< اشعیا 15 >

این است پیغام خدا برای سرزمین موآب: شهرهای عار و قیرِ موآب در یک شب ویران می‌شوند. 1
Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
در دیبون قوم عزادار موآب به بتخانه‌ها پناه می‌برند تا برای شهرهای نبو و میدبا گریه کنند. همهٔ مردم موی سر و ریش خود را تراشیده، 2
Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
لباس عزا پوشیده‌اند و در کوچه‌ها راه می‌روند. از هر خانه‌ای صدای شیون و زاری بلند است. 3
Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
صدای گریهٔ شهرهای حشبون و العاله تا یاهص نیز شنیده می‌شود. حتی جنگاوران موآب نیز ناله می‌کنند و از شدت ترس می‌لرزند. 4
Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
دلم برای موآب نالان است. مردم موآب به صوغر و عجلت شلشیا فرار می‌کنند؛ با گریه از گردنهٔ لوحیت بالا می‌روند؛ صدای نالهٔ ایشان در طول راه حورونایم به گوش می‌رسد. 5
Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
رودخانهٔ نمریم خشک شده است! علف سرسبز کنار رودخانه‌ها پلاسیده و نهالها از بین رفته‌اند. 6
Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
مردم اندوختهٔ خود را برمی‌دارند تا از راه درهٔ بیدها فرار کنند. 7
Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
شیون موآب در مرزهای آن طنین افکنده است و صدای زاری آن تا به اجلایم و بئرایلیم رسیده است. 8
Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
رودخانهٔ دیمون از خون سرخ شده است، ولی خدا باز هم اهالی دیمون را مجازات خواهد کرد. بازماندگان و فراریان موآب نیز جان به در نخواهند برد و طعمهٔ شیر خواهند شد. 9
Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.

< اشعیا 15 >