< خروج 34 >
خداوند به موسی فرمود: «دو لوح سنگی مثل لوحهای اول که شکستی تهیه کن تا دوباره ده فرمان را روی آنها بنویسم. | 1 |
Yahweh akamwabia Musa, “Kata mbao mbili za mawe kama zile za awali. Nitaandika kwenye hizi mbao za mawe maneno yaliyo kuwa kwenye mbao za mawe za mwanzo, mbao za mawe ulizo zivunja.
فردا صبح حاضر شو و از کوه سینا بالا بیا و بر قلهٔ کوه در حضور من بایست. | 2 |
Kuwa tayari asubui na uje Mlima Sinai, na uje mbele zangu juu ya mlima.
هیچکس با تو بالا نیاید و کسی هم در هیچ نقطهٔ کوه دیده نشود. حتی گله و رمه نیز نزدیک کوه چرا نکنند.» | 3 |
Hakuna atakaye kuja nawe. Usiruhusu mtu yeyote aonekana popote kwenye mlima. Hakuna kundi la mifugo wanao ruhusiwa ata kula mbele ya mlima.”
موسی همانطور که خداوند فرموده بود، صبح زود برخاست و دو لوح سنگی مثل لوحهای قبلی تراشید و آنها را به دست گرفته، از کوه سینا بالا رفت. | 4 |
Hivyo Musa akakata mbao mbili za mawe kama za mwanzo, na akaamka asubui mapema na kwenda juu ya Mlima Sinai, kama Yahweh alivyo muelekeza. Musa alibeba mbao za mawe mikononi mwake.
آنگاه خداوند در ابر فرود آمد و آنجا با موسی ایستاد؛ و نام خود، یهوه را ندا کرد. | 5 |
Yahweh akaja chini katika wingu na akasima mbele za Musa, na akatamka jina “Yahweh.”
خداوند از برابر موسی گذشت و چنین ندا کرد: «یهوه! خداوند! خدای رحیم و مهربان، خدای دیرخشم و پراحسان؛ خدای امین که | 6 |
Yahweh akapita kwake na kukiri, “Yahweh, Yahweh, Mungu ni wa rehema na wa neema, sio mwepesi wa hasira, na anadumu katika uwaminifu wa agano na uadilifu,
به هزاران نفر رحمت میکنم و خطا و عصیان و گناه را میبخشم؛ ولی گناه را هرگز بیسزا نمیگذارم. انتقام گناه پدران را از فرزندان آنها تا نسل سوم و چهارم میگیرم.» | 7 |
ukishika uaminifu wa agano kwa vizazi maelfu, ukisamehe maasi, makosa, na dhambi. Lakini hamsafishi mwenye hatia. Ataleta adhabu ya dhambi za baba kwa watoto wao na watoto wa watoto wao, kwa kizazi cha tatu na hadi cha nne.”
موسی در حضور خداوند به خاک افتاد و او را پرستش کرده، | 8 |
Musa haraka akainamisha kichwa chake kwenye ardhi na kuabudu.
گفت: «خداوندا، اگر واقعا مورد لطف تو قرار گرفتهام، استدعا میکنم که تو نیز همراه ما باشی. میدانم که این قوم سرکشند، ولی از سر تقصیرها و گناهان ما بگذر و بار دیگر ما را مثل قوم خاص خود بپذیر.» | 9 |
Kisha akasema, “Kama sasa nimepata upendeleo machoni pako, Bwana wangu, tafadhali nenda pamoja nasi, kwa kuwa hawa watu ni wa korofi. Samehe maasi yetu na dhambi zetu, na utuchukuwe kama urithi wako.”
خداوند فرمود: «اینک با تو عهد میبندم و در نظر تمامی قوم کارهای عجیب میکنم کارهای عجیبی که نظیر آن در هیچ جای دنیا دیده نشده است. تمام بنیاسرائیل قدرت مهیب مرا که بهوسیلۀ تو به آنها نشان میدهم، خواهند دید. | 10 |
Yahweh akasema, “Ona, ninakaribu kufanya agano. Mbele za watu wako, nitafanya maajabu ambayo hayajawai kufanywa duniani kote wala kwenye taifa lote. Watu wote miongoni mwako wataona matendo yangu, kwa kuwa ni kitu cha hofu ninacho fanya kwako.
