< عِزرا 1 >
در سال اول سلطنت کوروش، پادشاه پارس، خداوند آنچه را که توسط ارمیای نبی فرموده بود، به انجام رساند. خداوند کوروش را بر آن داشت تا فرمانی صادر کند و آن را نوشته به سراسر سرزمین پهناورش بفرستد. این است متن آن فرمان: | 1 |
Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la Bwana lililosemwa na nabii Yeremia, Bwana aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:
«من، کوروش پادشاه پارس، اعلام میدارم که یهوه، خدای آسمانها، تمام ممالک جهان را به من بخشیده است و به من امر فرموده است که برای او در شهر اورشلیم که در یهوداست خانهای بسازم. | 2 |
“Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi: “‘Bwana, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda.
بنابراین، از تمام یهودیانی که در سرزمین من هستند، کسانی که بخواهند میتوانند به آنجا بازگردند و خانۀ یهوه، خدای اسرائیل را در اورشلیم بنا کنند. خدا همراه ایشان باشد! | 3 |
Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha apande kwenda Yerusalemu katika Yuda na kujenga Hekalu la Bwana, Mungu wa Israeli, Mungu aliyeko huko Yerusalemu.
همسایگان این یهودیان باید به ایشان طلا و نقره، توشه راه و چارپایان بدهند و نیز هدایا برای خانهٔ خدا تقدیم کنند.» | 4 |
Nao watu wa mahali popote wale walionusurika wanapoishi sasa, watu hao wampe fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, mbali na sadaka za hiari kwa ajili ya Hekalu la Mungu huko Yerusalemu.’”
از طرف دیگر، خدا اشتیاق فراوان در دل رهبران طایفههای یهودا و بنیامین، و کاهنان و لاویان ایجاد کرد تا به اورشلیم بازگردند و خانهٔ خداوند را دوباره بنا کنند. | 5 |
Kisha viongozi wa jamaa ya Yuda na Benyamini na makuhani na Walawi kila mmoja ambaye moyo wake ulisukumwa na Mungu, akajiandaa kupanda ili kuijenga nyumba ya Bwana huko Yerusalemu.
تمام همسایگان، علاوه بر هدایایی که برای خانهٔ خدا تقدیم نمودند، هدایایی نیز از طلا و نقره، توشه راه و چارپایان به مسافران دادند. | 6 |
Majirani zao wote wakawasaidia vyombo vya fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, pia na zawadi za thamani, pamoja na sadaka zote za hiari.
کوروش نیز اشیاء قیمتی خانهٔ خداوند را که نِبوکَدنِصَّر آنها را از اورشلیم آورده و در معبد خدایان خود گذاشته بود، به یهودیان پس داد. | 7 |
Zaidi ya hayo, Mfalme Koreshi akavitoa vyombo vilivyokuwa mali ya Hekalu la Bwana, ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka Yerusalemu na kuviweka katika hekalu la mungu wake.
کوروش به خزانهدار خود، «میتراداد»، دستور داد که تمام این اشیاء قیمتی را از خزانه بیرون بیاورد و به شِیشبَصَّر، سرپرست یهودیانی که به سرزمین یهودا بازمیگشتند، تحویل بدهد. | 8 |
Koreshi mfalme wa Uajemi akavitoa kwa mkono wa Mithredathi mtunza hazina, aliyevihesabu mbele ya Sheshbaza mkuu wa Yuda.
این اشیاء قیمتی عبارت بودند از: سینی طلا ۳۰ عدد سینی نقره ۱٬۰۰۰ عدد سینیهای دیگر ۲۹ عدد جام طلا ۳۰ عدد جام نقره ۴۱۰ عدد ظروف دیگر ۱٬۰۰۰ عدد | 9 |
Hii ilikuwa ndio orodha ya vifaa: masinia ya dhahabu yalikuwa 30 masinia ya fedha yalikuwa 1,000 vyetezo vya fedha vilikuwa 29
mabakuli ya dhahabu yalikuwa 30 mabakuli ya fedha yanayofanana yalikuwa 410 vifaa vingine vilikuwa 1,000.
رویهمرفته ۵٬۴۰۰ ظروف قیمتی از طلا و نقره به شِیشبَصَّر سپرده شد و او آنها را با اسیرانی که از بابِل به اورشلیم میرفتند، برد. | 11 |
Kwa ujumla, kulikuwa na vyombo 5,400 vya dhahabu na vya fedha. Sheshbaza akavileta hivi vyote wakati watu walipotoka uhamishoni Babeli kwenda Yerusalemu.