< عِزرا 10 >

همان‌طور که عِزرا در مقابل خانهٔ خدا روی بر زمین نهاده بود و گریه‌کنان دعا و اعتراف می‌کرد، عدۀ زیادی از مردان و زنان و اطفال اسرائیلی نیز دورش جمع شدند و با او گریه کردند. 1
Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama, huku akilia na kujitupa chini mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa Waisraeli, wanaume, wanawake na watoto walikusanyika kumzunguka. Nao pia wakalia sana.
سپس شکنیا پسر یحی‌ئیل که از طایفهٔ عیلام بود به عِزرا گفت: «ما اعتراف می‌کنیم که نسبت به خدای خود گناه ورزیده‌ایم، چون با زنان غیریهودی ازدواج کرده‌ایم. ولی با وجود این، باز امیدی برای بنی‌اسرائیل باقی است. 2
Kisha Shekania mwana wa Yehieli, mmoja wa wazao wa Elamu, akamwambia Ezra, “Tumekosa uaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni kutoka mataifa yanayotuzunguka. Lakini pamoja na hili, bado liko tumaini kwa ajili ya Israeli.
اینک در حضور خدای خویش قول می‌دهیم که از زنان خود جدا شویم و آنها را با فرزندانشان از این سرزمین دور کنیم. ما در این مورد از دستور تو و آنانی که از خدا می‌ترسند پیروی می‌کنیم، و طبق شریعت عمل می‌نماییم. 3
Sasa na tufanye agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa wanawake wote pamoja na watoto wao, kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja na wale ambao wanaogopa amri za Mungu wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria.
حال برخیز و به ما بگو چه کنیم. ما از تو پشتیبانی خواهیم کرد، پس ناامید نباش و آنچه لازم است انجام بده.» 4
Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.”
آنگاه عِزرا بلند شد و از سران کاهنان و لاویان و تمام بنی‌اسرائیل خواست تا قسم بخورند که هر چه شکنیا گفته است انجام دهند؛ و همه قسم خوردند. 5
Basi Ezra akainuka na kuwaapisha makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao wakaapa.
سپس عِزرا از برابر خانهٔ خدا برخاست و به اتاق یهوحانان (پسر الیاشیب) رفت و شب در آنجا ماند، ولی نه نان خورد و نه آب نوشید، چون به سبب گناه قوم ماتم گرفته بود. 6
Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.
پس در سراسر یهودا و اورشلیم اعلام شد که تمام قوم باید در عرض سه روز در اورشلیم جمع شوند و اگر کسی از آمدن خودداری کند طبق تصمیم سران و بزرگان قوم اموال او ضبط خواهد گردید و خود او هم از میان قوم اسرائیل منقطع خواهد شد. 7
Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa uhamishoni kukusanyika Yerusalemu.
8
Yeyote ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi wa maafisa na wazee, naye mtu huyo angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu waliokuwa uhamishoni.
پس از سه روز که روز بیستم ماه نهم بود، تمام مردان یهودا و بنیامین در اورشلیم جمع شدند و در میدان جلوی خانهٔ خدا نشستند. آنها به سبب اهمیت موضوع و به خاطر باران شدیدی که می‌بارید، می‌لرزیدند. 9
Katika muda wa siku tatu, watu wote wa Yuda na Benyamini wakawa wamekusanyika huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi ndani ya uwanja mbele ya nyumba ya Mungu, wakiwa na majonzi mno kwa tukio hilo na kwa sababu ya mvua kubwa.
سپس عِزرای کاهن بلند شد و به ایشان چنین گفت: «شما مرتکب گناه شده‌اید، چون با زنان غیریهودی ازدواج کرده‌اید و با این کارتان به گناهان بنی‌اسرائیل افزوده‌اید. 10
Ndipo Kuhani Ezra aliposimama akawaambia, “Mmekosa uaminifu, mmeoa wanawake wa kigeni, mkaongezea hatia ya Israeli.
حال در حضور خداوند، خدای اجدادتان به گناهان خود اعتراف کنید و خواست او را به جا آورید. خود را از قومهایی که در اطراف شما هستند دور نگه دارید و از این زنان بیگانه جدا شوید.» 11
Sasa tubuni kwa Bwana, Mungu wa baba zenu mkafanye mapenzi yake. Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake zenu wa kigeni.”
همه با صدای بلند جواب دادند: «آنچه گفته‌ای انجام می‌دهیم. 12
Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.
ولی این کار یکی دو روز نیست. چون عدهٔ کسانی که به چنین گناهی آلوده شده‌اند زیاد است. در ضمن باران هم به شدت می‌بارد و بیش از این نمی‌توانیم در اینجا بایستیم. 13
Lakini hapa pana watu wengi na ni wakati wa mvua, hivyo hatuwezi kusimama nje. Hata hivyo, shauri hili haliwezi kumalizika kwa siku moja au mbili, kwa sababu tumefanya dhambi kubwa katika jambo hili.
