< پیدایش 21 >
خداوند به وعدهای که به سارا داده بود، وفا کرد. | 1 |
Yahwe akamsikiliza Sara kwa umakini kama alivyo kuwa amemwambia, Yahwe akamfanyia Sara kama alivyo kuwa amemwahidi.
سارا در زمانی که خداوند مقرر فرموده بود، حامله شد و برای ابراهیم در سن پیری پسری زایید. | 2 |
Sara akachukua mimba na akamzalia Abraham mtoto wa kiume katika uzee wake, katika muda ule ule ambao Mungu alikuwa amemwambia.
ابراهیم پسرش را که سارا برای او به دنیا آورده بود، اِسحاق (یعنی «خنده») نام نهاد؛ | 3 |
Abraham akamwita jina mwanawe, ambaye alizaliwa kwake, na Sara, Isaka.
و ابراهیم طبق فرمان خدا اسحاق را هشت روز بعد از تولدش ختنه کرد. | 4 |
Abraham akamtahiri mwanawe Isaka alipofikisha siku nane, kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza.
هنگام تولدِ اسحاق، ابراهیم صد ساله بود. | 5 |
Abraham alikuwa na umri wa miaka mia moja wakati mwanawe Isaka anazaliwa kwake.
سارا گفت: «خدا برایم خنده و شادی آورده است. هر کس خبر تولد پسرم را بشنود با من خواهد خندید. | 6 |
Sara akasema, “Mungu amenifanya nicheke; kila mtu atakaye sikia atacheka pamoja na nami.”
چه کسی باور میکرد که روزی من بچهٔ ابراهیم را شیر بدهم؟ ولی اکنون برای ابراهیم در سن پیری او پسری زاییدهام!» | 7 |
Pia akasema, “Nani angesema kwa Abraham kwamba Sara atalea mtoto, na sasa kweli nimemzalia mtoto wakiume katika uzee wake!”
اسحاق بزرگ شده، از شیر گرفته شد و ابراهیم به این مناسبت جشن بزرگی بر پا کرد. | 8 |
Mtoto akakua na akaachishwa kunyonya, na Abraham akafanya sherehe kubwa katika siku ambayo Isaka aliachishwa.
یک روز سارا متوجه شد که اسماعیل، پسر هاجر مصری، اسحاق را اذیت میکند. | 9 |
Sara akamwona mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alikuwa amezaliwa kwa Abraham, akidhihaki.
پس به ابراهیم گفت: «این کنیز و پسرش را از خانه بیرون کن، زیرا اسماعیل با پسر من اسحاق وارث تو نخواهد بود.» | 10 |
Kwa hiyo akamwambia Abraham, “Mfukuze huyu mwanamke huyu mtumwa pamoja na mtoto wake: kwa kuwa mtoto huyu wa mwanamke mtumwa hawezi kuwa mrithi pamoja na mwanangu Isaka.”
این موضوع ابراهیم را بسیار رنجاند، چون اسماعیل نیز پسر او بود. | 11 |
Jambo hili likamuhuzunisha sana Abraham kwa sababu ya mwanawe.
اما خدا به ابراهیم فرمود: «دربارهٔ پسر و کنیزت آزردهخاطر نشو. آنچه سارا گفته است انجام بده، زیرا توسط اسحاق است که تو صاحب نسلی میشوی که وعدهاش را به تو دادهام. | 12 |
Lakini Mungu akamwambia Abraham, “Usihuzunike kwa sababu ya kijana huyu, na kwa sababu ya mwanamke huyu mtumwa wako. Sikiliza maneno asemayo Sara juu ya jambo hili, kwa sababu itakuwa kupitia Isaka kwamba uzao wako utaitwa.
از پسر آن کنیز هم قومی به وجود خواهم آورد، چون او نیز پسر توست.» | 13 |
Nitamfanya pia mtoto wa mjakazi kuwa taifa, kwa sababu ni uzao wako.”
پس ابراهیم صبح زود برخاست و نان و مشکی پُر از آب برداشت و بر دوش هاجر گذاشت، و او را با پسر روانه ساخت. هاجر به بیابان بئرشِبَع رفت و در آنجا سرگردان شد. | 14 |
Abraham akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji, akampatia Hajiri, akiweka juu ya bega lake. Akamtoa kijana akampatia Hajiri na akawaondoa. Hajiri akaondoka akapotea katika jangwa la Beerisheba.
وقتی آب مشک تمام شد، هاجر پسرش را زیر بوتهها گذاشت | 15 |
Maji yalipokwisha kwenye kiriba akamtelekeza kijana katika moja ya vichaka.
و خود حدود صد متر دورتر از او نشست و با خود گفت: «نمیخواهم ناظر مرگ فرزندم باشم.» و زارزار بگریست. | 16 |
Kisha akaondoka, na akakaa umbali kidogo na yule kijana, umbali kama wa kutupa mshale, kwa vile alisema, “Na nisitazame kifo cha mtoto.” Alipokuwa amekaa kumkabili, akapaza sauti yake akalia.
