< حِزِقیال 44 >
سپس، آن مرد مرا دوباره به دروازهٔ شرقی حیاط بیرونی برد، ولی دروازه بسته بود. | 1 |
Kisha yule mtu akanirudisha hata lango la nje la patakatifu linaloelekea mashariki; lilikuwa limefungwa kwa kukazwa.
خداوند به من گفت: «این دروازه باید همیشه بسته باشد و هرگز باز نشود. هیچکس از آن عبور نکند، زیرا من که یهوه، خدای اسرائیل هستم از آن داخل شدهام؛ پس باید بسته بماند. | 2 |
Yahwe akanambia, “Hili lango litakuwa limefungwa; halitafunguliwa. Hakuna mtu atakaye pitia hapo, kwa kuwa Yahwe, Mungu wa Israeli ameingia kwa hilo, hivyo lilikuwa limefungwa kwa kukazwa.
فقط حاکم میتواند در محوطهٔ دروازه بنشیند و در حضور من خوراک مقدّس بخورد. ولی او فقط از راه اتاق بزرگ واقع در انتهای دروازه میتواند وارد محوطهٔ دروازه شود و از آن هم بیرون برود.» | 3 |
Mtawala wa Israeli atakaa katika hilo kula chakula mbele ya Yahwe. Ataingia kwa njia ya varanda na kutoka kwa njia hiyo hiyo.”
آنگاه آن مرد مرا از راه دروازهٔ شمالی به جلوی خانهٔ خدا آورد. نگاه کردم و دیدم حضور پرجلال خداوند، خانه را پر کرد. به خاک افتادم و سجده کردم. | 4 |
Kisha akaniletea kwa njia ya lango la kaskazini linaloelekea kwenye nyumba. Hivyo nikaona na kutazama, utukufu wa Yahwe umejaa kwenye nyumba ya Yahwe, nikaanguka kifudifudi.
خداوند به من فرمود: «ای پسر انسان، به آنچه میبینی و میشنوی به دقت توجه نما و قوانین خانهٔ خدا را که به تو میگویم مراعات کن. مواظب باش افراد ناشایست وارد خانهٔ خدا نشوند. | 5 |
Kisha Yahwe akanambia, “Mwanadamu, andaa moyo wako na tazama kwa macho yako na sikiliza kwa masikio yako kwa yote yale nikuambiayo, kwa amri zote za nyumba ya Yahwe na maagizo yote. Fikiri kuhusu malango ya nyumba na na matokeo ya malango.
به قوم سرکش اسرائیل بگو که خداوند یهوه میفرماید: ای بنیاسرائیل، شما هنگام تقدیم قربانی به من، اشخاص اجنبی ختنه نشدهٔ سرکش را به خانهٔ من آورده و آن را آلوده کردهاید. پس علاوه بر همهٔ گناهانتان، عهد مرا هم شکستهاید. | 6 |
Kisha waambie wale walioasi, nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Acheni matendo yenu maovu kwenu, nyumba ya Israeli-
ambayo mmewaleta wageni pamoja na wasiotahiriwa mioyo na wasiotahiriwa mwili kuwa katika patakatifu pangu, kuikufuru nyumba yangu, wakati mlipokuwa mnanitolea chakula, mafuta na damu-mmevunja agano langu kwa matendo yenu maovu.
وظایف مقدّسی را که به شما سپرده بودم انجام ندادهاید، بلکه اجنبیها را اجیر کردهاید تا امور مقدّس خانهٔ مرا اداره کنند.» | 8 |
Hamkumaliza kazi zenu zinazohusiana na vitu vitakatifu, lakini mmewateua wengine kuchukua kazi zenu, na mmewatuma kupaangalia mahali patakatifu pangu.
خداوند یهوه میفرماید: «هیچ اجنبی ختنه نشدهٔ سرکشی حق ندارد داخل خانهٔ مقدّس من شود، حتی آن اجنبیهایی که در میان قوم اسرائیل زندگی میکنند! | 9 |
Bwana Yahe asema hivi: hakuna mgeni, ambaye hajatahiriwa kwenye moyo wake na mwili, kutoka yeyote wa hao waishio miongoni mwa watu wa Israeli, awezaye kuingia patakatifu pangu.
مردان قبیلهٔ لاوی باید تنبیه شوند، چون وقتی قوم اسرائیل از من دور شدند و به سوی بتها روی آوردند، ایشان نیز مرا ترک کردند. | 10 |
Kisha Walawi wakaenda mbali nami-wakapotea mbali nami, kwenda kwenye sanamu zao-lakini watalipa kwa ajili ya dhambi yao.
