< اشعیا 21 >
این پیام برای بابِل است: مهاجمی از سرزمین دهشت، مانند گردباد بیابانی، به سوی بابِل میآید. | 1 |
Neno kuhusu Jangwa kando ya Bahari: Kama upepo wa kisulisuli unaopita katika nchi hadi kusini, mshambuliaji anakuja kutoka jangwani, kutoka nchi inayotisha.
رؤیای ترسناکی میبینم، رویای خیانت و نابودی! ای لشکر عیلام حمله کن! ای لشکر ماد محاصره کن! خدا به نالهٔ قومهایی که زیر دست بابِل هستند پایان میدهد. | 2 |
Nimeonyeshwa maono ya kutisha: Msaliti anasaliti, mteka nyara anateka nyara. Elamu, shambulia! Umedi, izunguke kwa jeshi! Nitakomesha huzuni zote alizosababisha.
با دیدن و شنیدن این چیزها مدهوش شدم و دردی چون درد زایمان همهٔ وجودم را فرا گرفت. | 3 |
Katika hili mwili wangu umeteswa na maumivu, maumivu makali ya ghafula yamenishika, kama yale ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa. Nimeduwazwa na lile ninalolisikia, nimeshangazwa na lile ninaloliona.
میترسیدم و قلبم به شدت میتپید. آرزو میکردم هر چه زودتر شب فرا رسد، ولی آرامش شب نیز جای خود را به وحشت داده بود. | 4 |
Moyo wangu unababaika, woga unanifanya nitetemeke, gizagiza la jioni nililolitamani sana, limekuwa hofu kuu kwangu.
در رؤیا دیدم فرشها پهن شده و سفره چیده شده است و عدهای مشغول خوردن و نوشیدنند. ناگهان فرمانی صادر میشود: «ای سرداران برخیزید و سپرهای خود را برای جنگ آماده سازید!» | 5 |
Wanaandaa meza, wanatandaza mazulia, wanakula, wanakunywa! Amkeni, enyi maafisa, zitieni ngao mafuta!
در این هنگام خداوند به من فرمود: «یک دیدبان تعیین کن تا هر چه را میبیند، خبر دهد. | 6 |
Hili ndilo Bwana analoniambia: “Nenda, weka mlinzi, na atoe taarifa ya kile anachokiona.
هنگامی که ببیند سواران جفتجفت بر الاغ و شتر میآیند باید دقت کند.» | 7 |
Anapoona magari ya vita pamoja na kundi la farasi, wapanda punda au wapanda ngamia, na awe macho, awe macho kikamilifu.”
پس دیدبان را بالای حصار گذاشتم. یک روز او فریاد زد: «ای سرورم، روزها و شبها بر دیدبانگاه خود ایستاده دیدبانی کردهام. اینک فوج سواران را میبینم که جفتجفت میآیند!» در این هنگام، صدایی شنیدم که میگفت: «بابِل سقوط کرد! بابِل سقوط کرد! همهٔ بتهای بابِل خرد شدند و روی زمین افتادند!» | 8 |
Naye mlinzi alipaza sauti, “Mchana baada ya mchana, bwana wangu, ninasimama katika mnara wa ulinzi, kila usiku ninakaa mahali pangu nilipoamriwa.
Tazama, yuaja mtu anayepanda gari la vita pamoja na kundi la farasi. Naye anajibu: ‘Babeli umeanguka, umeanguka! Vinyago vyote vya miungu yake vimelala chini vikiwa vimevunjwa!’”
ای قوم من اسرائیل، ای قومی که مانند گندم کوبیده و غربال شدهاید، به این خبر خوشی که از جانب خداوند لشکرهای آسمان، خدای اسرائیل، به شما اعلام کردم، گوش دهید. | 10 |
Ee watu wangu, mliopondwa kwenye sakafu ya kupuria, ninawaambia kile nilichokisikia kutoka kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote, kutoka kwa Mungu wa Israeli.
این پیام برای دومَه است: یک نفر از ادوم مرا صدا میزند: «ای دیدبان، از شب چه خبر؟ چقدر مانده شب تمام شود؟» | 11 |
Neno kuhusu Duma: Mtu fulani ananiita kutoka Seiri, “Mlinzi, usiku utaisha lini? Mlinzi, usiku utaisha lini?”
من جواب میدهم: «بهزودی روز داوری شما فرا میرسد. به سوی خدا بازگشت کنید تا من خبر خوشی به شما دهم. او را بطلبید و دوباره بیایید و بپرسید.» | 12 |
Mlinzi anajibu, “Asubuhi inakuja, lakini pia usiku. Kama ungeliuliza, basi uliza; bado na urudi tena.”
این پیام برای عربستان است: ای مردم ددان که در بیابانهای عربستان اردو میزنید، | 13 |
Neno kuhusu Arabia: Enyi misafara ya Wadedani, mnaopiga kambi katika vichaka vya Arabia,
به تشنگانی که نزد شما میآیند آب دهید؛ ای مردم تیما به فراریان خوراک دهید. | 14 |
leteni maji kwa wenye kiu, ninyi mnaoishi Tema, leteni chakula kwa ajili ya wakimbizi.
اینها از شمشیر برهنه و کمان کشیده و از جنگِ سخت گریختهاند. | 15 |
Wanaukimbia upanga, kutoka upanga uliochomolewa alani, kutoka upinde uliopindwa, na kutoka kwenye joto la vita.
خداوند به من گفت: «درست پس از یک سال قدرت و شوکت قبیلهٔ قیدار از بین خواهد رفت | 16 |
Hili ndilo Bwana analoniambia: “Katika muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno yote ya Kedari yatafikia mwisho.
و از تیراندازان و جنگاوران این قبیله بیش از چند نفر باقی نخواهند ماند. من که یهوه خدای اسرائیل هستم این را میگویم.» | 17 |
Wanaume wavutao pinde walionusurika, mashujaa wa Kedari, watakuwa wachache.” Bwana, Mungu wa Israeli, amesema.