آنچه را که امروز به شما امر میکنم، اطاعت کنید. من قبایل اموری، کنعانی، حیتی، فرزی، حوی و یبوسی را از سر راه شما برمیدارم. | 11 |
Tii amri zangu leo. Ninawaondoa mbele yako Waamori, Wakanani, Wahivi, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
مواظب باشید هرگز با آن قبایل پیمان دوستی نبندید، مبادا شما را به راههای گمراه کننده بکشانند. | 12 |
Kuwa mwanglifu usifanye agano na wakazi wa nchi unayo kwenda, au wata kuwa mtego kwako.
بلکه باید بتها، مجسمههای شرمآور و مذبحهای آنها را ویران کنید. | 13 |
Badala yake, lazima uvunje madhabahu zao, ponda nguzo zao za mawe, na kukata nguzo zao za Ashera.
نباید خدای دیگری را عبادت نمایید، زیرا یهوه خدای غیوری است و پرستش خدای غیر را تحمل نمیکند. | 14 |
Kwa kuwa wewe haupaswi kumuabudu mungu mwingine, maana Yahweh, ambaye jina lake ni Uwivu, ni Mungu wa uwivu.
«هرگز نباید با ساکنان آنجا پیمان دوستی ببندید؛ چون آنها به جای پرستش من، بتها را میپرستند و برای آنها قربانی میکنند. اگر با ایشان دوست شوید شما را به خوردن خوراک قربانی خود خواهند کشانید. | 15 |
Hivyo kuwa mwangalifu usifanye agano na wakazi wa nchi, kwa kuwa wanajifanyia ukahaba kwa miungu yao, na wanatoa dhabihu kwa miungu yao. Kisha mmoja wao ata kukaribisha na wewe utakula baadhi ya dhabihu zake,
شما دختران بتپرست آنها را برای پسران خود خواهید گرفت و در نتیجه پسران شما هم از خدا برگشته بتهای زنان خود را خواهند پرستید. | 16 |
na kisha utachukuwa baadhi ya mabinti zake kwa wanao, na mabinti wake watafanya ukahaba kwa miungu yao, na watafanya wanao kufanya ukahaba kwa miungu yao.
«برای خود هرگز بت نسازید. | 17 |
Usifanye Miungu ya chuma ya kuyayusha.
«عید فطیر را هر سال جشن بگیرید. همانطور که به شما دستور دادم، هفت روز نانِ بیخمیرمایه بخورید. این جشن را در وقت مقرر، در ماه ابیب برگزار کنید، چون در همین ماه بود که از بندگی مصریها آزاد شدید. | 18 |
Laziam ushike Sherehe ya Mkate Usiotiwachachu. Kama nilivyo kuamuru, lazima ule mkate usio na hamira kwa siku saba kwa muda uliotengwa wa mwezi wa Abibu, maana nikatika mwezi wa Abibu ulitoka Misri.
«تمام نخستزادههای نر گاو و گوسفند و بز شما به من تعلق دارند. | 19 |
Wazaliwa wote ni mwangu, ata mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mifugo, yote ya ng'ombe na kondoo.
در برابر نخستزادهٔ نر الاغ، یک بره به من تقدیم کنید و اگر نخواستید این کار را بکنید گردن الاغ را بشکنید. ولی برای تمام پسران ارشد خود حتماً باید فدیه دهید. «هیچکس نباید با دست خالی به حضور من حاضر شود. | 20 |
Lazima umnunue tena mzaliwa kwanza wa punda kwa kondoo, lakini usipo mnunua tena, kisha uivunje shingo yake. Lazima ununue tena wazaliwa wa kwanza wote wa wanao. Hakuna ata mmoja atakye kuja kwangu mikono mitupu.
«فقط شش روز کار کنید و در روز هفتم استراحت نمایید، حتی در فصل شخم و فصل درو. | 21 |
Utafanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba utapumzika. Ata wakati wakilimo na wa mavuno, lazima upumzike.
«عید هفتهها را که همان عید نوبر محصول گندم است، برگزار کن و همچنین عید جمعآوری را به هنگام تحویل سال. | 22 |
Lazima uadhimishe Sherehe ya Majuma kwa mazao ya kwanza ya mavuno ya ngano, na lazima uadhimishe Sherehe ya Makusanyo mwisho wa mwaka.
«سالی سه بار تمام مردان و پسران قوم اسرائیل باید برای عبادت به حضور خداوند، خدای اسرائیل بیایند. | 23 |
Mara tatu kwa mwaka wanaume wenu wote watajitokeza kwa Bwana Yahweh, Mungu wa Israeli.
