< تثنیه 31 >

موسی در ادامهٔ سخنان خود به قوم اسرائیل چنین گفت: 1
Musa alikwenda na kuzungumza maneno haya kwa Israeli yote.
«من اکنون صد و بیست سال دارم و دیگر قادر نیستم شما را رهبری کنم. خداوند به من گفته است از رود اردن عبور نخواهم کرد. 2
Alisema kwao, “Kwa sasa nina umri wa miaka mia moja na ishirini; Siwezi kutoka na kuingia tena; Yahwe ameniambia, “Hautavuka Yordani hii”
یهوه خدایتان، خود پیشاپیش شما عبور خواهد کرد و اقوامی را که در آنجا زندگی می‌کنند نابود خواهد کرد و شما سرزمین ایشان را به تصرف خود در خواهید آورد. همان‌گونه که خداوند فرموده، یوشع پیشاپیش شما عبور خواهد کرد. 3
Yahwe Mungu wako, atakutangulia mbele yako; ataangamiza mataifa haya mbele yako, nawe utawanyanganya. Yoshua atakwenda kabla yako, kama Yahwe alivyonena.
خداوند همان‌طور که سیحون و عوج، پادشاهان اموری را هلاک ساخته، سرزمینشان را ویران نمود، قومهایی را نیز که در این سرزمین زندگی می‌کنند نابود خواهد کرد. 4
Yahwe atawafanya kwao kama alivyofanya kwa Sihoni na kwa Ogu, wafalme wa Waamori, na kwa nchi yao, aliyoiangamiza.
خداوند، ایشان را به دست شما تسلیم خواهد کرد و شما باید طبق دستوری که داده‌ام با آنها رفتار کنید. 5
Yahwe atakupatia ushindi juu yao utakapokutana nao vitani, nawe utafanya kwao yote ntakayokuamuru.
قوی و دلیر باشید. از ایشان نترسید. خداوند، خدایتان با شما خواهد بود. او شما را تنها نخواهد گذاشت و ترک نخواهد کرد.» 6
Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema, usiogope, na usiwaogope; kwa maana Yahwe Mungu wako, ni yeye aendaye kabla yako; hatakuangusha wala kukuacha.”
آنگاه موسی یوشع را احضار کرده، در حضور تمامی قوم اسرائیل به او گفت: «قوی و دلیر باش، زیرا تو این قوم را به سرزمینی که خداوند با سوگند به اجدادشان وعده داده است رهبری خواهی کرد تا آنجا را تصرف کنند. 7
Musa akamwita Yoshua na akamwambia machoni pa Israeli yote, “Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema, kwa kuwa utaondoka na hawa watu katika nchi ambayo Yahwe ameapa kwa mababu zao kuwapatia; utafanya wairithi.
ترسان نباش، زیرا خداوند با تو خواهد بود و پیشاپیش تو حرکت خواهد کرد. او تو را تنها نخواهد گذاشت و ترک نخواهد کرد.» 8
Yahwe, yeye ndiye atakwenda kabla yako; atakuwa pamoja nawe; hatakuangusha wala hatakutelekeza; usiogope, usivunjike moyo.”
آنگاه موسی قوانین خدا را نوشت و آن را به کاهنان لاوی که صندوق عهد خداوند را حمل می‌کردند و نیز به مشایخ اسرائیل سپرد. 9
Musa aliandika sheria hii na kuwapatia makuhani, wana wa Walawi, ambao walibeba sanduku la agano la Yahwe; pia aligawa nakala zake kwa wazee wote wa Israeli.
او به ایشان فرمود: «این قوانین را در پایان هر هفت سال، یعنی در سالی که قرضها بخشیده می‌شود، هنگام عید خیمه‌ها که تمام قوم اسرائیل در حضور خداوند در مکانی که او برای عبادت تعیین می‌کند جمع می‌شوند، برای آنها بخوانید. 10
Musa aliwaamuru na kusema, “Katika kila mwisho wa miaka saba, kwa muda uliowekwa wa kudumu kwa ajili ya kufuta madeni, katika Sikukuu ya Vibanda,
11
ambapo Israeli yote imekuja kujitokeza mbele ya Yahwe Mungu wako katika mahali atakayochagua kuwa patakatifu pake, utasoma sheria hii mbele ya Israeli yote wakisikia.
