< حِزِقیال 27 >
خداوند به من فرمود: «ای پسر انسان، برای صور این مرثیهٔ غمانگیز را بخوان: | 1 |
Tena neno la Yahwe likanijia, kusema,
“Sasa wewe, mwanadamu, anza kuomboleza kuhusiana na Tiro,
«ای شهر مقتدر بندری، ای مرکز تجارت دنیا، به پیام خداوند یهوه گوش کن! میگویی که در تمام دنیا شهری زیباتر از تو نیست. | 3 |
na mwambie Tiro, aishiye kwenye malango ya bahari, manahodha wa watu hata visiwa vingi, Bwana Yahwe asema hivi kwako: Tiro, umesema, mimi ni ukamilifu katika uzuri.'
تو حدود خود را به داخل دریا رسانیدهای و سازندگانت تو را مانند یک کشتی زیبا ساختهاند. | 4 |
Mipaka yako iko kwenye moyo wa bahari; majengo yako yamekamilisha uzuri wako.
ایشان تختههای تو را از بهترین صنوبرهای کوه هرمون درست کردهاند و دکلهای تو را از سروهای لبنان ساختهاند. | 5 |
Wametengeneza mbao nene na pana kwa mvinje kutoka Mlima Hermoni; wamechukua mkangazi kutoka Lebanoni kuufanya mlingoti.
پاروهایت از چوب بلوط ناحیهٔ باشان است. عرشهٔ تو را از چوب شمشاد ساحل جنوبی قبرس ساختهاند و با عاج آنها را زینت دادهاند. | 6 |
Wametengeneza makasia yako kutoka kwenye mialo ya Bashani; wametengeza sitaha zako kwa mbao za mvinje kutoka Kitimu, na wametengeneza kwa pembe.
بادبانهایت از بهترین پارچههای کتان گلدوزی شدهٔ مصر ساخته شده است. سایبان آبی و بنفش تو را از ناحیهٔ شرقی جزیرهٔ قبرس آوردهاند. | 7 |
Tanga zako zilikuwa za rangi za kitani kutoka Misri ambazo zilikuwa kama beramu!
پاروزنان تو اهل صیدون و اَرواد هستند و ملوانان تو از ماهرترین افراد سرزمینت میباشند. | 8 |
Wale waliokuwa wakiishi Sidoni na Arvadi walikuwa wavuta makasia wako; wenye busara wa Tire walikuwa ndani yenu; walikuwa marubani wako.
کار قیراندود کردن درزهای کشتیات به عهدهٔ مردان پیر و کارآزمودهٔ جِبال است. کشتیهای پر از کالا از همه جا میآیند تا با تو داد و ستد نمایند. | 9 |
Mafundistadi wenye uzoefu wa hali ya juu kutoka Gabeli walijaza mishono; meli zote za bahari na mabaharia wao miongoni mwenu walikuwa wakiwabeba manahodha kwaajili ya biashara.
مردان سرزمینهای دور دست پارس، لود، و فوط جزو سپاهیان تو میباشند. آنها کمر به خدمت تو بستهاند و تو افتخار میکنی از اینکه ایشان سپرها و کلاهخودهای خود را بر دیوارهایت آویزان میکنند. | 10 |
Uajemi, Ludi, na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita. Walining'iniza ngao na chapeo ndani yako; walionyesha uzuri wako.
سربازان ارواد بر دیوارهایت نگهبانی میدهند و مردان جماد بر برجهای تو دیدبانی میکنند. سپرهای خود را به ردیف روی دیوارها میآویزند و شکوه و زیبایی تو را کامل میکنند. | 11 |
Watu wa Arvadi na Heleki katika jeshi lako walikuwa juu ya kuta zako wamekuzunguka, na watu wa Gamadi walikuwa kwenye minara yako. Walinin'giniza juu ngao zao juu ya kuta zako zote zilizokuzunguka! Wakaukamilisha uzuri wako.