در این سه مرتبهای که به حضور یهوه خدایتان میآیید، کسی دست طمع به سوی سرزمین شما دراز نخواهد کرد، زیرا تمام قبایل بیگانه را از میان شما بیرون میرانم و حدود سرزمین شما را وسیع میگردانم. | 24 |
Kwa kuwa nitaondoa mataifa mbele yenu na kutanua mipika. Hakuna atakaye tamani kuwa na ardhi yenu kama yao utakapo toka mbele za Yahweh mara tatu kwa mwaka.
«خون قربانی را هرگز همراه با نان خمیرمایهدار به حضور من تقدیم نکنید و از گوشت برهٔ عید پِسَح تا صبح چیزی باقی نگذارید. | 25 |
Hautatoa damu ya dhabihu yangu na hamira yeyote, wala nyama yeyote kutoka dhabihu za Sherehe ya Pasaka kubaki hadi asubui.
«بهترین نوبر هر محصولی را که درو میکنید، به خانهٔ یهوه خدایتان بیاورید. «بزغاله را در شیر مادرش نپزید.» | 26 |
Lazima ulete matunda ya kwanza yalio bora kutoka nyumbani kwako. Usimchemshe mbuzi mtoto katika maziwa ya mama yake.”
خداوند به موسی فرمود: «این قوانین را بنویس، چون عهد خود را بر اساس این قوانین با تو و با قوم اسرائیل بستهام.» | 27 |
Yahweh akamwabia Musa, “Andika chini haya maneno, kwa kuwa nimejiahidi haya maneno niliyo yasema, na nimefanya agano kwako na Israeli.”
موسی چهل شبانه روز بالای کوه در حضور خداوند بود. در آن مدت نه چیزی خورد و نه چیزی آشامید. در آن روزها بود که خداوند ده فرمان را روی دو لوح سنگی نوشت. | 28 |
Musa alikuwa huko na Yahweh kwa siku arobaini na usiku; hakula chakula chochote wala kunywa maji yeyote. Aliandika katika mbao maneno ya agano, Amri kumi.
وقتی موسی با دو لوح سنگی که بر آن مُفاد عهد نوشته شده بود، از کوه سینا فرود آمد، خبر نداشت که چهرهاش بر اثر گفتگو با خدا میدرخشید. | 29 |
Musa alipo shuka chini ya Mlima Sinai na mbao mbili za agano za ushuhuda mikononi mwake, hakujua kuwa ngozi ya kuwa uso wake ulikuwa wa'ngaa akizungumza na Mungu.
پس وقتی هارون و بنیاسرائیل موسی را با آن صورت نورانی دیدند، ترسیدند به او نزدیک شوند. | 30 |
Wakati Aruni na Waisraeli walipo muona Musa, ngozi ya uso wake ulikuwa wa ng'aa, na waliogopa kuja karibu yake.
ولی موسی ایشان را به نزد خود خواند. آنگاه هارون و بزرگان قوم نزد او آمدند و موسی با ایشان سخن گفت. | 31 |
Lakini Musa aliwaita, na Aruni na viongozi wa jamii wakaja kwake. Kisha Musa akasema nao.
سپس تمام مردم نزد او آمدند و موسی دستورهایی را که خداوند در بالای کوه به او داده بود، به ایشان بازگفت. | 32 |
Baada ya haya, watu wote wa Israeli wakaja kwa Musa, na akawambia amri zote Yahweh alizo mpa katika Mlima Sinai.
موسی پس از آنکه سخنانش تمام شد، نقابی بر صورت خود کشید. | 33 |
Musa alipo maliza kuzungumza nao, alifunika uso wake kwa kitambaa.
هر وقت موسی به خیمهٔ ملاقات میرفت تا با خداوند گفتگو کند، نقاب را از صورتش بر میداشت. وقتی از خیمه بیرون میآمد هر چه از خداوند شنیده بود برای قوم بازگو میکرد، | 34 |
Wakati Musa alipoenda mbele za Yahweh kusema naye, aliondoa kitambaa, hadi alipo toka. Alipo toka, aliwaambia Waisraeli alicho amriwa kusema.
و مردم صورت او را که میدرخشید، میدیدند. سپس او نقاب را دوباره به صورت خود میکشید و نقاب بر صورت او بود تا وقتی که باز برای گفتگو با خداوند به خیمهٔ عبادت داخل میشد. | 35 |
Waisraeli walipo muona Musa ana'ngaa uso, alirudisha kitambaa tena usoni mpaka alipokuwa anaenda kuongea na Yahweh.