< خروج 25 >

خداوند به موسی فرمود: 1
Yahweh akamwambia Musa,
«به بنی‌اسرائیل بگو که هدایا به حضور من بیاورند. از کسانی هدیه قبول کن که با میل و رغبت می‌آورند. 2
“Waambie Waisraeli wanitolee sadaka kila mtu nawe utapokea kutoka kwa mtu yeyote atakayetoa kwa moyo mkunjufu. Lazima upokee hizi sadaka kwa ajili yangu.
هدایا باید از این نوع باشند: طلا، نقره و مفرغ؛ 3
Hizi ndio sadaka utakazopokea kwao; dhahabu, fedha na shaba,
نخهای آبی، ارغوانی و قرمز؛ کتان ریزبافت؛ پشم بز؛ 4
buluu, zambarau na nyekundu, na nguo za kitani safi, na manyoya ya mbuzi;
پوست قوچ که رنگش سرخ شده باشد و پوست خز؛ چوب اقاقیا؛ 5
na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu na ngozi za pomboo, miti ya mjohoro,
روغن زیتون برای چراغها؛ مواد خوشبو برای تهیه روغن مسح؛ بخور خوشبو؛ 6
mafuta ya ile taa, na viungo vya manukato kwa yale mafuta ya kupaka na kwa ule uvumba wenye harufu nzuri;
سنگهای جزع و سنگهای قیمتی دیگر برای ایفود و سینه‌پوش کاهن. 7
mawe ya shohamu na mawe mengine ya kutiwa kwa ile naivera na kwa kile kifuko cha kifuani.
«بنی‌اسرائیل باید خیمهٔ مقدّسی برایم بسازند تا در میان ایشان ساکن شوم. 8
Waache wanifanyie patakatifu ili nipate kukaa kati yao.
این خیمۀ عبادت و تمام لوازم آن را عیناً مطابق طرحی که به تو نشان می‌دهم بساز. 9
Lazima ufanye sawa na haya yote nikuoneshayo mfano wa maskani, na vifaa vyake, ndivyo utakavyovifanya.
«صندوقی از چوب اقاقیا بساز که درازای آن ۱۲۵ سانتی متر و پهنا و بلندی آن هر کدام ۷۵ سانتی متر باشد. 10
Wana paswa wafanye sanduku la mti wa mjohoro. Urefu wake na uwe dhiraa mbili na nusu; na upana wake moja na nusu, na kwenda juu kwake dhiraa moja na nusu.
بیرون و درون آن را با طلای خالص بپوشان و نواری از طلا دور لبهٔ آن بکش. 11
Lazima ulifunike nadni kwa dhahabu safi, na utie na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
برای این صندوق، چهار حلقه از طلا آماده کن و آنها را در چهار گوشهٔ قسمت پایین آن متصل نما یعنی در هر طرف دو حلقه. 12
Nawe uta yayusha katika viduara vinne vya dhahabu, na kuviweka katika miguu yake minne; viduara viwili upande mmoja, na viduara viwili upande wake wa pili.
دو چوب بلند که از درخت اقاقیا تهیه شده باشد با روکش طلا بپوشان 13
Nawe lazima ufanya miti mirefu ya mshita na kuifunika dhahabu.
و آنها را برای حمل کردن صندوق در داخل حلقه‌های دو طرف صندوق بگذار. 14
Nawe lazima uweka hiyo miti katika vile viduara vilivyo katika pande mbili za sanduku ili kulichukua hilo sanduku.
این چوبها درون حلقه‌های”صندوق عهد“بمانند و از حلقه‌ها خارج نشوند. 15
Hiyo miti itakaa katika vile viduara vya sanduku; haitaondolewa.
وقتی ساختن صندوق عهد به پایان رسید، آن دو لوح سنگی را که دستورها و قوانین روی آن کنده شده به تو می‌سپارم تا در آن بگذاری. 16
Kisha weka ndani ya sanduku hizo amri nitakazokupa.
«سرپوش صندوق عهد را به درازای ۱۲۵ سانتی متر و پهنای ۷۵ سانتی متر از طلای خالص درست کن. این سرپوش،”تخت رحمت“است برای کفارهٔ گناهان شما. 17
Nawe lazima utengeneze kifuniko cha dhahabu safi. Urefu wake utakuwa dhiraa mbili na nusu, na upana wake dhiraa moja na nusu.
دو مجسمهٔ کروبی طلاکوب بساز، و آنها را در دو سر تخت رحمت بگذار. 18
Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu katika hiyo miisho miwili ya kiti cha rehema.
کروبیان را بر دو سر تخت رحمت طوری نصب کن که با آن یکپارچه باشد. 19
Weka kerubi moja mwisho mmoja wa kiti cha rehema, na kerubi la pili mwisho wa pili. Lazima hao makerubi wawe kitu kimoja na kiti cha rehema.
مجسمهٔ کروبیان باید روبروی هم و نگاهشان به طرف تخت و بالهایشان بر بالای آن گسترده باشند. 20
Na hao makerubi watainua mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao. Nyuso zao makerubi zitaelekeana na zitaelekea kiti cha rehema.
تخت رحمت را روی صندوق نصب کن و لوحهای سنگی را که به تو می‌سپارم در آن صندوق بگذار. 21
Lazima uweke kiti cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha uwe hizo amri nitakazokupa ndani ya sanduku.
