< حِزِقیال 47 >

آن مرد بار دیگر مرا به راه ورودی خانهٔ خدا آورد. دیدم رودخانه‌ای از زیر آستانهٔ خانهٔ خدا به طرف مشرق جاری است و از سمت راست خانه، یعنی از سمت جنوبی قربانی می‌گذرد. 1
Kisha yule mtu akanirudisha nyuma kwenye lango la kuingia la hekalu, na kulikuwa na maji yakitiririka nje kutoka chini ya hekalu kizingiti cha nyumba kuelekea masharikii-kwa mbele ya hekalu kulekea mashariki-na maji yalikuwa yakitiririka chini upande wa kusini mwa hekalu, kuelekea upande wa kuume wa madhabahu.
سپس، مرا از راه دروازهٔ شمالی از حیاط بیرون آورد و از آنجا دور زده، به دروازهٔ شرقی حیاط بیرونی رفتیم. در آنجا دیدم آب رودخانه از سمت جنوبی دروازهٔ شرقی جاری بود. 2
Hivyo akanileta kwenye lango la kaskazini na kuniongoza kuzunguka lango kuelekea mashariki, na hapo maji yalikuwa yakitiririka kutoka lango hili kwa upande wa kusini yake.
آن مرد با چوب اندازه‌گیری خود پانصد متر در طول رودخانه به طرف شرق اندازه گرفت و در آنجا مرا با خود از آب عبور داد. آب در این نقطه از رودخانه به قوزک پایم می‌رسید. 3
Yule mtu alipokuwa akienda mashariki, kulikuwa na kamba ya kupimia kwenye mkono wake; akapima dhiraa elfu moja akanivusha kwenye maji hata maji yakafika kwenye magoti.
پانصد متر دیگر در طول رودخانه اندازه گرفت و باز به من گفت که از آن عبور کنم. این دفعه آب تا زانویم می‌رسید. 4
Kisha akapima dhiraa elfu moja ten akanivusha kwenye yale maji yaliyofika kwenye magoti; akapima dhiraa elfu kumi nyingine na kunivusha maji yakafika hata kwenye nyonga.
پانصد متر دورتر از آن آب تا کمرم می‌رسید. پانصد متر دیگر پیمود و این بار رودخانه به قدری عمیق بود که نمی‌توانستم از آن عبور کنم و مجبور بودم شناکنان از آن بگذرم. 5
Tena akapima dhiraa elfu moja nyingine, lakini ulikuwa mto ambao sikuweza kuuvuka kwa sababu maji yalizidi na yalijaa maji ya kuogelea ndani-yalikuwa mto usiovukika
او به من گفت آنچه را که دیده‌ام به خاطر بسپارم؛ بعد مرا از کنار آن رودخانه بازگرداند. 6
Yule mtu akanambia, “Mwanadamu, unaona hii?” akanipeleka na kunirudisha karibu na ukingo wa mto.
به هنگام بازگشت دیدم در دو طرف رودخانه درختان زیادی سبز شده‌اند! 7
Nilipokuwa nikirudi, hapo kwenye ukingo wa mto kulikuwa na miti mingi katika huu upande na upande mwingine pia.
او به من گفت: «این رودخانه از میان بیابان و درهٔ اردن به سمت شرق جاری است و به دریای مرده می‌ریزد و در آنجا آبهای شور را شفا می‌دهد و آنها را پاک و گوارا می‌گرداند. 8
Yule mtu akanambia, “Haya maji yanatoka kwenda pande za nchi ya mashariki na chini hata Araba; haya maji hutiririka kwenye Bahari ya Chumvi itaifanya kuwa mpya.
هر چیزی که با آب این رودخانه تماس پیدا کند، زنده می‌شود. ماهیان دریای مرده بی‌نهایت زیاد می‌شوند، چون آبهایش شفا می‌یابند. به هر جا که این آب جاری شود، در آنجا حیات پدید می‌آورد. 9
Itakuwa kwamba kila kiumbe hai kisongamanacho kitaishi mahali maji yanapoelekea; kutakuwa na samaki wengi, kwenye hayo maji yatiririkayo huko. Itafanya maji ya chumvi kuwa mapya. Kila kitu kitaishi popote mto utakapoelekea.
ماهیگیران در ساحل دریای مرده می‌ایستند و از عین جدی تا عین عجلایم مشغول ماهیگیری می‌شوند. ساحل آن پر از تورهای ماهیگیری خواهد شد که برای خشک شدن، آنها را جلوی آفتاب پهن کرده‌اند. دریای مرده مثل دریای مدیترانه از انواع ماهیها پر خواهد شد. 10
Kisha itatokea kwamba wavuvi wa En Gedi watasimama karibu na maji, na kutakuwa na sehemu ya kutandazia nyavu za samaki karibu na En Eglaimu. Kutakuwa na samaki nyingi za aina tofauti tofauti katika Bahari ya Chumvi, kama samaki kwenye Bahari Kuu kwa wingi wao.
ولی مردابها و باتلاقهایش شفا نخواهند یافت، بلکه همان‌طور شور باقی خواهند ماند. 11
Lakini Bahari ya Chumvi ikajaa maji na matope hayataachwa mapya; yataachwa yawe kwa ajili ya kutengeneza chumvi.
