< ارمیا 51 >
خداوند میفرماید: «من مرد ویرانگری را علیه بابِل برخواهم انگیخت تا آن را با ساکنانش نابود کند. | 1 |
Yahwe asema hivi: Tazama, ninakwenda kuleta upepo wa maangamizi dhidi ya Babeli na dhidi yao waishio ndani ya Leb Kamei.
بیگانگان را خواهم فرستاد تا بابِل را مانند خرمن بکوبند و ویران سازند و در آن روز بلا، از هر طرف آن را احاطه کنند. | 2 |
Nitawatuma Babeli wageni. Watamtawanya na wataifanya ukiwa nchi yake, maana watakuja kinyume chake kutoka pote siku ya madhara.
تیرهای دشمن، کمانداران بابِل را از پای در خواهد آورد و زرهٔ مردان جنگی او را خواهد شکافت؛ هیچیک از ایشان جان به در نخواهد برد؛ پیر و جوان، یکسان نابود خواهند شد. | 3 |
Msiwaache wapiga mishale wakapinda pinde zao; msiwache wakavaa silaha zao. Msiwahifadhi vijana wake wa kiume; litengeni jeshi lake lote kwa maangamizi.
جنازههای ایشان در تمام سرزمین دیده خواهند شد و مجروحینشان در کوچهها خواهند افتاد، | 4 |
Maana watu waliojeruhiwa wataanguka katika nchi ya Wakaldayo; waliouawa wataanguka katika mitaa yake.
چون سرزمین آنان غرق گناه است، گناه در حق من که خدای قدوس اسرائیل میباشم. اما من که خداوند لشکرهای آسمان هستم، مردم اسرائیل و یهودا را که در این سرزمین پر از گناه زندگی میکنند، فراموش نکردهام. | 5 |
Maana Israeli na Yuda hawajaachwa na Mungu wao, na Yahwe wa majeshi, japokuwa nchi yao imejaa na maasi yaliyotendwa kinyume cha Mmoja aliye Mtakatifu wa Israeli.
«از بابِل فرار کنید! جانتان را نجات دهید! مبادا زمانی که بابِل را به مکافات گناهانش میرسانم، شما نیز هلاک شوید. | 6 |
Kimbieni kutoka Babeli; kila mtu na ajiokoe mwenyewe. Msiangamie katika maasi yake. Maana ni wakati wa kisasi cha Yahwe. Atamlipa kwa yote.
بابِل در دست من مثل یک جام طلایی بود که تمام مردم جهان از آن شراب نوشیده، مست و دیوانه میشدند. | 7 |
Babeli alikuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yahwe kilichoinywesha nchi yote; mataifa walikunywa mvinyo wake wakawa wendawazimu.
ولی این جام طلایی، ناگهان افتاده، خواهد شکست! پس برایش گریه کنید؛ برای او دارو بیاورید، شاید شفا یابد! | 8 |
Babeli utaanguka ghafla na kuangamizwa. Mwombolezeeni! mpeni dawa kwa maumivu yake; pengine aweza kupona.
بیگانگانی که در بابِل ساکنند، میگویند:”ما خواستیم به او کمک کنیم، اما نتوانستیم. اکنون دیگر هیچ چیز نمیتواند نجاتش بدهد. پس او را به حال خودش بگذاریم و به وطنمان برگردیم، چون این خداست که او را مجازات میکند.“ | 9 |
Tulinuia kumponya Babeli, lakini hajaponywa, haya na tumwache twende, katika nchi yetu. Maana hatia yake imefika juu mbinguni; imerundikwa kufika mawinguni.
آنگاه قوم من نیز که در بابِل اسیرند، فریاد برآورده، خواهند گفت:”خداوند از ما حمایت کرده است؛ پس بیایید تمام کارهایی را که او در حق ما انجام داده، برای اهالی اورشلیم بیان کنیم.“» | 10 |
Yahwe ametamka kwamba sisi hatuna hatia. Njooni, teseme katika Sayuni matendo ya Yahwe Mungu wetu.'
