< پیدایش 30 >
راحیل وقتی فهمید نازاست، به خواهر خود حسد برد. او به یعقوب گفت: «به من فرزندی بده، اگر نه خواهم مرد!» | 1 |
Raheli alipoona kwamba hamzalii Yakobo watoto, Raheli akamwonea wivu dada yake. Akamwambia Yakobo, “Nipe watoto, sivyo nitakufa.”
یعقوب خشمگین شد و گفت: «مگر من خدا هستم که به تو فرزند بدهم؟ اوست که تو را نازا گردانیده است.» | 2 |
Hasira ya Yakobo ikawaka juu ya Raheli. Akasema, “Mimi ni badala ya Mungu, aliyekuzuilia usipate watoto?
راحیل به او گفت: «با کنیزم بلهه همبستر شو تا از طریق او صاحب فرزندان شوم.» | 3 |
Akasema, “Tazama, kuna mjakazi wangu Bilha. Lala naye, hivyo aweze kuzaa watoto magotini pangu, nami nitapata watoto kwake.
پس کنیز خود بِلهه را به همسری به یعقوب داد و او با وی همبستر شد. | 4 |
Hivyo akampa Bilha mjakazi kama mke wake, na Yakobo akalala naye.
بلهه حامله شد و پسری برای یعقوب زایید. | 5 |
Bilha akashika mimba na kumzalia Yakobo mwana.
راحیل گفت: «خدا دعایم را شنیده و به دادم رسیده و اینک پسری به من بخشیده است»، پس او را دان (یعنی «دادرسی») نامید. | 6 |
Kisha Raheli akasema, “Mungu ameamua kwa faida yangu. Ameyasikiliza maombi yangu na kunipa mwana.” Kwa sababu hiyo akamwita jina lake Dani
بلهه باز آبستن شد و دومین پسر را برای یعقوب زایید. | 7 |
Bilha, mjakazi wa Raheli, akashika mimba tena na kumzalia Yakobo mwana wa pili.
راحیل گفت: «من با خواهر خود سخت مبارزه کردم و بر او پیروز شدم»، پس او را نفتالی نامید. | 8 |
Raheli akasema, “Kwa mashindano yenye nguvu nimeshindana na dada yangu na kushinda.” Akamwita jina lake Naftali.
وقتی لیه دید که دیگر حامله نمیشود، کنیز خود زلفه را به یعقوب به زنی داد. | 9 |
Lea alipoona kwamba ameacha kuzaa, akamchukua Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo kama mke wake.
زلفه برای یعقوب پسری زایید. | 10 |
Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana.
لیه گفت: «خوشبختی به من روی آورده است»، پس او را جاد نامید. | 11 |
Lea akasema, “Hii ni bahati njema!” Hivyo akamwita jina lake Gadi.
سپس زلفه دومین پسر را برای یعقوب زایید. | 12 |
Kisha Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili.
لیه گفت: «چقدر خوشحال هستم! اینک زنان مرا زنی خوشحال خواهند دانست.» پس او را اَشیر نامید. | 13 |
Lea akasema, “Nina furaha! Kwa maana mabinti wataniita furaha.” Hivyo akamwita jina lake Asheri.
روزی هنگام درو گندم، رئوبین مقداری مِهرگیاه که در کشتزاری روییده بود، یافت و آن را برای مادرش لیه آورد. راحیل از لیه خواهش نمود که مقداری از آن را به وی بدهد. | 14 |
Siku za mavuno ya ngano Rubeni akaenda shambani na kuona tunguja. Akazileta kwa mama yake. Kisha Raheli akamwambia Lea, “Nipe baadhi ya tunguja za mwanao.”
اما لیه به او جواب داد: «کافی نیست که شوهرم را از دستم گرفتی، حالا میخواهی مِهرگیاه پسرم را هم از من بگیری؟» راحیل گفت: «اگر مِهرگیاه پسرت را به من بدهی، من هم اجازه میدهم امشب با یعقوب بخوابی.» | 15 |
Lea akamwambia, “Je ni jambo dogo kwako, kumchukua mme wangu? Je na sasa unataka kuchukua tunguja za mwanangu pia? Raheli akasema, “Kisha atalala nawe leo usiku, kwa kubadilishana na tunguja za mwanao.
آن روز عصر که یعقوب از صحرا برمیگشت، لیه به استقبال وی شتافت و گفت: «امشب باید با من بخوابی، زیرا تو را در مقابل مِهر گیاهی که پسرم یافته است، اجیر کردهام!» پس یعقوب آن شب با وی همبستر شد. | 16 |
Jioni Yakobo akaja kutoka uwandani. Lea akaenda kumlaki na kusema, “Leo usiku utalala nami, kwani nimekuajiri kwa tunguja za mwanangu.” Hivyo Yakobo akalala na Lea usiku huo.
