< عاموس 6 >
وای بر شما ای رهبران و بزرگان قوم اسرائیل که در اورشلیم و سامره وقت خود را به خوشگذرانی و عیاشی میگذرانید. ای شما که احساس امنیت میکنید، | 1 |
Ole wao wanaostarehe katika Sayuni, na kwa wale ambao wameokoka katika nchi ya mlima wa Samaria, watu mashuhuri bora wa mataifa, ambao nyumba ya Israeli huja kwa ajili ya msaada!
به کلنه بروید و ببینید چه بر سر آن شهر آمده است. به حمات بزرگ بروید و از آنجا به جَت در سرزمین فلسطین. آنها از مملکت شما بهتر و بزرگتر بودند، ولی ببینید چه بر سر آنها آمده است! | 2 |
Viongozi wenu husema, “Pita kwenda Kalne na mkatazame; kutoka huko nendeni hadi Hamathi, mji mkubwa; kisha nendeni chini hata Gathi ya Wapelestina. Je ni wabora kuliko falme zenu mbili? Je kuna mpaka mkubwa kuliko mpaka wenu?”
شما فکر مجازاتی را که در انتظارتان است از خود دور میکنید، اما با اعمال خود روز داوری را نزدیک میسازید. | 3 |
Ole wao wale waiwekao siku ya majanga na kufanya ufalme kuwa kinyume kusogea karibu.
بر تختهای عاج دراز میکشید، اطرافتان را از وسایل خوشگذرانی پر میکنید و گوشت لذیذترین برهها و مرغوبترین گوسالهها را میخورید. | 4 |
Wamelala juu ya vitanda vya pembe na kupumzika juu ya viti vyao. Wakala wana kondoo kutoka kwenye kundi na ndama kutoka kwenye zizi.
مانند داوود سرود میسازید و همراه با نوای بربط میخوانید. | 5 |
Wanaimba nyimbo za kijinga kwenye muziki wa kinubi; wanatunga kwenye vyombo kama vya Daudi.
کاسهکاسه شراب مینوشید و با عطرهای خوشبو، خود را معطر میسازید و از ویرانی قوم خود نگران نیستید. | 6 |
Wanakunywa mvinyo kutoka kwenye bakuli na kujipaka mafuta wenyewe kwa mafuta ya marahamu, lakini hawahuzuniki juu ya mateso ya Yusufu.
بنابراین، شما جزو اولین کسانی خواهید بود که به اسارت برده میشوند. دوران عیاشی شما به پایان خواهد رسید. | 7 |
Hivyo sasa watakwenda utumwani pamoja na watumwa wakwanza, na kelele za hao waliojinyoosha zitapita.
خداوند، خدای لشکرهای آسمان به ذات خود قسم خورده و فرموده است: «من از تکبر اسرائیل نفرت دارم و از کاخهای مجللش بیزارم، پس پایتخت آن را با هر چه در آن است به دشمنانش واگذار خواهم کرد.» | 8 |
“Mimi Bwana Yahwe, nimeapa kwa nafsi yangu -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi, naizira fahari ya Yakobo; nachukia boma zake. Kwa hiyo nitautoa huo mji pamoja vyote vilivyomo humo.”
اگر ده نفر در یک خانه پنهان شده باشند، آنها هم نابود خواهند شد. | 9 |
Itakuja kuhusu kwamba kama kuna wanaume kumi waliobakia kwenye nyumba moja, watakufa.
وقتی خویشاوند شخص مردهای برای دفن جسد او بیاید، از تنها کسی که در خانه زنده مانده است خواهد پرسید: «آیا کس دیگری باقیمانده است؟» او جواب خواهد داد: «نه.» بعد آن خویشاوند خواهد گفت: «ساکت باش و نام خداوند را بر زبان نیاور.» | 10 |
Wakati ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba, “Je kuna mtu yuko pamoja nawe?” Vipi kama yule akisema, “Hapana.” Kisha atasema, “Kaa kimya, kwa kuwa hatulitaja jina la Yahwe.”
خداوند دستور داده است که خانههای بزرگ و کوچک با خاک یکسان شوند. | 11 |
Tazama, Yahwe atatoa amri, na nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa.
آیا ممکن است اسب روی صخره بدود؟ و یا گاو در آنجا شخم بزند؟ تصور چنین عملی احمقانه است، ولی کاری که شما میکنید احمقانهتر از آن است! شما حق را به باطل تبدیل میکنید و انصاف را به کام مردم تلخ مینمایید. | 12 |
Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba? Je mtu atalima huko na ng'ome? Bado mmegeuza haki kuwa sumu na tunda la haki kuwa uchungu.
به قدرت خود فخر میکنید، ولی فخر شما پوچ و بیاساس است. | 13 |
Ninyi mnaofurahia juu ya Lo Debari, msemao, “Je hatukuchukua Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
خداوند، خدای لشکرهای آسمان میفرماید: «ای اسرائیل، قومی را بر ضد تو میفرستم تا از مرز شمالی تا انتهای مرز جنوبی یعنی از حمات تا نهر عربه، تو را به تنگ آورد.» | 14 |
Lakini tazama, nitainua juu yenu taifa, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe, Mungu wa majeshi. Watawatesa ninyi kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba.”