< دانیال 5 >

یک شب بلشصر پادشاه ضیافت بزرگی ترتیب داد و هزار نفر از بزرگان مملکت را به باده‌نوشی دعوت کرد. 1
Mfalme Belshaza alifanya karamu kubwa kwa ajili ya maelfu ya wakuu wake na akanywa mvinyo pamoja nao.
وقتی بلشصر سرگرم شرابخواری بود، دستور داد که جامهای طلا و نقره را که جدش نِبوکَدنِصَّر از خانهٔ خدا در اورشلیم به بابِل آورده بود، بیاورند. وقتی آنها را آوردند، پادشاه و بزرگان و زنان و کنیزان پادشاه در آنها شراب نوشیدند و بتهای خود را که از طلا و نقره، مفرغ و آهن، چوب و سنگ ساخته شده بود، پرستش کردند. 2
Wakati Belshaza alipokuwa akinywa mvinyo wake, aliamuru viletwe vile vikombe vya dhahabu na fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekaluni huko Yerusalemu, ili mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake waweze kuvinywea.
3
Kwa hiyo wakavileta vile vikombe vya dhahabu ambavyo vilikuwa vimechukuliwa kutoka Hekalu la Mungu huko Yerusalemu, naye mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake wakavinywea.
4
Walipokuwa wakinywa mvinyo, wakaisifu miungu ya dhahabu na fedha, ya shaba, chuma, miti na mawe.
اما در حالی که غرق عیش و نوش بودند، ناگهان انگشتهای دست انسانی بیرون آمده شروع کرد به نوشتن روی دیواری که در مقابل چراغدان بود. پادشاه با چشمان خود دید که آن انگشتها می‌نوشتند 5
Ghafula vidole vya mkono wa mwanadamu vilitokea na kuandika juu ya ukuta, karibu na kinara cha taa ndani ya jumba la mfalme. Mfalme akatazama kitanga kilivyokuwa kikiandika.
و از ترس رنگش پرید و چنان وحشتزده شد که زانوهایش به هم می‌خورد و نمی‌توانست روی پاهایش بایستد. 6
Uso wa mfalme ukageuka rangi, naye akaogopa sana, kiasi kwamba magoti yake yaligongana na miguu yake ikalegea.
سپس، فریاد زد: «جادوگران، طالع‌بینان و منجمان را بیاورید! هر که بتواند نوشتهٔ روی دیوار را بخواند و معنی‌اش را به من بگوید، لباس ارغوانی سلطنتی را به او می‌پوشانم، طوق طلا را به گردنش می‌اندازم و او شخص سوم مملکت خواهد شد.» 7
Mfalme akawaita wasihiri, wanajimu na waganga waletwe, naye akawaambia hawa wenye hekima wa Babeli, “Yeyote asomaye maandishi haya na kuniambia maana yake atavikwa nguo za zambarau, na kuvikwa mkufu wa dhahabu shingoni mwake, naye atafanywa mtawala wa cheo cha tatu katika ufalme.”
اما وقتی حکیمان آمدند، هیچ‌کدام نتوانستند نوشتهٔ روی دیوار را بخوانند و معنی‌اش را بگویند. 8
Ndipo watu wote wa mfalme wenye hekima wakaingia, lakini hawakuweza kusoma yale maandishi wala kumwambia mfalme maana yake.
ترس و وحشت پادشاه بیشتر شد! بزرگان نیز به وحشت افتاده بودند. 9
Basi Mfalme Belshaza akazidi kujawa na hofu, na uso wake ukageuka rangi zaidi. Wakuu wake wakapigwa na bumbuazi.
اما وقتی ملکهٔ مادر از جریان باخبر شد، با شتاب خود را به تالار ضیافت رساند و به بلشصر گفت: «پادشاه تا به ابد زنده بماند! ترسان و مضطرب نباش. 10
Malkia aliposikia sauti za mfalme na wakuu wake, alikuja katika ukumbi wa karamu. Akasema, “Ee mfalme, uishi milele! Usishtuke! Usibadilike rangi kiasi hicho!