تمام مردان، زنان، بچه‌ها و غریبانی را که در میان شما زندگی می‌کنند جمع کنید تا قوانین خداوند را بشنوند و یاد بگیرند که یهوه خدایتان را احترام نمایند و دستورهایش را اطاعت کنند. 12
Kusanya watu, wanaume, wanawake, na wadogo, na mgeni wako aliye miongoni mwa malango yako, ili waweze kusikia na kujifunza, na ili kwamba wamheshimu Yahwe Mungu wako na kushika maneno yote ya sheria hii.
چنین کنید تا فرزندانتان که با این قوانین آشنایی ندارند آنها را بشنوند و بیاموزند که در تمام ایام زندگی خود در سرزمینی که برای تصرفش از اردن عبور می‌کنید، یهوه خدایتان را احترام نمایند.» 13
Fanya hivi ili kwamba watoto wao, ambao hawajajua, waweze kusikia na kujifunza kumheshimu Yahwe Mungu wako, maadamu unaishi katika nchi ambayo utaenda juu ya Yordani kuimiliki.”
آنگاه خداوند به موسی فرمود: «پایان عمرت نزدیک شده است. یوشع را بخوان و با خود به خیمهٔ ملاقات بیاور تا دستورهای لازم را به او بدهم.» پس موسی و یوشع به خیمهٔ ملاقات وارد شدند. 14
Yahwe alimwambia Musa, “Tazama, siku inakuja ambayo lazima utakakufa; muite Yoshua na mjidhihirishe katika hema la makutano, ili kwamba niweze kuwapatia amri.” Musa an Yoshua waliondoka na kujidhihirisha katika hema la makutano.
در خیمهٔ عبادت، خداوند در ابر ظاهر شد و ابر، بالای در خیمه ایستاد. 15
Yahwe alijifunua kwenye hema kwa nguzo ya wingu; nguzo ya wingu ilisimama juu ya mlango wa hema.
سپس خداوند به موسی گفت: «تو خواهی مرد و به پدرانت ملحق خواهی شد. بعد از تو، این قوم در سرزمین موعود به من خیانت کرده، به پرستش خدایان بیگانه خواهند پرداخت و مرا از یاد برده، عهدی را که با ایشان بسته‌ام خواهند شکست. 16
Yahwe alimwambia Musa, “Tazama, utalala na baba zako; watu hawa watainuka na kujifanya kama kahaba na kwenda kwa miungu ya ajabu ambayo imo miongoni mwao katika nchi wanapokwenda. Wataniacha na kuvunja agano langu ambalo nimefanya nao.
آنگاه خشم من بر ایشان شعله‌ور شده، ایشان را ترک خواهم کرد و رویم را از ایشان برخواهم گرداند تا نابود شوند. سختیها و بلاهای بسیار بر ایشان نازل خواهد شد به طوری که خواهند گفت: خدا دیگر در میان ما نیست. 17
Basi, katika siku hiyo, hasira yangu itawaka dhidi yao nami nitawaacha. Nitaficha uso wangu kwao nao watamezwa. Maafa na taabu nyingi yatawakumba ili waseme katika siku hiyo, “Maafa haya hayajaja kwetu kwa sababu Mungu hayupo kati yetu?”
من به سبب گناه بت‌پرستی‌شان رویم را از ایشان برمی‌گردانم. 18
Hakika nitaficha uso wangu kwao katika siku hiyo kwa sababu ya uovu wote ambao watakuwa wametenda, kwa sababu wamegeukia miungu mingine.
«اکنون کلمات این سرود را که به تو می‌دهم بنویس و به بنی‌اسرائیل یاد بده تا شاهد من باشد بر ضد بنی‌اسرائیل. 19
Basi sasa andika wimbo huu kwa ajili yenu na wafundishe watu wa Israeli. Uweke vinywani mwao, ili kwamba wimbo huu uweze kuwa shahidi kwangu dhidi ya watu wa Israeli.