«تو با ترشیش تجارت میکنی. از آنجا نقره، آهن، روی و سرب فراوان به بازارهایت میآید. | 12 |
Tarshishi alikuwa mdau wa biashara pamoja nawe kwa sababu ya wingi wa utajiri wako wa kuuza mizigo: fedha, chuma, bati, na risasi. Walinunua na kuuza bidhaa za biashara!
تاجران یونان، توبال و ماشک بردهها و ظروف مفرغین برای تو میآورند، | 13 |
Yavani, Tubali, na Mesheki-waliwauza watumwa na katika vitu kutengeneza shaba. Walibeba bidhaa zako.
و تاجران توجرمه، اسب بارکش، اسب جنگی و قاطر به تو میفروشند. | 14 |
Beth Togarma waliandaa farasi, farasi dume, na nyumbu kama kama bidhaa zako.
«تاجران رودس و بازرگانان سرزمینهای ساحلی، مجذوب بازارهای تو هستند و عاج و چوب آبنوس را با کالاهای تو معاوضه میکنند. | 15 |
Watu wa Dedani walikuwa wafanya biashara wako kwenye pwani nyingi. Bidhaa zilikuwa mkononi mwako; walikutumia pembe, pembe za ndovu, na mpingo kama ushuru!
سوریه برای خرید کالاهای فراوانت تاجران خود را نزد تو میفرستد. آنها با خود زمرد، ارغوان، پارچههای گلدوزی شده، کتان لطیف، مرجان و عقیق میآورند. | 16 |
Shamu alikuwa mchuuzi katika bidhaa zako nyingi; waliandaa zumaridi, zambarau, nguo zenye rangi mbali mbali, kitambaa kizuri, lulu, na kito chekundu cha thamani kama bidhaa zako.
یهودا و اسرائیل تجار خود را با گندم، حلوا، عسل، روغن زیتون و بلسان نزد تو میفرستند. | 17 |
Yuda na nchi ya Israeli walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe. Waliandaa ngano kutoka Minithi, keki, asali, mafuta, na lihamu kama bidhaa zako.
دمشق هم برای خرید کالا و صنایع گوناگون تو، شراب حلبون و پشم سفید سوری به تو میدهد. | 18 |
Dameski alikuwa mfanya biashara wa bidhaa zako zote, za utajiri mkubwa mno, na ya divai ya Helboni na sufu ya Zahari.
دانیها و یونانیان اهل اوزال با تو روابط تجاری دارند و برایت آهن، سلیخه و نیشکر میآورند. | 19 |
Dani na Yavani kutoka Uzali walikwandalia bidhaa ya chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai. Hivi vikawa bidhaa yako.
و اهالی ددان نمدهای نفیس برای زین اسبانت به تو میفروشند. | 20 |
Dedani alikuwa mchuuzi katika nguo nzuri za kutandika.
«عربها و بزرگان قیدار برایت بره و قوچ و بز میآورند. | 21 |
Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe; walikuandalia wanakondoo, kondoo dume na mbuzi.
بازرگانان سبا و رعمه با همه نوع ادویهجات و جواهرات و طلا میآیند. | 22 |
Wafanya biashara wa Sheba na Raama walikuja kukuuzia kila aina ya viungo vizuri katika vito vyote vya thamani; waliuza dhahabu kwa ajili ya bidhaa.
تجار حران، کنه، عدن، سبا، آشور و کلمد نزد تو میآیند. | 23 |
Harani, Kane, na Adina walikuwa wafanya biashara pamoja nawe, karibu na Sheba, Ashuru, na Kilmadi.
آنها برای معامله با تو همه نوع کالا میآورند لباسهای فاخر، پارچههای آبی، پارچههای گلدوزی شده، فرشهای رنگارنگ، طنابها و ریسمانهای نفیس. | 24 |
Hawa walikuwa wachuuzi wako mapambo ya joho ya nguo za urujuani pamoja na rangi zilibuniwa, na nguo zilizo sanifiwa vizuri katika sehemu zako za soko.