خداوند پادشاهان ماد را برانگیخته است تا بر بابِل هجوم ببرند و آن را خراب کنند. این است انتقام خداوند از کسانی که به قوم او ظلم کردند و خانهاش را بیحرمت نمودند. پس تیرها را تیز کنید؛ سپرها را به دست گیرید! برای حمله به دیوارهای بابِل، علائم را بر پا نمایید؛ تعداد نگهبانان و کشیکچیان را اضافه کنید و کمین بگذارید! خداوند هر چه دربارهٔ بابِل گفته است، به انجام خواهد رسانید. | 11 |
Noweni mishale na kuchukua ngao. Yahwe anaiimiza roho ya mfalme wa Umedi katika mpango wa kuiangamiza Babeli. Hii ni kwa kisasi cha Yahwe, kisasi kwa maangamizi ya hekalu lake.
Inueni bendela juu ya kuta za Babeli; wekeni walinzi. Wekeni waangalizi; wekeni askari waviziao ili kumkamata kila akimbiliaye mjini, maana Yahwe atafanya kile alichokipanga. Atafanya alichokisema juu ya wakaao Babeli.
ای بندرگاه ثروتمند، ای مرکز بزرگ تجارت، دورهات به پایان رسیده و رشتهٔ عمرت پاره شده است! | 13 |
Enyi mwishio kati ya chemchemi nyingi za maji, ninyi mlio na wingi wa hazina, mwisho wenu umefika. upindo wa maisha yenu umepunguzwa.
خداوند لشکرهای آسمان به ذات خود قسم خورده و گفته است که سربازان دشمن، همچون دستههای ملخ که مزرعه را میپوشانند، شهرهای بابِل را پر خواهند ساخت و فریاد پیروزی ایشان به آسمان خواهد رسید. | 14 |
Yahwe wa majeshi ameapa kwa maisha yake, 'nitakujaza na adui zako, kama pigo la nzige; watainua kelele za vita juu yako.'
خدای ما با قدرت خود زمین را آفرید و با حکمتش جهان را بنیاد نهاد و با دانایی خود آسمانها را به وجود آورد. | 15 |
Ameifanya dunia kwa nguvu zake; akaiweka dunia mahali kwa hekima yake. Kwa ufahamu wake alizitanda mbingu.
به فرمان اوست که ابرها در آسمان میغرند؛ اوست که ابرها را از نقاط دور دست میآورد، برق ایجاد میکند، باران میفرستد، و باد را از خزانههای خود بیرون میآورد. | 16 |
Anapovuma, kunakuwa na mvumo wa maji mbinguni, maana huleta umande kutoka miisho ya dunia. Hufanya radi kwa ajili ya mvua na kuituma na kuutuma upepo kutoka katika maghala ya nyumba zake.
پس آنانی که در مقابل بتهایشان سجده میکنند، چقدر نادانند! سازندگان بتها شرمسار و رسوا خواهند شد، زیرا مجسمه را خدا مینامند، در حالی که نشانی از زندگی در آن نیست. | 17 |
Kila mtu anakuwa kama mnyama asiye na akili; kila mfua chuma ameaibishwa na sanamu zake. Maana mwonekano wake unadanganya; maana hakuna uzima ndani yake.
همهٔ این بتها، بیارزش و مسخرهاند! وقتی سازندگانشان از بین بروند، خودشان هم از میان خواهند رفت. | 18 |
Hazifai, kazi ya wafanya mzaa; wataangamizwa wakati wa kuadhibiwa kwao.
اما خدای یعقوب مثل این بتها نیست؛ او خالق همهٔ موجودات است و اسرائیل، قوم خاص او میباشد؛ نام او خداوند لشکرهای آسمان است. | 19 |
Lakini Mungu, urithi wa Yakobo, siyo kama hawa, maana yeye ndiye afanyaye vitu vyote. Israeli ni kabila ya urithi wake; Yahwe wa majeshi ni jina lake.
خداوند میفرماید: «ای بابِل، تو گرز من هستی. از تو برای در هم کوبیدن قومها و نابود کردن ممالک استفاده کردهام. | 20 |
Wewe ni nyundo ya vita yao, silaha ya vita yangu. Kwa wewe nitawaponda mataifa na kuharibu falme.
به دست تو لشکرها را تار و مار نمودهام و اسب و سوارش، ارابه و ارابهران را از بین بردهام. | 21 |
Kwa wewe nitaponda farasi na wawapandao; kwa wewe nitaponda vibandawazi na madereva wake.