آنگاه من در آنجا با تو ملاقات خواهم کرد و از میان دو کروبی که روی تخت رحمت قرار گرفته‌اند با تو سخن خواهم گفت و دستورهای لازم را برای بنی‌اسرائیل به تو خواهم داد. 22
Nami nitaonana nawe hapo katika sanduku. Nitazungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema. Itakuwa katikati ya hao makerubi mawili waliyo juu ya sanduku la ushuhuda nitakapo zungumza na wewe katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa Israeli.
«یک میز از چوب اقاقیا درست کن که به درازای یک متر و به پهنای نیم متر و بلندی ۷۵ سانتی متر باشد. 23
Nawe fanya meza ya mti wa mshiti. Urefu wake utakuwa dhiraa mbili, na upana wake dhiraa moja, na kwenda juu kwake dhiraa moja na nusu.
آن را با روکش طلای خالص بپوشان و قابی از طلا بر دور لبهٔ میز نصب کن. 24
Uifunike dhahabu safi na kuifanyia ukingo wa dhahabu wa kuizunguka pande zote.
حاشیهٔ دور لبهٔ میز را به پهنای چهار انگشت درست کن و دور حاشیه را با قاب طلا بپوشان. 25
Lazima ufanyie fremu ya kuizunguka pande zote, upana wake utakuwa nyanda nne, ukingo wa dhahabu wa kuuzunguka fremu pande zote.
چهار حلقه از طلا برای میز بساز و آنها را به چهار گوشهٔ بالای پایه‌های میز نصب کن. 26
Uifanyie viduara vinne vya dhahabu na kuvitia vile viduara katika pembe zake nne, katika miguu yake minne ilipo kuwa.
این حلقه‌ها برای چوبهایی است که به هنگام جابه‌جا کردن و برداشتن میز باید در آنها قرار بگیرند. 27
Vile viduara na viwe karibu na ile fremu ili viwe mahali pa kutilia ile miti, ya kuichukulia meza.
این چوبها را از جنس درخت اقاقیا با روکشهای طلا بساز. 28
Fanya ile miti ya mti wa mshita, na kuifunika dhahabu, kwamba ile meza ichukuliwe kwayo.
همچنین بشقابها، کاسه‌ها، جامها و پیاله‌هایی از طلای خالص برای ریختن هدایای نوشیدنی درست کن. 29
Nawe fanya sahani zake, na miiko yake, na makopo yake, na vikombe vyake vya kumiminia. Vifanye vyote vya dhahabu safi.
نان حضور باید همیشه روی میز در حضور من باشد. 30
Nawe utaiweka mikate ya wonyesho juu ya meza mbele yangu daima.
«یک چراغدان از طلای خالص که چکش‌کاری شده باشد، درست کن. پایه و بدنه آن باید یکپارچه و از طلای خالص ساخته شود و نقش گلهای روی آن که شامل کاسبرگ و غنچه است نیز باید از جنس طلا باشد. 31
Nawe fanya kinara cha taa cha dhahabu safi; hicho kinara na kifanywe cha kazi ya kufua, kitako chake, na mti wake, vikombe vyake, na matovu yake, na maua yake, vyote vitakuwa vya kitu kimoja nacho.
از بدنهٔ چراغدان شش شاخه بیرون آید سه شاخه از یک طرف و سه شاخه از طرف دیگر. 32
Nacho kitakuwa na matawi sita yenye kutoka ubavuni mwake - matawi matatu ya kinara upande wake mmoja, na matawi matatu ya kinara upande wake wa pili.
روی هر یک از شاخه‌ها سه گل بادامی شکل باشد. 33
Tawi la kwanza lazima liwe na vikombe vitatu vilivyotengenezwa mfano wa maua ya mlozi katika tawi moja, tovu na ua na vikombe vitatu vilivyofanywa mfano wa maua ya mlozi katika tawi la pili, tovu na ua. Vivyo hivyo hayo matawi yote sita yatokayo katika kile kinara.
خود بدنه با چهار گل بادامی تزیین شود. 34
Katika hicho kinara, lazima kuwe na vikombe vinne vilivyofanywa mfano wa maua ya mlozi, matovu yake, na maua yake.
یک جوانه زیر هر جفت شاخه، جایی که شش شاخه از بدنه منشعب می‌شوند قرار گیرد. 35
Lazima kuwe na tovu chini ya matawi - mawili la kitu kimoja nacho, na tovu chini ya matawi mawili la kitu kimoja nacho, na tovu chini ya matawi mawili la kitu kimoja nacho, kwa hayo matawi sita yatokayo katika kile kinara.
تمام این نقشها و شاخه‌ها و بدنه باید از یک تکه طلای خالص باشد. 36
Matovu yake na matawi yake yatakuwa ya kitu kimoja nacho, kiwe chote pia kazi moja ya kufua, ya dhahabu safi.
سپس هفت چراغ بساز و آنها را بر چراغدان بگذار تا نورشان به طرف جلو بتابد. 37
Lazima nawe uzifanye hivyo vinara saba na taa zake saba, nao wataziwasha hizo taa zake, zitoe nuru mbele yake.
انبرها و سینی‌های آن را از طلای خالص درست کن. 38
Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi.
برای ساختن این چراغدان و لوازمش ۳۴ کیلو طلا لازم است. 39
Tumia talanta moja ya dhahabu safi, pamoja na vyombo hivi vyote.
«دقت کن همه را عیناً مطابق طرحی که در بالای کوه به تو نشان دادم، بسازی. 40
Nawe angalia ya kwamba uvifanye kama mfano wake, uliooneshwa mlimani.

< خروج 25 >