< حِزِقیال 44 >

سپس، آن مرد مرا دوباره به دروازهٔ شرقی حیاط بیرونی برد، ولی دروازه بسته بود. 1
Ndipo yule mtu akanirudisha mpaka kwenye lango la nje la mahali Patakatifu, lile linaloelekea upande wa mashariki, nalo lilikuwa limefungwa.
خداوند به من گفت: «این دروازه باید همیشه بسته باشد و هرگز باز نشود. هیچ‌کس از آن عبور نکند، زیرا من که یهوه، خدای اسرائیل هستم از آن داخل شده‌ام؛ پس باید بسته بماند. 2
Bwana akaniambia, “Lango hili litabaki limefungwa. Haliruhusiwi kufunguliwa, wala hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa kuingilia kwenye lango hili. Litabaki limefungwa kwa sababu Bwana, Mungu wa Israeli, ameingia kwa kupitia lango hili.
فقط حاکم می‌تواند در محوطهٔ دروازه بنشیند و در حضور من خوراک مقدّس بخورد. ولی او فقط از راه اتاق بزرگ واقع در انتهای دروازه می‌تواند وارد محوطهٔ دروازه شود و از آن هم بیرون برود.» 3
Yeye aliye mkuu peke yake ndiye anayeweza kukaa penye njia ya hilo lango na kula chakula mbele za Bwana. Itampasa aingie kwa njia hiyo ya lango la ukumbini na kutokea njia iyo hiyo.”
آنگاه آن مرد مرا از راه دروازهٔ شمالی به جلوی خانهٔ خدا آورد. نگاه کردم و دیدم حضور پرجلال خداوند، خانه را پر کرد. به خاک افتادم و سجده کردم. 4
Kisha yule mtu akanileta kwa njia ya lango la kaskazini mpaka mbele ya Hekalu. Nikatazama nami nikauona utukufu wa Bwana ukilijaza Hekalu la Bwana, nami nikaanguka kifudifudi.
خداوند به من فرمود: «ای پسر انسان، به آنچه می‌بینی و می‌شنوی به دقت توجه نما و قوانین خانهٔ خدا را که به تو می‌گویم مراعات کن. مواظب باش افراد ناشایست وارد خانهٔ خدا نشوند. 5
Bwana akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa uangalifu, usikilize kwa bidii na uzingatie kila kitu ninachokuambia kuhusu masharti yote yanayohusu Hekalu la Bwana. Uwe mwangalifu kuhusu wale wanaoruhusiwa hekaluni na wale wasioruhusiwa kuingia mahali patakatifu.
به قوم سرکش اسرائیل بگو که خداوند یهوه می‌فرماید: ای بنی‌اسرائیل، شما هنگام تقدیم قربانی به من، اشخاص اجنبی ختنه نشدهٔ سرکش را به خانهٔ من آورده و آن را آلوده کرده‌اید. پس علاوه بر همهٔ گناهانتان، عهد مرا هم شکسته‌اید. 6
Iambie nyumba ya kuasi ya Israeli, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Matendo yenu ya machukizo yatosha, ee nyumba ya Israeli!
7
Zaidi ya matendo yenu yote ya machukizo, mmewaleta wageni wasiotahiriwa mioyo na miili katika patakatifu pangu, mkilinajisi Hekalu langu, huku mkinitolea chakula, mafuta ya wanyama na damu, nanyi mmevunja Agano langu.
وظایف مقدّسی را که به شما سپرده بودم انجام نداده‌اید، بلکه اجنبی‌ها را اجیر کرده‌اید تا امور مقدّس خانهٔ مرا اداره کنند.» 8
Badala ya kutimiza wajibu wenu kuhusiana na vitu vyangu vitakatifu, mmeweka watu wengine kuwa viongozi katika patakatifu pangu.
خداوند یهوه می‌فرماید: «هیچ اجنبی ختنه نشدهٔ سرکشی حق ندارد داخل خانهٔ مقدّس من شود، حتی آن اجنبی‌هایی که در میان قوم اسرائیل زندگی می‌کنند! 9
Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Hakuna mgeni asiyetahiriwa moyo na mwilini anayeruhusiwa kuingia patakatifu pangu, wala hata wageni wanaoishi miongoni mwa Waisraeli.
مردان قبیلهٔ لاوی باید تنبیه شوند، چون وقتی قوم اسرائیل از من دور شدند و به سوی بتها روی آوردند، ایشان نیز مرا ترک کردند. 10
“‘Walawi walioniacha wakati Waisraeli walipopotoka wakatoka kwangu na kutangatanga kwa kufuata sanamu zao, watachukua adhabu ya dhambi zao.
