< پیدایش 33 >
آنگاه یعقوب از فاصلهٔ دور دید که عیسو با چهارصد نفر از افراد خود میآید. پس فرزندانش را بین لیه و راحیل و دو کنیز تقسیم کرد. | 1 |
Yakobo akainua macho yake na, tazama, Esau alikuwa anakuja, na alikuwa na watu mia nne pamoja naye. Yakobo akawagawanya watoto kati ya Lea, Raheli, na wale wajakazi wawili.
بدین ترتیب خانوادهاش را در یک صف به سه دسته تقسیم کرد. در دستهٔ اول دو کنیز او و فرزندانشان، در دستهٔ دوم لیه و فرزندانش و در دستهٔ سوم راحیل و یوسف قرار داشتند. | 2 |
Kisha akawaweka wajakazi na wanao mbele, wakifuatiwa na Lea na watoto wake, Raheli na Yusufu wakafuata mwisho wa wote.
خود یعقوب نیز در پیشاپیش آنها حرکت میکرد. وقتی یعقوب به برادرش نزدیک شد، هفت مرتبه او را تعظیم کرد. | 3 |
Yeye mwenyewe akatangulia mbele yao. Akasujudu mara saba kuelekea ardhi, hata alipomkaribia ndugu yake.
عیسو دواندوان به استقبال او شتافت و او را در آغوش کشیده، بوسید و هر دو گریستند. | 4 |
Esau akakimbia kumlaki, akamkumbatia, akakumbatia shingo yake na kumbusu. Kisha wakalia.
سپس عیسو نگاهی به زنان و کودکان انداخت و پرسید: «این همراهان تو کیستند؟» یعقوب گفت: «فرزندانی هستند که خدا به بندهات عطا فرموده است.» | 5 |
Esau alipoinua macho, aliona wanawake na watoto. Akauliza, “Hawa watu pamoja nawe ni kinanani?” Yakobo akasema, Ni watoto ambao Mungu amempa mtumishi wako kwa neema.”
آنگاه کنیزان با فرزندانشان جلو آمده، عیسو را تعظیم کردند، | 6 |
Kisha wajakazi wakakaribia pamoja na watoto wao, nao wakasujudia.
بعد لیه و فرزندانش و آخر همه راحیل و یوسف پیش آمدند و او را تعظیم نمودند. | 7 |
Akafuata Lea pia na watoto wake wakaja na kusujudia. Mwisho Yusufu na Raheli wakaja na kusujudia.
عیسو پرسید: «این همه گله و رمه که در راه دیدم، چیستند؟» یعقوب گفت: «آنها را هدیۀ من است به تو، تا مورد لطف تو قرار گیرم.» | 8 |
Esau akasema, Unamaanisha nini kwa makundi haya yote niliyokutana nayo?” Yakobo akasema, “Kutafuta kibali mbele za bwana wangu.
عیسو گفت: «برادر، من خود گله و رمه به قدر کافی دارم. آنها را برای خودت نگاه دار.» | 9 |
Esau akasema, “Ninayo ya kutosha, ndugu yangu. Tunza uliyonayo kwa ajili yako mwenyewe.”
یعقوب پاسخ داد: «اگر واقعاً مورد لطف تو واقع شدهام، التماس دارم هدیهٔ مرا قبول کنی. دیدن روی تو برای من مانند دیدن روی خدا بود! حال که تو با مهربانی مرا پذیرفتی، | 10 |
Yakobo akasema, “Hapana, tafadhari, ikiwa nimeona kibali mbele zako, basi upokee zawadi yangu kutoka mkononi mwangu, na ni kama kuona uso wa Mungu, na umenipokea.
پس هدایایی را که به تو پیشکش کردهام قبول فرما. خدا نسبت به من بسیار بخشنده بوده و تمام احتیاجاتم را رفع کرده است.» یعقوب آنقدر اصرار کرد تا عیسو آنها را پذیرفت. | 11 |
Tafadhari pokea zawadi yangu uliyoletewa, kwa sababu Mungu amenitendea kwa neema, na kwa sababu ninavyo vya kutosha.” Hivyo Yakobo akamsihi, na Esau akamkubali.
عیسو گفت: «آماده شو تا برویم. من و افرادم تو را همراهی خواهیم کرد.» | 12 |
Kisha Esau akasema, “Haya na tuondoke. Nitakutangulia.”
یعقوب گفت: «چنانکه میبینی بعضی از بچهها کوچکند و رمهها و گلهها نوزادانی دارند که اگر آنها را به سرعت برانیم همگی تلف خواهند شد. | 13 |
Yakobo akamwambia, “Bwana wangu anajua kwamba watoto ni wadogo, na kwamba kondoo na ng'ombe wananyonyesha ndama wao. Ikiwa watapelekwa kwa haraka hata siku moja, wanyama wote watakufa.
ای سرورم، شما جلوتر از بندهات بروید و ما هم همراه بچهها و گلهها آهسته میآییم و در سعیر به شما ملحق میشویم.» | 14 |
Tafadhari bwana wangu na amtangulie mtumishi wake. Nitasafiri polopole, kwa kadili ya mifugo iliyo mbele yangu, na kadili ya watoto, hata nitakapofika kwa bwana wangu huko Seiri.”
عیسو گفت: «لااقل بگذار چند نفر از افرادم همراهتان باشند تا شما را راهنمایی و محافظت کنند.» یعقوب پاسخ داد: «لزومی ندارد، ما خودمان میآییم. از لطف سَروَرم سپاسگزارم.» | 15 |
Esau akasema, haya nikuachie baadhi ya watu wangu waliopamoja nami.” Yakobo akasema, “Kwa nini kufanya hivyo? Bwana wangu amekuwa mkalimu kwangu kiasi cha kutosha.”
عیسو همان روز راه خود را پیش گرفته، به سعیر مراجعت نمود، | 16 |
Hivyo Esau akaanza kurudi Seiri.
اما یعقوب با خانوادهاش به سوکوت رفت و در آنجا برای خود خیمه و برای گلهها و رمههایش سایبانها درست کرد. به همین دلیل آن مکان را سوکوت نامیدهاند. | 17 |
Yakobo akasafiri kuelekea Sukothi, akajijengea nyumba, na akafanya mazizi kwa ajili ya mifugo wake. Hivyo jina la eneo linaitwa Sukothi.
سپس از آنجا به سلامتی به شکیم واقع در کنعان کوچ کردند و خارج از شهر خیمه زدند. | 18 |
Yakobo alipokuja kutoka Padani Aramu, akafika salama katika mji wa Shekemu, uliyo katika nchi ya Kanaani. Akapiga kambi karibu na mji.
او زمینی را که در آن خیمه زده بود از خانوادهٔ حمور، پدر شکیم به صد پاره نقره خرید. | 19 |
Kisha akanunu sehemu ya ardhi alipokuwa ameweka hema yake kutoka kwa wana wa Hamori, baba wa Shekemu, kwa vipande mia vya fedha.
در آنجا یعقوب مذبحی ساخت و آن را «اِل الوهی اسرائیل» نامید. | 20 |
Akajenga madhabahu pale na kuiita El Elohe Israeli.