زمانی که ایشان را به سرزمینی که با سوگند به پدرانشان وعده داده بودم آوردم، یعنی به سرزمینی که شیر و عسل در آن جاری است و پس از اینکه سیر و فربه شدند و به پرستش خدایان دیگر پرداختند و مرا رد نموده، عهد مرا شکستند 20
Kwa maana nitakapowaleta katika nchi ambayo niliapa kwa mababu zao, nchi inayotiririka kwa maziwa na asali, na watakapokula na kuridhika na kunenepa, ndipo watageukia miungu mingine nao watawatumikia na kunidharau na watavunja agano langu.
و به سختیها و بلاهای بسیار دچار شدند، در آن هنگام، این سرود چون شاهدی بر ضد آنها گواهی خواهد داد. این سرود از نسلی به نسل دیگر، سینه به سینه نقل خواهد شد. من از همین حالا، حتی قبل از اینکه وارد سرزمین موعود شوند، افکار ایشان را می‌دانم.» 21
Maovu na taabu nyingi zitakapokuja juu ya watu hawa, huu wimbo utashuhudia mbele yao (kwa maana hautasahaulika vinywani mwa uzao wao). Kwa maana najua mipango wanayotengeneza leo, hata kabla sijawaleta katika nchi niliyowaahidi.
پس در همان روز، موسی کلمات سرود را نوشت و آن را به قوم اسرائیل یاد داد. 22
Kwa hiyo Musa aliandika huu wimbo siku hiyo hiyo na kuwafundisha watu wa Israeli.
سپس خداوند به یوشع فرمود: «قوی و دلیر باش، زیرا تو باید مردم اسرائیل را به سرزمینی که من با سوگند به ایشان وعده داده‌ام هدایت کنی، و من با تو خواهم بود.» 23
Yahwe alimpa Yoshua mwana wa Nuni amri na kusema, “Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema; kwa maana utawaleta watu wa Israeli katika nchi niliyoapa kwao, nami nitakuwa pamoja nawe.”
هنگامی که موسی کار نوشتن همه این قوانین را در کتابی به پایان رساند، 24
Ikatokea kwamba Musa alipomaliza kuandika maneno ya sheria hii katika kitabu,
به لاویانی که صندوق عهد خداوند را حمل می‌کردند فرمود: 25
aliwaamuru Walawi waliobeba sanduku la agano la Yahwe, na kusema,
«این کتاب شریعت را در کنار صندوق عهد یهوه خدایتان قرار دهید، تا شاهدی باشد بر ضد شما. 26
“Chukua kitabu hiki cha sheria na kiweke pembeni mwa sanduku la agano la Yahwe Mungu wenu, ili kiweze kuwa pale kama ushahidi dhidi yenu.
چون می‌دانم که این قوم چقدر یاغی و سرکشند. اگر امروز که در میان ایشان هستم نسبت به خداوند اینچنین یاغی شده‌اند، پس، بعد از مرگ من چه خواهند کرد. 27
Maana nafahamu uasi wenu na shingo zenu ngumu; tazama, maadamu nipo hai pamoja nanyi hata leo, mmekuwa waasi dhidi ya Yahwe; itakuaje baada ya mimi kufa?
اکنون کلیهٔ رهبران و مشایخ قبیله‌هایتان را احضار کنید تا این سخنان را به ایشان بگویم و زمین و آسمان را بر ایشان شاهد بگیرم. 28
Nikusanyieni wazee wote wa makabila yenu, na maafisa wenu, ili nizungumze maneno haya masikioni mwao na kuziita mbingu na nchi kushuhudia dhidi yao.
می‌دانم که پس از مرگ من، خود را به کلی آلوده کرده، از دستورهایی که به شما داده‌ام سرپیچی خواهید کرد. در روزهای آینده، مصیبت گریبانگیر شما خواهد شد، زیرا آنچه را که خداوند نمی‌پسندد همان را انجام خواهید داد و او را بسیار غضبناک خواهید کرد.» 29
Kwa maana najua baada ya kifo changu mtajiharibu kabisa na kugeuka kuiacha njia niliyowaamuru; maafa yatawakumba katika siku zijazo. Haya yatatokea kwa sababu mtafanya yaliyo maovu machoni pa Yahwe, ili kumchokoza katika hasira kwa mikono ya kazi yenu.”
سپس موسی این سرود را برای تمام جماعت اسرائیل خواند: 30
Musa alinena masikioni mwa kusanyiko lote la Israeli maneno yote ya wimbo huu hadi yalipokamilika.

< تثنیه 31 >