< پیدایش 10 >
اینها هستند نسل سام و حام و یافث، پسران نوح، که بعد از طوفان متولد شدند: | 1 |
Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
پسران یافث عبارت بودند از: جومر، ماجوج، مادای، یاوان، توبال، ماشَک و تیراس. | 2 |
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
پسران جومر: اَشکناز، ریفات و توجَرمِه. | 3 |
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
پسران یاوان: الیشه، ترشیش، کتیم و رودانیم. | 4 |
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
فرزندان این افراد به تدریج در سواحل و جزایر دنیا پخش شدند و اقوامی را با زبانهای گوناگون به وجود آوردند. | 5 |
(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
پسران حام اینها بودند: کوش، مصرایم، فوط و کنعان. | 6 |
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
پسران کوش: سبا، حویله، سبته، رعمه، سبتکا. پسران رعمه: شبا و ددان. | 7 |
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
یکی از فرزندان کوش، شخصی بود به نام نمرود که در دنیا، دلاوری بزرگ و معروف گشت. | 8 |
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
او با قدرتی که خداوند به وی داده بود، تیرانداز ماهری شد؛ از این جهت، وقتی میخواهند از مهارتِ تیراندازی کسی تعریف کنند، میگویند: «خداوند تو را در تیراندازی مانند نمرود گرداند.» | 9 |
Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
قلمرو فرمانروایی او ابتدا شامل بابِل، ارک، اَکَد و کَلنِه در سرزمین شنعار بود. | 10 |
Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
سپس قلمرو خود را تا آشور گسترش داده، نینوا، رحوبوت عیر، کالح | 11 |
Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
و ریسن (شهر بزرگی که بین نینوا و کالح واقع است) را بنا کرد. | 12 |
na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
مصرایم، جد اقوام زیر بود: لودیها، عنامیها، لهابیها، نفتوحیها، | 13 |
Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
فتروسیها، کسلوحیها (که فلسطینیها از این قوم به وجود آمدند) و کفتوریها. | 14 |
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
صیدون پسر ارشد کنعان بود و از کنعان اقوام زیر به وجود آمدند: حیتّیها، | 15 |
Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
یبوسیها، اموریها، جرجاشیها، | 16 |
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
حوّیها، عرقیها، سینیها، | 17 |
Wahivi, Waariki, Wasini,
اروادیها، صماریها و حماتیها. پس از آن، طوایف کنعانی منشعب شدند، | 18 |
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
و قلمرو کنعان از صیدون در شمال تا جرار و غزه در جنوب، و در شرق تا سدوم و عموره و ادمه و صبوئیم که نزدیک لاشع بود، میرسید. | 19 |
na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
اینها نسل حام بودند که در قبایل و سرزمینهای خود زندگی میکردند و هر یک زبان خاص خود را داشتند. | 20 |
Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
از نسل سام، که برادر بزرگ یافث بود، عابر به وجود آمد (عابر جد عبرانیان است). | 21 |
Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
این است اسامی پسران سام: عیلام، آشور، ارفکشاد، لود و ارام. | 22 |
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
اینانند پسران ارام: عوص، حول، جاتر و ماشک. | 23 |
Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
ارفکشاد پدر شالح، و شالح پدر عابر بود. | 24 |
Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
عابر صاحب دو پسر شد. نام اولی فِلِج بود زیرا در زمان او بود که مردم دنیا متفرق شدند. برادر او یُقطان نام داشت. | 25 |
Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
یُقطان جد الموداد، شالف، حضرموت، یارح، | 26 |
Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
اوفیر، حویله و یوباب بود. اینان همه از نسل یُقطان بودند. | 29 |
Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
ایشان از نواحی میشا تا کوهستانهای شرقی سفاره پراکنده بودند و در آنجا زندگی میکردند. | 30 |
Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
اینها بودند فرزندان سام که در قبایل و سرزمینهای خود زندگی میکردند و هر یک زبان خاص خود را داشتند. | 31 |
Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
همهٔ افرادی که در بالا نام برده شدند، از نسل نوح بودند که بعد از طوفان، در دنیا پخش شدند و قومهای گوناگون را به وجود آوردند. | 32 |
Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.