< پیدایش 16 >
اما سارای زن ابرام، فرزندی برای او به دنیا نیاورده بود. سارای کنیز مصری داشت به نام هاجر. | 1 |
Kisha Sarai mke wa Abram, alikuwa hajamzalia mtoto, lakini alikuwa na mtumishi wa kike, Mmisri ambaye jina lake aliitwa Hajiri.
پس سارای به ابرام گفت: «خداوند مرا از بچهدار شدن بازداشته است. پس تو با کنیزم همبستر شو، تا شاید برای من فرزندی به دنیا آوَرَد.» ابرام با پیشنهاد سارای موافقت کرد. | 2 |
Kwa hiyo Sarai akamwambia Abram, “Tazama, Yahwe hajanifanya mimi kuwa na watoto. Nenda na ulale na mtumishi wangu. Ili kwamba niweze kupata watoto kupitia yeye.” Abram akasikiliza sauti ya Sarai.
پس سارای، همسر ابرام، کنیز مصری خود هاجر را گرفته، به ابرام به زنی داد. (این واقعه ده سال پس از سکونت ابرام در کنعان اتفاق افتاد.) | 3 |
Ilikuwa baada ya Abram kuishi miaka kumi katika nchi ya Kanaani ndipo Sarai, mke wa Abram, alimtoa Hajiri yule mmisri mtumishi wake kwa mume wake awe kama mke wake.
ابرام با هاجر همبستر شد و او آبستن گردید. هاجر وقتی دریافت که حامله است، مغرور شد و از آن پس، بانویش سارای را تحقیر میکرد. | 4 |
Kwa hiyo akawa na mahusiano na Hajiri, na akabeba mimba. Na alipoona kuwa amebeba mimba, akamdharau bibi yake.
آنگاه سارای به ابرام گفت: «تقصیر توست که این کنیز مرا حقیر میشمارد. خودم او را به تو دادم، ولی از آن لحظهای که فهمید آبستن است، مرا تحقیر میکند. خداوند خودش حق مرا از تو بگیرد.» | 5 |
Kisha Sarai akamwambia Abram, “Jambo hili baya kwangu ni kwa sababu yako. Nilimtoa mtumishi wangu wa kike katika kumbatio lako. Na alipoona kuwa amebeba mimba, nilidharaulika machoni pake. Na sasa acha Yahwe aamuwe kati yangu na wewe.”
ابرام جواب داد: «او کنیز توست، هر طور که صلاح میدانی با او رفتار کن.» پس سارای بنای بدرفتاری با هاجر را گذاشت و او از خانه فرار کرد. | 6 |
Lakini Abram akamwambia Sarai, “Tazama, hapa, mtumishi wako yuko katika uwezo wako, fanya unachofikiri ni kizuri sana kwake.” Kwa hiyo Sarai akakabiliana naye kwa ukatili, na akatoroka.
فرشتهٔ خداوند هاجر را نزدیک چشمۀ آبی در صحرا که سر راه «شور» است، یافت. | 7 |
Malaika wa Yahwe akamkuta karibu na chemichemi ya maji katika jangwa, chemichemi iliyo katika njia kuelekea Shuri.
فرشته گفت: «ای هاجر، کنیز سارای، از کجا آمدهای و به کجا میروی؟» گفت: «من از خانهٔ بانویم سارای فرار میکنم.» | 8 |
Akasema, Hajiri, mtumishi wa Sarai, umetoka wapi na unakwenda wapi?” Na akasema, ninamtoroka bibi yangu Sarai.”
فرشتهٔ خداوند به او گفت: «نزد بانوی خود برگرد و مطیع او باش.» | 9 |
Malaika wa Yahwe akamwambia, “Rudi kwa bibi yako, na unyenyekee chini ya mamlaka yake.”
و نیز گفت: «من نسل تو را بیشمار میگردانم.» | 10 |
Kisha Malaika wa Yahwe akamwambia, “Nitazidisha uzao wako maradufu, kiasi kwamba watakuwa wengi wasioweza kuhesabika.”
فرشته ادامه داد: «اینک تو حامله هستی، و پسری خواهی زایید. نام او را اسماعیل (یعنی”خدا میشنود“) بگذار، چون خداوند آه و نالهٔ تو را شنیده است. | 11 |
Malaika wa Yahwe pia akamwambia, “Tazama, wewe unamimba, na utazaa mtoto kiume, na utamwita jina lake Ishmaeli, kwasabab Yahwe amesikia mateso yako.
پسر تو مردی وحشی خواهد بود و با برادران خود سر سازگاری نخواهد داشت. او بر ضد همه و همه بر ضد او خواهند بود.» | 12 |
Atakuwa punda mwitu wa mtu. Atakuwa adui dhidi ya kila mtu, na kila mtu atakuwa adui yake, na ataishi kando na ndugu zake wote.”
هاجر با خود گفت: «آیا براستی خدا را دیدم و زنده ماندم؟» پس خداوند را که با او سخن گفته بود «اَنتَ ایل رُئی» (یعنی «تو خدایی هستی که میبینی») نامید. | 13 |
Kisha akamwita jina hili Yahwe aliye zungumza naye, “Wewe ni Mungu unionaye mimi,” kwa kuwa alisema, “je ninaendelea kweli kuona, hata baada ya kuwa ameniona?”
به همین جهت چاهی که بین قادش و بارد است «بئرلَحَی رُئی» (یعنی «چاه خدای زندهای که مرا میبیند») نامیده شد. | 14 |
Kwa hiyo kisima kiliitwa Beerlahairori; Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi.
پس هاجر برای ابرام پسری به دنیا آورد و ابرام او را اسماعیل نامید. | 15 |
Hajiri akamzalia Abram mwana wa kiume, na Abram akamwita mwanawe, ambaye Hajiri amemzaa jina, Ishmaeli.
در این زمان ابرام هشتاد و شش ساله بود. | 16 |
Abram alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hajiri alipomzaa Ishmaeli kwa Abram.