< حِزِقیال 48 >
این است اسامی قبیلهها و زمین سهم هر یک از آنها: مرز شمالی زمین قبیلهٔ دان که همان مرز شمالی سرزمین میباشد، از دریای مدیترانه تا شهر حِتلون، و از آنجا تا گذرگاه حمات، شهر عینون و مرز بین دمشق و حمات کشیده میشود. | 1 |
Haya ndiyo majina ya makabila. Kabila la Dani litapokea sehemu moja ya nchi; mipaka yake itakuwa karibu na upande wa mashariki mpaka wa Israeli karibu na njia ya Hethloni na Lebo Hamathi. Mpaka wake utaenda hata karibu na Hazari Enani na karibu na mpaka wa Damaskasi hata upande wa kaskazini na kisha karibu na Hamathi. Mpaka wa Dani utaenda kutoka mashariki moja kwa moja hata Bahari Kubwa.
سهم قبایل دیگر که بین مرز شرقی اسرائیل و دریای مدیترانه در غرب قرار میگیرد، به ترتیب از شمال به جنوب به شرح زیر است: اَشیر، نفتالی، منسی، افرایم، رئوبین، یهودا. | 2 |
Kupakana na mpaka wa Dani, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, Asheri itakuwa na fungu moja.
Kupakana na mpaka wa Asheri kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Naftali atakuwa na fungu moja.
Kupakana na mpaka wa Naftali kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Manase atakuwa na fungu moja.
Kupakana na mpaka wa Manase kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Efraimu atakuwa na fungu moja.
Kupakana na mapaka wa Efraimu kutoka mashariki hata magharibi, Rubeni atakuwa na fungu moja.
Kupakana na mpaka wa Rubeni kutoka mashariki hata magharibi, Yuda atakuwa na fungu moja.
در جنوب یهودا، زمین مخصوصی قرار دارد که از شمال به جنوب دوازده کیلومتر و نیم است و طول آن از شرق به غرب برابر طول هر یک از زمینهای قبایل اسرائیل میباشد. | 8 |
Sadaka ya nchi ambayo mtaifanya itakuwa karibu na mpaka wa Yuda na hapohapo kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano upana. Urefu unakaribiana na fungu la kabila moja kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, na hekalu litakuwa katikati yake.
در وسط این زمین مخصوص، ملک مقدّس خداوند به طول دوازده کیلومتر و نیم و عرض ده کیلومتر قرار دارد. | 9 |
Huu mji mtakao utoa sadaka kwa ajili ya Yahwe utakuwa na ridhaa elfu ishirini na tano urefu wake na ridhaa elfu kumi upana.
کاهنان سهمی از این زمین خواهند داشت. سهم آنان از شرق به غرب دوازده کیلومتر و نیم و از شمال به جنوب پنج کیلومتر میباشد. خانهٔ خداوند در وسط زمین کاهنان قرار دارد. | 10 |
Haya yatakuwa matoleo ya hili fungu takatifu la nchi: makuhani watakuwa na nchi watakayopewa kipimo chake ridhaa elfu ishirini na tano urefu kwa upande kaskazini; ridhaa elfu kumi upana upande wa magharibi; urefu wa ridhaa elfu kumi upande wa magharibi; na urefu rithaa elfu ishirini na tano upande wa kusini, pamoja na mahali patakatifu pa Yahwe katikati yake.
این زمین برای کاهنان نسل صادوق است که مرا اطاعت نمودند و هنگامی که قوم اسرائیل و بقیهٔ قبیلهٔ لاوی گمراه شدند و گناه ورزیدند، ایشان مرا ترک نکردند. | 11 |
Hii itakuwa wakfu na makuhani wa safu ya Zadoki, aliyenitumikia kwa uaminifu na ambaye hakwenda nje ya mstari wakati watu wa Israeli walipoeenda nje ya mstari, kama Walawi walivyofanya.
هنگام تقسیم زمین، این قسمت که مقدّسترین زمین است، سهم مخصوص ایشان باشد. زمینی که کنار آن قرار دارد محل سکونت سایر لاویان است. | 12 |
Sadaka yao itakuwa fungu la hiyo nchi takatifu sana, karibu na mpaka wa Walawi.