بگذار سران ما در اورشلیم بمانند و به این کار رسیدگی کنند. سپس هر کس که زن غیریهودی دارد، در وقت تعیین شده با بزرگان و قضات شهر خود بیاید تا به وضعش رسیدگی شود و خشم خدای ما از ما برگردد.» 14
Maafisa wetu na wafanye kwa niaba ya kusanyiko lote. Kisha kila mmoja katika miji yetu ambaye ameoa mwanamke wa kigeni aje kwa wakati uliopangwa, akiwa pamoja na wazee na waamuzi wa kila mji, hadi hasira kali ya Mungu wetu katika shauri hili itakapoondolewa kwetu.”
کسی با این پیشنهاد مخالفت نکرد، جز یوناتان (پسر عسائیل) و یحزیا (پسر تقوه) که از پشتیبانی مشلام و شبتای لاوی برخوردار بودند. 15
Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono na Meshulamu na Shabethai Mlawi, ndio waliopinga jambo hili.
قوم این روش را پذیرفتند و عِزرای کاهن چند نفر از سران طایفه‌ها را انتخاب کرد و اسامی‌شان را نوشت. این گروه، روز اول ماه دهم تحقیق خود را شروع کردند، 16
Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo.
و در عرض سه ماه به وضع مردانی که همسران بیگانه داشتند رسیدگی نمودند. 17
Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kushughulikia wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.
این است اسامی مردانی که زنان بیگانه داشتند: از کاهنان: از طایفۀ یهوشع پسر یهوصادق و برادرانش: معسیا، الیعزر، یاریب، جدلیا. 18
Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni: Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia.
این مردان قول دادند که از همسران بیگانهٔ خود جدا شوند و هر یک برای بخشیده شدن گناهش، یک قوچ برای قربانی تقدیم کرد. 19
(Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)
از طایفهٔ امیر: حنانی و زبدیا. 20
Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.
از طایفۀ حاریم: معسیا، ایلیا، شمعیا، یحی‌ئیل، عزیا. 21
Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.
از طایفۀ فشحور: الیوعینای، معسیا، اسماعیل، نتن‌ئیل، یوزاباد، العاسه. 22
Kutoka wazao wa Pashuri: Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.
از لاویان: یوزاباد، شمعی، قلایا (معروف به قلیطا)، فتحیا، یهودا، الیعزر. 23
Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
از نوازندگان: الیاشیب. از نگهبانان خانۀ خدا: شلوم، طالم، اوری. 24
Kutoka waimbaji: Eliashibu. Kutoka mabawabu: Shalumu, Telemu na Uri.
از بقیۀ قوم: از طایفۀ فرعوش: رمیا، یزیا، ملکیا، میامین، العازار، ملکیا، بنایا. 25
Miongoni mwa Waisraeli wengine: Kutoka wazao wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.
از طایفۀ عیلام: متنیا، زکریا، یحی‌ئیل، عبدی، یریموت، ایلیا. 26
Kutoka wazao wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.
از طایفۀ زتو: الیوعینای، الیاشیب، متنیا، یریموت، زاباد، عزیزا. 27
Kutoka wazao wa Zatu: Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.
از طایفۀ ببای: یهوحانان، حَنَنیا، زبای، عتلای. 28
Kutoka uzao wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.
از طایفهٔ بانی: مشلام، ملوک، عدایا، یاشوب، شآل، راموت. 29
Kutoka wazao wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.
از طایفهٔ فحت موآب: عدنا، کلال، بنایا، معسیا، متنیا، بِصَلئیل، بنوی، منسی. 30
Kutoka wazao wa Pahath-Moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.
از طایفهٔ حاریم: الیعزر، اشیاء، ملکیا، شمعیا، شمعون، بنیامین، ملوک، شمریا. 31
Kutoka wazao wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,
32
Benyamini, Maluki, na Shemaria.
از طایفهٔ حاشوم: متنای، متاته، زاباد، الیفلط، یریمای، منسی، شمعی. 33
Kutoka wazao wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.
از طایفۀ بانی: معدای، عمرام، اوئیل، بنایا، بیدیا، کلوهی، ونیا، مریموت، الیاشیب، متنیا، متنای، یعسو. 34
Kutoka wazao wa Bani: Maadai, Amramu, Ueli,
35
Benaya, Bedeya, Keluhi,
36
Vania, Meremothi, Eliashibu,
37
Matania, Matenai na Yaasu.
از طایفهٔ بنوی: شمعی، شلمیا، ناتان، عدایا، مکندبای، شاشای، شارای، عزرئیل، شلمیا، شمریا، شلوم، امریا، یوسف. 38
Kutoka wazao wa Binui: Shimei,
39
Shelemia, Nathani, Adaya,
40
Maknadebai, Shashai, Sharai,
41
Azareli, Shelemia, Shemaria,
42
Shalumu, Amaria na Yosefu.
از طایفۀ نبو: یعی‌ئیل، مَتّیتیا، زاباد، زبینا، یدو، یوئیل، بنایا. 43
Kutoka wazao wa Nebo: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.
همهٔ این مردان، زنان بیگانه گرفته بودند و بعضی از ایشان از این زنان صاحب فرزندانی شده بودند. 44
Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.

< عِزرا 10 >