< اشعیا 48 >
ای قوم اسرائیل، ای کسانی که از نسل یهودا هستید، گوش کنید: شما به نام خداوند قسم میخورید و ادعا میکنید که خدای اسرائیل را میپرستید، اما این کار را از روی صداقت و راستی انجام نمیدهید. | 1 |
Sikiliza hili, nyumba ya Jakobo, mlioitwa kwa jina la Israeli, na mmetoka katika mbegu ya Yuda; yeye akirie kwa jina la Yahwe na kumuhusisha Mungu wa Israeli, lakini sio kweli wala kwa namna ya haki.
با وجود این، افتخار میکنید که در شهر مقدّس زندگی میکنید و بر خدای اسرائیل که نامش خداوند لشکرهای آسمان است توکل دارید. | 2 |
Maana wanajiita wenyewewatu wa mji mtakatifu na kumuamini Mungu wa Israeli; Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
خداوند میگوید: «آنچه را که میبایست رخ دهد، از مدتها پیش به شما اطلاع دادم؛ سپس بهناگاه آنها را به عمل آوردم. | 3 |
''Nimetangaza vitu kutoka siku nyingi; Wamekuja nje kutoka mdomoni mwangu, na nimewafanya wajulikane; halafu gafla nimewafanyia, na yakatimia.
میدانستم که دلهایتان همچون سنگ و سرهایتان مانند آهن سخت است. | 4 |
Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mkaiidi, misuli ya shingo yako ni kama ya chuma, na paji la uso ni kama shaba,
این بود که آنچه میخواستم برای شما انجام دهم از مدتها پیش به شما خبر دادم تا نگویید که بتهایتان آنها را بجا آوردهاند. | 5 |
Hivyo basi nilitangaza vitu hivi kabla havijatokeo hivyo, nilikujulisha wewe, 'Sanamu yangu imefanya haya au sanamu yangu ya kuchonga na sanamu yangu ya kuyeyusha, yamekwishisha vitu.
«پیشگوییهای مرا شنیدهاید و وقوع آنها را دیدهاید، اما نمیخواهید اعتراف کنید که پیشگوییهای من درست بوده است. اکنون چیزهای تازهای میگویم که تا به حال از وجود آنها بیاطلاع بودهاید. | 6 |
Umesikia kuhusu mambo haya; angalia ushahidi wote; na wewe, Je hautakubali kwamba ninacho kisema ni cha kweli? Kuanzia sasa na kuendelea Nitawaonyesha vitu vipya, mambo yaliyofichika ambayo hamkuyajua.
و چیزهایی را به وجود میآورم که پیش از این نبوده است و دربارهٔ آنها چیزی نشنیدهاید، تا دیگر نگویید:”این چیزها را میدانستیم!“ | 7 |
Sasa, na sio yaliyopita, yamekuwa sasa, na kabla ya leo hamkusikia kuhusu wao, hivyo hautaweza kusema, 'Ndio, nilijua kuhusu wao.'
«بله، چیزهای کاملاً تازه به شما میگویم، چیزهایی که هرگز نشنیدهاید، چون میدانم اشخاص خیانتکاری هستید و از طفولیت همیشه یاغی بودهاید. | 8 |
Haukusikia; haukuelewa; haya mambo hayakufuniliwa katika masikio kabla ya. Maana nilijua kwamba umekuwa mdanganyifu, na kwamba umekuwa muasi kutoka kuzaliwa.
با وجود این، به خاطر حرمت نامم، خشم خود را فرو برده، شما را از بین نخواهم برد. | 9 |
Kwa niaba ya jina langu nitahairisha asira yangu, na kwa heshima yangu nitajizuia kutokumuharibu yeye.
شما را تصفیۀ کردم، اما نه مانند نقره؛ شما را در کورۀ مصیبت تصفیه کردم. | 10 |
Tazama, Mimi niliwaandaa ninyi, lakini sio kama fedha; Nimekusafisha wewe katika tanuru la mateso.
بله، به خاطر خودم شما را از بین نخواهم برد مبادا اقوام بتپرست بگویند که بتهایشان مرا مغلوب کردند. من به بتهای آنها اجازه نمیدهم در جلال من شریک شوند. | 11 |
Kwa niaba yangu, kwa niaba yangu nitafanya; maana ni kwa jinsi gani niruhusu jina langu lisiheshimike? Sitampa utukufu wangu mtu yeyote.
