< تثنیه 2 >
آنگاه طبق دستور خداوند بازگشتیم و از راهی که به سوی دریای سرخ میرود به بیابان رفتیم. سالهای زیادی در اطراف ناحیهٔ کوه سعیر سرگردان بودیم. سرانجام خداوند فرمود: | 1 |
Kisha tukageuka nyuma na kusafiri kuelekea jangwani kwa njia inayoelekea Bahari ya Shamu, kama Bwana alivyonielekeza. Kwa muda mrefu tulitembea kuzunguka vilima katika nchi ya Seiri.
«به اندازهٔ کافی در این کوهستان سرگردان بودهاید. حال به سمت شمال بروید. | 3 |
“Umetembea kuzunguka hii nchi ya vilima kwa muda wa kutosha; sasa geukia kaskazini.
به قوم بگو که ایشان از مرز سرزمینی خواهند گذشت که به برادرانشان ادومیها تعلق دارد. (ادومیها از نسل عیسو هستند و در سعیر زندگی میکنند.) آنها از شما خواهند ترسید، | 4 |
Wape watu maagizo haya: ‘Mko karibu kupita katikati ya nchi ya ndugu zako ambao ni wazao wa Esau, ambao wanaishi Seiri. Watawaogopa, lakini mwe waangalifu.
ولی شما با ایشان نجنگید، چون من تمام سرزمین کوهستانی سعیر را به عنوان ملک دائمی به ایشان دادهام و حتی یک وجب از زمین ایشان را به شما نخواهم داد. | 5 |
Msiwachokoze kwa vita kwa maana sitawapa ninyi sehemu yoyote ya nchi yao, hata sehemu ya kutosha kuweka wayo wenu juu yake. Nimempa Esau nchi ya vilima ya Seiri kama yake mwenyewe.
در آنجا به ازای آب و غذایی که مصرف میکنید، پول بپردازید. | 6 |
Mtawalipa fedha kwa chakula mtakachokula na maji mtakayokunywa.’”
خداوند، خدایتان در تمام چهل سالی که در این بیابان بزرگ سرگردان بودهاید با شما بوده و قدم به قدم از شما مراقبت نموده است. او در تمام کارهایتان به شما برکت داده و شما هیچوقت محتاج به چیزی نبودهاید.» | 7 |
Bwana Mungu wenu amewabariki kwa kazi yote ya mikono yenu. Amewalinda katika safari yenu katikati ya jangwa hili kubwa. Kwa miaka hii arobaini Bwana Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi, na hamkupungukiwa na kitu chochote.
بنابراین ما از کنار سعیر که برادرانمان از نسل عیسو در آنجا زندگی میکردند گذشتیم و جادهای را که به سمت جنوب به اِیلَت و عصیون جابر میرود قطع نموده، رو به شمال به طرف بیابان موآب کوچ کردیم. | 8 |
Basi tulipita kwa ndugu zetu wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri. Tuligeuka kutoka njia ya Araba ambayo inatokea Elathi na Esion-Geberi, tukasafiri kufuata njia ya jangwa la Moabu.
آنگاه خداوند به ما چنین هشدار داد: «با موآبیها که از نسل لوط هستند کاری نداشته باشید و با ایشان وارد جنگ نشوید. من شهر عار را به ایشان دادهام و هیچ زمینی را از سرزمین ایشان به شما نخواهم داد.» | 9 |
Kisha Bwana akaniambia, “Usiwasumbue Wamoabu kwa vita, kwa kuwa sitawapa sehemu yoyote ya nchi yao. Nimetoa nchi ya Ari kwa wazao wa Loti kama milki yao.”
(ایمیها که قبیلهٔ بسیار بزرگی بودند قبلاً در آن ناحیه سکونت داشتند و مثل غولهای عناقی بلند قد بودند. | 10 |
(Waemi walikuwa wakiishi huko hapo zamani, watu wenye nguvu na wengi, warefu kama Waanaki.
ایمیها و عناقیها غالباً رفائی خوانده میشوند، ولی موآبیها ایشان را ایمی میخوانند. | 11 |
Kama walivyokuwa Waanaki, hao pia walikuwa kama Warefai, lakini Wamoabu waliwaita Waemi.
در روزگار پیشین حوریها در سعیر سکونت داشتند، ولی ادومیها یعنی قوم عیسو آنها را بیرون رانده، جایشان را گرفتند، همانطور که اسرائیل مردم کنعان را که خداوند سرزمینشان را به اسرائیل بخشیده بود، بیرون راندند.) | 12 |
Wahori waliishi Seiri, lakini wazao wa Esau waliwafukuza. Waliwaangamiza Wahori na kukaa mahali pao, kama Waisraeli walivyofanya katika nchi ambayo Bwana aliwapa kama milki yao.)
