< اشعیا 21 >
این پیام برای بابِل است: مهاجمی از سرزمین دهشت، مانند گردباد بیابانی، به سوی بابِل میآید. | 1 |
Tamko kuhusu jangwa pembezoni mwa bahari. Kama dhuruba yenye upepo inayotokea kupita Negevi kuelekea jangwani, kutoka kwenye aridhi ya kutisha.
رؤیای ترسناکی میبینم، رویای خیانت و نابودی! ای لشکر عیلام حمله کن! ای لشکر ماد محاصره کن! خدا به نالهٔ قومهایی که زیر دست بابِل هستند پایان میدهد. | 2 |
Nimepewa maono ya kusikitisha: Wasaliti wamepanga hila, na waharibifu kuharibu. Nenda juu na uvamie, Elamu; zingira Media; Mimi nitasimamisha maumivu yao yote.
با دیدن و شنیدن این چیزها مدهوش شدم و دردی چون درد زایمان همهٔ وجودم را فرا گرفت. | 3 |
Hivyo basi simba wangu wamejawa na maumivu; ni kama mwanamke anayejifungua kwa uchungu yamenipata mimi; Nimeina chini kwa kile nilichokisikia; nimesumbuliwa kwa kile nilichokiona.
میترسیدم و قلبم به شدت میتپید. آرزو میکردم هر چه زودتر شب فرا رسد، ولی آرامش شب نیز جای خود را به وحشت داده بود. | 4 |
Moyo wangu unajinga, nimetitishika kwa hofu. Mapema jioni, mda wangu mzuri kwa siku, imeniletea hofu.
در رؤیا دیدم فرشها پهن شده و سفره چیده شده است و عدهای مشغول خوردن و نوشیدنند. ناگهان فرمانی صادر میشود: «ای سرداران برخیزید و سپرهای خود را برای جنگ آماده سازید!» | 5 |
Wameandaa meza, wametawanya vitambaa, na wanakula na kunjwa; tokea, mkuu, pakeni ngao yenu kwa mafuta.
در این هنگام خداوند به من فرمود: «یک دیدبان تعیین کن تا هر چه را میبیند، خبر دهد. | 6 |
Hiili ndilo Bwana aliloniambia, ''Nenda, baada ya mlinzi; lazima atoe taarifa kwa kile atakacho kiona.
هنگامی که ببیند سواران جفتجفت بر الاغ و شتر میآیند باید دقت کند.» | 7 |
Kama ataona gari, jozi ya farasi, farasi juu ya punda na farasi juu ya ngamia, hivyo basi anatakiwa kuwa makini na kuwa macho.''
پس دیدبان را بالای حصار گذاشتم. یک روز او فریاد زد: «ای سرورم، روزها و شبها بر دیدبانگاه خود ایستاده دیدبانی کردهام. اینک فوج سواران را میبینم که جفتجفت میآیند!» در این هنگام، صدایی شنیدم که میگفت: «بابِل سقوط کرد! بابِل سقوط کرد! همهٔ بتهای بابِل خرد شدند و روی زمین افتادند!» | 8 |
Mlinzi analia nje, ''Bwana, ninasimama juu ya mnara siku zote, kila siku, na kwa nguzo yangu nitasimama usiku wote.''
Tazama gari linakuja na wakiwa wawili wawili. anaita, ''Babeli umeanguka, umeanguka, na sanamu za kuchonga za miungu yao zimevunjika chini.''
ای قوم من اسرائیل، ای قومی که مانند گندم کوبیده و غربال شدهاید، به این خبر خوشی که از جانب خداوند لشکرهای آسمان، خدای اسرائیل، به شما اعلام کردم، گوش دهید. | 10 |
Watu wangu niliwapururu na kuwapepeta, watoto niliyewatoa kwenye sakafu yangu mwenyeweNilichokisikia kutoka kwa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, Nimekutangazia wewe.
این پیام برای دومَه است: یک نفر از ادوم مرا صدا میزند: «ای دیدبان، از شب چه خبر؟ چقدر مانده شب تمام شود؟» | 11 |
Tamko kuhusu Duma. Mtu mmoja amenita mimi kutoka Seiri, ''Mlinzi, ni kitu gani kilichobakizwa usiku?
من جواب میدهم: «بهزودی روز داوری شما فرا میرسد. به سوی خدا بازگشت کنید تا من خبر خوشی به شما دهم. او را بطلبید و دوباره بیایید و بپرسید.» | 12 |
Mlinzi akasema, ''Asubuhi itafika na vilevile usiku. Ikiwa unataka kuuliza basi uliza; na urudi tena.''
این پیام برای عربستان است: ای مردم ددان که در بیابانهای عربستان اردو میزنید، | 13 |
Tamko kuhusu Arabia. Katika jangwa la Arabia mmeutumia usiku, enyi misafara ya Dedanite.
به تشنگانی که نزد شما میآیند آب دهید؛ ای مردم تیما به فراریان خوراک دهید. | 14 |
Leteni maji kwa wenye kiu; wenyeji wa nchi ya Tema, waoneni watuhumiwa kwa mikate.
اینها از شمشیر برهنه و کمان کشیده و از جنگِ سخت گریختهاند. | 15 |
Maana wameukimbia upanga, kutoka upanga unaotolewa, kutoka kwenye upinde ulopinda, na kutokana na uzito wa vita.
خداوند به من گفت: «درست پس از یک سال قدرت و شوکت قبیلهٔ قیدار از بین خواهد رفت | 16 |
Maana hili ndilo Bwana alichosema na mimi, ''Ndani ya mwaka mmoja, kama mtu aliyeajiriwa kwa mwaka ataona, utukufu wa Kedari utakwisha.
و از تیراندازان و جنگاوران این قبیله بیش از چند نفر باقی نخواهند ماند. من که یهوه خدای اسرائیل هستم این را میگویم.» | 17 |
Ni baadhi ya ya wavuta upinde, mashujaa wa Kader watabakia,'' maana Bwana, Mungu wa Israeli, amesema.