< یوشع 12 >
این است نامهای پادشاهانی که در سمت شرقی رود اردن بودند و شهرهای آنها بهوسیلۀ بنیاسرائیل تصرف شد: (شهرهای آنها از درهٔ ارنون تا کوه حرمون، که شامل تمام نواحی شرقی درهٔ اردن میشد، امتداد داشت.) | 1 |
Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
سیحون، پادشاه اموریها که در حشبون زندگی میکرد و قلمرو او از عروعیر در کنار درهٔ ارنون و از وسط درۀ ارنون تا درهٔ یبوق که مرز عمونیهاست امتداد مییافت. این سرزمین شامل نصف جلعاد کنونی بود. | 2 |
Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
او همچنین بر درهٔ اردن که از دریاچهٔ جلیل تا بیتیشیموت (واقع در شرق دریای مرده) و تا دامنهٔ کوه پیسگاه امتداد داشت، حکومت میکرد. | 3 |
Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
عوج پادشاه باشان، که از بازماندگان قوم رفائی بود و در عشتاروت و ادرعی زندگی میکرد. | 4 |
Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
او بر سرزمینی حکومت مینمود که از کوه حرمون در شمال تا سلخه و تمام باشان در مشرق، و از سمت مغرب تا مرزهای سرزمین جشوریها و معکیها و از سمت جنوب تا منطقهای که نیمهٔ شمالی جلعاد را در بر میگرفت و به سرحد سرزمین حشبون میرسید، امتداد داشت. | 5 |
Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
ساکنان این سرزمین، همان کسانی بودند که موسی خدمتگزار خداوند و بنیاسرائیل، آنها را از بین بردند و موسی زمینهایشان را به قبیلهٔ رئوبین و جاد و نصف قبیلهٔ منسی داد. | 6 |
Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
پادشاهانی نیز که در سمت غربی رود اردن حکومت میکردند بهوسیلۀ یوشع و اسرائیلیها کشته شدند. زمینهای آنها را که از بعل جاد در وادی لبنان تا کوه حالق نزدیک کوه سعیر بود، یوشع بین قبایل بنیاسرائیل تقسیم کرد. | 7 |
Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
این ناحیه شامل کوهستانها، دشتها، درۀ اردن، کوهپایهها، صحرای یهودیه و صحرای نگب بود. ساکنان آنجا اقوام حیتی، اموری، کنعانی، فرزی، حوی و یبوسی بودند. | 8 |
Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
بنیاسرائیل، پادشاهان شهرهای این مناطق را که تعدادشان به سی و یک نفر میرسید شکست دادند. این شهرها عبارت بودند از: اریحا، عای (نزدیک بیتئیل)، اورشلیم، حبرون، یرموت، لاخیش، عجلون، جازر، دبیر، جادر، حرمه، عراد، لبنه، عدولام، مقیده، بیتئیل، تفوح، حافر، عفیق، لشارون، مادون، حاصور، شمرون مرئون، اخشاف، تعناک، مجدو، قادش، یقنعام (در کرمل)، دُر (در بلندیهای دُر)، قوئیم (در جلجال)، و ترصه. | 9 |
Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.