آنها می‌توانند در خانهٔ خدا به عنوان نگهبان خدمت کنند و به کارهای آن رسیدگی نمایند. ایشان باید حیواناتی را که برای قربانی سوختنی آورده می‌شوند، سر ببرند و آماده باشند تا به قوم کمک کنند. 11
Wanaweza wakatumika katika mahali patakatifu pangu, wakiwa na uangalizi wa malango ya Hekalu, nao watachinja sadaka za kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya watu na kusimama mbele ya watu ili kuwahudumia.
ولی چون ایشان قوم مرا به پرستش خدایان دیگر ترغیب نمودند و باعث شدند آنها در گناه غرق شوند، به این سبب من که خداوند یهوه هستم قسم می‌خورم که ایشان را تنبیه کنم. 12
Lakini kwa sababu waliwatumikia watu mbele ya sanamu zao na kuifanya nyumba ya Israeli ianguke kwenye dhambi, kwa hiyo nimeapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba ni lazima wachukue matokeo ya dhambi yao, asema Bwana Mwenyezi.
آنها نباید به من نزدیک شوند و به عنوان کاهن مرا خدمت کنند. به هیچ‌کدام از اشیاء مقدّس من نباید دست بزنند. بدین ترتیب ایشان سزای گناهانی را که مرتکب شده‌اند می‌بینند و رسوا می‌شوند. 13
Hawaruhusiwi kukaribia ili kunitumikia kama makuhani wala kukaribia chochote changu kilicho kitakatifu au sadaka iliyo takatifu kupita zote, bali watachukua aibu ya matendo yao ya kuchukiza.
ایشان فقط به عنوان نگهبان در خانهٔ من خدمت خواهند کرد و قوم را در کارهای عادی کمک خواهند نمود. 14
Lakini nitawaweka katika uangalizi wa Hekalu na kazi zote zile zinazotakiwa kufanyika ndani yake.
«اما وقتی بنی‌اسرائیل به سبب بتها مرا ترک کردند، از قبیلهٔ لاوی، فقط پسران صادوق به خدمت کاهنی خود در خانهٔ من ادامه دادند. بنابراین فقط اینها باید به حضور من بیایند و مرا خدمت کنند و قربانیها را تقدیم نمایند. 15
“‘Lakini makuhani, ambao ni Walawi na wazao wa Sadoki, ambao walitimiza wajibu wao kwa uaminifu katika patakatifu pangu wakati Waisraeli walipopotoka, watakaribia ili kutumika mbele zangu. Itawapasa wasimame mbele zangu ili kutoa dhabihu za mafuta ya wanyama na damu, asema Bwana Mwenyezi.
فقط ایشان به خانهٔ من داخل خواهند شد و به مذبح من نزدیک خواهند شد. آنها در حضور من خدمت کرده، مراسم مرا بجا خواهند آورد. 16
Wao peke yao ndio wenye ruhusa ya kuingia mahali patakatifu pangu. Wao peke yao ndio watakaokaribia meza yangu ili kuhudumu mbele zangu na kufanya utumishi wangu.
«وقتی بخواهند از دروازه وارد حیاط داخلی بشوند، باید فقط لباس کتانی بپوشند. به هنگام خدمت در حیاط داخلی یا در خانهٔ خدا نباید هیچ لباس پشمی بر تن داشته باشند. 17
“‘Watakapoingia kwenye malango ya ukumbi wa ndani, watavaa nguo za kitani safi, hawaruhusiwi kamwe kuvaa mavazi ya sufu wakati wanapokuwa wakihudumu kwenye malango ya ukumbi wa ndani wala ndani ya Hekalu.
دستار‌ها و زیر جامه‌های ایشان باید از پارچهٔ کتان باشد. چیزی که ایجاد عرق کند نباید بپوشند. 18
Watavaa vilemba vya kitani safi vichwani mwao na nguo za ndani za kitani safi viunoni mwao. Hawatavaa chochote kitakachowafanya kutoa jasho.
وقتی به حیاط بیرونی نزد قوم باز می‌گردند، باید لباسهای خدمت را از تن خود درآورند و در اتاقهای مقدّس بگذارند و لباسهای دیگر بپوشند، مبادا قوم به لباسهای مقدّس آنها دست بزنند و صدمه‌ای ببینند. 19
Watakapotoka ili kuingia katika ukumbi wa nje mahali watu walipo, watavua nguo walizokuwa wakihudumu nazo na wataziacha katika vyumba vitakatifu nao watavaa nguo nyingine, ili kwamba wasije wakaambukiza watu utakatifu kwa njia ya mavazi yao.
