< پیدایش 48 >
پس از چندی به یوسف خبر دادند که پدرش سخت مریض است. پس دو پسرش منسی و افرایم را برداشته، به دیدن پدر خود رفت. | 1 |
Ikawa baada ya mambo haya, mmojawapo akamwambia Yusufu, “Tazama, baba yako ni mgonjwa.” Hivyo akaondoka pamoja na wanawe wawili, Manase na Efrahimu.
چون یعقوب خبر آمدن یوسف را شنید، نیروی خود را جمع کرده، در رختخواب نشست. | 2 |
Yakobo alipoambiwa, “Tazama, mwanao Yusufu amekuja kukuona,” Israeli akakusanya nguvu na kukaa juu ya kitanda.
او به یوسف گفت: «خدای قادر مطلق در ناحیه لوز کنعان به من ظاهر شد و مرا برکت داد. | 3 |
Yakobo akamwambia Yusufu, Mungu Mwenyezi alinitokea huko Luzu katika nchi ya Kanaani. Akanibariki na
او به من فرمود:”به تو فرزندان زیادی خواهم بخشید و از نسل تو قومهای بسیاری به وجود خواهم آورد و این سرزمین را به نسل تو خواهم داد تا مِلک دائمی ایشان باشد.“ | 4 |
kuniambia, 'Tazama, nitakupa uzao mwingi, na kukuzidisha. Nitakufanya kuwa kusanyiko la mataifa. Nitakupa nchi hii wewe na uzao wako kuwa milki ya milele.'
اکنون دو پسرت منسی و افرایم که قبل از آمدن من، در مصر به دنیا آمدهاند، مانند فرزندانم رئوبین و شمعون وارثان من خواهند بود. | 5 |
Na sasa wanao wawili, waliozaliwa kwako katika nchi ya Misri kabla sijaja Misri, ni wangu. Efrahimu na Manase watakuwa wangu, kama walivyo Rubeni na Simioni.
ولی فرزندانی که بعد از این برایت به دنیا بیایند متعلق به خودت بوده از سهم افرایم و منسی ارث خواهند برد. | 6 |
Watoto utakaowapata baada ya hapo ni wako; watahesabiwa katika majina ya ndugu zao katika urithi wao.
من این کار را به خاطر مادرت راحیل میکنم. پس از بیرون آمدنم از فَدّاناَرام او بین راه در نزدیکی افرات مُرد و من هم او را در آنجا، کنار راه افرات دفن کردم.» (افرات همان بیتلحم است.) | 7 |
Lakini kwangu mimi, nilipokuja kutoka Padani, kwa uzuni yangu Raheli alikufa njiani katika nchi ya Kanaani, wakati kungalipo kitambo kwenda Efrathi. Nilimzika pale katika njia iendayo Efrathi” (ndio, Bethlehemu).
وقتی یعقوب پسران یوسف را دید از او پرسید: «آیا اینها پسران تو هستند؟» | 8 |
Israeli alipowaona wana wa Yusufu, akasema, “Ni nani hawa?”
یوسف گفت: «بله، اینها پسران من هستند که خدا آنها را در مصر به من بخشیده است.» یعقوب گفت: «آنها را نزد من بیاور تا برکتشان بدهم.» | 9 |
Yusufu akamwambia baba yake, “Hawa ni wanangu, Mungu alionipa hapa:” Israeli akasema, “Walete kwangu, kwamba niwabariki.”
یعقوب بر اثر پیری چشمانش ضعیف و تار گشته بود و نمیتوانست خوب ببیند. پس یوسف پسرانش را نزد او آورد. او آنها را بوسید و در آغوش کشید. | 10 |
Basi macho ya Israeli yalikuwa yanashindwa kwa ajili ya umri wake, hivyo hakuweza kuona. Hivyo Yusufu akawasogeza karibu yake, na akawabusu na kuwakumbatia.
یعقوب به یوسف گفت: «هرگز فکر نمیکردم دوباره تو را ببینم ولی حال خدا اجازه داده حتی فرزندانت را نیز ببینم.» | 11 |
Israeli akamwambia Yusufu, “Sikutazamia kuuona uso wako tena, Lakini Mungu ameniruhusu kuwaona hata wanao.”
یوسف پسرانش را از روی زانوان یعقوب برداشت و در مقابل پدرش سر تعظیم فرود آورد. | 12 |
Yusufu akawaondoa kati ya magoti ya Israeli, na kisha akainama na uso wake juu ya nchi.
