< تثنیه 11 >
یهوه، خدایتان را دوست بدارید و خواستهها و فرایض و قوانین و فرامین او را همیشه بهجا آورید. | 1 |
Kwa hiyo mtampenda Yahwe Mungu wenu na daima mtashika maelekezo yake, maagizo yake, sheria zake, na amri zake.
گوش کنید! من با فرزندان شما سخن نمیگویم که مزهٔ تنبیه یهوه خدایتان را نچشیده و بزرگی و قدرت مهیبش را ندیدهاند. | 2 |
Kumbuka kwamba siongei kwa watoto wako, ambao hawajajua wala kuona hukumu ya Yahwe Mungu wako, ukuu wake, mkono wake wa uweza, mkono wake ulionyoshwa,
ایشان آنجا نبودند تا معجزاتی را که او در مصر علیه فرعون و تمامی سرزمینش انجام داد ببینند. | 3 |
Ishara na matendo ambayo alifanya katikati ya Misri kwa Farao, mfalme Misri, na nchi yake yote.
آنها ندیدهاند که خداوند با لشکر مصر و با اسبان و ارابههای ایشان چه کرد و چگونه کسانی را که در تعقیب شما بودند در دریای سرخ غرق نموده، هلاک کرد. | 4 |
Wala hawakuona kile alichofanya kwa jeshi la Misri, kwa farasi wao, au magari yao; namna alivyoyafanya maji ya bahari ya Reeds kuwaelemea kwa sababu ya kuwafuatilia, na namna Yahwe alivyowaangamiza mpaka leo,
آنها ندیدهاند در طول سالهایی که شما در بیابان سرگردان بودید، چگونه خداوند بارها از شما مراقبت کرده است تا شما را به اینجا برساند. | 5 |
au nini alifanya kwenu kwenye jangwa mpaka mlikuja eneo hili.
آنها آنجا نبودند وقتی که داتان و ابیرام، پسران الیاب، از نسل رئوبین، مرتکب گناه شدند و زمین دهان باز کرده، جلوی چشم تمامی قوم اسرائیل آنها را با خانواده و خیمه و اموالشان بلعید. | 6 |
Hawajaona nini Yahwe alichofanya kwa Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu mwana wa Reubeni; namna dunia ilifungua kinywa chake na kuwameza, nyumba zao, mahema yao, na kila kitu hai kilichowafuata, katikati mwa Israeli yote.
ولی شما با چشمانتان این معجزات عظیم خداوند را دیدهاید. | 7 |
Lakini macho yenu yameona kazi yote kuu ya Yahwe aliyoifanya.
پس این فرمانهایی را که امروز به شما میدهم با دقت اطاعت کنید تا توانایی آن را داشته باشید که سرزمینی را که بهزودی وارد آن میشوید تصرف کنید. | 8 |
Kwa hiyo shikeni amri zote ambazo ninawaamuru leo, kwamba mweze kuwa imara, na kuingia na kuimiliki nchi, ambayo unaenda zaidi kuimiliki;
اگر از این اوامر اطاعت کنید در سرزمینی که خداوند با سوگند به پدرانتان و به شما که فرزندان ایشان هستید وعده داد، عمر طولانی و خوبی خواهید داشت، در سرزمینی که شیر و عسل در آن جاری است. | 9 |
na kwamba uweze kuongeza siku zako katika nchi ambayo Yahwe aliapa kwa baba zako kuwapa na uzao wao, nchi itiririkayo maziwa na asali.