در مملکت تو مردی وجود دارد که روح خدایان مقدّس در اوست. در زمان جدت، نِبوکَدنِصَّر، او نشان داد که از بصیرت و دانایی و حکمت خدایی برخوردار است و جدت او را به ریاست منجمان و جادوگران و طالع‌بینان و رمالان منصوب کرد. 11
Yuko mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu mitakatifu ndani yake. Wakati wa baba yako, mtu huyo alionekana kuwa na ufahamu, akili na hekima kama ile ya miungu. Mfalme Nebukadneza baba yako, yaani nasema mfalme baba yako, alimweka kuwa mkuu wa waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi.
این شخص دانیال است که پادشاه او را بلطشصر نامیده بود. او را احضار کن، زیرا او مرد حکیم و دانایی است و می‌تواند خوابها را تعبیر کند، اسرار را کشف نماید و مسائل دشوار را حل کند. او معنی نوشتهٔ روی دیوار را به تو خواهد گفت.» 12
Mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza, alionekana kuwa na akili nyepesi, maarifa na ufahamu, pia uwezo wa kufasiri ndoto, kueleza mafumbo na kutatua matatizo magumu. Mwite Danieli, naye atakuambia maana ya haya maandishi.”
پس دانیال را به حضور پادشاه آوردند. پادشاه از او پرسید: «آیا تو همان دانیال از اسرای یهودی هستی که نِبوکَدنِصَّر پادشاه از سرزمین یهودا به اینجا آورد؟ 13
Hivyo Danieli akaletwa mbele ya mfalme, naye mfalme akamuuliza, “Je, wewe ndiwe Danieli, mmoja wa watu wa uhamisho walioletwa na mfalme baba yangu kutoka Yuda?
شنیده‌ام روح خدایان در توست و شخصی هستی پر از حکمت و بصیرت و دانایی. 14
Nimesikia kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na kwamba una ufahamu, akili na hekima ya pekee.
حکیمان و منجمان من سعی کردند آن نوشتهٔ روی دیوار را بخوانند و معنی‌اش را به من بگویند، ولی نتوانستند. 15
Watu wenye hekima na wasihiri waliletwa mbele yangu ili kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, lakini hawakuweza kunifafanulia.
دربارهٔ تو شنیده‌ام که می‌توانی اسرار را کشف نمایی و مسائل مشکل را حل کنی. اگر بتوانی این نوشته را بخوانی و معنی آن را به من بگویی، به تو لباس ارغوانی سلطنتی را می‌پوشانم، طوق طلا را به گردنت می‌اندازم و تو را شخص سوم مملکت می‌گردانم.» 16
Basi nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo magumu. Ikiwa unaweza kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwako, nawe utafanywa mtawala wa tatu katika ufalme.”
دانیال جواب داد: «این انعام‌ها را برای خود نگاه دار یا به شخص دیگری بده؛ ولی من آن نوشته را خواهم خواند و معنی‌اش را به تو خواهم گفت. 17
Ndipo Danieli akamjibu mfalme, “Waweza kubaki na zawadi zako mwenyewe na kumpa mtu mwingine zawadi zako. Hata hivyo, nitasoma maandishi kwa mfalme na kumwambia maana yake.
ای پادشاه، خدای متعال به جدت نِبوکَدنِصَّر، سلطنت و عظمت و افتخار بخشید. 18
“Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Sana alimpa baba yako Nebukadneza utawala, ukuu, utukufu na fahari.
چنان عظمتی به او داد که مردم از هر قوم و نژاد و زبان از او می‌ترسیدند. هر که را می‌خواست می‌کشت و هر که را می‌خواست زنده نگاه می‌داشت؛ هر که را می‌خواست سرافراز می‌گرداند و هر که را می‌خواست پست می‌ساخت. 19
Kwa sababu ya nafasi ya juu aliyompa baba yako, kabila zote za watu, mataifa na watu wa kila lugha walimhofu na kumwogopa. Wale ambao mfalme alitaka kuwaua, aliwaua; wale aliotaka kuwaacha hai, aliwaacha hai; wale aliotaka kuwapandisha cheo, aliwapandisha; aliotaka kuwashusha, aliwashusha.
