< خروج 9 >
آنگاه خداوند به موسی فرمود: «نزد فرعون بازگرد و به او بگو که خداوند، خدای عبرانیها میفرماید: قوم مرا رها کن تا بروند و مرا عبادت کنند، | 1 |
Kisha Yahweh akamwambia Musa, Nenda kwa Farao na umwambie, 'Yahweh, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: “Acha watu wangu waende ili wakaniabudu mimi.”
اگر همچنان آنها را نگهداری و نگذاری بروند | 2 |
Lakini ukikataa kuwaruhusu waende, kama utaendelea kuwa bakiza nyuma,
بدان که دست خداوند تمام دامهایتان را از گلههای اسب، الاغ، شتر، گاو و گوسفند، به مرضی جانکاه دچار خواهد کرد. | 3 |
basi mkono wa Yahweh utakuwa kinyume dhidi ya mifugo yako shambani na kwa farasi, punda, ngamia, ng'ombe na kondoo, naitasababisha ugonjwa mbaya sana.
من بین گلههای مصریها و گلههای اسرائیلیها فرق خواهم گذاشت، به طوری که به گلههای اسرائیلیها هیچ آسیبی نخواهد رسید. | 4 |
Yahweh ata tendea tofauti mifugo ya Israeli na mifugo Misri: Haukuna mnyama wa Waisraeli ataye kufa.
من این بلا را فردا بر شما نازل خواهم کرد.» | 5 |
Yahweh ametenga muda; amesema, “Ni kesho ambapo nitafanya ilitukio katika nchi."”'
روز بعد، خداوند همانطور که فرموده بود، عمل کرد. تمام گلههای مصریها مردند، ولی از چارپایان بنیاسرائیل حتی یکی هم تلف نشد. | 6 |
Yahweh akafanya hivi siku iliyofuata: mifugo yote ya Misri ikafa. Lakini hamna mnyama wa Waisraeli aliye kufa, hamna mnyama ata mmoja.
پس فرعون مأموری فرستاد تا تحقیق کند که آیا صحت دارد که از چارپایان بنیاسرائیل هیچکدام نمردهاند. با این حال وقتی فهمید موضوع حقیقت دارد باز دلش نرم نشد و قوم خدا را رها نساخت. | 7 |
Farao akafanya utafiti, na tazama, hakuna mnyama ata mmoja aliye kufa. Lakini moyo wake ulikuwa mjeuri, hivyo hakuwaacha watu waende.
پس خداوند به موسی و هارون فرمود: «مشتهای خود را از خاکستر کوره پر کنید و موسی آن خاکستر را پیش فرعون به هوا بپاشد. | 8 |
Kisha Yahweh akawambia Musa na Aruni, “Chukuwa majivu na uyajaze mkononi kutoka kwenye tanuru. Wewe, Musa, lazima uyarushe juu wakati Farao akitazama.
آنگاه آن خاکستر مثل غبار، سراسر خاک مصر را خواهد پوشانید و بر بدن انسان و حیوان دملهای دردناک ایجاد خواهد کرد.» | 9 |
Yatakuwa vumbi safi nchi nzima ya Misri. Yatasababisha majipu na mafua kulipuka kwa watu na wanyama katika nchi yote ya Msri.”
پس آنها خاکستر را برداشتند و به حضور فرعون ایستادند. موسی خاکستر را به هوا پاشید و روی بدن مصریها و حیواناتشان دملهای دردناک درآمد، | 10 |
Hivyo Musa na Aruni wakachukuwa majivu kutoka kwenye tanuru na kusimama mbele ya Farao. KIsha Musa akarusha majivu juu. Majivu yakasababisha majipu na mafua kutokea kwa watu na wanyama.
چنانکه جادوگران هم نتوانستند در مقابل موسی بایستند، زیرا آنها و تمام مصریان به این دملها مبتلا شده بودند. | 11 |
Waganga hawakuweza kumzuia Musa kwasababu ya majipu, kwasababu majipu yalikuwa kwao na kwa Wamisri wote.