چون سرزمینی که بهزودی وارد آن میشوید و آن را تصاحب میکنید مثل سرزمین مصر که از آنجا آمدهاید نیست و احتیاجی به آبیاری ندارد. | 10 |
Kwa kuwa nchi, ambayo unaingia kumiliki, siyo kama nchi ya Misri, ambako mlitoka, ambako mlipanda mbegu na kumwagilizia kwa miguu yenu, kama bustani ya mitishamba;
سرزمینی که شما برای تصرفش به آن عبور میکنید، سرزمین کوهها و دشتهاست که باران فراوان بر آن میبارد، | 11 |
Lakini nchi, ambayo unaenda kuimiliki, ni nchi ya milima na mabonde, na kunywa maji ya mvua mbinguni,
و سرزمینی است که یهوه، خدایتان خود از آن مراقبت میکند و چشمان او دائم در تمامی سال بر آن دوخته شده است. | 12 |
nchi ambayo Yahwe Mungu wenu awajali; macho ya Yahwe Mungu wenu daima yako juu yake, kuanzia mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka.
اگر شما تمام فرامین او را که من امروز به شما میدهم با دقت اطاعت کنید و اگر یهوه خدایتان را با تمامی دل و جان دوست داشته باشید و او را عبادت کنید | 13 |
Itatokea, kama mtazisikiliza kwa bidii amri zangu ambazo ninawaamuru leo kumpenda Yahwe Mungu wenu, na kumtumikia kwa moyo wenu wote na roho zenu zote,
آنگاه او باز هم باران را به موقع خواهد فرستاد تا غله، شراب تازه و روغن زیتون فراوان داشته باشید. | 14 |
kwamba nitawapa mvua nchi yenu kwa majira yake, mvua za awali na mvua za badaye, ili kwamba mweze kukusanya nafaka zenu, mvinyo wenu mpya, na mafuta yenu.
او به شما مراتع سرسبز برای چریدن گلههایتان خواهد داد و خود نیز غذای کافی خواهید داشت که بخورید و سیر شوید. | 15 |
Nitawapa nyasi kwenye mashamba yenu kwa ajili ya mifugo yenu, na mtakula na kushiba.
ولی هوشیار باشید که دلهایتان از خداوند برنگردد تا خدایان دیگر را بپرستید، | 16 |
Uwe makini mwenyewe, ili kwamba moyo wako usidanganyike, na kugeuka na kuabudu miungu mingine, na kuisujudia;
چون اگر چنین کنید خشم خداوند نسبت به شما افروخته شده، آسمانها را خواهد بست و دیگر باران نخواهد بارید و شما محصولی نخواهید داشت، و بهزودی در سرزمین حاصلخیزی که خداوند به شما داده است نابود خواهید شد. | 17 |
ili kwamba hasira ya Yahwe isiwashiwe dhidi yenu, na ili kwamba asifunge mbingu, kwamba pasiwe na mvua, na nchi haitavuna matunda, na ili kwamba mpotee kwa haraka kutoka nchi nzuri ambayo Yahwe anawapa.
بنابراین، این فرمانها را در دل و جان خود جای دهید. آنها را به دستهای خود و همچنین به پیشانیتان ببندید تا همیشه به خاطر داشته باشید که باید آنها را اطاعت کنید. | 18 |
Kwa hiyo yaweke haya maneno ndani ya moyo wako na roho; yafunge kama ishara kwenye mkono wako, na yawe utepe katikati ya macho yako.
آنها را به فرزندان خود بیاموزید و همیشه دربارهٔ آنها صحبت کنید، خواه در خانه باشید خواه در بیرون، خواه هنگام خواب باشد خواه اول صبح. | 19 |
Utayafundisha kwa watoto na kuongea juu yake wakati uketipo ndani ya nyumba yako, wakati utembeapo barabarani, wakati ulalapo, na wakati uinukapo.
آنها را بر چارچوبِ درِ خانۀ خود و بر دروازههایتان بنویسید. | 20 |
Utayaandika kwenye miimo ya milango ya nyumba zenu na kwenye malango yenu,
آنگاه تا زمین و آسمان باقی است شما و فرزندانتان در سرزمینی که خداوند با سوگند به پدرانتان وعده داد زندگی خواهید کرد. | 21 |
kwamba siku zenu na siku za watoto wenu ziweze kuongezeka katika nchi ambayo Yahwe aliapa kwa mababu zenu kuwapa, maadamu mbingu ziko juu ya ardhi.
