< ایوب 11 >
آنگاه صوفر نعماتی پاسخ داد: | 1 |
Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
آیا به این همه سخنان بیمعنی نباید پاسخ گفت؟ آیا کسی با پرحرفی میتواند خود را تبرئه کند؟ | 2 |
“Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
ای ایوب، آیا فکر میکنی ما نمیتوانیم جواب تو را بدهیم؟ وقتی که خدا را مسخره میکنی، آیا کسی نباید تو را شرمنده سازد؟ | 3 |
Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
ادعا میکنی که سخنانت درست است و در نظر خدا پاک هستی! | 4 |
Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
ای کاش خدا صحبت میکرد و میگفت که نظرش دربارهٔ تو چیست. | 5 |
Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
ای کاش اسرار حکمتش را بر تو آشکار میکرد، زیرا حکمت او ورای درک انسان است. بدان که خدا کمتر از آنچه که سزاوار بودهای تو را تنبیه کرده است. | 6 |
hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
آیا تو میتوانی اسرار خدای قادر مطلق را درک کنی؟ آیا میتوانی عمقهای او را کشف کنی؟ | 7 |
Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
آنها بلندتر از آسمانهاست؛ تو کی هستی؟ و عمیقتر از هاویه؛ تو چه میدانی؟ (Sheol ) | 8 |
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol )
طول آنها از زمین درازتر است، و عرض آنها از دریا وسیعتر. | 9 |
Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
وقتی خدا کسی را میگیرد و محاکمه میکند، کیست که با او مخالفت کند؟ | 10 |
kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
زیرا او خوب میداند چه کسی گناهکار است و از شرارت انسان آگاه میباشد. | 11 |
Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
دانا شدن مرد نادان همانقدر غیرممکن است که خر وحشی انسان بزاید! | 12 |
Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
حال دل خود را پاک کن و دستهایت را به سوی خدا برافراز؛ | 13 |
Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
گناهانت را از خود دور کن و از بدی دست بردار؛ | 14 |
ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
آنگاه چهرهات از بیگناهی خواهد درخشید و با جرأت و اطمینان زندگی خواهی کرد. | 15 |
Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
تمام سختیهای خود را فراموش خواهی کرد و از آنها همچون آب رفته یاد خواهی نمود. | 16 |
Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
زندگی تو از آفتاب نیمروز درخشانتر خواهد شد و تیرگی زندگیت مانند صبح روشن خواهد گشت. | 17 |
Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
در زندگی امید و اطمینان خواهی داشت و خدا به تو آرامش و امنیت خواهد بخشید. | 18 |
Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
از دشمنان ترسی نخواهی داشت و بسیاری دست نیاز به سوی تو دراز خواهند کرد. | 19 |
Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
اما چشمان شریران تار خواهد شد و برای آنها راه فراری نخواهد بود و تنها امیدشان مرگ خواهد بود. | 20 |
Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.