< تثنیه 33 >
این است برکتی که موسی، مرد خدا، قبل از مرگش به قوم اسرائیل داد: | 1 |
Hii ndiyo baraka Mose mtu wa Mungu aliyotamka kwa Waisraeli kabla ya kifo chake.
«خداوند از کوه سینا آمد، او از کوه سعیر طلوع کرد و از کوه فاران درخشید. مقدّسین بیشمار همراه او بودند و آتشی مشتعل در دست راست او. | 2 |
Alisema: “Bwana alikuja kutoka Mlima Sinai, akachomoza kama jua juu yao kutoka Mlima Seiri, akaangaza kutoka Mlima Parani. Alikuja pamoja na watakatifu makumi elfu kutoka kusini, kutoka materemko ya mlima wake.
او قوم خود را دوست میدارد و از آنها حمایت میکند، ایشان نزد پاهای او مینشینند و از سخنانش بهرهمند میگردند. | 3 |
Hakika ni wewe ambaye huwapenda watu, watakatifu wako wote wamo mkononi mwako. Miguuni pako wote wanasujudu na kutoka kwako wanapokea mafundisho,
قوانینی که من برای قوم اسرائیل آوردم، میراث ایشان است. | 4 |
sheria ile Mose aliyotupa sisi, tulio milki ya kusanyiko la Yakobo.
خداوند در یِشورون پادشاه شد، وقتی که سران قوم جمع شدند، همراه با همۀ قبیلههای اسرائیل.» | 5 |
Alikuwa mfalme juu ya Yeshuruni wakati viongozi wa watu walipokusanyika, pamoja na makabila ya Israeli.
موسی دربارهٔ قبیلهٔ رئوبین چنین گفت: «رئوبین زنده باشد و نمیرد و افراد قبیلهاش کم نشوند.» | 6 |
“Reubeni na aishi, asife, wala watu wake wasiwe wachache.”
و دربارهٔ قبیلهٔ یهودا گفت: «ای خداوند، صدای یهودا را بشنو! او را با قومش متحد گردان، او را در مقابل دشمنان یاری ده تا بتواند از خود دفاع کند.» | 7 |
Akasema hili kuhusu Yuda: “Ee Bwana, sikia kilio cha Yuda, mlete kwa watu wake. Kwa mikono yake mwenyewe hujitetea. Naam, uwe msaada wake dhidi ya adui zake!”
دربارهٔ قبیلهٔ لاوی گفت: «ای خداوند، اوریم و تُمّیم خود را به خادمان امین خود سپردی. تو ایشان را در مسا آزمودی و در کنار چشمهٔ مریبه امتحان نمودی. | 8 |
Kuhusu Lawi alisema: “Thumimu yako na Urimu yako ulimpa, mtu yule uliyemfadhili. Ulimjaribu huko Masa na kushindana naye kwenye maji ya Meriba.
ایشان تو را بیش از پدر و مادر، برادر و فرزند خود، دوست داشتند، از کلام تو اطاعت کردند و نسبت به عهد تو وفادار ماندند. | 9 |
Alinena hivi kuhusu baba yake na mama yake, ‘Mimi siwahitaji kamwe.’ Akawasahau jamaa zake, asiwatambue hata watoto wake, lakini akaliangalia neno lako na kulilinda Agano lako.
آنها قوانین تو را به بنیاسرائیل میآموزند و بر مذبح تو، بخور و قربانی سوختنی به تو تقدیم میکنند. | 10 |
Humfundisha Yakobo mausia yako na Israeli sheria yako. Hufukiza uvumba mbele zako na sadaka nzima za kuteketezwa juu ya madhabahu yako.
ای خداوند، قبیلهٔ لاوی را برکت بده و خدمت ایشان را قبول بفرما. کمر دشمنانشان را بشکن تا دیگر برنخیزند.» | 11 |
Ee Bwana, bariki ustadi wake wote, nawe upendezwe na kazi ya mikono yake. Vipige viuno vya wale wainukao dhidi yake; wapige adui zake hata wasiinuke tena.”
موسی دربارهٔ قبیلهٔ بنیامین چنین گفت: «او محبوب خداوند است و در پناه او زیست میکند، خداوند تمامی روز او را احاطه مینماید و از هر بلایی او را حفظ میکند.» | 12 |
Kuhusu Benyamini akasema: “Mwache mpenzi wa Bwana apumzike salama kwake, kwa maana humkinga mchana kutwa, na yule Bwana ampendaye hupumzika kati ya mabega yake.”
دربارهٔ قبیلهٔ یوسف چنین گفت: «خداوند سرزمینشان را برکت دهد، با باران و با آبهای زیر زمین. | 13 |
Kuhusu Yosefu akasema: “Bwana na aibariki nchi yake kwa umande wa thamani kutoka mbinguni juu, na vilindi vya maji vilivyotulia chini;
سرزمینشان در هر فصلی پر بار باشد و از محصولاتی که آفتاب میرویاند غنی گردد. | 14 |
pamoja na vitu vilivyo bora sana viletwavyo na jua, na vitu vizuri sana vinavyoweza kutolewa na mwezi;
کوههای قدیمیشان پر از درخت میوه شوند و تپههای جاودانیشان حاصلخیز گردند. | 15 |
pamoja na zawadi bora sana za milima ya zamani na kwa wingi wa baraka za vilima vya milele;
در زمینشان وفور نعمت باشد و ایشان از رضایت خداوند برخوردار گردند، خداوندی که در بوتهٔ مشتعل ظاهر گشت. تمامی این برکات بر یوسف باد، بر کسی که میان برادران خود شاهزاده بود. | 16 |
pamoja na baraka nzuri mno za ardhi na ukamilifu wake, na upendeleo wake yeye aliyeishi kwenye kichaka kilichokuwa kinawaka moto. Hivi vyote na vikae juu ya kichwa cha Yosefu, juu ya paji la uso la aliye mkuu miongoni mwa ndugu zake.
