< ایوب 41 >
آیا میتوانی لِویاتان را با قلاب صید کنی یا به دور زبانش کمند بیندازی؟ | 1 |
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
آیا میتوانی از بینی او طناب رد کنی یا چانهاش را با نیزه سوراخ نمایی؟ | 2 |
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
آیا از تو خواهش خواهد کرد که دست از سرش برداری؟ | 3 |
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
آیا میپذیرد که تا آخر عمر، او را بردهٔ خود سازی؟ | 4 |
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
آیا میتوانی با او مثل یک پرنده بازی کنی یا به او افسار زده، او را به دخترانت هدیه نمایی؟ | 5 |
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
آیا ماهیگیران میتوانند او را تکهتکه کرده، به تاجران بفروشند؟ | 6 |
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
آیا تیر به پوست او فرو میرود یا نیزهٔ ماهیگیری سر او را سوراخ میکند؟ | 7 |
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
اگر به او دست بزنی چنان آشوبی به پا میکند که دیگر هرگز هوس نکنی به او نزدیک شوی! | 8 |
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
هر که بخواهد او را بگیرد از دیدنش به لرزه میافتد و تلاشش نافرجام میماند. | 9 |
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
هیچکس جرأت ندارد او را تحریک کند یا در مقابلش بایستد. | 10 |
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
در تمام دنیا کسی نیست که با او درگیر شود و جان به در برد. | 11 |
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
از عظمت و قدرت اعضای بدن او دیگر چه گویم؟ | 12 |
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
کیست که بتواند پوستش را از او بِکَنَد؟ کیست که بتواند به زِرۀ دو لایۀ او نفوذ کند؟ | 13 |
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
کیست که بتواند دروازۀ دهان او را باز کند؟ دندانهایش بسیار ترسناکند. | 14 |
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
پشت او از فلسهایی که محکم به هم چسبیدهاند پوشیده شده است، به طوری که هیچ چیز قادر نیست آنها را از هم جدا کند و حتی هوا نیز نمیتواند به داخل آنها نفوذ نماید. | 15 |
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
وقتی عطسه میکند بخار آن در پرتو نور خورشید میدرخشد. چشمانش مانند طلوع خورشید درخشان است. | 18 |
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
از دهانش آتش زبانه میکشد. | 19 |
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
دودی که از سوراخهای بینیاش خارج میشود مانند بخاری است که از دیگ جوشان برمیخیزد. | 20 |
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
نفس او هیزم را به آتش میکشد؛ شعلههای سوزان از دهانش میجهد. | 21 |
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
قدرت حیرتآوری در گردن او نهفته است و هر که او را میبیند به وحشت میافتد. | 22 |
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
لایههای گوشت بدنش سفت و محکم به هم چسبیده است. | 23 |
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
دلش مثل سنگ زیرین آسیاب سخت است. | 24 |
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
وقتی برمیخیزد زورمندان هراسان میشوند و از ترس بیهوش میگردند. | 25 |
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
شمشیر، نیزه، تیر یا زوبین بر او کارگر نیست. | 26 |
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
آهن برایش مثل کاه است و مفرغ مانند چوب پوسیده. | 27 |
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
تیرهای کمان نمیتوانند او را فراری دهند. سنگهای فلاخن چون پر کاه بر او بیاثرند. | 28 |
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
چماق برای او مانند کاه است. او به تیرهایی که به طرفش پرتاب میشوند، میخندد. | 29 |
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
پوست شکمش مانند تکههای سفال، تیز است و مانند چنگال خرمنکوب روی زمین شیار به وجود میآورد. | 30 |
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
با حرکات خود اعماق دریا را مانند یک ظرف جوشان به جوش و خروش میآورد و دریا را مثل دیگ عطاران به هم میزند. | 31 |
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
ردپایی درخشان به دنبال خود برجای میگذارد، به طوری که دریا از کف سفید پوشیده میشود. | 32 |
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
در روی زمین هیچ موجودی مانند او بیباک نیست. | 33 |
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
او سلطان حیوانات وحشی است و هیچ جانوری به پای او نمیرسد. | 34 |
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”