بله، بهوسیلۀ تو مردم همهٔ سرزمینها را از مرد و زن، پیر و جوان، هلاک ساختهام، | 22 |
Kwa wewe nitawafutilia mbali mme na mke; kwa wewe nitafutilia mbali mzee na kijana. Kwa wewe nitafutilia mbali kijana wa kiume na wasichana bikra.
چوپانها و گلهها، کشاورزان و گاوهایشان را از بین بردهام و حاکمان و فرماندهان را نابود کردهام. | 23 |
Kwa wewe nitafutilia mbali wachungaji na makundi yao; kwa wewe nitawafutilia mbali wakulima na jozi zao za kulimia. kwa wewe nitawafutilia mbali watawala na maafsa.
ولی من، تو و مردمت را به خاطر تمام بدیهایی که به قوم من کردهاید، مجازات خواهم نمود.» این است فرمودۀ خداوند. | 24 |
Maana mbele yako nitamlipa Babeli na wote wakaao Ukaldayo kwa maovu yote waliyoyafanya huko Sayuni - hili ni tamko la Yahwe.
«ای بابِل، ای کوه مستحکم، ای ویران کنندهٔ جهان، اینک من دشمن توام! دستم را بر ضد تو بلند میکنم و تو را از آن بلندی فرود میآورم. از تو چیزی جز یک تپه خاکستر باقی نخواهم گذارد. | 25 |
Tazama, mimi ni kinyume chako, ewe mlima, wewe unayewaharibu watu wengine - hili ni tamko la Yahwe - kuiharibu dunia yote. Nitakupiga na mikono yangu na kuvingirisha chini kutoka ukingo wa kilima. Kisha nitakufanya mlima ulioteketezwa kabisa kwa moto.
تو برای همیشه ویران خواهی ماند، حتی سنگهایت نیز دیگر برای بنای ساختمان به کار نخواهد رفت.» این است فرمودۀ خداوند. | 26 |
Hivyo hawatachukua kwako jiwe lolote ili kujengea pembe ya nyumba au msingi; kwani utakuwa ukiwa wa milele - hili ni tamko la Yahwe.
«به قومها خبر دهید تا برای جنگ با بابِل بسیج شوند! شیپور جنگ بنوازید. به سپاهیان آرارات، مینی و اشکناز بگویید که حمله کنند. فرماندهانی تعیین کنید تا دستور حمله را بدهند. اسبان زیاد فراهم آورید! | 27 |
Inua bendela ya vita juu ya nchi. Piga tarumbeta katika mataifa. Yaite mataifa yamshambuliye: Ararati, Mini na Ashkenazi. Teua majemedari wa kumshambulia; leta farasi kama nzige warukao.
لشکریان پادشاهان ماد و فرماندهانشان و سپاهیان تمام کشورهایی را که زیر سلطهٔ آنها هستند، فرا خوانید!» | 28 |
Waandae mataifa kumshambulia: wafalme wa Umedi na magavana wao, maafsa wake wote na nchi yake yete.
بابِل میلرزد و از درد به خود میپیچد، چون نقشههایی که خداوند بر ضد او دارد، تغییر نمیپذیرند. بابِل ویران خواهد شد و کسی در آن باقی نخواهد ماند. | 29 |
Maana nchi itatikisika na kudhoofika, kwa kuwa mipango ya Yahwe inaendelea juu ya Babeli, kuifanya nchi ya Babeli kuwa nchi isiyofaa mahali pasipo na mtu.
سربازان شجاعش دیگر نمیجنگند، همه در استحکامات خود میمانند؛ زیرا جرأتشان را از دست دادهاند و همچون زنان، ضعیف شدهاند. نیروهای مهاجم، خانهها را سوزانده و دروازههای شهر را شکستهاند. | 30 |
Maaskari wameacha kupigana huko Babeli; wamekaa katika ngome zao. Nguvu zao zimeshindwa; wamekuwa wanawake - nyumba zake zipo motoni, makomeo ya malango yake yamevunjika.
قاصدان یکی پس از دیگری میشتابند تا به پادشاه بابِل خبر رسانند که همه چیز از دست رفته است! | 31 |
Mjumbe hukimbia ili amwambie mjumbe mwingine, na mtoa habari humwambia mtoa habari mwingine ili amwambie mfalme wa Babeli kwamba mji wake umetwaliwa kutoka mwisho hata mwisho.