آنگاه خدا به نالههای پسر توجه نمود و فرشتهٔ خدا از آسمان هاجر را ندا داده، گفت: «ای هاجر، چه شده است؟ نترس! زیرا خدا نالههای پسرت را شنیده است. | 17 |
Mungu akasikia kilio cha kijana, na malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, “Nini kinakusumbua? Usiogope, kwa kuwa Mungu amesikia kilio cha kijana mahali alipo.
برو و او را بردار و در آغوش بگیر. من قوم بزرگی از او به وجود خواهم آورد.» | 18 |
Inuka msimamishe mtoto, na umtie moyo; kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.”
سپس خدا چشمان هاجر را گشود و او چاه آبی در مقابل خود دید. پس به طرف چاه رفته، مشک را پر از آب کرد و به پسرش نوشانید. | 19 |
Kisha Mungu akayafunua macho ya Hajiri, natazama akaona kisima cha maji. Akaenda akajaza kiriba maji, na akampatia kijana akanywa.
و خدا با اسماعیل بود و او در صحرا بزرگ شده، در تیراندازی ماهر گشت. | 20 |
Mungu akawa pamoja na kijana, na akakua. Akaishi jangwani akawa mwindaji.
او در صحرای فاران زندگی میکرد و مادرش دختری از مصر برای او گرفت. | 21 |
Akaishi katka jangwa la Parani, na mama yake akampatia mke kutoka Misri.
در آن زمان ابیملکِ پادشاه، با فرماندهٔ سپاهش فیکول نزد ابراهیم آمده، گفت: «خدا در آنچه میکنی با توست! | 22 |
Ikawa kwamba katika wakati ule Abimeleki na Fikoli kamanda wa jeshi lake akamwambia Abraham, akisema, “Mungu yuko pamoja na wewe katika yote uyatendayo.
اکنون به نام خدا سوگند یاد کن که به من و فرزندان و نوادههای من خیانت نخواهی کرد و همانطوری که من با تو به خوبی رفتار کردهام، تو نیز با من و مملکتم که در آن ساکنی، به خوبی رفتار خواهی نمود.» | 23 |
Sasa niapie kwa Mungu kwamba hutanifanyia baya, wala mwanangu, wala uzao wangu. Onesha kwangu na kwa nchi ambayo umekuwa ukikaa agano lile lile la uaminifu ambalo nimekuonesha wewe.”
ابراهیم پاسخ داد: «سوگند میخورم چنانکه گفتید رفتار کنم.» | 24 |
Abraham akasema, “Nina apa.”
سپس ابراهیم دربارهٔ چاهِ آبی که خدمتگزاران ابیملک به زور از او گرفته بودند، نزد وی شکایت کرد. | 25 |
Abraham pia akamlalamikia Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamekinyang'anya.
ابیملکِ پادشاه گفت: «این اولین باری است که راجع به این موضوع میشنوم و نمیدانم کدام یک از خدمتگزارانم در این کار مقصر است. چرا پیش از این به من خبر ندادی؟» | 26 |
Abimeleki akasema, “Sijui ni nani amefanya jambo hili. Hukuniambia mapema; na sijalisikia ila leo hii.”
آنگاه ابراهیم، گوسفندان و گاوانی به ابیملک داد و با یکدیگر عهد بستند. | 27 |
Kwa hiyo Abraham akachukua kondoo na ng'ombe maksai akampatia Abimeleki, na wawili hawa wakafanya agano.
سپس ابراهیم هفت بره از گله جدا ساخت. | 28 |
Kisha Abraham akatenga wanakondoo wa kike saba pekeyao.
پادشاه پرسید: «چرا این کار را میکنی؟» | 29 |
Abimeleki akamwambia Abraham, “Nini maana ya hawa wanakondoo wa kike saba ambao umewatenga pekeyao?”
ابراهیم پاسخ داد: «اینها هدایایی هستند که من به تو میدهم تا همه بدانند که این چاه از آنِ من است.» | 30 |
Akajibu, “Hawa wanakondoo wa kike saba utawapokea kutoka mkonono mwangu, ili kwamba uwe ushahidi kwangu, kuwa nichimba kisima hiki.”
از آن پس این چاه، بئرشبع (یعنی «چاه سوگند») نامیده شد، زیرا آنها در آنجا با هم عهد بسته بودند. | 31 |
Kwa hiyo akaita mahali pale Beerisheba, kwa sababu mahali pale wote wawili wali apa kiapo.
آنگاه ابیملک و فیکول فرماندهٔ سپاهش به سرزمین خود فلسطین بازگشتند. | 32 |
Walifanya agano hapo Bersheba, kisha Abimeleki na Fikoli, amiri wa jeshi, wakarudi katika nchi ya Wafilisti.
ابراهیم در کنار آن چاه درخت گزی کاشت و خداوند، خدای ابدی را عبادت نمود. | 33 |
Abraham akapanda mti wa mkwaju katika Beerisheba. Na pale akamwabudu Yahwe, Mungu wa milele.
ابراهیم مدت زیادی در سرزمین فلسطین در غربت زندگی کرد. | 34 |
Abraham akasalia kuwa mgeni katika nchi ya Wafilisti kwa siku nyingi.