اما او مستبد و متکبر و مغرور شد، پس خدا او را از سلطنت برکنار کرد و شکوه و جلالش را از او گرفت. 20
Lakini moyo wake ulipokuwa na majivuno na kuwa mgumu kwa kiburi, aliondolewa kutoka kwa kiti chake cha ufalme na kuvuliwa utukufu wake.
از میان انسانها رانده شد و عقل انسانی او به عقل حیوانی تبدیل گشت. با گورخران به سر می‌برد و مثل گاو علف می‌خورد و بدنش از شبنم آسمان تر می‌شد تا سرانجام فهمید که دنیا در تسلط خدای متعال است و او حکومت بر ممالک دنیا را به هر که اراده کند، می‌بخشد. 21
Akafukuzwa mbali na wanadamu na kupewa akili ya mnyama, akaishi pamoja na punda-mwitu, akala majani kama ngʼombe, nao mwili wake ukaloweshwa kwa umande wa mbingu, mpaka alipotambua kwamba Mungu Aliye Juu Sana ndiye mtawala juu ya falme za wanadamu na kwamba humtawaza juu yao yeyote amtakaye.
«اما تو ای بلشصر که بر تخت نِبوکَدنِصَّر نشسته‌ای، با اینکه این چیزها را می‌دانستی، ولی فروتن نشدی. 22
“Lakini wewe mwanawe, ee Belshaza, hukujinyenyekeza, ingawa ulifahamu haya yote.
تو به خداوند آسمانها بی‌حرمتی کردی و جامهای خانهٔ او را به اینجا آورده، با بزرگان و زنان و کنیزانت در آنها شراب نوشیدی و بتهای خود را که از طلا و نقره، مفرغ و آهن، چوب و سنگ ساخته شده‌اند که نه می‌بینند و نه می‌شنوند و نه چیزی می‌فهمند، پرستش کردی؛ ولی آن خدا را که زندگی و سرنوشتت در دست اوست تمجید ننمودی. 23
Badala yake, umejiinua dhidi ya Bwana wa mbingu. Uliletewa vikombe vya Hekalu lake, nawe na wakuu wako, wake zako na masuria wako mlivitumia kwa kunywea mvinyo. Ukaisifu miungu ya fedha na dhahabu, ya shaba, chuma, miti na mawe, miungu ambayo haiwezi kuona, au kusikia wala kufahamu. Lakini hukumheshimu Mungu ambaye anaushikilia uhai wako na njia zako zote mkononi mwake.
پس خدا آن دست را فرستاد تا این پیام را بنویسد: منا، منا، ثقیل، فرسین. 24
Kwa hiyo ameutuma mkono ule ulioandika maneno.
25
“Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli na peresi
معنی این نوشته چنین است: منا یعنی”شمرده شده“. خدا روزهای سلطنت تو را شمرده است و دورهٔ آن به سر رسیده است. 26
“Hii ndiyo maana ya maneno haya: “Mene: Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha.
ثقیل یعنی”وزن شده“. خدا تو را در ترازوی خود وزن کرده و تو را ناقص یافته است. 27
Tekeli: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.
فرسین یعنی”تقسیم شده“. مملکت تو تقسیم می‌شود و به مادها و پارس‌ها داده خواهد شد.» 28
Peresi: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”
پس به فرمان بلشصر، لباس ارغوانی سلطنتی را به دانیال پوشانیدند، طوق طلا را به گردنش انداختند و اعلان کردند که شخص سوم مملکت است. 29
Ndipo kwa amri ya Belshaza, Danieli akavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni, tena akatangazwa kuwa mtawala wa tatu katika ufalme.
همان شب بلشصر، پادشاه بابِل کشته شد 30
Usiku ule ule, Belshaza mfalme wa Wakaldayo akauawa,
و داریوش مادی که در آن وقت شصت و دو ساله بود بر تخت سلطنت نشست. 31
naye Dario Mmedi akashika ufalme akiwa na miaka sitini na miwili.

< دانیال 5 >