شکل و اندازهٔ آن مثل زمین اول میباشد. این دو زمین روی هم دوازده و نیم کیلومتر طول و ده کیلومتر عرض دارند. | 13 |
Nchi ya Walawi karibu na mpaka wa nchi ya makuhani itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu kumi upana. Urefu wote wa eneo la nchi utakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu ishirini upana.
هیچ قسمتی از این زمین که ملک مقدّس خداوند است، نباید فروخته یا معاوضه و یا به کسی انتقال داده شود. این زمین مقدّس و متعلق به خداوند است. | 14 |
Hawataiuza au kuibadilisha; hakuna malimbuko ya hiyo nchi ya Israeli itakayogawanywa kutoka haya maeneo, kwa kuwa yote ni matakatifu kwa ajili ya Yahwe.
در جنوب ملک مقدّس خداوند، منطقهای به طول دوازده و نیم کیلومتر و عرض دو و نیم کیلومتر برای استفادهٔ عموم وجود دارد. قوم میتوانند در آن قسمت زندگی کنند و از زمین استفاده نمایند. شهر باید در وسط آن ساخته شود. | 15 |
Nchi iliyobaki, ridhaa elfu kumi na tano upana na ridhaa elfu ishirini na tano urefu, itakuwa kwa wote wanayoitumia hiyo nchi, nyumba, na sehemu ya malisho; huo mji utakuwa katikati yake.
این شهر به شکل مربعی به ضلع دو کیلومتر و دویست و پنجاه متر باشد. | 16 |
Hivi ndivyo vitakuwa vipimo vya mji: upande wa kaskazini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa kusini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa magharibi utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; na magharibi itakuwa ridhaa 4, 500 urefu.
دور تا دور شهر یک زمین خالی به عرض صد و بیست و پنج متر برای چراگاه تعیین شود. | 17 |
Kutakuwa na malisho ya mji kuelekea kaskazini, ridhaa 250 kwenda chini; hata kusini, ridhaa 250 kwenda chini; kuelekea mashariki, ridhaa 250 kwenda chini, na kuelekea magharibi ridhaa 250 kwenda chini.
دو مزرعه هر یک به طول پنج کیلومتر و عرض دو و نیم کیلومتر، یکی در طرف شرق و دیگری در طرف غرب شهر، متصل به ملک مقدّس باشد. این مزارع برای استفادهٔ عموم اهالی شهر میباشند. | 18 |
Eneo lililobaki la matoleo matakatifu litanyooshwa ridhaa elfu kumi hata mashariki na ridhaa elfu kumi kuelekea magharibi. Litanyooshwa karibu na mpaka wa matoleo matakatifu, na mazao yake yatakuwa chakula kwa ajili ya wale wanaofanya kazi katika nchi.
تمام ساکنان شهر، از هر قبیلهای که باشند میتوانند از آنها استفاده کنند. | 19 |
Wale wafanyao kazi katika mji, watu wote wa kabila za Israeli, watailima hiyo nchi.
تمام این منطقه با ملک مقدّس خداوند روی هم مربعی به ضلع دوازده و نیم کیلومتر تشکیل میدهند. | 20 |
Matoleo yote ya nchi yatapimwa ridhaa elfu ishirini na moja kwa ridhaa elfu ishirini na tano. Kwa njia hii mtatengeneza matoleo matakatifu ya nchi, pamoja na nchi kwa ajili mji.
زمینهای دو طرف این ناحیهٔ مربع شکل به حاکم تعلق دارد. این زمینها از شرق به مرز شرقی اسرائیل و از غرب به مرز غربی آن محدود هستند، و از شمال به زمین یهودا و از جنوب به زمین بنیامین ختم میشوند. | 21 |
Mabaki ya nchi mojawapo upande wa matoleo matakatifu na eneo la mji litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme. Eneo la nchi ya mwana wa mfalme kuelekea mashariki litanyooshwa kwa ridhaa elfu ishirini na tano kutoka kwenye mpaka wa matoleo matakatifu hata mpaka wa mashariki-na eneo lake kuelekea mpaka wa magharibi. Katikati kutakuwa matolea matakatifu, na mahali patakatifu pa hekalu patakuwa katikati yake.
