< حِزِقیال 15 >
خداوند فرمود: «ای پسر انسان، چوب درخت انگور به چه کار میآید؟ در مقایسه با سایر درختان، به چه دردی میخورد؟ | 1 |
Neno la Bwana likanijia kusema:
“Mwanadamu, je, ni vipi mti wa mzabibu unaweza kuwa bora zaidi kuliko tawi la mti mwingine wowote ndani ya msitu?
آیا چوبش مصرفی دارد؟ آیا میتوان با آن میخی ساخت و ظروف را بر آن آویخت؟ | 3 |
Je, mti wake kamwe huchukuliwa na kutengeneza chochote cha manufaa? Je, watu hutengeneza vigingi vya kuningʼinizia vitu kutokana na huo mti wake?
فقط به درد افروختن آتش میخورد؛ و هنگامی که آتش، دو سرش را سوزاند و میانش را زغال کرد، دیگر برای هیچ کاری فایدهای ندارد. | 4 |
Nao baada ya kutiwa motoni kama nishati na moto ukateketeza ncha zote mbili na kuunguza sehemu ya kati, je, unafaa kwa lolote?
پیش از سوختنش مصرفی نداشت، چه برسد به زمانی که زغال و نیمسوز شده باشد! | 5 |
Kama haukufaa kitu chochote ulipokuwa mzima, je, si zaidi sana sasa ambapo hauwezekani kufanyishwa chochote cha kufaa baada ya moto kuuchoma na kuuunguza?
«حال، همانگونه که چوب درخت انگور را از میان سایر درختان جنگل برای هیزم تعیین کردهام، مردم اورشلیم را نیز برای مجازات مقرر نمودهام. اگر از یک آتش رهایی یابند، آتشی دیگر ایشان را فرو خواهد گرفت. آنگاه خواهید دانست که من یهوه هستم. | 6 |
“Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kama nilivyoutoa mti wa mzabibu miongoni mwa miti ya msituni kuwa nishati kwa ajili ya moto, hivyo ndivyo nitakavyowatendea watu waishio Yerusalemu.
Nitaukaza uso wangu dhidi yao. Ingawa watakuwa wameokoka kwenye moto, bado moto utawateketeza. Nami nitakapoukaza uso wangu dhidi yao, ninyi mtajua kwamba Mimi ndimi Bwana.
به سبب بتپرستی آنها، من سرزمینشان را ویران خواهم ساخت.» این را خداوند یهوه میگوید. | 8 |
Nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamekuwa si waaminifu, asema Bwana Mwenyezi.”