آنها میتوانند در خانهٔ خدا به عنوان نگهبان خدمت کنند و به کارهای آن رسیدگی نمایند. ایشان باید حیواناتی را که برای قربانی سوختنی آورده میشوند، سر ببرند و آماده باشند تا به قوم کمک کنند. | 11 |
Wao ni watumishi katika patakatifu pangu, waangalizi wa malango ya nyumba na kutumika kwenye nyumba na kuchinja sadaka za kuteketezwa na dhabihu za watu, na watasimama mbele za watu na kuwatumikia.
ولی چون ایشان قوم مرا به پرستش خدایان دیگر ترغیب نمودند و باعث شدند آنها در گناه غرق شوند، به این سبب من که خداوند یهوه هستم قسم میخورم که ایشان را تنبیه کنم. | 12 |
Lakini kwa sababu wamefanya dhabihu mbele ya sanamu zao, wamekuwa kikwazo kwa dhambi ya nyumba ya Israeli. Kwa hiyo nitainua mkono wangu kuapa kiapo dhidi yao-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-watabeba adhabu yao.
آنها نباید به من نزدیک شوند و به عنوان کاهن مرا خدمت کنند. به هیچکدام از اشیاء مقدّس من نباید دست بزنند. بدین ترتیب ایشان سزای گناهانی را که مرتکب شدهاند میبینند و رسوا میشوند. | 13 |
Hawatakuja karibu nami kufanya kama makuhani au kukaribiakila vitu vyangu vitakatifu, vitu vitakatifu sana. Badala yake, watabeba lawama zao na hatia zao kwa ajili ya matendo yao ya karaha waliyoyafanya.
ایشان فقط به عنوان نگهبان در خانهٔ من خدمت خواهند کرد و قوم را در کارهای عادی کمک خواهند نمود. | 14 |
Lakini nitawaweka kama watunzaji wa kazi katika nyumba, kwa kazi zote na kila kitu kitakachofanyika ndani yake.
«اما وقتی بنیاسرائیل به سبب بتها مرا ترک کردند، از قبیلهٔ لاوی، فقط پسران صادوق به خدمت کاهنی خود در خانهٔ من ادامه دادند. بنابراین فقط اینها باید به حضور من بیایند و مرا خدمت کنند و قربانیها را تقدیم نمایند. | 15 |
Kisha makuhani walawi, hao wana wa Zadoki ambao waliokamilisha kazi ya patakatifu pangu wakati wana wa Israeli walipotea mbali nami-watakuja karibu nami kuniambudu. Watasimama mbele yangu kunitolea mafuta na damu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
فقط ایشان به خانهٔ من داخل خواهند شد و به مذبح من نزدیک خواهند شد. آنها در حضور من خدمت کرده، مراسم مرا بجا خواهند آورد. | 16 |
Watakuja hata patakatifu pangu; wataikaribia meza yangu kuniabudu na kukamilisha kazi zao kwangu.
«وقتی بخواهند از دروازه وارد حیاط داخلی بشوند، باید فقط لباس کتانی بپوشند. به هنگام خدمت در حیاط داخلی یا در خانهٔ خدا نباید هیچ لباس پشمی بر تن داشته باشند. | 17 |
Hivyo itakuwa kwamba watakapokuja kwenye malango ya ua wa ndani, watatakiwa kuvaa mavazi ya kitani, kwa kuwa hawatakuja na sufu ndani ya lango la ua wa ndani na nyumba yake.
دستارها و زیر جامههای ایشان باید از پارچهٔ کتان باشد. چیزی که ایجاد عرق کند نباید بپوشند. | 18 |
Kutakuwa na vilemba juu ya vichwa vyao na kitani ndani ya viuno vyao. Ndani wasivae nguo ambayo itawafanya watoke jasho.
وقتی به حیاط بیرونی نزد قوم باز میگردند، باید لباسهای خدمت را از تن خود درآورند و در اتاقهای مقدّس بگذارند و لباسهای دیگر بپوشند، مبادا قوم به لباسهای مقدّس آنها دست بزنند و صدمهای ببینند. | 19 |
Wakati watakapotoka nje ya ua wa nje, hata kwenye ua wa ndani ili kwenda kwa watu, watavua nguo zao walizokuwa wamezivaa kisha wakatumika; watazivua na kuziweka chini katika chumba kitakatifu, hivyo wasiwafanye wengine watakatifu kwa kugusana na nguo zao maalumu.
