< ارمیا 30 >
پیام دیگری از جانب خداوند بر اِرمیا نازل شد: | 1 |
Neno lilokuja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe likisema,
«یهوه خدای اسرائیل چنین میگوید: هر آنچه به تو گفتهام در طوماری بنویس، | 2 |
“Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema, 'Jiandikie mwenyewe katika baraua maneno yote niliyotangaza kwako katika barua.
چون زمانی فرا خواهد رسید که بر قوم خود اسرائیل و یهودا نظر لطف خواهم انداخت و ایشان را به این سرزمین که به پدرانشان دادهام باز خواهم آورد تا دوباره مالک آن شوند و در آن زندگی کنند.» | 3 |
Maana ona, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapowarudisha mateka wa watu wangu Israeli na Yuda. Mimi, Yahwe, nimesema hili. Kwa maana nitawarudisha kwenye nchi ambayo niliwapa babu zao, na wataimiliki.”'
پس خداوند دربارهٔ اسرائیل و یهودا چنین فرمود: | 4 |
Haya ni maneno ambayo Yahwe anatangaza kuhusu Israeli na Yuda,
«فریاد وحشت به گوش میرسد؛ ترس بر همه جا حکمفرماست و آرامشی نیست! | 5 |
“Kwa maana Yahwe anasema hivi, 'Tumesikia sauti ya kutetemesha ya hofu na wala siyo ya amani.
آیا مرد، آبستن میشود؟ پس چرا مردان مانند زنانی که میزایند، دستهای خود را بر کمر گذاشتهاند و رنگشان پریده است؟ | 6 |
Ulizeni na muone kama mwanaume anamwogopa mtoto. Mbona ninamwona kila mwanaume kijana ameshika mikono yake juu ya kiuno chake kama mwanamke anayejifungua mtoto? Kwa nini nyuso zao wote zimegeuka rangi?
روز هولناکی در پیش است! نظیر آن تا به حال دیده نشده است؛ آن روز، زمان سختی قوم من است، ولی از آن نجات خواهند یافت. | 7 |
Ole! Kwa maana siku hiyo itakuwa kuu, isiyofanana na yoyote. Utakuwa wakati wa huzuni kwa Yakobo, lakini ataokolewa.
«خداوند لشکرهای آسمان میفرماید: در آن روز، یوغ بندگی را از گردنشان برداشته، خواهم شکست، زنجیرها را از دست و پایشان باز خواهم کرد و دیگر بیگانگان را بندگی نخواهند نمود، | 8 |
Kwa maana itakuwa katika siku hiyo—hili ni tangazo la Yahwe wa majeshi—kwamba nitaivunja nira ya shingo zenu, na nitaisambaza minyororo yenu, kwa hiyo wageni hawatawafanya watumwa tena.
بلکه ایشان یهوه، خدای خود و داوود، پادشاه خویش را که بر آنها میگمارم، خدمت خواهند کرد. | 9 |
Bali watamwabudu Yahwe Mungu wao na kumtumikia Daudi mfalme wao, ambaye nitamfanya mfalme juu yao.
«پس ای فرزندان بندهٔ من یعقوب، نترسید! ای اسرائیل، هراس به خود راه ندهید! من شما و فرزندانتان را از نقاط دور دست و از سرزمین تبعید به وطنتان باز خواهم گرداند و در آنجا، در امنیت و آسایش زندگی خواهید کرد و دیگر کسی باعث ترس شما نخواهد شد. | 10 |
Kwa hiyo wewe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope—hili ni tangazo la Yahwe—na usikate tamaa, Israeli. Maana ona, niko karibu kukurudisha kutoka mbali, na uzao wako kutoka nchi ya utumwa, Yakobo atarudi na kuwa katika amani; ataokolewa, na hapatakuwa na hofu zaidi.
من با شما هستم و نجاتتان خواهم داد؛ حتی اگر قومهایی را که شما را در میانشان پراکنده کردم، به کلی تارومار کنم، شما را از بین نخواهم برد؛ البته شما را بیتنبیه نخواهم گذاشت، اما تنبیه شما منصفانه و عادلانه خواهد بود.» | 11 |
Kwa maana niko pamoja nawe—hili ni tangazo la Yahwe—ili kukuokoa. Kisha nitaleta mwisho kamili kwa mataifa yote ambako nimewatawanya. Bali sitaweka mwisho kwako, ingawa ninakuadhibu kwa haki na kwa hakika sitakuacha bila kukuadhibu.'
این است آنچه خداوند میفرماید: «ای قوم من، گناه تو مانند زخمی است علاجناپذیر! | 12 |
Kwa maana Yahwe anasema hivi, 'Jeraha lako si la kupona; kidonda chako kimeenea.
کسی نیست که تو را یاری دهد یا زخمهایت را ببندد؛ دارو و درمان هم دیگر فایده ندارد. | 13 |
Hakuna mtu wa kukutetea kesi yako; hakuna utetezi kwa ajili ya kidonda chako ili upone.