Nchi imenyooka kutoka mali ya Walawi na eneo la mji katikati yake litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme; itakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benjamini-hiyo nchi itakuwa kwa ajili ya mwana wa mfame.
در جنوب زمین مخصوص، زمینهای سایر قبایل اسرائیل قرار دارند. سهم این قبایل که بین مرز شرقی اسرائیل و دریای مدیترانه در غرب قرار دارد به ترتیب از شمال به جنوب به شرح زیر است: بنیامین، شمعون، یِساکار، زِبولون، جاد. | 23 |
Kwa kabila zitakazobaki, mafungu yao yataunganishwa kutoka upande wa mashariki. Benjamini atapokea fungu moja.
Kupakana na mpaka wa Benjamini kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Simioni atakuwa na fungu moja.
Kupakana na mpaka wa Isakari kutakuwa na fungu moja.
Kupakana na mpaka wa Isakari kutoka mashariki hata magharibi, Zebuloni atakuwa na fungu moja.
Hata kusini mwa mpaka wa Zebuloni, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magahribi, kutakuwa na nchi ya Gadi-fungu moja.
مرز جنوبی جاد از تامار تا چشمههای مریبوت قادش کشیده شده، و از آنجا در مسیر رودخانهٔ مرزی مصر امتداد یافته به دریای مدیترانه میرسد. | 28 |
Mpaka wa kusini mwa Gadi kutanyooshwa kutoka Tamari hata kwenye maji ya Meriba Kadeshi, mbele hadi kijito cha Misri, na kisha hata Bahari kuu.
خداوند یهوه میفرماید: «سرزمین اسرائیل باید به این ترتیب بین دوازده قبیلهٔ اسرائیل تقسیم شود.» | 29 |
Hii ndiyo nchi ambayo mtakazo gawana; kutakuwa na urithi wa makabila ya Israeli. Haya yatakuwa mafungu yao. Hivi ndivy Bwana Yahwe asemavyo.
شهر دوازده دروازه دارد و هر دروازه به نام یکی از قبایل اسرائیل نامیده میشود. طول هر یک از حصارهای شهر دو کیلومتر و دویست و پنجاه متر است. دروازههای حصار شمالی به نام رئوبین، یهودا و لاوی میباشند. دروازههای حصار شرقی به نام یوسف، بنیامین و دان میباشند. دروازههای حصار جنوبی به نام شمعون، یساکار و زبولون میباشند. دروازههای حصار غربی به نام جاد، اشیر و نفتالی میباشند. | 30 |
Hawa ndio watakaoishi kutoka kwenye nchi: upande wa kaskazini, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu,
kutakuwa na malango matatu, yaitwayo kwa ajili ya Israeli: lango moja kwa ajili ya Rubeni, lango moja kwa ajili ya Yuda, na lango moja kwa ajili ya Walawi.
Kwa upande wa mashariki, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Yusufu, lango moja kwa ajili ya Benjamini, na lango moja kwa ajili ya Dani.
Kwa upande wa mashariki, kutakuwa na kipimo cha ridhaa 4, 500 urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Simioni, lango moja kwa ajili ya Isakari, na moja kwa ajili ya Zebuloni.
Kwa upande wa magharibi, ambao kipimo chake kitakuwa ridhaa 4, 500, kutakuwa ba malango matatu: lango moja kwa ajili ya Gadi, lango moja kwa ajili ya Asheri, na lango moja kwa ajili ya Naftali.
محیط شهر نُه کیلومتر و نام آن شهر نیز از این به بعد «خداوند آنجاست» خواهد بود. | 35 |
Umbali kuuzunguka mji utakuwa ridhaa elfu kumi na nane; kutoka hiyo siku, jina la huo mji litakuwa “Yahwe yupo hapo.”