< تثنیه 27 >
آنگاه موسی و مشایخ اسرائیل، این دستورها را نیز به قوم دادند و از آنها خواستند تا آنها را به جا آورند: | 1 |
Musa na wazee wa Israeli waliwaamuru watu na kusema, “Zishikeni amri zote ninazowaamuru leo.
«وقتی که از رود اردن عبور کردید و به سرزمین موعود یعنی به سرزمینی که شیر و عسل در آن جاری است رسیدید، سنگهای بزرگی از کف رودخانه بیرون آورید و آنها را به صورت بنای یادبودی در آن طرف رودخانه بر کوه عیبال بر روی یکدیگر قرار دهید. روی سنگها را با گچ بپوشانید و سپس قوانین خداوند را بر آن بنویسید. | 2 |
Katika siku mtakapopita juu ya Yordani kwenye nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia, mnapaswa kutengeneza mawe kiasi makubwa na kuyachapa kwa lipu.
Mnatakiwa kuyaandika juu yake maneno yote ya sheria hii pale mtakapovuka; ili muweze kwenda katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia, nchi inayotiririka kwa maziwa na asali, kama Yahwe, Mungu wa mababu zenu, alivyowaahidi.
Mtakapovuka juu ya Yordani, yapangane haya mawe ninayowaamuru leo, juu ya mlima wa Ebali, na myapige kwa lipu.
در آنجا یک مذبح با سنگهای نتراشیده که ابزار آهنی بر آنها نخورده باشد برای خداوند، خدایتان بسازید و قربانیهای سوختنی برای خداوند، خدایتان بر آن تقدیم کنید. | 5 |
Hapo mnapaswa kujenga dhabahu kwa Yahwe Mungu wako, dhabahu la mawe; lakini hautakiwi kuinua chombo cha chuma kujenga mawe.
Unatakiwa kujenga dhabahu ya Yahwe Mungu wako kwa mawe yasiyokuwa na kazi; unatakiwa kutoa dhabihu ya kuteketeza juu yake kwa Yahwe Mungu wako,
قربانیهای سلامتی را نیز بر روی آن ذبح کرده، بخورید و در همان جا در حضور خداوند، خدایتان شادی کنید. | 7 |
na utatoa sadaka ya pamoja na utakula pale; utafurahia mbele ya Yahwe Mungu wako.
همۀ این قوانین را با خط خوانا روی بنای یادبود بنویسید.» | 8 |
Utaandika juu ya mawe maneno yote ya sheria hii kwa wazi.
آنگاه موسی به همراهی کاهنان لاوی به تمامی قوم اسرائیل گفت: «ای اسرائیل خاموش باش و بشنو! امروز تو قوم خداوند، خدایت شدهای. | 9 |
Musa na makuhani, Walawi, waliongea na Waisraeli wote na kusema, “Nyamazeni na sikilizeni Israel: Leo mmekuwa watu wa Yahwe Mungu wenu.
بنابراین باید از یهوه خدای خود پیروی نمایی و فرمانها و فرایض او را که امروز به تو میدهم اطاعت کنی.» | 10 |
Mnapaswa basi kutii sauti ya Yahwe Mungu wenu na kutii amri na sheria zake ambazo ninawaamuru leo.”
در همان روز موسی این دستور را به قوم اسرائیل داد: | 11 |
Musa aliwaamuru watu siku hiyo hiyo na kusema,
پس از عبور از رود اردن، قبایل شمعون، لاوی، یهودا، یساکار، یوسف و بنیامین باید بر روی کوه جَرِزیم بایستند و قوم را برکت دهند. | 12 |
“Makabila haya yanapaswa kusimama katika mlima Gerizimu kuwabariki watu baada ya nyinyi kuvuka Yordani; Simeoni, Lawi, Judah, Isakari, Yusufu na Benyamini.
و قبایل رئوبین، جاد، اشیر، زبولون، دان و نفتالی باید بر کوه عیبال بایستند و لعنتها را اعلام کنند. | 13 |
Haya ni makabila ambayo lazima yasimame juu yam lima Ebali kutamka laana: Rubeni, Gadi, Asheri, Zabuloni, Dan na Naftali.
آنگاه لاویان که در بین آنها ایستادهاند با صدای بلند به تمام بنیاسرائیل بگویند: | 14 |
Walawi watajibu na kusema kwa wanamume wote wa Israeli kwa sauti kubwa:
«لعنت خدا بر کسی که بُتی از سنگ، چوب یا فلز بسازد و مخفیانه آن را پرستش کند، زیرا خداوند از بتپرستی متنفر است.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 15 |
“Alaaniwe mwanamume atakayechonga sanamu au kinyago, chukizo kwa Yahwe, kazi ya mikono ya fundi, ambayo ataifanya sirini”. Kisha watu wote wanapaswa kujibu na kusema, ‘Amina’.
«لعنت خدا بر کسی که نسبت به پدر و مادرش بیاحترامی کند.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 16 |
Alaaniwe mwanamume atakayemuaibisha baba yake au mama yake. Kisha watu wote waseme, 'Amina'.
«لعنت خدا بر کسی که مرز بین زمین خودش و همسایهاش را تغییر دهد.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 17 |
Alaaniwe mwanamume anayetoa alama ya ardhi.' Kisha watu wote na waseme, 'Amina'.
«لعنت خدا بر کسی که نابینا را از راه، منحرف کند.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 18 |
Alaaniwe mwanamume asababishae kipofu kutoka nje ya barabara. Kisha watu wote waseme, ‘Amina’.
«لعنت خدا بر کسی که نسبت به غریبان، یتیمان و بیوهزنان بیعدالتی نماید.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 19 |
Alaaniwe mwanamume atumiaye nguvu kupokonya haki inayomstahili mgeni, yatima, au mjane. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
«لعنت خدا بر کسی که با زن پدرش همبستر شود، چون آن زن به پدرش تعلق دارد.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 20 |
Alaaniwe mwanamume atakayelala na mke wa baba yake, kwa sababu atakuwa amechukua haki za baba yake’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
«لعنت خدا بر کسی که با حیوانی رابطهٔ جنسی برقرار کند.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 21 |
Alaaniwe mwanamume atakayelala na aina yoyote ya mnyama’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
«لعنت خدا بر کسی که با خواهر خود، چه تنی و چه ناتنی، همبستر شود.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 22 |
Alaaniwe mwanamume atakayelala na dada yake, binti wa baba yake, au binti wa mama yake. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
«لعنت خدا بر کسی که با مادر زن خود همبستر شود.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 23 |
Alaaniwe mwanamume atakayelala na mama mkwe’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
«لعنت خدا بر کسی که همسایۀ خود را مخفیانه بکشد.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 24 |
Alaaniwe mwanamume atakayemuua jirani yake kwa siri’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
«لعنت خدا بر کسی که رشوه بگیرد تا فرد بیگناهی را به قتل برساند.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 25 |
Alaaniwe mwanamume apokeaye rushwa kumuua mtu asiye na hatia’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
«لعنت خدا بر کسی که کلمات این شریعت را نپذیرد و به جا نیاورد.» و تمامی قوم بگویند: «آمین.» | 26 |
Alaaniwe mwanamume asiyethibitisha maneno ya sheria hii, ili kwamba ayatii.’ Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.