< دانیال 2 >
نِبوکَدنِصَّر در سال دوم سلطنتش خوابی دید. این خواب چنان او را مضطرب کرد که سراسیمه بیدار شد و نتوانست دوباره به خواب رود. | 1 |
Katika mwaka wa pili wa utawala wa Nebukadneza, alikuwa na ndoto. Akili yake ilisumbuka, na hakuweza kulala.
پس همهٔ منجمان، جادوگران، طالعبینان و رمالان خود را احضار کرد تا خوابش را تعبیر کنند. وقتی همه در حضورش ایستادند | 2 |
Ndipo mfalme alipowaita waganga na wale wenye kuongea na wafu. Lakini pia aliwaita wachawi na watu wenye hekima. Aliwataka wamwambie juu ya ndoto zake. Basi walikuja na kusimama mbele za mfalme.
گفت: «خوابی دیدهام که مرا مضطرب کرده، از شما میخواهم آن را برای من تعبیر کنید.» | 3 |
Mfalme akawambia, “Nilikuwa na ndoto, na akili yangu ina mashaka nataka kujua ndoto hiyo nini maana yake.”
آنها به زبان ارامی به پادشاه گفتند: «پادشاه تا به ابد زنده بماند! خوابتان را بگویید تا تعبیرش کنیم.» | 4 |
Kisha watu wenye hekima wakamwambia mfalme katika Kiaramaiki, “Mfalme, aishi milele! Twambie sisi ndoto, watumishi wako, nasi tutaifunua maana yake.”
ولی پادشاه جواب داد: «حکم من این است: اگر شما به من نگویید چه خوابی دیدهام و تعبیرش چیست، دستور میدهم شما را تکهتکه کنند و خانههایتان را خراب نمایند! | 5 |
Mfalme akawajibu watu wenye hekima, “Jambo hili limeshamalizika. Kama hamtaweza kuiweka wazi ndoto kwangu na kuitafsiri, miili yenu itakatwa vipande vipande na nyumba zenu zitafanywa kuwa vichuguu vya uchafu.
ولی اگر بگویید چه خوابی دیدهام و تعبیرش چیست، به شما پاداش و انعام میدهم و عزت و افتخار میبخشم. حال، بگویید چه خوابی دیدهام و تعبیرش چیست؟» | 6 |
Lakini kama mtaniambia ndoto na maana yake, mtapokea zawadi kutoka kwangu, thawabu, na heshima kubwa. Basi niambie ndoto na maana yake.”
ایشان باز گفتند: «اگر شما خوابتان را برای ما تعریف نکنید چطور میتوانیم تعبیرش کنیم؟» | 7 |
Wakamjibu tena na kusema, “Mfalme na atuambie, watumishi wake, ndoto nasi tukwambia maana yake.”
پادشاه جواب داد: «مطمئنم دنبال فرصت میگردید که از حکم من جان به در ببرید؛ | 8 |
Mfalme akawajibu, “Ninajua kwa hakika mnahitaji muda zaidi kwasababu mmeona maamuzi yangu ni magumu kuhusu jambo hili.
ولی بدانید اگر خواب را نگویید حکم من در مورد شما اجرا خواهد شد. شما با هم تبانی کردهاید که به من دروغ بگویید به امید اینکه باگذشت زمان این موضوع فراموش شود. خواب مرا بگویید تا من هم مطمئن شوم تعبیری که میکنید درست است.» | 9 |
Lakini kama hamtaweza kuniambia ndoto, kuna sentensi moja tu kwa ajili yenu. Mmeamua kuandaa uongo na maneno ya kudanganya ambayo mmekubaliana kwa pamoja kuniambia mpaka pale nitakapobadili akili zangu. Basi, niambieni ndoto, na kisha nitajua kuwa mnaweza kuitafsiri kwa ajili yangu.”
حکیمان در جواب پادشاه گفتند: «در تمام دنیا کسی پیدا نمیشود که بتواند این خواستهٔ پادشاه را انجام دهد. تا به حال هیچ پادشاه یا حاکمی، از منجمان و جادوگران و طالعبینان خود چنین چیزی نخواسته است. | 10 |
Watu wenye hekima wakamjibu mfalme, “Hakuna mtu katika dunia anayeweza kutimiza matakwa ya mfalme. Hakuna mfalme yoyote mkuu na mwenye nguvu ambaye alishataka jambo kama hilo kutoka kwa wachawi, wala wenye kuongea na wafu, wala mwenye hekima.