در سواحل دریای مرده انواع درختان میوه خواهند رویید که برگهایشان هرگز پژمرده نخواهند شد و درختان همیشه پر میوه خواهند بود و هر ماه محصول تازه به بار خواهند آورد، چون با آب رودخانه‌ای که از خانهٔ خدا جاری است، آبیاری خواهند شد. میوهٔ آنها خوراک مقوی و برگهای آنها شفابخش خواهد بود.» 12
Karibu na huo mto juu ya ukingo wake, pande zote, aina zote za miti utazaa chakula. Majani yake hayatanyauka na matunda yake hayataacha kukua. Kila mwezi miti itazaa matunda, kwa sababu maji kutoka patakatifu yatatirirka kwenda kwenye hiyo miti. Matunda yake yatakuwa kwa ajili ya chakula, na majani yake yatakuwa kwa ajili ya dawa.
خداوند یهوه می‌فرماید: «سرزمین اسرائیل باید به این ترتیب میان دوازده قبیلهٔ اسرائیل تقسیم شود: به قبیلهٔ یوسف (افرایم و منسی) دو قسمت داده شود، 13
Bwana Yahwe asema hivi: Hii itakuwa njia ambayo mtaigawanya nchi kwa ajili ya kabila kumi na mbili za Israeli: Yusufu atakuwa na mafungu mawili.
ولی به هر یک از قبیله‌های دیگر یک قسمت به طور مساوی داده شود. من برای پدرانتان قسم خورده بودم که این زمین را به ایشان بدهم، پس، حال، این زمین ملک شما خواهد بود. 14
Mtaigawa kila mtu sawa sawa ambayo niliinua mkono wangu na kuapa kuwapa baba zenu. Hii nchi itakuja kuwa urithi kwenu.
«مرز شمالی از دریای مدیترانه تا شهر حتلون و از آنجا تا گذرگاه حمات و از آنجا تا شهر صدد ادامه می‌یابد، 15
Huu utakuwa mpaka wa nchi upande wa kaskazini kutoka Bahari Kubwa kwa njia ya Hethloni, na kisha kuelekea Zedada.
سپس به سمت بیروته و سبرایم که در مرز میان دمشق و حمات قرار دارند پیش می‌رود و به شهر تیکن که در سرحد حوران است، ختم می‌شود. 16
Kisha mpaka utaenda hata Berotha, hadi Sibraimu, iliyopo kati ya Damaskasi na Hamathi, na kisha hata Hazer-hatikoni, iliyopo karibu na mpaka wa Haurani.
پس مرز شمالی از دریای مدیترانه تا شهر عینون در شرق خواهد بود و حمات و دمشق در شمال آن قرار خواهند داشت. 17
Hivyo mpaka utaenda kutoka kwenye bahari hadi Hazar-enoni kwenye mpaka wa Damaskasi na Hamathi hata kaskazini. Huu utakuwa upande wa kaskazini.
«مرز شرقی، از شهر عینون تا کوه حوران خواهد بود. سپس از آنجا به سمت غرب پیچیده در دماغهٔ جنوبی دریای جلیل به رود اردن می‌رسد. از آنجا در امتداد رود اردن پیش می‌رود و از کنار دریای مرده گذشته به تامار می‌رسد و اسرائیل را از جلعاد جدا می‌کند. زمین حوران، دمشق و جلعاد در شرق آن قرار خواهند داشت. 18
Kwa upande wa mashariki, kati ya Haurani na Damaskasi na kati ya Geliadi na nchi ya Israeli kutakuwa na mto Yordani. Mtapima kutoka kwenye mpaka hata kwenye bahari ya mashariki; huo wote utakuwa mpaka wa mashariki.
«مرز جنوبی از تامار تا چشمه‌های مریبوت قادش کشیده شده، از آنجا در مسیر رودخانهٔ مرزی مصر امتداد یافته، به دریای مدیترانه می‌رسد. 19
Kisha upande wa kusini: kusini mwa Tamari hadi kwenye maji ya Meriba Kadeshi, kijito cha Misri hata Bahari Kuu, na upande wa kusini kuelekea kusini.
«مرز غربی از انتهای مرز جنوبی آغاز شده در امتداد دریای مدیترانه ادامه می‌یابد و به مرز شمالی ختم می‌شود. 20
Kisha mpaka wa magharibi utakuwa Bahari Kuu utaelekea hata nyuma ya Hamathi. Huu utakuwa upande wa mgharibi.
«زمین محدود میان این مرزها باید بین قبایل اسرائیل تقسیم شود. 21
Kwa njia hii mtaigawanya hii nchi kwa ajili yenu wenyewe, kwa kabila za Israeli.
زمین را چون یک ارث برای خودتان و برای غریبان و خانواده‌های ایشان که در میان شما هستند، تقسیم نمایید. آنها باید از همان حقوق و مزایای شما اسرائیلی‌ها برخوردار باشند. 22
Hivyo mtagawana urithi kwa ajili yenu wenyewe na kwa ajili ya wageni walio kati yenu, wale watakaozaa watoto kati yenu na waliokuwa, kati yenu, kama wazaliwa wa watu wa Israeli. Mtapewa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.
سهم این غریبه‌ها باید از زمینهای قبیله‌ای که در آن زندگی می‌کنند، به ایشان داده شود. این را من که خداوند یهوه هستم گفته‌ام.» 23
Kisha itatokea kwamba wageni watakuwa pamoja na kabila miongoni mwa yule anayeishi. Mtapatia urithi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”

< حِزِقیال 47 >