یوسف در قوت مانند گوسالۀ نر است، و همچون گاو وحشی با شاخهای خویش تمام قومها را میزند. این برکات بر هزارههای منسی و ده هزارههای افرایم باد.» | 17 |
Katika fahari yeye ni kama fahali mzaliwa wa kwanza; pembe zake ni pembe za nyati, na kwa pembe hizo atapiga mataifa, hata yaliyo miisho ya dunia. Hivyo ndivyo yalivyo makumi elfu ya Efraimu; hivyo ndivyo yalivyo maelfu ya Manase.”
موسی دربارهٔ قبایل زبولون و یساکار چنین گفت: «ای زبولون سفرهای تو با شادی همراه باشد، و تو ای یساکار در خیمههای خود شادمان باش. | 18 |
Kuhusu Zabuloni akasema: “Shangilia, Zabuloni, wakati wa kutoka nje, nawe Isakari, katika mahema yako.
زبولون و یساکار قومها را به کوه خود دعوت خواهند کرد و در آنجا قربانیهای راستین تقدیم خواهند نمود. ثروت دریا از آن ایشان خواهد شد و گنجینههای نهفته در شن نصیب آنها خواهد گردید.» | 19 |
Watawaita mataifa kwenye mlima, na huko mtatoa dhabihu za haki; watajifurahisha kwa wingi uliojaza bahari, kwa hazina zilizofichwa mchangani.”
دربارهٔ قبیلهٔ جاد گفت: «برکت بر کسانی باد که به جاد کمک میکنند. او مانند شیری است درنده و قوی. | 20 |
Kuhusu Gadi akasema: “Atabarikiwa yeye aongezaye milki ya Gadi! Gadi huishi huko kama simba, akirarua kwenye mkono au kichwa.
بهترین قسمت سرزمین را برای خود برگزید، قسمتی را که سهم حاکم بود به او دادند. او مردم را هدایت کرد و حکم و داوری خداوند را در مورد اسرائیل اجرا نمود.» | 21 |
Alijichagulia nchi nzuri kuliko zote kwa ajili yake mwenyewe; fungu la kiongozi lilikuwa limehifadhiwa kwa ajili yake. Viongozi wa watu walipokusanyika, alitimiza haki ya mapenzi ya Bwana, na hukumu zake kuhusu Israeli.”
موسی دربارهٔ قبیلهٔ دان چنین گفت: «دان مانند بچه شیری است که از باشان میجهد.» | 22 |
Kuhusu Dani akasema: “Dani ni mwana simba, akiruka kutoka Bashani.”
دربارهٔ قبیلهٔ نفتالی گفت: «نفتالی از رحمتها و برکات خداوند لبریز است، مرز جنوبی سرزمین او، تا دریاچه جلیل وسعت خواهد یافت.» | 23 |
Kuhusu Naftali akasema: “Naftali amejaa tele upendeleo wa Bwana, naye amejaa baraka yake; atarithi magharibi na kusini.”
دربارهٔ قبیلهٔ اشیر چنین گفت: «اشیر بیش از قبایل دیگر برکت یافته است. در میان برادرانش محبوب باشد و سرزمینش از محصول زیتون غنی گردد. | 24 |
Kuhusu Asheri akasema: “Aliyebarikiwa zaidi sana katika wana ni Asheri; yeye na apate upendeleo kwa ndugu zake, yeye na anawe miguu yake kwenye mafuta.
دروازههای شهرهایش با پشتبندهای آهنین محصور شود، و تا وقتی زنده است از قدرتش کاسته نگردد.» | 25 |
Makomeo ya malango yako yawe chuma na shaba, nazo nguvu zako zitakuwa sawa na siku zako.
«ای یِشورون، خدایی مانند خدای تو نیست. او باشکوه و جلال بر ابرهای آسمان سوار میشود تا به کمک تو بیاید. | 26 |
“Hakuna mwingine kama Mungu wa Yeshuruni, ambaye hupanda juu ya mbingu ili akusaidie, na juu ya mawingu katika utukufu wake.
خدای ازلی پناهگاه توست و بازوان ابدی او تو را محافظت خواهند کرد. او دشمنانت را از مقابل تو خواهد راند و به تو خواهد گفت که آنها را هلاک کنی. | 27 |
Mungu wa milele ni kimbilio lako, na chini kuna mikono ya milele. Atamfukuza adui yako mbele yako, akisema, ‘Mwangamize yeye!’
پس اسرائیل در امنیت ساکن خواهد شد. او در سرزمینی زندگی خواهد کرد که پر از غله و شراب است و از آسمان آن شبنم بر زمین میبارد. | 28 |
Hivyo Israeli ataishi salama peke yake. Mzao wa Yakobo ni salama katika nchi ya nafaka na divai mpya, mahali ambapo mbingu hudondosha umande.
خوشا به حال تو، ای اسرائیل، زیرا هیچ قومی مثل تو نیست، قومی که خداوند، آن را نجات داده باشد. خداوند سپر و شمشیر توست، او تو را کمک میکند و به تو پیروزی میبخشد. دشمنانت در مقابل تو به زانو در خواهند آمد و تو بر پشت آنها پای خواهی نهاد.» | 29 |
Ee Israeli, wewe umebarikiwa! Ni nani kama wewe, taifa lililookolewa na Bwana? Yeye ni ngao yako na msaada wako, na upanga wako uliotukuka. Adui zako watatetemeka mbele yako, nawe utapakanyaga mahali pao pa juu.”