اما خداوند همانطور که قبلاً به موسی فرموده بود، دل فرعون را سخت کرد و او به سخنان موسی و هارون اعتنا ننمود. | 12 |
Yahweh akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, Farao hakuwasikiliza Musa na Aruni. Hili ndilo Yahweh alilo mwambia Musa Farao atalo fanya.
آنگاه خداوند به موسی فرمود: «صبح زود برخیز و در برابر فرعون بایست و بگو که خداوند، خدای عبرانیها میفرماید: قوم مرا رها کن تا بروند و مرا عبادت کنند، | 13 |
Kisha Yahweh akamwambia Musa, Amka asubui mapema, simama mbele ya Farao, na umwambie, 'Yahweh, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: Acha watu wangu waende ili wakaniabudu mimi.
و گرنه این بار بلایای بیشتری بر سر تو و درباریان و قومت خواهم آورد تا بدانید در تمامی جهان خدایی مانند من نیست. | 14 |
Kwa muda huu nitatuma mapigo kwako wewe, kwa watumishi wako na watu wako. Nitafanya hivi ili ujue hakuna kama mimi kwenye dunia yote.
من تا حالا میتوانستم دست خود را دراز کنم و چنان بلایی بر سر تو و قومت بیاورم که از روی زمین محو شوید. | 15 |
Mpaka sasa ningeweza kuunyosha mkono wangu na kukushambulia wewe na watu wako kwa ugonjwa, na ungeondelewa kwenye nchi.
ولی تو را به این منظور زنده نگاه داشتم تا قدرت خود را به تو ظاهر کنم و تا نام من در میان تمامی مردم جهان شناخته شود. | 16 |
Lakini ni kwa sababu hii nimekuruhusu uishi: ili kukuonyesha nguvu zangu, ili kwamba jina langu litangazwe dunia nzima.
آیا هنوز هم مانع قوم من میشوی و نمیخواهی رهایشان کنی؟ | 17 |
Bado unajiinua dhidi ya watu wangu kwa kuwaacha wasiende.
بدان که فردا در همین وقت چنان تگرگی از آسمان میبارانم که در تاریخ مصر سابقه نداشته است. | 18 |
Sikiliza! Kesho muda kama huu nita leta mvua ya mawe ya barafu kubwa, kama ambayo haijawai kuonekana Misri toka ilipo anza hadi sasa.
پس دستور بده تمام حیوانات و آنچه را که در صحرا دارید جمع کنند و به خانهها بیاورند، پیش از آنکه تگرگ تمام حیوانات و اشخاصی را که در صحرا ماندهاند از بین ببرد.» | 19 |
Kisha sasa, tuma wanaume na ukusanye mifugo yako na vitu vyote ulivyo navyo mashambani sehemu salama. Kila mtu na mnyama aliyeko shambani na hajaletwa nyumbani - mawe ya barufu yatawashukia, na watakufa."”'
بعضی از درباریان فرعون از این اخطار خداوند ترسیدند و چارپایان و نوکران خود را به خانه آوردند. | 20 |
Kisha hao wa watumishi wa Farao walio amini ujumbe wa Yahweh waka harakisha kuleta watumwa na mifugo yao ndani ya nyumba zao.
ولی دیگران به کلام خداوند اعتنا نکردند و حیوانات و نوکران خود را همچنان در صحرا باقی گذاشتند. | 21 |
Lakini hao ambao hawa kuchukuwa ujumbe wa Yahweh maanani waliacha watumwa wao na mifugo shambani.
آنگاه خداوند به موسی فرمود: «دستت را به سوی آسمان دراز کن تا بر تمامی مصر تگرگ ببارد، بر حیوانات و گیاهان و بر تمامی مردمی که در آن زندگی میکنند.» | 22 |
Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono wako kuelekea mbingu ili kuwe na mawe ya barafu katika nchi yote ya Misri, kwa watu, kwa wanyama, na kwenye mimea yote shambani na nchi nzima ya Misri.”
پس موسی عصای خود را به سوی آسمان دراز کرد و خداوند رعد و تگرگ فرستاد و صاعقه بر زمین فرود آورد. | 23 |
Musa akanyoosha mkono na gongo lake kuelekea mbiguni, na Yahweh akatuma mngurumo, mawe ya barafu, na radi kwenye nchi. Pia alinyesha mvua kwenye nchi ya Misri.