آنچه که پادشاه میخواهند ناممکن است. هیچکس جز خدایان نمیتواند به شما بگوید چه خوابی دیدهاید. خدایان هم با انسانها زندگی نمیکنند تا از ایشان کمک بگیریم.» | 11 |
Kile anachokitaka mfalme ni kigumu, na hakuna yeyote awezaye kumwambia mfalme isipokuwa miungu, ambayo haishi miongoni mwa watu.”
پادشاه وقتی این را شنید چنان خشمگین شد که فرمان قتل تمام حکیمان بابِل را صادر کرد. | 12 |
Jambo hili lilimfanya mfalme akasirike na kughadhabika sana, na alitoa amri kuwaangamiza wale wote waliojulikana kuwa ni wenye hekima zao katika Babeli.
دانیال و یارانش جزو کسانی بودند که میبایست کشته شوند. | 13 |
Hivyo, amri ilitoka kwamba wale wote waliojulikana kwa hekima yao ni lazima wauawe. Na kwa sababu ya amri hii, walimtafuta Daniel na rafiki zake ili kwamba wauawe.
اما دانیال نزد اریوک رئیس جلادان که مأمور اجرای فرمان بود، رفت و با حکمت و بصیرت در این باره با او سخن گفت. دانیال پرسید: «چرا پادشاه چنین فرمانی صادر کرده است؟» آنگاه اریوک تمام ماجرا را برای دانیال تعریف کرد. | 14 |
Ndipo Daniel alipomjibu kwa busara na umakini, Arioki, kamanda wa walinzi wa mfalme, ambaye alikuwa amekuja kuwaua wale wote waliojulikana kuwa na hekima katika Babeli.
Danieli alimwuliza kamanda wa mfalme, “Kwanini amri ya mfalme ni ya haraka hivyo?” Hivyo, Arioki akamwambia Danieli kile kilichotokea.
پس دانیال به حضور پادشاه رفت و از او مهلت خواست تا خواب او را تعبیر کند. | 16 |
Ndipo Danieli aliingia ndani na akaomba ahadi ya muda wa kuonana na mfalme ili kwamba aweze kuwasilisha tafsiri kwa mfalme.
سپس به خانه رفت و موضوع را با یاران خود حننیا، میشائیل و عزریا در میان نهاد. | 17 |
Kisha Danieli aliingia ndani ya nyumba na aliwaelezea Hanania, Mishaeli, na Azaria, kile kilichotokea.
او از ایشان خواست که از خدای آسمانها درخواست نمایند تا بر ایشان رحم کند و نشان دهد که پادشاه چه خوابی دیده و تعبیرش چیست، مبادا با سایر حکیمان کشته شوند. | 18 |
Aliwasihi kutafuta rehema kutoka kwa Mungu wa mbinguni kuhusiana na siri hii ili kwamba yeye na wao wasije wakauawa pamoja na watu wengine waliosalia waliojulikana kuwa na hekima katika Babeli.
همان شب در رؤیا آن راز بر دانیال آشکار شد و او خدای آسمانها را ستایش نموده، | 19 |
Usiku ule siri ilifunuliwa kwa Danieli katika maono. Kisha Danieli akamtukuza Mungu wa mbinguni
گفت: «بر نام خدا تا ابد سپاس باد! زیرا حکمت و توانایی از آن اوست، | 20 |
na kusema, “Litukuzwa jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na nguvu ni zake.
وقتها و زمانها در دست اوست و اوست که پادشاهان را عزل و نصب میکند. اوست که به حکیمان، حکمت و به دانایان، دانایی میبخشد. | 21 |
Anabadili wakati na majira; anaondoa wafalme na kuweka wafalme katika viti vyao vya enzi. Anawapa hekima wenye hekima na ufahamu kwa wenye weledi.