کالاهای تو با کشتیهای بزرگ تجاری حمل میشوند. انبارهای جزیرهٔ تو پر و لبریزند! | 25 |
Merikebu za Tarshishi zilikuwa misafara ya bidhaa yako! Hivyo ulijaa, shehena nzito katika moyo wa bahari!
ولی رهبرانت، کشتی سرزمین تو را به وسط دریا میرانند؛ در آنجا کشتی تو گرفتار تندباد شرقی شده، در قلب دریا در هم شکسته خواهد شد. | 26 |
Wapiga makasia wako walikuleta kwenye bahari kuu mno; upepo wa mashariki umekuvunja kati yao.
همه چیز تو از دست خواهد رفت. اموال و کالاها، ناخدایان و ملوانان، کشتیسازان و بازرگانان، سربازان و همهٔ قوم تو در روز در هم شکسته شدن کشتیات در دریا غرق خواهند شد. | 27 |
Utajiri wako, bidhaa, na mizigo ya biashara; wapiga makasia wako na marubani, na waunzi wa meli; wafanya biashara wako wa bidhaa na watu wote wa vita walio ndani yako, na jeshi lako-watazama kwenye kina cha bahari siku ya kuangamia kwako.
از فریاد ناخدایان تو سواحل دریا تکان خواهند خورد. | 28 |
Miji iliyopo kwenye bahari sauti itatetemeka kulia kwa rubani zako;
«همهٔ دریانوردان به خشکی خواهند آمد و در ساحل ایستاده، نگاه خواهند کرد. | 29 |
Wote wavutao kasia watashuka chini kutoka meli katika zao; wanamaji na marubani wote juu ya bahari watasimama juu ya nchi.
به تلخی خواهند گریست، خاک بر سر خود خواهند ریخت و در خاکستر خواهند غلطید. | 30 |
Kisha watakufanya kusikiliza sauti yao na kulia kwa uchungu; watarusha vumbi juu ya vichwa vyao. Watabingirika katika majivu.
از غصه و ناراحتی موی سر خود را خواهند کند، لباس ماتم پوشیده؛ با تلخی جان برایت گریه خواهند کرد. آنها عزا خواهند گرفت | 31 |
Watanyo vichwa vyao upara kwa ajili yako na kujifunga wenyewe kwa nguo za magunia, na watalia kwa sauti.
و این مرثیه را برای تو خواهند خواند:”در تمام دنیا شهری به زیبایی و عظمت صور نبود، ولی ببینید حالا چگونه در وسط دریا خاموش شده است! | 32 |
Watakuinulia maombolezo ya kuomboleza kwa ajili yako na kuimba nyimbo za maombolezo juu yako, ni nani aliye kama Tiro, ambaye sasa ameletwa kunyamazishwa kati ya bahari?
ای صور اموال و ثروت تو بسیاری از قومها را سیر میکرد. پادشاهان جهان را با کالاهای صادراتی خود ثروتمند مینمودی. | 33 |
Wakati bidhaa yako ilipoenda ufukweni kutoka kwenye bahari, imewarithisha watu wengi; uliwatajirisha wafalme wa dunia kwa wingi wa utajiri wako mkubwa na bidhaa!
اما اینک در هم شکسته شده، زیر دریا مدفون گشتهای. تمام کالاها و کارکنانت با تو هلاک شدهاند. | 34 |
Lakini wakati ulipo vunjwavunjwa kwa bahari, kwa vilindi vya maji, bidhaa yako na wafanya kazi wako wote kuzama!
همهٔ ساحلنشینان از آنچه که به سر تو آمده است حیرانند. پادشاهان ایشان وحشتزده و پریشانحال میباشند. | 35 |
Wote wakaao pwani walikuogopa, na wafalme wao kuvunjwa vunjwa katika kitisho! Nyuso zao zimetetemeka!
تجار ممالک سر خود را تکان میدهند، چون سرنوشت تو وحشتناک است و تو برای همیشه از بین رفتهای.“» | 36 |
Wafanya biashara wa meli wa watu wakuzomea; umekuwa tishio, na hutakuwepo tena milele.”