خداوند فرمود: «اکنون برخیزید و از رود زارَد بگذرید.» ما چنین کردیم. | 13 |
Bwana akasema, “Sasa ondokeni mvuke Bonde la Zeredi.” Hivyo tukavuka bonde.
سی و هشت سال پیش، ما قادش را ترک گفته بودیم. همانطور که خداوند فرموده بود، در این مدت تمام جنگجویان ما از بین رفتند. | 14 |
Miaka thelathini na minane ilipita tangu wakati tulipoondoka Kadesh-Barnea mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi. Kwa wakati huo kile kizazi chote cha wanaume kuanzia wale wawezao kwenda vitani kilikuwa kimekufa, kama Bwana alivyokuwa amewaapia.
خداوند بر ضد آنها بود و سرانجام همهٔ آنها را از بین برد. | 15 |
Mkono wa Bwana uliwakabili hadi alipowaangamiza wote huko kambini.
پس از اینکه تمام جنگجویان مردند | 16 |
Ikawa baada ya mtu wa mwisho kuanzia wale wawezao kwenda vitani kufa,
«امروز باید از شهر عار که در مرز موآب است بگذرید. | 18 |
“Leo utapita katika nchi ya Moabu huko Ari.
وقتی به سرزمین عمونیها که از نسل لوط هستند نزدیک شدید با آنها کاری نداشته باشید و با ایشان وارد جنگ نشوید، زیرا هیچ زمینی را از سرزمینی که به ایشان بخشیدهام، به شما نخواهم داد.» | 19 |
Utakapokuja kwa Waamoni, msiwasumbue wala kuwachokoza kwa vita, kwa kuwa sitawapa ardhi yoyote iliyo ya Waamoni kuwa milki yenu. Nimeitoa kama milki ya wazao wa Loti.”
(آن ناحیه نیز زمانی محل سکونت رفائیها که عمونیها ایشان را زَمزُمی میخوانند، بود. | 20 |
(Hiyo pia ilidhaniwa kuwa nchi ya Warefai waliokuwa wakiishi huko, lakini Waamoni waliwaita Wazamzumi.
آنها قبیلهٔ بسیار بزرگی بودند و مثل عناقیها قد بلندی داشتند، ولی خداوند ایشان را هنگام ورود عمونیها از بین برد و عمونیها به جای ایشان در آنجا سکونت کردند. | 21 |
Walikuwa watu wenye nguvu na wengi, warefu kama Waanaki. Bwana akawaangamiza kutoka mbele ya Waamoni, ambao waliwafukuza na kukaa mahali pao.
خداوند به همین گونه به قوم عیسو در کوه سعیر کمک کرده بود و آنها حوریها را که قبل از ایشان در آنجا سکونت داشتند از بین برده و تا امروز به جای ایشان ساکن شدهاند. | 22 |
Bwana alikuwa amefanya vivyo hivyo kwa wazao wa Esau, ambao waliishi Seiri, wakati alipowaangamiza Wahori watoke mbele yao. Waliwafukuza na wao wakaishi mahali pao mpaka leo.
وضع مشابه دیگر، زمانی اتفاق افتاد که مردم کفتور به قبیلهٔ عِویها که تا حدود غزه در دهکدههای پراکندهای سکونت داشتند حمله نموده، آنها را هلاک کردند و به جای ایشان ساکن شدند.) | 23 |
Nao Waavi ambao waliishi katika vijiji mpaka Gaza, Wakaftori waliokuja kutoka Kaftori waliwaangamiza na kukaa mahali pao.)
آنگاه خداوند فرمود: «از رود ارنون گذشته، به سرزمین سیحونِ اموری، پادشاه حشبون داخل شوید. من او را و سرزمینش را به شما دادهام. با او بجنگید و سرزمین او را به تصرف خود درآورید. | 24 |
“Ondoka sasa na uvuke Bonde la Arnoni. Tazama, nimemweka mikononi mwako Sihoni Mwamori, mfalme wa Heshboni na nchi yake. Anza kuimiliki nchi hiyo na umwingize katika vita.
از امروز ترس شما را بر دل مردم سراسر جهان میگذارم. آنها آوازهٔ شما را میشنوند و به وحشت میافتند.» | 25 |
Siku hii ya leo nitaanza kuwatia hofu na woga mataifa yote chini ya mbingu wawaogope ninyi. Watakaposikia taarifa zenu, watatetemeka na kufadhaika kwa sababu yenu.”