تمام دلباختگانت تو را ترک کردهاند و حتی حالت را نیز نمیپرسند. تو را بیرحمانه زخمی کردهام گویی دشمنت بودهام؛ تو را سخت تنبیه کردهام، چون گناهانت بسیار و شرارتت بزرگ است! | 14 |
Wapenzi wako wote wamekusahau. Hawatakuangalia, kwa maana nimekujeruhi kwa jeraha la adui na nidhimu ya bwana mkatili kwa sababu ya uovu wako mwingi na dhambi zako zisizohesabika.
«چرا به مجازاتت اعتراض داری؟ درد تو، درمانی ندارد! تو را این گونه سخت مجازات کردهام، چون گناهانت بسیار و شرارتت بزرگ است! | 15 |
Kwa nini unaita msaada kwa ajili ya jeraha lako? Maumivu yako hayaponyeki. kwa sambabu ya uovu wako mwingi, dhambi zako zisizohesabika, nimefanya mambo haya kwako.
«ولی در آن روز، تمام کسانی که تو را میدرند، دریده خواهند شد. تمام دشمنانت به اسارت خواهند رفت. کسانی که تو را غارت میکنند، غارت خواهند شد، و کسانی که به تو ظلم میکنند، مورد ظلم قرار خواهند گرفت. | 16 |
Kila mtu akulaye ataliwa, na adui zako wote wataenda utumwani. Kwa maana kila aliyekuteka nyara atatekwa, na nitawafanya wote wanaokuwinda kuwa mawindo.
سلامتی و تندرستی را به تو باز خواهم گرداند و زخمهایت را شفا خواهم داد، هر چند که اکنون تو را”فراموش شده“و اورشلیم را”شهر متروک“مینامند. | 17 |
Kwa maana nitaleta uponyaji juu yako; nitakuponya majeraha yako—hili ni tangazo la Yahwe—nitafanya hivyo kwa sababu walikuita: Mwenyekutupwa. Hakuna anayeujali Sayuni.”
«من، خداوند، قوم خود را به سرزمینشان باز خواهم گرداند و خانوادههای ایشان را مورد لطف خود قرار خواهم داد. شهر اورشلیم بر روی خرابههایش باز بنا خواهد شد، قصر پادشاهی آن بازسازی شده، مانند گذشته خواهد گشت | 18 |
Yahwe anasema hivi, “Ona, niko karibu kuwarudisha mateka wa hema za Yakobo na kuwa na huruma juu ya nyumba zake. Kisha mji utajengwa juu ya lundo la magofu, na jumba litakuwepo tena kama ilivyokuwa kawaida.
و شهرها غرق خوشی و شکرگزاری خواهند شد. من ایشان را برکت خواهم داد تا افزوده شوند و قومی سربلند و محترم باشند. | 19 |
Kisha wimbo wa kusifu na sauti ya ya shangwe itasikika kutoka kwao, kwa maana nitawaongeza na wala sitawapunguza; nitawaheshimu ili kwamba wasifanywe wanyonge.
کامیابی دوران گذشته را به ایشان باز خواهم گرداند و آنها را استوار و پایدار خواهم ساخت؛ و هر که را به ایشان ستم کند، مجازات خواهم نمود. | 20 |
Kisha watu watakuwa kama ilivyokuwa mwanzo, na kusanyiko lao litaanzishwa mbele yangu wakati nitakapowaadhibu wote wanaowatesa kwa sasa.
حاکم ایشان دیگر از بیگانگان نخواهد بود بلکه از میان قوم خودشان برخواهد خاست. من او را خواهم خواند تا کاهن عبادتگاه من باشد و به نزد من آید، زیرا چه کسی جرأت دارد بدون آنکه او را خوانده باشم، نزد من آید؟ | 21 |
Kiongozi wao atatoka miongoni mwao. Atatokeza kutoka kati yao nitakapomleta karibu na atakapanikaribia mimi. kama sitafanya hivyo, ni nani atakayethubutu kunisogelea? —hili ni tangazo la Yahwe.
آنگاه ایشان قوم من خواهند بود و من خدای ایشان!» | 22 |
Kisha mtakuwa watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu.
گردباد ویران کنندهٔ غضب خداوند ناگهان میخروشد و بر سر بدکاران نازل میشود. | 23 |
Ona, tufani ya Yahwe, ghadhabu yake, imekwenda nje. Ni tufani isiyokoma. Itazunguka juu ya vichwa vya watu waovu.
غضب شدید خداوند فرو نخواهد نشست تا مقصود او را به طور کامل به انجام رساند! در روزهای آینده این را خواهید فهمید. | 24 |
Hasira ya Yahwe haitarudi mpaka itoke na kutimiza makusudi ya moyo wake. Katika siku za mwisho mtalielewa hili.”