اوست که اسرار عمیق و نهان را آشکار میسازد. او نور است و آنچه را که در تاریکی مخفی است، میداند. | 22 |
Hufunua vitu vya chini na vilifichika kwa sababu anajua kile kilicho gizani, naye anaishi pamoja na mwanga.
ای خدای اجدادم، از تو سپاسگزارم، زیرا به من حکمت و توانایی بخشیدهای و دعای ما را اجابت کرده، مرا از خواب پادشاه و معنی آن آگاه ساختهای.» | 23 |
Mungu wa baba zetu, ninakushukuru na kukutukuza wewe kwa ajili ya hekima na nguvu uliyonipa. Sasa umeyafanya yawe wazi kwetu yale tuliyokuomba; umetujulisha mambo yamhusuyo mfalme.”
آنگاه دانیال نزد اریوک که از طرف پادشاه دستور داشت حکیمان بابِل را بکشد، رفت و گفت: «حکیمان بابِل را نکش. مرا نزد پادشاه ببر تا آنچه را میخواهد بداند به او بگویم.» | 24 |
Ndipo Danieli alienda kumwona Arioki ( yule ambaye mfalme alimchagua kuua kila mtu aliyekuwa na hekima katika Babeli). Alimwendea na kumwambia, “Usiwauwe watu wenye hekima katika Babeli. Nipeleke kwa mfalme na nitamwonesha mfalme tafsiri ya ndoto yake.”
پس اریوک با عجله دانیال را به حضور پادشاه برد و گفت: «من یکی از اسیران یهودی را پیدا کردهام که میتواند خواب پادشاه را بگوید.» | 25 |
Kisha Arioki kwa haraka alimleta Danieli mbele za mfalme na kusema, “Nimempata miongoni wa watu wa mateka wa Yuda mtu ambaye atafunua maana ya ndoto ya mfalme.”
پادشاه به دانیال گفت: «آیا تو میتوانی بگویی چه خوابی دیدهام و تعبیرش چیست؟» | 26 |
Mfalme akamwambia Danieli (ambaye alikuwa akiitwa Beliteshaza), “Je unaweza kunimbia ndoto niliyoiona na maana yake?”
دانیال جواب داد: «هیچ حکیم، منجم، جادوگر و طالعبینی نمیتواند این خواستهٔ پادشاه را به جا آورد. | 27 |
Danieli alimjibu mfalme na kusema, “Siri ambayo mfalme ameiomba haiwezi kufunuliwa na watu wenye hekima, wala wale wenye kuongea na wafu, wala wachawi, na wala wataalamu wa nyota.
ولی خدایی در آسمان هست که رازها را آشکار میسازد. او آنچه را که در آینده میباید اتفاق بیفتد، از پیش به پادشاه خبر داده است. خوابی که پادشاه دیده، این است: | 28 |
Isipokuwa kuna Mungu ambaye anaishi mbinguni, ambaye hufunua siri, na amekwisha kukujulisha wewe, mfalme Nebukadneza, kile kitakachotokea katika siku zijazo. Hizi ndizo Ndoto na maono ya akili zako uliyoyaona wakati ulipokuwa umelala kitandani mwako.
«ای پادشاه، وقتی در خواب بودید، خدایی که رازها را آشکار میسازد شما را از آنچه که در آینده اتفاق خواهد افتاد آگاه ساخت. | 29 |
Na kwako Wewe, mfalme, mawazo yako kitandani mwako yalikuwa ni juu ya mambo yajayo, na yule afichuaye siri ameifanya ijulikane kwako kuhusu kile kilicho karibu kutokea.
اما این خواب از آن جهت که از دیگران داناترم بر من آشکار نشد، بلکه از این نظر بر من آشکار شد تا پادشاه از تعبیر آن آگاه شوند. | 30 |
Na kuhusu mimi, siri hii haikufunuliwa kwangu kwa sababu ya hekima yoyote niliyo nayo zaidi ya mtu yoyote anayeishi. Siri hii imefunliwa kwangu ili kwamba wewe, mfalme, uweze kufahamu maana, na ili kwamba ujuwe mawazo yaliyo ndani mwako.
