< عاموس 9 >
خداوند را دیدم که کنار مذبح ایستاده بود و میگفت: «سر ستونهای خانهٔ خدا را بشکن تا ستونها فرو ریخته، سقف خانه بر سر مردم خراب شود. کسی جان به در نخواهد برد. حتی کسانی هم که موفق به فرار شوند، در راه کشته خواهند شد. | 1 |
Nilimwona Bwana akiwa amesimama kando ya madhabahu, naye akasema: “Piga vichwa vya nguzo ili vizingiti vitikisike. Viangushe juu ya vichwa vya watu wote; na wale watakaosalia nitawaua kwa upanga. Hakuna awaye yote atakayekimbia, hakuna atakayetoroka.
اگر به دوزخ بروند، دست خود را دراز کرده آنها را از آنجا بیرون خواهم کشید و اگر به آسمانها فرار کنند، ایشان را به زیر خواهم آورد. (Sheol ) | 2 |
Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu, kutoka huko mkono wangu utawatoa. Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu, kutoka huko nitawashusha. (Sheol )
اگر در کوه کرمل پنهان شوند، آنها را پیدا خواهم کرد، و اگر در قعر دریا خود را مخفی کنند، مار را خواهم فرستاد تا آنها را بگزد. | 3 |
Wajapojificha juu ya kilele cha Karmeli, huko nitawawinda na kuwakamata. Wajapojificha kutoka kwenye uso wangu katika vilindi vya bahari, huko nako nitaamuru joka kuwauma.
حتی اگر به اسارت هم بروند، من آنها را در آنجا خواهم کشت. قصد من این است که این قوم مجازات شوند.» | 4 |
Wajapopelekwa uhamishoni na adui zao, huko nako nitaamuru upanga uwaue. Nitawakazia macho yangu kwa mabaya wala si kwa mazuri.”
خداوند، آن خداوند لشکرهای آسمان، زمین را لمس میکند و زمین گداخته میشود و همهٔ ساکنانش ماتم میگیرند. تمام زمین مثل رود نیل مصر بالا میآید و دوباره فرو مینشیند. | 5 |
Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, yeye agusaye dunia nayo ikayeyuka, na wote wakaao ndani mwake wakaomboleza: nayo nchi yote huinuka kama Naili, kisha hushuka kama mto wa Misri;
آنکه خانهٔ خود را در آسمانها ساخته و پایهٔ آن را بر زمین نهاده است، و آب دریا را فرا میخواند و آن را بر زمین میباراند، نامش خداوند است! | 6 |
yeye ambaye hujenga jumba lake la kifalme katika mbingu na kuisimika misingi yake juu ya dunia, yeye aitaye maji ya bahari na kuyamwaga juu ya uso wa nchi: Bwana ndilo jina lake.
خداوند میفرماید: «ای قوم اسرائیل، آیا برای من شما از حبشیها بهتر هستید؟ آیا من که شما را از مصر بیرون آوردم، برای سایر قومها نیز همین کار را نکردم؟ فلسطینیها را از کفتور و سوریها را از قیر بیرون آوردم. | 7 |
“Je, Waisraeli, ninyi si sawa kwangu kama Wakushi?” asema Bwana. “Je, sikuleta Israeli kutoka Misri, Wafilisti kutoka Kaftori, na Washamu kutoka Kiri?
چشمان من مملکت گناهکار اسرائیل را میبیند و من آن را از روی زمین محو خواهم ساخت؛ ولی خاندان اسرائیل را به کلی از بین نخواهم برد، | 8 |
“Hakika macho ya Bwana Mwenyezi yako juu ya ufalme wenye dhambi. Nami nitauangamiza kutoka kwenye uso wa dunia: hata hivyo sitaiangamiza kabisa nyumba ya Yakobo,” asema Bwana.
بلکه مقرر میدارم که اسرائیل بهوسیلۀ سایر قومها مثل غلهای که در غربال است الک گردد و کاملاً از بدکاران پاک شود. | 9 |
“Kwa kuwa nitatoa amri, na nitaipepeta nyumba ya Israeli miongoni mwa mataifa yote, kama vile nafaka ipepetwavyo katika ungo, na hakuna hata punje moja itakayoanguka chini.
تمام گناهکارانی که میگویند:”خدا نمیگذارد بلایی به ما برسد“، با شمشیر کشته خواهند شد. | 10 |
Watenda dhambi wote miongoni mwa watu wangu watauawa kwa upanga, wale wote wasemao, ‘Maafa hayatatupata wala kutukuta.’
«آنگاه در آن زمان، خیمۀ افتادۀ داوود را از نو بر پا خواهم داشت و خرابی دیوارهایش را تعمیر خواهم کرد؛ ویرانههایش را بازسازی کرده، آن را به عظمت سابقش باز خواهم گرداند. | 11 |
“Katika siku ile nitaisimamisha hema ya Daudi iliyoanguka. Nitakarabati mahali palipobomoka na kujenga upya magofu yake, na kuijenga kama ilivyokuwa awali,
و آنچه را که از ادوم و تمام قومهایی که نام مرا بر خود دارند، باقی بماند، اسرائیل تصاحب خواهد کرد.» خداوندی که تمام اینها را بجا میآورد چنین فرموده است. | 12 |
ili wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu, na mataifa yote yale yanayobeba Jina langu,” asema Bwana ambaye atafanya mambo haya.
خداوند میفرماید: «زمانی فرا خواهد رسید که فراوانی محصول خواهد بود و غله چنان سریع رشد خواهد کرد که دروگران فرصت درویدن نخواهند داشت، و از فراوانی انگور، از دامنهٔ کوههای اسرائیل شراب شیرین فرو خواهد چکید. | 13 |
“Siku zinakuja,” asema Bwana, “wakati mvunaji atatanguliwa na mkulima, naye mpanzi atatanguliwa na yeye akamuaye zabibu. Divai mpya itadondoka kutoka milimani, na kutiririka kutoka vilima vyote.
من قوم خود اسرائیل را از اسارت باز میگردانم. آنها شهرهای ویران خود را بازسازی نموده، دوباره در آنها ساکن خواهند شد. باغها و تاکستانها غرس نموده شراب آنها را خواهند نوشید و میوهٔ آنها را خواهند خورد. | 14 |
Nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa; wataijenga tena miji iliyoachwa magofu, nao wataishi ndani mwake. Watapanda mizabibu na kunywa divai yake; watalima bustani na kula matunda yake.
ایشان را در سرزمینی که به آنها دادهام، مستقر خواهم ساخت و ایشان بار دیگر ریشهکن نخواهند شد.» یهوه خدای شما این را میفرماید. | 15 |
Nitaipanda Israeli katika nchi yao wenyewe, hawatangʼolewa tena kutoka nchi ambayo nimewapa,” asema Bwana Mungu wenu.