«ای اسرائیل، ای قوم برگزیدهٔ من، گوش کنید! تنها من خدا هستم. من اول و آخر هستم. | 12 |
Nisikilize mimi, Yakobo, na Israeli niliyekuita: Mimi ndiye; Mimi ni wa kwanza, na pia wa mwisho.
دستهای من بود که زمین را بنیاد نهاد و آسمانها را گسترانید. آنها گوش به فرمان من هستند. | 13 |
Ndio, mkono wangu umeweka msingi wa nchi, na mkono wangu wa kuume ulizitawanya mbingu, zimesimama juu kwa pamoja.
«همهٔ شما بیایید و بشنوید. هیچکدام از خدایان شما قادر نیست پیشگویی کند که مردی را که من برگزیدهام حکومت بابِل را سرنگون خواهد کرد و آنچه اراده کردهام بجا خواهد آورد. | 14 |
Jikusanyeni wenyewe, nyinyi nyote, na sikilizeni; ni nani miongoni mwenu atangazaye mambo haya? Yahwe atakamilisha lengo lake dhidi ya Babeli. Atachukua mapenzi ya Yahwe dhidi ya wa Wakaldayo.
اما من این را پیشگویی میکنم. بله، من کوروش را خواندهام و به او این مأموریت را دادهام و او را کامیاب خواهم ساخت. | 15 |
Mimi, nimezungumza, ndio, nimemchagua yeye, nimemleta yeye, na yeye atafanikiwa.
«به من نزدیک شوید و گوش دهید. من همیشه آشکارا گفتهام که در آینده چه رخ خواهد داد تا شما بتوانید آن را بفهمید.» (اکنون خداوند یهوه مرا با روح خود نزد شما فرستاده است.) | 16 |
Sogea karibu na mimi, sikiliza hili; kutoka mwanzo sikuzungumza katika siri; lakini ilipotokea, Mimi niko hapa; na sasa Bwana Mungu amenituma mimi, na Roho wake.''
خداوند که نجاتدهندۀ قوم اسرائیل و خدای قدوس ایشان است چنین میگوید: «ای اسرائیل، من یهوه، خدای تو هستم، که آنچه برای تو نیکوست، آن را به تو تعلیم میدهم و تو را به راههایی که باید بروی هدایت میکنم. | 17 |
Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, Mtakatifu wa Israeli anasema, ''Mimi ni Yahwe Mungu wenu, ninayewafundisha juu ya kufanikiwa, ninayewaonyesha njia mtakayoiptia.
«ای کاش به اوامر من گوش میدادید، آنگاه برکات مانند نهر برای شما جاری میشد و پیروزی مانند امواج دریا به شما میرسید. | 18 |
Ikiwa kama mtaheshimu amri zangu! Hivyo amani na maendeleo yatatiririka kama mto, na wokovu wenu ni kama mawimbi kwenye bahari.
نسل شما مانند شنهای ساحل دریا بیشمار میشدند و من نمیگذاشتم ایشان هلاک شوند.» | 19 |
Watoto wako watakuwa wengi kama mchanga, na watoto kutoka kwenye tombo zenu watakuwa wengi kama nafaka kwenye mchanga; majina yao hayataondolewa wala kufutwa mbele yangu.
ای قوم اسرائیل، از بابِل بیرون بیایید! از اسارت آزاد شوید! با صدای بلند سرود بخوانید و این پیام را به گوش تمام مردم جهان برسانید: «خداوند قوم اسرائیل را که خدمتگزاران او هستند، آزاد ساخته است!» | 20 |
Tokeni nje ya Babeli! wakimbieni Wakaldayo! kwa sauti ya kupiga kelele tangaza kwamba! hakikisha hili linajulikana, hakikisha hili linafika mpaka miisho ya nchi! sema 'Yahwe amemkomboa Yakobo mtumishi wake.
هنگامی که خداوند قوم خود را از بیابان خشک عبور داد ایشان تشنگی نکشیدند، زیرا او صخره را شکافت و از آن، آب جاری ساخت تا ایشان بنوشند. | 21 |
Hawakupatwa na kiu alipowaongoza katika jangwa, alifanya maji kutokea kwenye mwamba kwa ajili yao; aliugawa na kufungua mwamba, na maji yakatoka nje.
خداوند میفرماید: «شریران از سلامتی برخوردار نخواهند شد.» | 22 |
Hakuna amani kwa watenda makosa- amesema Yahwe.''