«ای پادشاه، در خواب مجسمهٔ بزرگی را دیدید که بسیار درخشان و ترسناک بود. | 31 |
Mfalme, uliangalia juu na ukaona sanamu kubwa. Sanamu hii ambayo ilikuwa yenye nguvu na yenye kung'aa, ilisimama mbele yako. Mng'ao wake ulikuwa unatisha.
سر این مجسمه از طلای خالص، سینه و بازوهایش از نقره، شکم و رانهایش از مفرغ، | 32 |
Kichwa cha sanamu kilikuwa kimetengenezwa kwa dhahabu safi. Matiti yake na mikono ilikuwa ya fedha. Sehemu ya katikati na mapaja yake yalikuwa yametengenezwa kwa shaba,
ساقهایش از آهن، پاهایش قسمتی از آهن و قسمتی از گل بود. | 33 |
na miguu yake ilikuwa imetengenezwa kwa chuma. Miguu yake ilikuwa ilitengenezwa kwa sehemu chuma na sehemu kwa udongo.
در همان حالی که به آن خیره شده بودید، سنگی بدون دخالت دست انسان از کوه جدا شد و به پاهای آهنی و گلی آن مجسمه اصابت کرد و آنها را خرد نمود. | 34 |
Ulitazama juu, na jiwe lilikuwa limechongwa, ingawa si kwa mikono ya wanadamu, na liliipiga sanamu katika miguu yake ya chuma na udongo, na ponda ponda.
سپس مجسمه، که از طلا و نقره و مفرغ و گل و آهن بود، فرو ریخت و به شکل ذرات ریز درآمد و باد آنها را مانند کاه پراکنده کرد، به طوری که اثری از آن باقی نماند. اما سنگی که آن مجسمه را خرد کرده بود کوه بزرگی شد و تمام دنیا را در برگرفت. | 35 |
Kisha chuma, udongo, fedha, na dhahabu zilivunjwa katika vipande vipande kwa wakati mmoja na yakawa kama makapi yaliyo katika sakafu za kupuria kipindi cha kiangazi. Upepo huyapeperushia mbali na hakuna alama inayoachwa. Lakini jiwe lililoipiga sanammu likawa mlima mkubwa na kuijaza dunia yote.
«خواب این بود، اما حال تعبیر آن: | 36 |
Hii ndiyo ilikuwa ndotoyako. Na sasa tutamwambia mfalme maana yake.
«ای پادشاه، شما شاه شاهان هستید، زیرا خدای آسمانها به شما سلطنت و قدرت و توانایی و شکوه بخشیده است. | 37 |
Wewe, mfalme, ni mfalme wa wafalme kwa wale ambao Mungu wa mbinguni amekupa ufalme, nguvu, uweza na heshima.
او شما را بر تمام مردم جهان و حیوانات و پرندگان مسلط گردانیده است. سر طلایی آن مجسمه شما هستید. | 38 |
Amevitia mkononi mwako sehemu ambazo binadamu huishi. Amekupa wanyama wa mwituni na ndege wa angani katika mkono wako, na amekufanya wewe utawale juu yao wote. Wewe u kichwa cha dhahabu cha sanamu.
اما وقتی سلطنت شما به پایان رسد، سلطنت دیگری روی کار خواهد آمد که ضعیفتر از سلطنت شما خواهد بود. پس از آن، سلطنت سومی که همان شکم مفرغین آن مجسمه باشد روی کار خواهد آمد و بر تمام دنیا سلطنت خواهد کرد. | 39 |
Baada yako, ufalme mwingine utainuka ambao ni mdogo kwako, na hata ufalme wa tatu wa shaba utatawala juu ya dunia yote.
پس از آن، سلطنت چهارم به ظهور خواهد رسید و همچون آهن قوی خواهد بود و همه چیز را در هم کوبیده خرد خواهد کرد. | 40 |
Kutakuwa na ufalme wa tatu, wenye nguvu kama chuma, kwa kuwa chuma huvunja vipande vipande vitu vingine na kuponda ponda kila kitu. Itaviharibu vitu hivi vyote na kuvisaga.