سپس افرایم را در طرف چپ و منسی را در طرف راست یعقوب قرار داد. | 13 |
Yusufu akawachukua wote wawili, Efrahimu katika mkono wake wa kulia kuelekea mkono wa kushoto wa Israeli, na Manase katika mkono wake wa kulia kuelekea mkono wa kulia wa Israeli, na akawasogeza kwake.
اما یعقوب دستهای خود را عمداً طوری دراز کرد و بر سر پسرها گذاشت که دست راست او بر سر افرایم، پسر کوچکتر، و دست چپ او بر سر منسی، پسر بزرگتر قرار گرفت. | 14 |
Israeli akainua mkono wake wa kulia na kuuweka juu ya kichwa cha Efrahimu, aliyekuwa mdogo, na mkono wake wa kushoto juu ya kichwa cha Manase. Akaipishanisha mikono yake, kwani Manase ndiye alikuwa mzaliwa wa kwanza.
آنگاه یوسف را چنین برکت داد: «خدایی که پدرانم ابراهیم و اسحاق در حضورش زندگی میکردند، این دو پسرت را برکت دهد. خدایی که مرا در تمام عمرم شبانی کرده، | 15 |
Israeli akambariki Yusufu, akisema, Mungu ambaye mbele zake baba zangu Ibrahimu na Isaka walitembea, Mungu aliyenilinda hata leo,
آن فرشتهای که مرا از هر بدی محفوظ داشته، آنها را برکت دهد. باشد که این دو پسر نام من و نام پدرانم ابراهیم و اسحاق را زنده نگاه دارند و از آنها قوم عظیمی به وجود آید.» | 16 |
malaika walionilinda na madhara yote, awabariki vijana hawa. Jina langu na litajwe kwao, na majina ya baba zangu Ibrahimu na Isaka. Na wawe makutano ya watu juu ya nchi.”
اما یوسف چون دست راست پدرش را روی سر افرایم دید ناراحت شد، پس دست راست او را گرفت تا آن را روی سر منسی بگذارد. | 17 |
Yusufu alipoona baba yake ameweka mkono wake wa kulia juu ya kichwa cha Efrahimu, haikumpendeza. Akauchukuwa mkono wa baba yake auweke katika kichwa cha Manase.
یوسف گفت: «پدر، تو دستهایت را به اشتباه روی سر پسرها گذاشتهای! پسر بزرگتر من این یکی است. دست راست خود را روی سر او بگذار.» | 18 |
Yusufu akamwambia baba yake, “Sivyo babangu; kwani huyu ndiye mzaliwa wa kwanza. Uweke mkono wako juu ya kichwa chake.”
اما پدرش نپذیرفت و گفت: «پسرم، من میدانم چه میکنم. از منسی هم یک قوم بزرگ به وجود خواهد آمد، ولی برادر کوچکتر او افرایم، بزرگتر خواهد بود و از نسل او قومهای بسیاری به وجود خواهند آمد.» | 19 |
Baba yake akakataa na kusema, “Ninafahamu, mwanangu, nafahamu. Yeye naye atakuwa watu, naye pia atakuwa mkuu. Lakini mdogo wake atakuwa mkuu kuliko yeye, na uzao wake utakuwa wingi wa mataifa.”
آنگاه یعقوب پسران یوسف را در آن روز برکت داده، گفت: «باشد که قوم اسرائیل با این کلمات یکدیگر را برکت داده، بگویند: خدا تو را مثل افرایم و منسی کامیاب و سعادتمند گرداند.» به این ترتیب یعقوب افرایم را بر منسی برتری بخشید. | 20 |
Israeli akawabariki siku hiyo kwa maneno haya, “Watu wa Israeli watatamka baraka kwa majina yenu wakisema, Mungu na akufanye kama Efrahimu na kama Manase'. “Kwa njia hii, Israeli akamweka Efrahimu mbele ya Manase.
سپس یعقوب به یوسف گفت: «من بهزودی میمیرم، اما خدا با شما خواهد بود و شما را بار دیگر به سرزمین اجدادتان باز خواهد گردانید. | 21 |
Israeli akamwambia Yusufu, “Tazama, ninakaribia kufa, lakini Mungu atakuwa nanyi, na atawarudisha katika nchi ya baba zenu.
من زمینی را که به کمان و شمشیر خود از اموریها گرفتم، به تو که بر برادرانت برتری داری، میبخشم.» | 22 |
Kwako wewe, kwa kuwa uko juu ya ndugu zako, ninakupa mtelemko wa mlima niliouchukuwa kutoka kwa Waamori kwa upanga wangu na upinde wangu.”