خدا دعاهای وی را اجابت فرمود و او حامله شده، پنجمین پسر خود را زایید. | 17 |
Mungu akamsikia Lea, na akashika mimba na kumzalia Yakobo mwana wa tano.
لیه گفت: «چون کنیز خود را به شوهرم دادم، خدا به من پاداش داده است.» پس او را یساکار نامید. | 18 |
Lea akasema, “Mungu amenipa ujira wangu, kwa sababu nilimpa mme wangu mjakazi wangu.” Akamwita jina lake Isakari.
او بار دیگر حامله شده، ششمین پسر را برای یعقوب زایید، | 19 |
Lea akashika mimba tena na kuzaa mwana wa tano kwa Yakobo.
و گفت: «خدا به من هدیهای نیکو داده است. از این پس شوهرم مرا احترام خواهد کرد، زیرا برایش شش پسر زاییدهام.» پس او را زبولون (یعنی «احترام») نامید. | 20 |
Lea akasema, “Mungu amenipa zawadi njema. Sasa mme wangu ataniheshimu, kwa sababu nimemzalia wana sita.” Akamwita jina lake Zabuloni.
مدتی پس از آن دختری زایید و او را دینه نامید. | 21 |
Baadaye akazaa binti na kumwita jina lake Dina.
سپس خدا راحیل را به یاد آورد و دعای وی را اجابت نموده، فرزندی به او بخشید. | 22 |
Mungu akamkumbuka Raheli na kumsikiliza. Akampa kushika mimba.
او حامله شده، پسری زایید و گفت: «خدا این ننگ را از من برداشته است.» | 23 |
Akashika mimba na kuzaa mwana. Akasema, “Mungu ameiondoa aibu yangu.”
سپس افزود: «ای کاش خداوند پسر دیگری هم به من بدهد!» پس او را یوسف نامید. | 24 |
Akamwita jina lake Yusufu, akisema, Yahwe ameniongeza mwana mwingine.”
بعد از آنکه راحیل یوسف را زایید، یعقوب به لابان گفت: «قصد دارم به وطن خویش بازگردم. | 25 |
Baada ya Raheli kumzaa Yusufu, Yakobo akamwambia Labani, “Niache niande, ili kwamba niende nyumbani kwetu na katika nchi yangu.
اجازه بده زنان و فرزندانم را برداشته با خود ببرم، چون میدانی با خدمتی که به تو کردهام بهای آنها را تمام و کمال به تو پرداختهام.» | 26 |
Nipe wake zangu na watoto wangu niliokutumikia kwa ajili yao, na uniache niondoke, kwani unafahamu nilivyokutumikia.
لابان به وی گفت: «خواهش میکنم مرا ترک نکن، زیرا از روی فال فهمیدهام که خداوند به خاطر تو مرا برکت داده است. | 27 |
Labani akamwambia, “Ikiwa nimepata kibali machoni pako, subiri, kwa sababu nimejifunza kwa kutumia uaguzi kwamba Yahwe amenibariki kwa ajili yako.”
هر چقدر مزد بخواهی به تو خواهم داد.» | 28 |
Kisha akasema, “Taja ujira wako, nami nitalipa.”
یعقوب جواب داد: «خوب میدانی که طی سالیان گذشته با چه وفاداری به تو خدمت نمودهام و چگونه از گلههایت مواظبت کردهام. | 29 |
Yakobo akamwambia, “Unajua nilivyokutumikia, na jinsi ambavyo mifugo wako wamekuwa nami.
قبل از اینکه پیش تو بیایم، گله و رمهٔ چندانی نداشتی ولی اکنون اموالت بینهایت زیاد شده است. خداوند به خاطر من از هر نظر به تو برکت داده است. اما من الان باید به فکر خانوادهٔ خود باشم و برای آنها تدارک ببینم.» | 30 |
Kwani walikuwa wachache kabla sijaja, na wameongezeka kwa wingi. Popote nilipokutumikia Mungu amekubariki. Je ni lini mimi nitaandaa kwa ajili ya nyumba yangu pia?”
لابان بار دیگر پرسید: «چقدر مزد میخواهی؟» یعقوب پاسخ داد: «لازم نیست چیزی به من بدهی. فقط این یک کار را برای من بکن و من باز از گلههایت مراقبت خواهم کرد. | 31 |
Hivyo Labani akasema, “Je nikulipe nini? Yakobo akasema, 'Usinipe chochote. Ikiwa utafanya jambo hili kwa ajili yangu, nitawalisha tena kondoo wako na kuwatunza.