در تمام تاریخ مصر کسی چنین تگرگ و صاعقهٔ وحشتناکی ندیده بود. | 24 |
Hivyo kulikuwa na radi iliyo changanyika na mawe ya barafu, ilikuwa hatari sana, kuliko yeyote iliyowai kutokea kwenye nchi ya Misri tangu liwe taifa.
در سراسر مصر، تگرگ هر چه را که در صحرا بود زد، انسان و حیوان را کشت، نباتات را از بین برد و درختان را در هم شکست. | 25 |
Katika nchi yote ya Misri, barafu ya mawe ilipiga kila kitu kwenye shamba, watu na wanyama. Ilipiga kila mmea shambani na kuvunja kila mti.
تنها جایی که از بلای تگرگ در امان ماند، سرزمین جوشن بود که بنیاسرائیل در آن زندگی میکردند. | 26 |
Isipo kuwa tu nchi ya Gosheni, walipo ishi Waisraeli, hapakuwa na mawe ya barafu.
پس فرعون، موسی و هارون را به حضور خواست و به ایشان گفت: «من به گناه خود معترفم. حق به جانب خداوند است. من و قومم مقصریم. | 27 |
Kisha Farao akatuma wanaume wakawaite Musa na Aruni. Akawaambia, “Nimetenda dhambi wakati huu. Yahweh ni mwenye haki, na mimi na watu wangu ni waovu.
حال از خداوند درخواست کنید تا این رعد و تگرگ وحشتناک را بازدارد. دیگر بس است! من هم اجازه خواهم داد بروید؛ لازم نیست بیش از این اینجا بمانید.» | 28 |
Muombe Yahweh, kwasababu radi na barafu ya mawe imezidi. Nitawaacha muende, na hamtabaki tena hapa.”
موسی گفت: «بسیار خوب، به محض اینکه از شهر خارج شوم دستهای خود را به سوی خداوند دراز خواهم کرد تا رعد و تگرگ تمام شود تا بدانی که جهان از آن خداوند است. | 29 |
Musa akamwambia, “Nitakapo ondoka tu kwenye mji, nitaitanua mikono yangu kwa Yahweh. Mngurumo utaacha, na hakutakuwa na barafu ya mawe tena. Kwa ili utajua kuwa nchi ni ya Yahweh.
ولی میدانم که تو و افرادت باز هم از یهوه خدا اطاعت نخواهید کرد.» | 30 |
Lakini kwa wewe na watu wako, najua bado hamu mheshimu Yahweh Mungu.”
(آن سال تگرگ تمام محصولات کتان و جو را از بین برد، چون ساقهٔ جو خوشه کرده و کتان شکوفه داده بود، | 31 |
Sasa kitani na shayiri ziliharibiwa, kwa kuwa shayiri ilikuwa katika kukomaa, na kitani ilikuwa imestawi.
ولی گندم از بین نرفت، زیرا هنوز جوانه نزده بود.) | 32 |
Lakini ngano na kusemethu hazikupigwa mana zinachelewa kukua.
موسی قصر فرعون را ترک کرد و از شهر بیرون رفت و دستهایش را به سوی خداوند بلند کرد و رعد و تگرگ قطع شد و باران بند آمد. | 33 |
Musa alipo muacha Farao na mji, alitanua mikono yake kwa Yahweh; mngurumo na barafu ya mawe ikasimama, na mvua haikunyesha tena.
ولی وقتی فرعون دید باران و تگرگ و رعد قطع شده، او و درباریانش باز گناه ورزیده، به سرسختی خود ادامه دادند. | 34 |
Farao alipoona mvua, barafu ya mawe, na mngurumo umekatika, akatenda dhambi na kufanya moyo wake kuwa mgumu, pamoja na watumishi wake.
پس همانطور که خداوند توسط موسی فرموده بود، دل فرعون سخت شد و این بار هم بنیاسرائیل را رها نکرد. | 35 |
Moyo wa Farao ulikuwa mgumu, hakuacha watu wa Israeli waende. Hivi ndivyo Yahweh alimwambia Musa Farao atafanya.