< حِزِقیال 35 >
پیغام دیگری از جانب خداوند به من رسید: «ای پسر انسان، رو به کوه سعیر بایست و بر ضد ساکنانش پیشگویی کن و بگو: | 1 |
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
“Mwanadamu, weka uso wako juu ya Mlima Seiri na tabiri dhidi yake.
«خداوند یهوه میفرماید: ای ادومیها، من بر ضد شما هستم و سرزمین شما را به کلی ویران و متروک خواهم کرد. | 3 |
Uiambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni juu yako, Mlima Seiri, nitakupiga kwa mkono wangu na kukufanya ukiwa na tishio.
شهرهایتان را خراب و ویران خواهم نمود تا بدانید که من یهوه هستم. | 4 |
Nitaiharibu miji yenu, na wewe mwenyewe utakuwa ukiwa; kisha utajua kuwa mimi ni Yahwe.
شما دائم با اسرائیل دشمنی کردهاید. وقتی بنیاسرائیل در مصیبت بودند و به سبب گناهانشان مجازات میشدند، شما هم در کشتار آنها شریک گشتید. | 5 |
Kwa sababu umekuwa adui kwa watu wangu Israeli siku zote, na kwa sababu umewatoa kwenye mikono ya upanga wakati wa mateso yao, wakati adhabu yao itakapokuwa katika ukubwa wake.
به حیات خود قسم، حال که از خونریزی لذت میبرید، من هم خون شما را میریزم. | 6 |
Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-nitaandaa kwa ajili ya damu, na damu na kukufutilia! Kwa kuwa hukuchukia damu, damu itakufuatilia.
کوه سِعیر را ویران و متروک میکنم و تمام کسانی را که از آن عبور کنند از بین میبرم. | 7 |
Nitaufanya Mlima Seiri mkamilifu na ukiwa wakati nitakapoukatilia mbali kutoka huo yeyote apitaye na arudiye tena.
کوهها، تپهها، درهها و رودخانههایتان را از اجساد کشتهشدگان با شمشیر پر میسازم. | 8 |
Kisha nitaijaza milima kwa watu wao waliokufa. Milima yako na mabonde na mifereji-wale walioawa kwa upanga wataanguka kati yao.
سرزمین شما را برای همیشه ویران میکنم و شهرهایتان دیگر هرگز آباد نخواهند شد تا بدانید که من یهوه هستم. | 9 |
Nitakufanya mkiwa daima. Miji yako haitakaliwa na watu, lakini mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
«با اینکه من در سرزمین اسرائیل و یهودا حضور دارم، ولی شما گفتهاید این دو قوم مال ما هستند و ما سرزمین آنها را به تصرف خود درمیآوریم. | 10 |
Umesema, “Haya mataifa mawili na hizi nchi mbili zitakuwa zangu, na tutazimiliki,” hata wakati Yahwe alipokuwa pamoja nao.
پس، به حیات خود قسم، خشم و حسد و کینهای را که نسبت به قوم من داشتید تلافی خواهم کرد. هنگامی که شما را مجازات کنم، بنیاسرائیل خواهند دانست که به سبب آنچه که بر سر ایشان آوردهاید شما را مجازات کردهام. | 11 |
Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-hivyo nitafanya kulingana na hasira yako na kulingana na wivu wako ambao uliousikia katika chuki yako ya Israeli, na nitajidhihirisha kwao nitakapokuhukumu.
شما نیز خواهید دانست که من سخنان کفرآمیز شما را شنیدهام که گفتهاید سرزمین قوم اسرائیل خراب شده و ما آنها را خواهیم بلعید. | 12 |
Hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe. Nimeyasikia matukano yako yote uliyasema dhidi ya milima ya Israeli, uliposema, “Wameharibiwa; wametolewa kwetu tuwale.
شما بر ضد من سخنان تکبرآمیز بسیار گفتهاید و من همهٔ آنها را شنیدهام!» | 13 |
“Nanyi mmejitukuza juu yangu kwa kile mlichokisema, na mmeongeza maneno juu yangu; na kuyasikia yote.
خداوند یهوه به اهالی سِعیر میفرماید: «وقتی سرزمین شما را ویران کنم، تمام مردم جهان شادی خواهند کرد. | 14 |
Bwana Yahwe asema hivi: Nitakufanya ukiwa, wakati dunia nzima itakapofurahi.
هنگامی که سرزمین من اسرائیل ویران شد شما خوشحال شدید و اکنون من برای ویران شدن سرزمین شما شادی میکنم! ای کوه سِعیر، ای سرزمین ادوم، شما به کلی ویران خواهید شد. آنگاه همه خواهید دانست که من یهوه هستم!» | 15 |
Kama vile unavyofurahi juu ya urithi wa watu wa Israeli kwa sababu ukiwa ya wake, ndivyo nitakavyokutenda wewe. Utakuwa ukiwa, Mlima Seiri, na Edomu yote! Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'