< تثنیه 13 >

اگر در میان شما پیشگو یا تعبیرکنندهٔ خواب وجود دارد که آینده را پیشگویی می‌کند 1
Kama miongoni mwenu ainuka nabii au muota ndoto,
و پیشگویی‌هایش نیز درست از آب در می‌آیند، ولی می‌گوید: «بیایید تا خدایان قومهای دیگر را که شما نمی‌شناسید، بپرستیم» 2
na kama anawapa ishara au maajabu, na kama ishara au maajabu yanatokea, kama alivyozungumza kwenu na kusema, “Ebu tuifuate miungu mingine, ambayo hatuijui, na tuiabudu.
به حرف او گوش نکنید؛ چون یهوه خدایتان بدین ترتیب شما را امتحان می‌کند تا معلوم شود آیا براستی او را با تمامی دل و جانتان دوست دارید یا نه. 3
Usisikilize maneno ya nabii huyo, au kwa huyo muota ndoto, kwa kuwa Yahwe Mungu wako anakujaribu kujua kama unampenda Yahwe Mungu wako kwa moyo wako wote na roho yako yote.
فقط از خداوند، خدایتان پیروی کنید و او را احترام نمایید و اوامرش را به جا آورید، او را پرستش کنید و از او جدا مشوید. 4
Mtatembea baada ya Yahwe Mungu wenu, mheshimu, mzishike amri zake, na mtii sauti yake, na mtamwabudu na kushikamana naye.
آن پیشگو یا تعبیر کنندهٔ خواب را که سعی می‌کند شما را گمراه سازد، بکشید، چون قصد داشته شما را بر ضد خداوند، خدایتان که شما را از بردگی در مصر بیرون آورد، برانگیزد. با کشتن او شرارت را از میان خود پاک خواهید کرد. 5
Nabii huyo au muota ndoto atauwawa, kwa sababu amezungumza uasi dhidi ya Yahwe Mungu wenu, ambaye aliwaleta toka nchi ya Misri, na aliyewakomboa kutoka nyumba ya utumwa. Hivyo nabii anataka kuwaondoa katika njia ambayo Yahwe Mungu wenu aliwaamuru kutembea. Kwa hiyo weka mbali maouvu kutoka kwenu.
اگر نزدیکترین خویشاوند یا صمیمی‌ترین دوست شما، حتی برادر، پسر، دختر و یا همسرتان در گوش شما نجوا کند که «بیا برویم و این خدایان بیگانه را بپرستیم»، خدایانی که نه شما آنها را می‌شناسید و نه اجدادتان، 6
Tuseme kwamba ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako, au binti yako, au mke wa karibu nawe, au rafiki yako ambaye ni kama roho yako, kukushawishi kwa siri na kusema, “Acha tuende na tukaabudu miungu mingine ambayo hatujazijua, wala wewe wala mababu zako-
خدایان قومهایی که اطراف سرزمین شما هستند، خواه نزدیک به شما خواه دور، 7
Miungu yeyote ya watu ambayo imewazunguka, karibu nanyi au mbali kutoka, kutoka mwisho wa dunia kwenda mwisho mwingine wa dunia.
به او گوش ندهید. پیشنهاد ناپسندش را برملا سازید و بر او رحم نکنید. 8
Usimkubali au kumsikiliza. Wala macho yako yasione huruma, wala hautamuacha akiba au kumficha.
او را بکشید. دست خودتان باید اولین دستی باشد که او را سنگسار می‌کند و بعد دستهای تمامی قوم اسرائیل. 9
Badala yake, utamuacha hakika; mkono wako utakuwa wa kwanza kumuua, na badae mkono wa watu wote.
او را سنگسار کنید تا بمیرد، چون قصد داشته است شما را از خداوند، خدایتان که شما را از مصر یعنی سرزمین بردگی بیرون آورد دور کند. 10
Mtamponda mpaka kufa kwa mawe, kwa sababu amejaribu kuwaondoa kutoka kwa Yahwe Mungu wenu, ambaye aliwatoa kutoka nchi ya Misri, nje ya nyumba ya utumwa.
آنگاه تمام بنی‌اسرائیل از کردار شرورانه‌اش آگاه شده، از ارتکاب چنین شرارتی در میان قوم خواهند ترسید. 11
Israel yote itasikia na kuogopa, na haitaendelea kufanya aina ya uovu miongoni mwenu.
هرگاه بشنوید در یکی از شهرهای اسرائیل می‌گویند که گروهی اوباش با پیشنهاد پرستیدن خدایان بیگانه همشهریان خود را گمراه کرده‌اند، اول حقایق را بررسی کنید و ببینید آیا آن شایعه حقیقت دارد یا نه. اگر دیدید حقیقت دارد و چنین عمل زشتی در میان شما در یکی از شهرهایی که یهوه خدایتان به شما داده است اتفاق افتاده، 12
Kama utasikia yeyote anasema kuhusu moja ya miji yenu, kwamba Yahwe Mungu wenu anawapa kuishi ndani yake.
13
Baadhi ya wenzuni waovu wamewaacha miongoni mwenu na kuacha kwa mbali wakazi wa miji yao na kusema, “Acha tuende na kuabudu miungu mingine ambayo hamjaijua.
14
Basi utaichunguza uthibitisho, kufanya utafiti na kuipeleleza kwa kina. Wakati unagundua kwamba ni kweli na hakuna shaka kwamba chukizo hilo lililofanyika miongoni mwenu, kisha utachukua hatua.
باید بی‌درنگ شهر و کلیهٔ ساکنانش را نابود کنید و گله‌هایشان را نیز از بین ببرید. 15
Utawashambulia hakika wenyeji wa mji huo kwa makali ya upanga. Utaangamiza kabisa na watu wote walio ndani yake, pamoja na mifugo yake, pamoja na makali ya upanga.
سپس باید تمام غنایم را در میدان شهر انباشته، بسوزانید. پس از آن، تمام شهر را به عنوان قربانی سوختنی برای خداوند، خدایتان به آتش بکشید. آن شهر برای همیشه باید ویرانه بماند و نباید هرگز دوباره آباد گردد. 16
Utakusanya nyara zote kutoka katikati mwa mitaa yake na utuunguza mji, pamoja na nyara zake zote - kwa kuwa Yahwe Mungu wako. Mji utakuwa mchungu wa uharibifu milele; haupaswi kujengwa tena.
ذره‌ای از این غنایم حرام را نگاه ندارید. آنگاه خداوند از غضب خود برمی‌گردد و شما را مورد لطف و مرحمت خویش قرار داده، همچنانکه با سوگند به پدرانتان وعده فرمود، تعداد شما را زیاد خواهد کرد، 17
Hakuna hata kimoja kati ya vitu hivyo vimewekwa wakfu kwa ajili ya kuangamizwa vinapaswa kugadamana kwenye mkono wako. Hii inapaswa kuwa kesi, ili kwamba Yahwe atageuka kutoka kwenye ukali wa hasira yake, kumuonyesha rehema, kuwa na huruma kwako, na kukufanya wewe kuogezeka katika idadi, kama alivyoapa kwa baba zako.
به شرطی که فقط از یهوه خدایتان و فرمانهای او که امروز به شما می‌دهم اطاعت نموده، آنچه را که در نظر یهوه خدایتان پسندیده است بجا آورید. 18
Atafanya hivi kwa sababu unasikiliza sauti ya Yahwe Mungu wako, kuzishika amri zake ambazo ninakuamuru leo, kufanya kile kilicho sahihi mbele ya macho ya Yahwe Mungu wako.

< تثنیه 13 >