اجازه بده امروز به میان گلههای تو بروم و تمام گوسفندان ابلق و خالدار و تمام برههای سیاه رنگ و همهٔ بزهای ابلق و خالدار را به جای اجرت برای خود جدا کنم. اینها مزد من خواهد بود. | 32 |
Niache nipite kati ya kundi lako lote leo, kwa kuondoa kila kondoo mwenye milia na mabaka, na kila kondoo mweusi kati yao, na kati ya wenye mabaka na milia katika mbuzi. Hawa watakuwa ujira wangu.
از آن به بعد، اگر حتی یک بز یا گوسفند سفید در میان گلهٔ من یافتی، بدان که من آن را از تو دزدیدهام.» | 33 |
Uadilifu wangu utashuhudia kwa ajili yangu hapo baadaye, utakapokuja kuangalia ujira wangu. Kila ambaye hana milia na hana madoa miongoni mwa mbuzi, na mweusi kati ya kondoo, ikiwa wataonekana kwangu, watahesabiwa kuwa wameibwa.”
لابان گفت: «آنچه را که گفتی قبول میکنم.» | 34 |
Labani akasema, “Nakubali. Na iwe kama yalivyo maneno yako.”
پس همان روز لابان تمام بزهای نری که خطّدار و خالدار بودند و بزهای مادهای که ابلق و خالدار بودند و تمامی برههای سیاه رنگ را جدا کرد و به پسرانش سپرد. | 35 |
Siku hiyo Labani akaondoa mabeberu yaliyokuwa na milia na madoa, na majike ya mbuzi yaliyokuwa na milia na madoa, kila aliyekuwa mweupe, na weusi wote katika mbuzi, akawakabidhi katika mikono ya wanaye.
آنگاه آنها را به فاصلهٔ سه روز راه از یعقوب دور کرد. درضمن، خود یعقوب در آنجا ماند تا بقیهٔ گلهٔ لابان را بچراند. | 36 |
Pia Labani akaweka safari ya siku tatu kati yake na Yakobo. Hivyo Yakobo akabaki kuchunga wale kondoo wa Labani waliosalia.
آنگاه یعقوب شاخههای سبز و تازهٔ درختان بید و بادام و چنار را کَند و خطّهای سفیدی بر روی آنها تراشید. | 37 |
Yakobo akachukua matawi mabichi yaliyokatwa ya mipopla, mlozi na mwaramoni mbichi akatoa maganda ili michilizi myeupe ionekane, na akaifanya sehemu nyeupe ya ndani ya mti iliyokuwa ndani ya fito ionekane.
این چوبها را در کنار آبشخور قرار داد تا وقتی که گلهها برای خوردن آب میآیند، آنها را ببینند. وقتی گلهها برای خوردن آب میآمدند، و میخواستند جفتگیری کنند، | 38 |
Kisha akaziweka fito alizokuwa amezibambua mbele ya makundi ya kondoo, mbele ya mabirika yakunyweshea walipokuja kunywa maji. Wakashika mimba walipokuja kunywa maji.
جلوی چوبها با یکدیگر جفتگیری میکردند و برههایی میزاییدند که خطّدار، خالدار و ابلق بودند. | 39 |
Wanyama wakapandana mbele ya fito; nao wakazaa watoto wenye milia, mabaka na wenye madoa.
یعقوب، این برّهها را از گلهٔ لابان جدا میکرد و به گلهٔ خود میافزود. به این ترتیب او با استفاده از گلهٔ لابان، گلهٔ خودش را بزرگ میکرد. | 40 |
Yakobo akawatenga hawa wanakondoo, lakini akawafanya waliosalia kuelekea wanyama wenye milia na kondoo weusi wote katika kundi la Labani. Kisha akayatenga makundi yake mwenyewe pekee na hakuwaweka pamoja na wale wa Labani.
در ضمن هرگاه حیوانات مادهٔ قوی میخواستند جفتگیری کنند، یعقوب چوبها را در آبشخور جلوی آنها قرار میداد تا کنار آنها جفتگیری کنند. | 41 |
Pindi kondoo wenye nguvu katika kundi walipopandana, Yakobo alilaza fito katika mabirika ya maji mbele ya macho ya kundi, ili kwamba washike mimba kati ya fito.
ولی اگر حیوانات ضعیف بودند، چوبها را در آنجا نمیگذاشت. بنابراین حیوانات ضعیف از آنِ لابان و حیوانات قوی از آن یعقوب میشدند. | 42 |
Lakini wakati waliodhaifu walipokuja, hakuweka fito mbele yao. Hivyo wanyama dhaifu wakawa wa Labani, na wenye nguvu wakawa wa Yakobo.
بدین ترتیب یعقوب بسیار ثروتمند شد و صاحب کنیزان و غلامان، گلههای بزرگ، شترها و الاغهای زیادی گردید. | 43 |
Mtu huyo akastawi sana. Akawa na kundi kubwa la kondoo, wajakazi na wajoli, ngamia na punda.