.
ولی آنها کنعانیانی را که در جازر ساکن بودند بیرون نکردند و کنعانیها تا امروز در میان قبیلهٔ افرایم به صورت برده زندگی میکنند. | 10 |
Lakini hawakuwafukuza Wakanaani walioishi katika Gezeri, hivyo basi Wakanaani wanaishi ndani ya Efraimu hadi leo, lakini watu hawa walifanywa kuwa watumwa.