تمام راهها بسته شدهاند، استحکامات و برج و باروها سوخته و سربازان به وحشت افتادهاند. | 32 |
Hivyo vivuko katika mito vimekamatwa; adui anaunguza mafunjo ya bwawa, na wapiganaji wa Babeli wamechanganyikiwa.
خداوند لشکرهای آسمان، خدای اسرائیل میفرماید: «بهزودی بابِل مثل گندم زیر پاهای خرمنکوبان، کوبیده خواهد شد.» | 33 |
Maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: Binti Babeli ni kama sakafu ya kupuria. Ni muda wa kumkanyaga. Ni kitambo kidogo wakati wa mavuno utakuja juu yake.
یهودیان بابِل میگویند: «نِبوکَدنِصَّر، پادشاه بابِل، ما را دریده و خرد کرده و همه چیزمان را نابود ساخته است؛ مثل اژدها ما را بلعیده و شکم خود را از ثروت ما پر کرده و ما را از سرزمینمان بیرون رانده است. ای کاش ظلم و ستمی که بر ما روا داشته، بر سر خودش بیاید! خدا انتقام خون ما را از او بگیرد!» | 34 |
Yerusalemu husema, 'Nebukadneza mfalme wa Babeli amenirarua. Amenikausha na amenifanya kuwa mtungi mtupu. Amenimeza kama joka. Alijishibisha kwa chakula changu chema. Amenitupa mbali.'
Wenyeji wa Sayuni watasema, 'Gasia nilizofanyiwa na mwili wangu na ziwe kwa Babeli.' Yerusalem atasema, Damu yangu na iwe juu ya wakaao Ukaldayo.'
خداوند جواب میدهد: «من به دعوی شما رسیدگی خواهم کرد و انتقامتان را خواهم گرفت. من رودخانهها و چشمههای بابِل را خشک خواهم کرد. | 36 |
Kwa hiyo Yahwe asema hivi: Tazama, nikotayari kulitetea shitaka lako na kuleta kisasi kwa ajili yako. Maana nitayakausha maji ya Babeli na kufanya vyanzo vyake kukauka.
این سرزمین به ویرانهای تبدیل خواهد شد و حیوانات وحشی در آن زندگی خواهند کرد؛ هر که بر آن نظر اندازد، به وحشت خواهد افتاد و کسی در آن ساکن نخواهد شد. | 37 |
Babeli utakuwa rundo la magofu, pango la mbwea, sehemu itishayo, kitu cha kutoa sauti ya nyoka, pasipo na watu.
بابِلیها همگی مانند شیرها خواهند غرید، و همچون شیربچگان نعره خواهند زد. | 38 |
Wababeli wataunguruma kwa pamoja kama wanasimba. Watanguruma kama watoto wa simba.
و وقتی همه مست شراب شدند، آنگاه بزم دیگری برایشان تدارک خواهم دید و چنان مستشان خواهم کرد تا به خواب ابدی فرو روند و هرگز از آن بیدار نشوند. | 39 |
wanapopashwa moto kwa hasira, nitawafanyia sherehe; nitawalewesha hata wafurahi, na kisha kulala usingizi usio na mwisho hata wasiamke - hili ni tamko la Yahwe -
ایشان را مثل بره و قوچ و بز به کشتارگاه خواهم کشاند. | 40 |
nitawapeleka chini kama wanakondoo kwa mchinjaji, kama kondoo dume pamoja na mbuzi majike.
«ببینید بابِل چگونه سقوط کرده، آن بابِل بزرگ که مورد ستایش تمام دنیا بود! همۀ قومهای جهان از دیدن آن به وحشت خواهند افتاد! | 41 |
Jinsi Babeli ulivyotekwa! Hivyo fahari ya dunia yote imekamatwa. Jinsi Babeli ulivyofanyika sehemu yenye magofu kati ya mataifa.
دریا بر بابِل طغیان کرده، امواجش آن را خواهد پوشانید. | 42 |
Bahari imekuja juu ya Babeli! Amefunikwa na mawimbi yavumayo.
شهرهایش ویران گشته، تمام سرزمینش به بیابانی خشک تبدیل خواهد شد. هیچکس در آنجا زندگی نخواهد کرد و مسافری نیز از آن عبور نخواهد نمود، | 43 |
Miji yake imekuwa ukiwa, sehemu kame na nyika, nchi isiyo na watu, na hakuna mtu apitaye hapo.
