< ایوب 3 >
سرانجام ایوب لب به سخن گشود و روزی را که از مادر زاییده شده بود نفرین کرده، | 1 |
Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
«نابود باد روزی که به دنیا آمدم و شبی که در رحم مادرم قرار گرفتم! | 3 |
“Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
ای کاش آن روز در ظلمت فرو رود و حتی خدا آن را به یاد نیاورد و نوری بر آن نتابد. | 4 |
Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
ای کاش تاریکی و ظلمت مطلق آن را فرا گیرد و ابر تیره بر آن سایه افکند و تاریکی هولناک آن را در بر گیرد. | 5 |
Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
ای کاش آن شب از صفحهٔ روزگار محو گردد و دیگر هرگز در شمار روزهای سال و ماه قرار نگیرد. | 6 |
Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
ای کاش شبی خاموش و عاری از شادی باشد. | 7 |
Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
بگذار نفرینکنندگانِ ماهر، نفرینش کنند، آنان که در برانگیزانیدنِ لِویاتان ماهرند. | 8 |
Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
ای کاش آن شب ستارهای نداشته باشد و آرزوی روشنایی کند، ولی هرگز روشنایی نباشد و هیچگاه سپیدهٔ صبح را نبیند. | 9 |
Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
آن شب را لعنت کنید، چون قادر به بستن رحم مادرم نشد و باعث شد من متولد شده، دچار این بلاها شوم. | 10 |
kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
«چرا مرده به دنیا نیامدم؟ چرا وقتی از رَحِمِ مادرم بیرون میآمدم، نمردم؟ | 11 |
Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
چرا مادرم مرا روی زانوهایش گذاشت و مرا شیر داد؟ | 12 |
kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
اگر هنگام تولد میمردم، اکنون آرام و آسوده در کنار پادشاهان، رهبران و بزرگان جهان که کاخهای قدیمی برای خود ساختند و قصرهای خود را با طلا و نقره پر کردند، خوابیده بودم. | 13 |
Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
«چرا مرده به دنیا نیامدم تا مرا دفن کنند؟ مانند نوزادی که هرگز فرصت دیدن روشنایی را نیافته است؟ | 16 |
Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
زیرا در عالم مرگ، شریران مزاحمتی به وجود نمیآورند و خستگان میآرامند. | 17 |
Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
آنجا اسیران با هم در آسایشاند، و فریاد کارفرمایان را نمیشنوند. | 18 |
Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
در آنجا فقیر و غنی یکسانند و غلام از دست اربابش آزاد است. | 19 |
Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
«چرا باید نور زندگی به کسانی که در بدبختی و تلخکامی به سر میبرند بتابد؟ | 20 |
Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
و چرا کسانی که آرزوی مردن دارند و مرگشان فرا نمیرسد و مثل مردمی که در پی گنج هستند به دنبال مرگ میگردند، زنده بمانند؟ | 21 |
ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
چه سعادت بزرگی است وقتی که سرانجام مرگ را در آغوش میکشند! | 22 |
Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
چرا زندگی به آنانی داده میشود که آیندهای ندارند و خدا زندگیشان را از مشکلات پر ساخته؟ | 23 |
Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
خوراک من غصه است، و آه و ناله مانند آب از وجودم جاری است. | 24 |
Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
چیزی که همیشه از آن میترسیدم بر سرم آمده است. | 25 |
Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
آرامش و راحتی ندارم و رنجهای مرا پایانی نیست.» | 26 |
Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”