< اشعیا 24 >

خداوند زمین را ویران و متروک خواهد کرد؛ پوسته‌اش را خراب کرده، ساکنانش را پراکنده خواهد ساخت. 1
Angalia Yahwe anakaribia kuifanya dunia kuwa utupu, kuhiharibu, kuharibu uso wake, na kuwatawanya wenyeji wake.
همه به یک سرنوشت دچار خواهند شد: کاهن و غیرکاهن، نوکر و ارباب، کنیز و خاتون، خریدار و فروشنده، قرض دهنده و قرض گیرنده، برنده و بازنده. 2
Itakuwa kama ilivyo kwa watu itakuwa hivyo hivyo kwa kuhani; na kwa watumishi na kwa bwana wake, na kwa mfanyakazi wa ndani itakuwa hivyo na kwa tajiri yake, ndivyo itakavyokuwa kwa anayeuza na anayenunua; ndivyo itakavyokwa kwa wenye kupata faida na wenye madeni, na wale wennye kupokea faida itakuwa hivyo hivyo kwa wale wenye kutoa faida.
زمین به کلی خالی و غارت خواهد شد. این را خداوند فرموده است. 3
Dunia itaharibiwa kabisa na kufanjwa ukiwa; maana Yahwe amenena maneno hayo. Dunia imekauka kabisa na kunyauka,
زمین خشک و پژمرده می‌شود و بلندیهای آن پست می‌گردد. 4
Dunia inazimia n kudhohofika. Watu maarufu wa duniani watapotezwa.
مردم روی زمین از احکام و اوامر خدا سرپیچی کرده، عهد جاودانی او را شکسته‌اند؛ 5
Dunia inavutwa na watu wakao ndani yake kwa sababu wamepindisha sheria, wameibadili amri na wamevunja agano la milele.
بنابراین جهان دچار لعنت شده است. ساکنان آن تاوان گناهان خود را پس می‌دهند. زمین سوخته و عدۀ کمی از مردم باقی مانده‌اند. 6
Hivyo basi laana inaitafuna nchi, na wenyeji wake wamekutwa na makosa. Wakaao duniani wanateketea, na watu wachache wameachwa.
محصول انگور کم شده و شراب نایاب گردیده است. آنانی که شاد بودند اکنون غمگینند. 7
Divai mpya imekauka, mizabibu imenyauka, na mioyo yote iliyochangamka inaugua.
دیگر نوای دلنشین دف و چنگ شنیده نمی‌شود. آن روزهای خوش به سر آمده است. 8
Sauti ya furha ya kigoma inasimama, na kelele za wenye furaha zimekwisha, na furaha ya kinubi imesitishwa.
دیگر بزم می و مطرب وجود ندارد و شراب به کام نوشندگانش تلخ است. 9
Hawatakunjwa mvinyo tena na kuimba, bia chungu kwa wale wanokunywa.
در شهر هرج و مرج است و مردم درِ خانهٔ خود را محکم می‌بندند تا کسی وارد نشود. 10
Mji uliochafuka umeangushwa chini; kila nyumba imefungwa na hakuna kitu.
در کوچه‌ها فریاد آنانی به گوش می‌رسد که به دنبال شراب می‌گردند. شادیها از بین رفته و خوشیها از روی زمین رخت بربسته است. 11
Kuna kilio mtaani kwa sababu ya mvinyo; furaha yote imetiwa giza, furaha ya nchi imetoweka.
شهر ویران گشته و دروازه‌هایش شکسته شده و از بین رفته‌اند. 12
Ndani ya mji kumebaki ukiwa, na lango limebolewa kwa uharibifu.
در تمام ممالک دنیا این اتفاق خواهد افتاد. دنیا مانند درخت زیتونی خواهد بود که تکانیده شده باشد، و یا خوشهٔ انگوری که میوه‌اش را چیده باشند. 13
Hivi ndivyo itakavyofanyika kwa dunia yote mwiongoni mwa mataifa, pale mti wa mzabibu utakapopigwa, na waokotapo zabibu baada mavuno yake kuwa tayari.