دیوارهای بابِل فرو خواهد ریخت. من بل، خدای بابِل را مجازات خواهم کرد و آنچه بلعیده است، از دهانش بیرون خواهم آورد و قومها دیگر برای پرستش آن نخواهند آمد. | 44 |
Hivyo nitamwadhibu Beli huko Babeli; nitakitoa kinywani mwake alichokimeza, na mataifa hawatamminikia tena pamoja na wazao wao. Kuta za Babeli zitaanguka.
«ای قوم من، از بابِل فرار کنید. خود را از خشم من نجات دهید. | 45 |
Tokeni kati yake, enyi watu wangu. Kila mmoja wenu aokowe maisha yake kutoka katika hasira ya gadhabu yangu.
وقتی شایعهٔ نزدیک شدن نیروهای دشمن را شنیدید، مضطرب نشوید. این شایعات در تمام این سالها شنیده خواهد شد. سپس ظلم و ستم بر سرزمین حکمفرما شده، بابِل درگیر جنگ داخلی خواهد گشت. | 46 |
Msiache mioyo yenu ikaogopa au kuhofu habari iliyosikiwa nchini, maana habari itakuja siku moja. Baada yake mwaka unaofuata kutakuwa na habari, na ghasia zitakuwa nchini. Mtawala atakuwa kinyume cha mtawala.
آنگاه زمانی فرا خواهد رسید که من بابِل را با تمام بتهایش مجازات خواهم کرد و کوچههایش از جنازهها پر خواهند شد. | 47 |
Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja nitakapoadhibu sanamu za Babeli. Nchi yake yote itaaibika, na wote waliochinjwa wataanguka ndani yake.
آسمان و زمین شادی خواهند نمود، چون از شمال، لشکریان ویرانگر به جنگ بابِل خواهند آمد. | 48 |
Kisha mbingu na nchi, na vyote vilivyomo ndani yake vitafurahi juu ya Babeli. Maana mwalibifu atamwijia kutoka kaskazini - hili ni tamko la Yahwe.
همانطور که بابِل باعث هلاکت بسیاری از قوم اسرائیل شد، خود نیز به همانگونه نابود خواهد گشت. | 49 |
“Kama Babeli alivyowafanya waliouawa wa Israeli kuanguka, hivyo waliouawa katika nchi yake wataanguka katika Babeli.
حال، ای شما که از خطر شمشیر، جان به در بردهاید، بروید! درنگ نکنید! هر چند که دور از وطن هستید و به اورشلیم میاندیشید، خداوند را به یاد آرید! | 50 |
Ondokeni!, manusura wa vita, Msikawiye. Mkumbukeni Yahwe tokea mbali; Yerusalemu na ikumbukwe.
«شما میگویید:”ما رسوا شدهایم، چون بابِلیهای بیگانه، خانهٔ خداوند را بیحرمت ساختهاند.“ | 51 |
Tumeaibika, maana tumesikia matusi; dhihaka imefunika nyuso zetu, maana wageni wameingia mahali patakatifu pa nyumba ya Yahwe.
ولی بدانید که زمان نابودی بتهای بابِل هم فرا خواهد رسید. در سراسر این سرزمین نالهٔ مجروحین شنیده خواهد شد. | 52 |
Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja - hivi ndivyo asemavyo Yahwe - nitakapoziadhibu sanamu zake, na waliojeruhiwa watanung'unika kwa maumivu katika nchi yake yote.
حتی اگر بابِل میتوانست خود را تا به آسمان برافرازد و برج محکمی در آنجا بسازد، باز من غارتگران را به سراغ او میفرستادم تا نابودش کنند. من، خداوند، این را میگویم. | 53 |
Maana hata kama Babeli angepanda mbinguni au kujenga ngome zake ndefu, aharibuye kutoka kwangu angemwendea - hili ni tamko la Yahwe.
«گوش کنید! از بابِل صدای گریه به گوش میرسد، صدای نابودی عظیم! | 54 |
Kelele ya maangamizi ilitoka Babeli, anguko kubwa kutoka nchi ya Wakaldayo.