«آنها نباید موی سر خود را بتراشند یا موی بلند داشته باشند، بلکه باید آن را کوتاه کنند. | 20 |
Hawatanyoa vichwa vyao wala kuruhusu nywele zao kuwa ndefu, watapunguza nywele za vichwa vyao.
وقتی کاهنی وارد حیاط داخلی میشود نباید شراب خورده باشد. | 21 |
Hakuna kuhani atakaye ruhusiwa kunywa mvinyo wakati atakapoingia kwenye uwa wa ndani,
او مجاز است فقط با یک دختر یهودی باکره یا بیوهای که شوهرش کاهن بوده ازدواج کند. او نمیتواند با زنی که طلاق داده شده ازدواج کند. | 22 |
hakuna kuchukua mjane au mwanamke aliyetalikiwa kama mke kwa ajili yake, lakini mwali kutoka safu ya nyumba ya Israeli au mjane aliyekuwa ameolewa na kuhani aliyepita.
«کاهنان باید فرق میان چیزهای مقدّس و نامقدّس، پاک و ناپاک را به قوم من تعلیم دهند. | 23 |
Kwa kuwa watawafundisha watu wangu tofauti kati ya utakatifu na kukufuru; watawafanya kujua uchafu kutoka usafi.
«کاهنان در مقام قاضی، باید اختلاف موجود میان قومم را حل و فصل کنند. هر حکمی که صادر کنند باید بر اساس قوانین من باشد. کاهنان باید در تمام عیدهای مقدّس، قوانین و دستورهای مرا بجا آورند و مواظب باشند که حرمت روز شَبّات نگه داشته شود. | 24 |
Katika kubishana watasimama kwenye hukumu pamoja na amri yangu; watakuwa waadilifu. Watashika sheria yangu na amri zangu katika sikukuu, na watasherekea siku yangu ya Sabato.
«کاهن نباید به بدن شخص مرده نزدیک شود و خود را نجس سازد. مگر آنکه آن بدن، جسد پدر یا مادرش، پسر یا دخترش، برادر یا خواهری که شوهر نداشته، باشد. | 25 |
Hawataenda kwa mtu aliyekufa ili wasiwe najisi, vinginevyo awe ni baba au mama yao, mwana wa kiume au binti, kaka au dada ambaye hajawahi kulala na mtu; vinginevyo, watakuwa najisi.
در این صورت، پس از طاهر شدن باید هفت روز صبر کند تا باز بتواند به وظایف خود در خانهٔ خدا ادامه دهد. | 26 |
Baada ya kuhani kuwa najisi, watahesabu mda wa siku saba kwa ajili yake.
روز اول که به سر کار خود باز میگردد و وارد حیاط داخلی و خانهٔ خدا میشود، باید برای خود قربانی گناه تقدیم کند. این را من که خداوند یهوه هستم میگویم. | 27 |
Katika siku atakayoingia mahali patakatifu, ndani kwenye uzio kutumika katika mahali patakatifu, ataleta sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
«کاهنان نباید ملک داشته باشند. چون من میراث و ملک ایشان هستم! | 28 |
Hapa patakuwa urithi wao: Mimi ndiyo urithi wao, na usiwapatie mali katika Israeli; nitakuwa mali yao!
«خوراک ایشان از هدایای آردی و قربانیهای گناه و قربانیهای جرم که قوم به خانهٔ خدا میآورند تأمین میشود. هر کس هر چه به خداوند تقدیم نماید به کاهنان تعلق میگیرد. | 29 |
Watakula chakula cha sadaka, sadaka za dhambi, sadaka za hatia, na kila kitakachotolewa kwa ajili ya Yahwe katika Israeli, vitakuwa vyao.
نوبر همهٔ محصولات و تمام هدایایی که به خداوند وقف میکنید مال کاهنان خواهد بود. نوبر محصول غلههایتان را هم باید به کاهنان بدهید تا خداوند خانههایتان را برکت دهد. | 30 |
Malimbuko ya kwanza ya vitu na kila sadaka, kila kitu kitokanacho na sadaka zenu vitakuwa mali ya makuhani, mtatoa sadaka ya chakula kizuri kwa makuhani ili kwamba baraka iweze kukaa katika nyumba zenu.
کاهنان نباید گوشت پرنده و حیوانی را که مرده یا بهوسیله جانوری دریده شده، بخورند. | 31 |
Makuhani hawatakula mzoga au mnyama aliyeraruliwa, iwe ni ndege au mnyama.