«آنها نباید موی سر خود را بتراشند یا موی بلند داشته باشند، بلکه باید آن را کوتاه کنند. 20
“‘Hawatanyoa nywele za vichwa vyao wala kuziacha ziwe ndefu, bali watazipunguza.
وقتی کاهنی وارد حیاط داخلی می‌شود نباید شراب خورده باشد. 21
Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.
او مجاز است فقط با یک دختر یهودی باکره یا بیوه‌ای که شوهرش کاهن بوده ازدواج کند. او نمی‌تواند با زنی که طلاق داده شده ازدواج کند. 22
Wasioe wanawake wajane wala walioachika, inawapasa kuoa wanawake bikira wenye heshima wa Israeli au wajane wa makuhani.
«کاهنان باید فرق میان چیزهای مقدّس و نامقدّس، پاک و ناپاک را به قوم من تعلیم دهند. 23
Watawafundisha watu wangu tofauti kati ya vitu vitakatifu na vitu vya kawaida na kuwaonyesha jinsi ya kupambanua kati ya vitu najisi na vitu safi.
«کاهنان در مقام قاضی، باید اختلاف موجود میان قومم را حل و فصل کنند. هر حکمی که صادر کنند باید بر اساس قوانین من باشد. کاهنان باید در تمام عیدهای مقدّس، قوانین و دستورهای مرا بجا آورند و مواظب باشند که حرمت روز شَبّات نگه داشته شود. 24
“‘Katika magombano yoyote, makuhani watatumika kama mahakimu na kuamua hilo jambo kufuatana na sheria zangu. Watazishika sheria zangu na maagizo yangu katika sikukuu zangu zote zilizoamriwa, nao watatakasa Sabato zangu.
«کاهن نباید به بدن شخص مرده نزدیک شود و خود را نجس سازد. مگر آنکه آن بدن، جسد پدر یا مادرش، پسر یا دخترش، برادر یا خواهری که شوهر نداشته، باشد. 25
“‘Kuhani asijitie unajisi kwa kukaribia maiti, lakini, kama mtu aliyekufa alikuwa baba yake au mama yake, mwana au binti yake, ndugu yake au dada ambaye hajaolewa, basi aweza kujitia unajisi kwa hao.
در این صورت، پس از طاهر شدن باید هفت روز صبر کند تا باز بتواند به وظایف خود در خانهٔ خدا ادامه دهد. 26
Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.
روز اول که به سر کار خود باز می‌گردد و وارد حیاط داخلی و خانهٔ خدا می‌شود، باید برای خود قربانی گناه تقدیم کند. این را من که خداوند یهوه هستم می‌گویم. 27
Siku atakapoingia katika ukumbi wa ndani wa mahali patakatifu ili kuhudumu, atatoa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe, asema Bwana Mwenyezi.
«کاهنان نباید ملک داشته باشند. چون من میراث و ملک ایشان هستم! 28
“‘Mimi nitakuwa ndio urithi pekee walio nao makuhani katika Israeli. Msiwape wao milki, mimi nitakuwa milki yao.
«خوراک ایشان از هدایای آردی و قربانیهای گناه و قربانیهای جرم که قوم به خانهٔ خدا می‌آورند تأمین می‌شود. هر کس هر چه به خداوند تقدیم نماید به کاهنان تعلق می‌گیرد. 29
Wao watakula sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia na kila kitu kitakachotolewa kwa Bwana katika Israeli kitakuwa chao.
نوبر همهٔ محصولات و تمام هدایایی که به خداوند وقف می‌کنید مال کاهنان خواهد بود. نوبر محصول غله‌هایتان را هم باید به کاهنان بدهید تا خداوند خانه‌هایتان را برکت دهد. 30
Yote yaliyo bora ya malimbuko ya vitu vyote na matoleo yenu maalum vitakuwa vya makuhani. Inawapasa kuwapa malimbuko ya kwanza ya unga wenu ili kwamba baraka ipate kuwa katika nyumba zenu.
کاهنان نباید گوشت پرنده و حیوانی را که مرده یا به‌وسیله جانوری دریده شده، بخورند. 31
Makuhani hawaruhusiwi kula chochote, ikiwa ni ndege au mnyama, aliyekutwa akiwa amekufa au aliyeraruliwa na wanyama pori.

< حِزِقیال 44 >