همانطور که دیدید پاها و انگشتهای مجسمه قسمتی از آهن و قسمتی از گل بود. این نشان میدهد که این سلطنت تقسیم خواهد شد و بعضی از قسمتهای آن مثل آهن قوی و بعضی مثل گل ضعیف خواهد بود. | 41 |
Kama vile ulivyoona, miguu na vidole vilikuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo na kwa sehemu vimefanywa kwa chuma, hivyo utakuwa ni ufalme uliogawanyika; baadhi ya nguvu za chuma zitakuwa ndani yake, kama tu ulivyoona kuwa chuma kimechanganyikana na udongo laini.
Kama vile vidole vya miguuni vilivyokuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa chuma na kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo, ndivyo ufalme utakuwa kwa sehemu una nguvu na kwa sehemu utakuwa dhaifu.
مخلوط آهن و گل نشان میدهد که خانوادههای سلطنتی سعی خواهند کرد از راه وصلت، با یکدیگر متحد شوند، ولی همانطور که آهن با گل مخلوط نمیشود، آنها نیز متحد نخواهند شد. | 43 |
Kama ulivyoona chuma kimechanganywa na udongo laini, na hivyo na watu watakuwa wamechanganyikana; hawakaa kwa pamoja, kama vile chuma kisivyoweza kushikamana na udongo
«در دوران سلطنت آن پادشاهان، خدای آسمانها سلطنتی برقرار خواهد ساخت که هرگز از بین نخواهد رفت و کسی بر آن پیروز نخواهد شد، بلکه همهٔ آن سلطنتها را در هم کوبیده مغلوب خواهد ساخت و خودش تا ابد پایدار خواهد ماند. | 44 |
Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni ataanzisha ufalme ambao hautaweza kuangushwa, wala kushindwa na watu wengine. Utazivunja falme zingine vipande vipande na kuzikomesha zote, nao utadumu milele.
این است معنی آن سنگی که بدون دخالت دست انسان از کوه جدا شد و تمام آهن، مفرغ، گل، نقره و طلا را خرد کرد. به این وسیله خدای بزرگ آنچه را که در آینده اتفاق خواهد افتاد، به پادشاه نشان داده است. تعبیر خواب عین همین است که گفتم.» | 45 |
Kama tu ulivyoona, jiwe lilichongwa kutoka katika mlima, lakini si kwa mikono ya wanadamu. Lilivunja vunja chuma, shaba, udongo, fedha, na dhahabu katika vipande vipande. Mungu mkuu amekujulisha wewe, mfalme, kile kitakachotokea baada ya haya. Ndoto ni ya kweli na tafsiri yake ni ya kuaminika.
آنگاه نِبوکَدنِصَّر در برابر دانیال خم شده او را تعظیم کرد و دستور داد برای او قربانی کنند و بخور بسوزانند. | 46 |
Mfalme Nebukadneza alianguka kifudifudi mbele ya Daniel na alimweshimu; aliamuru kwamba sadaka zitolewe na manukato yatolewe kwake.
پادشاه به دانیال گفت: «براستی خدای شما خدای خدایان و خداوند پادشاهان و آشکار کنندهٔ اسرار است، چون او این راز را بر تو آشکار کرده است.» | 47 |
Mfalme alimwambia Danieli, “Hakika Mungu wako ni Mungu wa miungu, Bwana wa wafalme, na ambaye hufunua mafumbo, kwa kuwa umekuwa ukiweza kufumbua mafumbo haya.”
سپس، پادشاه به دانیال مقام والایی داد و هدایای ارزندهٔ فراوانی به او بخشید و او را حاکم تمام بابِل و رئیس همهٔ حکیمان خود ساخت. | 48 |
Ndipo mfalme alimfanya Danieli kuwa wa kuheshiwa sana na alimpa zawadi nyingi nzuri. Alimfanya kuwa mtawala juu ya jimbo lote la Babeli. Danieli akawa liwali mkuu juu watu wenye hekima wa Babeli.
آنگاه پادشاه در پی درخواست دانیال، شدرک و میشک و عبدنغو را بر ادارهٔ امور مملکتی گماشت، اما خود دانیال در دربار نِبوکَدنِصَّر ماند. | 49 |
Danieli alipeleka ombi kwa mfalme, na mfalme aliwateua Shadraka, Meshaki na Abedinego kuwa watawala juu ya jimbo la Babeli. Lakini Danieli alisalia katika ikulu ya mfalme.