سپس از صحرای قدیموت سفیرانی با پیشنهاد صلح نزد سیحون، پادشاه حِشبون فرستادم. | 26 |
Kutoka jangwa la Kedemothi nilituma wajumbe wenye maneno ya amani kwa Sihoni mfalme wa Heshboni kusema,
پیشنهاد ما این بود: «اجازه دهید از سرزمین شما عبور کنیم. از جادهٔ اصلی خارج نخواهیم شد و به طرف مزارع اطراف آن نخواهیم رفت. | 27 |
“Turuhusu tupite katika nchi yako. Tutapita katika barabara kuu, hatutageuka kuume wala kushoto.
هنگام عبور برای هر لقمه نانی که بخوریم و هر جرعه آبی که بنوشیم، پول خواهیم داد. تنها چیزی که میخواهیم، اجازهٔ عبور از سرزمین شماست. | 28 |
Tuuzie chakula tule na maji tunywe kwa thamani yake katika fedha. Turuhusu tu tupite kwa miguu,
ادومیهای نسل عیسو که ساکن سعیرند اجازهٔ عبور از سرزمین خود را به ما دادند. موآبیها هم که پایتختشان در عار است همین کار را کردند. ما از راه اردن به سرزمینی که خداوند، خدایمان به ما داده است میرویم.» | 29 |
kama wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri na Wamoabu ambao wanaishi Ari walivyotufanyia, mpaka tuvuke Yordani kuingia nchi ambayo Bwana Mungu wetu anatupatia.”
ولی سیحون پادشاه حِشبون موافقت نکرد، زیرا خداوند، خدای شما او را سختدل گردانید تا او را به دست اسرائیل نابود کند، همچنانکه الان شده است. | 30 |
Lakini Sihoni mfalme wa Heshboni alikataa kuturuhusu kupita. Kwa kuwa Bwana Mungu wako alikuwa ameifanya roho yake kuwa ngumu na moyo wake kuwa mkaidi ili amweke kwenye mikono yenu, kama alivyofanya sasa.
آنگاه خداوند به من فرمود: «اکنون به تدریج سرزمین سیحون پادشاه را به شما میدهم. پس شروع به تصرف و تصاحب این سرزمین کن.» | 31 |
Bwana akaniambia, “Tazama, nimeanza kuwapa Mfalme Sihoni na nchi yake kwako. Sasa anzeni kuishinda na kuimiliki nchi yake.”
آنگاه سیحون پادشاه به ما اعلان جنگ داد و نیروهایش را در یاهص بسیج کرد. | 32 |
Wakati Sihoni pamoja na jeshi lake lote walipokuja kukutana nasi katika vita huko Yahazi,
ولی خداوند، خدایمان او را به ما تسلیم نمود و ما او را با تمام پسران و افرادش کشتیم و تمامی شهرهایش را به تصرف خود درآورده، همهٔ مردان و زنان و اطفال را از بین بردیم. | 33 |
Bwana Mungu wetu alimweka mikononi mwetu, nasi tukamwangamiza pamoja na wanawe na jeshi lake lote.
Kwa wakati ule tuliteka miji yake yote na kuiangamiza kabisa: wanaume, wanawake na watoto. Hatukumwacha yeyote.
به غیر از گلههایشان، موجود دیگری را زنده نگذاشتیم. این گلهها را هم با غنایمی که از تسخیر شهرها به چنگ آورده بودیم با خود بردیم. | 35 |
Lakini mifugo na nyara tulizoziteka kutoka ile miji tulijichukulia wenyewe.
ما از عروعیر که در کنارهٔ درهٔ ارنون است تا جلعاد، همهٔ شهرها را به تصرف خود درآوردیم. حتی یک شهر هم در برابر ما قادر به مقاومت نبود، زیرا خداوند، خدایمان تمامی آنها را به ما داده بود. | 36 |
Kutoka Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kutoka mji ulio ndani ya bonde, hata mpaka Gileadi, hapakuwa na mji hata mmoja uliokuwa na nguvu kutushinda. Bwana Mungu wetu alitupa yote.
ولی ما به سرزمین بنیعمون و به رود یبوق و شهرهای کوهستانی یعنی جاهایی که خداوند، خدایمان قدغن فرموده بود، نزدیک نشدیم. | 37 |
Lakini kulingana na amri ya Bwana Mungu wetu, hamkujiingiza katika nchi yoyote ya Waamoni, wala katika sehemu yoyote iliyo kandokando ya Mto Yaboki, wala katika miji iliyoko katika vilima.