زیرا من در حال ویران کردن بابِل هستم و صدای بلند آن را خاموش میکنم. لشکریان دشمن مانند خروش امواج دریا بر او هجوم میآورند | 55 |
Maana Yahwe anaiharibu Babeli. Anaifanya kelele ya sauti yake kuisha. Adui zake wanaunguruma kama mawimbi ya maji mengi; kelele yao imekuwa na nguvu.
تا غارتش نمایند و سربازانش را کشته، سلاحهایشان را بشکنند. من خدایی هستم که مجازات میکنم، بنابراین، بابِل را به سزای اعمالش خواهم رساند. | 56 |
Maana aharibuye amekuja kinyume chake - kinyume cha Babeli! - na shujaa wake wametekwa. Pinde zao zimevunjwa, maana Yahwe ni Mungu wa kisasi; atatekeleza kisasi hiki.
بزرگان، حکیمان، رهبران، فرماندهان و مردان جنگی او را مست خواهم ساخت تا به خواب ابدی فرو رفته، دیگر هرگز بیدار نشوند! این است کلام من که پادشاه جهان و خداوند لشکرهای آسمان هستم!» | 57 |
Maana nitawafanya wana wafalme wake, wenye hekima wake, maofsa wake, na maaskari wake kulewa, nao watalala usingizi kwa usingizi usioisha na bila kuamka - hili ni tamko la mfalme: Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
خداوند لشکرهای آسمان میفرماید: «دیوارهای پهن بابِل با خاک یکسان شده، دروازههای بلندش خواهند سوخت. معمارهای ممالک گوناگون بیهوده زحمت کشیدهاند، چون ثمر کارشان با آتش از بین خواهد رفت.» | 58 |
Yahwe wa majeshi asema hivi: Ukuta mnene wa Babeli utaangushwa kabisa, na malango marefu yataunguzwa. Kisha watu wanaokuja kumsaidia watafanya kazi isiyofaa; kila mataifa wanachojaribu kikifanya kwa ajili yake kitateketezwa kwa moto.”
در سال چهارم سلطنت صدقیا، پادشاه یهودا، این پیغام بر من نازل شد تا آن را به سرایا (پسر نیریا، نوهٔ محسیا) برسانم. سرایا، ملتزم صدقیا بود و قرار بود همراه او به بابِل برود. | 59 |
Hili ndilo neno Yeremia nabii alilomwamru Seraya mwana wa Neria mwana wa Makseya alipokwenda na Sedekia mfalme wa Yuda huko Babeli katika mwaka wa nne wa kutawala kwake. Basi Seraya alikuwa afsa mwandamizi.
تمام بلایایی را که خدا دربارهٔ بابِل فرموده بود، یعنی تمام مطالبی را که در بالا ذکر شده است، روی طوماری نوشتم، | 60 |
Maana Yeremia alikuwa ameandika katika gombo kuhusu madhara yote yeliyokuwa yakienda kutendeka juu ya Babeli - maneno haya yote yaliyokuwa yameandikwa juu ya Babeli
و آن را به سرایا داده، گفتم: «وقتی به بابِل رسیدی، هر چه نوشتهام بخوان و سپس چنین بگو:”ای خداوند، تو فرمودهای بابِل را چنان خراب خواهی کرد که هیچ موجود زندهای در آن یافت نشود و تا ابد ویران بماند.“ | 61 |
Yeremia akamwambia Seraya, “Unapokwenda Babeli, hakikisha unayasoma maneno haya yote.
Nawe utasema, 'Yahwe, wewe! - wewe mwenyewe umesema kwamba utapaharibu mahali hapa. Hapatakuwa na wa kukaa, kwamba ni watu au wanyama. Patakuwa nchi isiyofaa daima.'
بعد از خواندن طومار، سنگی به آن ببند و آن را در رود فرات بینداز، | 63 |
Kisha mtakapomaliza kusoma gombo hili, funga jiwe kubwa juu yake na ulitupe katikati ya Frati.
و بگو:”بابِل نیز به همین شکل غرق خواهد شد و به سبب بلایی که بر سرش خواهد آمد، دیگر هرگز سر بلند نخواهد کرد.“» (پیغامهای ارمیا در اینجا پایان میپذیرد.) | 64 |
Sema, 'Babeli utazama kama hivi. Hautainuka kwa sababu ya mabaya ninayoyapeleka juu yake, nao wataanguka.” Maneno ya Yeremia yanaishia hapa.