اگر با دقت همهٔ دستورهایی را که به شما میدهم اطاعت کرده، خداوند، خدایتان را دوست بدارید و آنچه را که او میخواهد انجام داده، از او جدا نشوید | 22 |
Kama mtayashika kwa bidii maagizo haya yote ambayo ninawaamuru nyinyi, ili kwamba myafanye, mpende Yahwe Mungu wenu, tembea katika njia zake zote, na kushikamana naye,
آنگاه خداوند همهٔ قومهایی را که با شما مقاومت میکنند، هر قدر هم از شما بزرگتر و قویتر باشند، بیرون خواهد کرد و شما زمینهایشان را تسخیر خواهید نمود. | 23 |
basi Yahwe atawaondosha mataifa haya yote kutoka mbele yenu, na mtayafukuza mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko nyie.
هر جا که قدم بگذارید به شما تعلق خواهد داشت. مرزهایتان از بیابان نِگِب در جنوب تا لبنان در شمال، و از رود فرات در مشرق تا دریای مدیترانه در مغرب خواهد بود. | 24 |
Kila eneo ambalo unyao wa miguu utatembea litakuwa lenu; kutoka jangwani hadi Lebanoni, toka mto wa Euphratesi, hadi magharibi mwa bahari itakuwa mpaka wenu.
هیچکس یارای مقاومت با شما را نخواهد داشت، چون خداوند، خدایتان همانطور که قول داده است هر جا که بروید ترس شما را در دل مردمی که با آنها روبرو میشوید، خواهد گذاشت. | 25 |
Hakuna mtu ataweza kusimama mbele yenu; Yahwe Mungu wenu ataweka hofu yenu na ugaidi wenu juu ya nchi yote mnayotembea juu yake kama alivyosema na ninyi.
من امروز به شما حق انتخاب میدهم تا بین برکت و لعنت یکی را انتخاب کنید. | 26 |
Tazama, naweka mbele yenu baraka na laana;
اگر فرامین یهوه خدایتان را که امروز به شما میدهم اطاعت کنید برکت خواهید یافت | 27 |
baraka, kama mtasikiliza amri za Yahwe ambazo ninakuamuru leo,
و اگر از آنها سرپیچی کرده، خدایان قومهای دیگر را پرستش کنید، مورد لعنت قرار خواهید گرفت. | 28 |
na laana, kama hamtasikiliza amri za Yahwe Mungu wenu, lakini mkaicha njia ninayokuamuru leo, kuendea miungu mingine ambayo hamjaijua.
وقتی که خداوند، خدایتان شما را وارد سرزمینی میکند که باید آن را تصرف کنید، از کوه جَرِزیم برکت و از کوه عیبال، لعنت اعلام خواهد شد. | 29 |
Itakuwa wakati Yahwe Mungu wenu anawaleta ninyi katika nchi ambayo mnaenda kumiliki, kwamba mtaweka baraka juu ya mlima Gerizimu na laana juu ya mlima Ebali.
(جَرِزیم و عیبال کوههایی هستند در غرب رود اردن، یعنی در سرزمین کنعانیهایی که در آنجا در اراضی بیابانی نزدیک جلجال زندگی میکنند، بلوطستان موره هم در آنجا قرار دارد.) | 30 |
Hawako ng'ambo ya pili zaidi ya Yordani, magharibi mwa barabara la magharibi, katika nchi ya Wakanani wanaoishi Arabah, juu dhidi ya Gilgali, kando ya mialo ya Moreh?
شما بهزودی از رود اردن عبور کرده، در سرزمینی که یهوه خدایتان به شما میدهد ساکن خواهید شد. | 31 |
Kwa maana mtavuka ng'ambo ya pili ya Yordani kuingia kumiliki nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, na mtamiliki na kuishi ndani yake.
فراموش نکنید که در آنجا باید همهٔ فرایض و قوانینی را که امروز به شما میدهم اطاعت کنید. | 32 |
Mtashika sheria zote na amri ninazoweka mbele yenu leo.