کسانی که باقی بمانند از شادی فریاد خواهند زد و آواز خواهند خواند. آنان که در غرب هستند بزرگی خداوند را خواهند ستود. 14
Watanyanyua saut zao na kupiga keleleYahwe mwenye enzi, na utapaza sauti kutoka kwenye bahari.
و آنانی که در شرق هستند او را سپاس خواهند گفت. ساکنان جزایر نیز یهوه خدای اسرائیل را پرستش خواهند کرد 15
Hivyo basi mashariki mtukuze Yahwe, na katika kisiwa cha bahari tukuzeni jina la Yahwe, Mungu wa Israeli.
و از سرزمینهای دور دست صدای مردم را خواهیم شنید که در وصف خدای عادل سرود می‌خوانند. اما افسوس! افسوس که بدکاران و خیانت‌پیشگان به شرارت خود ادامه می‌دهند. این مرا غمگین و ناامید می‌کند. 16
Kutoka umbali wa sehemu ya dunia tumesika nyimbo, ''Utukufu kwa watu wenye haki! Lakini nikasema, ''Nimepita mbali, Ole juu wangu! Wasaliti walshulika na wenye hila; ndio, wasaliti walishuhulika na wenye hila.''
ای مردم دنیا بدانید که ترس و گودال و دام در انتظار شماست. 17
Hofu, shimo, na mtego yako juu yako, wenyeji wa dunia.
اگر از ترس فرار کنید در گودال خواهید افتاد، و اگر از گودال بیرون بیایید در دام گرفتار خواهید شد. از آسمان به شدت باران خواهد بارید و اساس زمین تکان خواهد خورد. 18
Amekimbia maana sauti ya hofu itaanguka kwenye shimo, na anayekuja juu katikati ya shimo atanaswa na mtego. Madirisha ya mbinguni yatafunguliwa, na misingi ya dunia itatikisika.
زمین در هم خواهد شکست و خرد شده، از هم خواهد پاشید. 19
Dunia itangamizwa kabisa, dunia itapasukia mbali; dunia itatatikisika vikali.
زمین مانند مستی است که افتان و خیزان راه می‌رود و مثل خیمه‌ای است که در برابر طوفان تکان می‌خورد. دنیا زیر بار گناهش خم شده و یک روز خواهد افتاد و دیگر برنخواهد خاست. 20
Dunia itajikongoja kama mlevi na itachezacheza kurudi nyuma na mbele kama kibanda. Dhambi zao zitakuwa nzito juu yao na zitaanguka na hazitasimama tena.
در آن روز، خداوند نیروهایی را که در آسمان هستند و قدرتمندانی را که بر زمین حکومت می‌کنند مجازات خواهد کرد. 21
Itakuwa siku hiyo ambayo Yahwe ataliadhibu jeshi la aliye juu mahali pa juu, na falme za dunia katika dunia.
آنان مانند اسیرانی که در سیاهچال زندانی هستند نگه داری خواهند شد تا روز محاکمه فرا رسد. 22
Watakusanyika pamoja, wafungwa katika shimo, na watafungw gerezani; na baada ya siku nying watadhibiwa.
ماه تاریک خواهد شد و خورشید دیگر نور نخواهد داد، زیرا خداوند لشکرهای آسمان سلطنت خواهد کرد. او بر کوه صهیون جلوس فرموده، در اورشلیم حکومت خواهد کرد و رهبران دنیا شکوه و جلال او را خواهند دید. 23
Halafu Mwenzi utatiwa aibu na jua pia litatwa aibu, maana Yahwe wa majeshi atatawala katika mlima Sayuni na Yerusalemu, kabla ya wazee wake katika utukufu.

< اشعیا 24 >