< دوم سموئیل 20 >
در این وقت مرد آشوبگری به نام شِبَع (پسر بکری بنیامینی) شیپورش را به صدا درآورده، مردم را دور خود جمع کرد و گفت: «ما داوود را نمیخواهیم. پسر یسا رهبر ما نیست. ای مردم اسرائیل به خانههایتان بروید.» | 1 |
Ikatukia pia kuwa katika eneo lilelile kulikuwa mfanya fujo jina lake Sheba mwana wa Bikri Mbenjamini. Akapiga tarumbeta na kusema, “Sisi hatuna sehemu katika Daudi, wala hatuna urithi katika mwana wa Yese. Haya kila mtu na aende nyumbani kwake, Israeli.”
پس همه، غیر از قبیله یهودا، داوود را ترک گفته، به دنبال شبع رفتند. اما مردان یهودا نزد پادشاه خود ماندند و از اردن تا اورشلیم او را همراهی کردند. | 2 |
Hivyo watu wote wa Israeli wakamwacha Daudi na kumfuata Sheba mwana wa Bikri. Lakini watu wa Yuda wakamfuata mfalme wao kwa karibu sana, kutoka Yordani njia yote hadi Yerusalemu.
وقتی پادشاه به کاخ خود در اورشلیم رسید، دستور داد آن ده کنیزی را که برای نگهداری کاخ در آنجا گذاشته بود، از دیگران جدا کرده، به خانهای که زیر نظر نگهبانان قرار داشت ببرند و هر چه لازم دارند به ایشان بدهند. ولی داوود دیگر هرگز با آنها همبستر نشد. پس آن ده زن تا آخر عمرشان در انزوا ماندند. | 3 |
Daudi alipofika katika kasri lake huko Yerusalemu, akawachukua masuria aliokuwa amewaacha kulitunza kasri, na akawaweka katika nyumba chini ya uangalizi. Aliwaandalia mahitaji yao lakini hakulala nao tena. Hivyo walikuwa wametengwa hadi siku ya kufa kwao, waliishi kama wajane.
بعد از آن، پادشاه به عماسا دستور داد که در عرض سه روز سپاه یهودا را آماده سازد تا نزد او حاضر شوند. | 4 |
Kisha mfalme akamwambia Amasa, “Uwaite watu wa Yuda ndani ya siku hizi tatu; wewe pia uwepo hapa.”
عماسا برای جمعآوری سربازان یهودا بیرون رفت، ولی این کار بیش از سه روز طول کشید. | 5 |
Hivyo Amasa akaenda kuwaalika watu wote wa Yuda kwa pamoja, lakini akatumia muda mrefu kulika mfalme alivyokuwa amemwamuru.
پس داوود به ابیشای گفت: «شبع برای ما از ابشالوم خطرناکتر خواهد بود. بنابراین تو افراد مرا برداشته، او را تعقیب کن پیش از اینکه وارد شهر حصارداری شده، از دست ما فرار کند.» | 6 |
Hivyo Daudi akamwambia Abishai, “Sasa Sheba mwana wa Bikri atatufanyia madhara zaidi ya Absalomu. Chukua watumishi wa bwana wako, askari wangu, na umfuatie asije akaingia katika mji wenye ngome na kututoroka.”
پس ابیشای با محافظین دربار و یوآب با بهترین سربازان خود از اورشلیم خارج شده، به تعقیب شبع پرداختند. | 7 |
Ndipo watu wa Yoabu wakamfuatia, pamoja na Wakerethi na Wapelethi na mashujaa wote. Wakatoka Yerusalemu ili kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.
وقتی آنها به سنگ بزرگی که در جبعون بود رسیدند، عماسا به دیدار آنها رفت. یوآب لباس نظامی پوشیده و خنجری به کمر بسته بود. وقتی پیش میآمد تا با عماسا احوالپرسی کند، خنجرش از غلاف به زمین افتاد. | 8 |
Walipokuwa katika jiwe kubwa lililoko Gibeoni, Amasa akaja kuwalaki. Yoabu alikuwa amevaa silaha ya vita aliyokuwa ameivaa, alikuwa pia na upanga uliokuwa umefungwa na mkanda katika kiuno chake. Kadili alivyoendelea mbele upanga ukadondoka.
یوآب به عماسا گفت: «برادر، چطوری؟» این را گفت و با دست راستش ریش عماسا را گرفت تا او را ببوسد. | 9 |
Hivyo Yoabu akamwambia Amasa, “Haujambo binamu yangu?” Kwa utaratibu Yoabu akakishika kidevu cha Amasa kwa mkono wake wa kulia ili ambusu.
عماسا متوجه خنجری که در دست چپ یوآب بود، نشد. یوآب خنجر را به شکم او فرو کرد و رودههای او بر زمین ریخت. عماسا جابهجا مرد به طوری که یوآب لازم ندید ضربهٔ دیگری به او بزند. یوآب و برادرش او را به همان حال واگذاشته، به تعقیب شبع ادامه دادند. | 10 |
Amasa hakutambua kwamba kulikuwa na jambia katika mkono wa kushoto wa Yoabu. Yoabu akamchoma Amasa tumboni na matumbo yake yakadondoka chini. Wala Yoabu hakumpiga tena, na Amasa akafa. Hivyo Yoabu na Abishai nduguye wakamfuatia Sheba mwana wa Bikri.
یکی از سرداران یوآب، به سربازان عماسا گفت: «اگر طرفدار داوود هستید، بیایید و به یوآب ملحق شوید.» | 11 |
Kisha mmoja wa watu wa Yoabu akasimama kando ya Amasa naye akasema, “Aliye upande wa Yoabu na aliyeupande wa Daudi na amfuate Yoabu.”
عماسا در وسط راه غرق در خون افتاده بود. آن سردار وقتی دید عدهٔ زیادی دور جنازهٔ عماسا حلقه زدهاند و به آن خیره شدهاند، جسد را از میان راه برداشت و آن را به صحرا برد و پوششی بر آن انداخت. | 12 |
Amasa akawa anagalagala katika damu yake katikati ya njia. Mtu yule alipoona kwamba watu wote wamesimama, akambeba Amasa na kumweka shambani kando ya njia. Akatupa vazi juu yake kwa maana aliona kila mmoja aliyekuja alisimamaa pale.
وقتی جنازهٔ عماسا برداشته شد، همه به دنبال یوآب رفتند تا شبع را تعقیب کنند. | 13 |
Baada ya Amasa kuondolewa njiani watu wote wakamfuata Yoabu katika kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.
در این میان شبع به نزد تمام قبایل اسرائیل رفت. هنگامی که به شهر آبل واقع در بیتمعکه رسید، همهٔ افراد طایفهٔ بکری دور او جمع شدند. | 14 |
Sheba akazipita kabila zote za Israeli mpaka Abeli wa Beth Maaka, na katika nchi yote ya Berite ambao pia walijikusanya pamoja pia na kumfuatia Sheba.
نیروهای یوآب نیز به آبل رسیدند و آن شهر را محاصره کردند و در برابر حصار شهر، سنگرهای بلند ساخته، به تخریب حصار پرداختند. | 15 |
Walimpata na kumzingira huko Abeli wa Bethi Maaka. Wakajenga buruji ya kuhusuru mji nyuma ya ukuta. Jeshi lote lilokuwa pamoja na Yoabu likaugongagonga ukuta ili uanguke.
در آن شهر زن حکیمی زندگی میکرد. او از داخل شهر فریاد زد: «گوش کنید! گوش کنید! به یوآب بگویید به اینجا بیاید تا با او حرف بزنم.» | 16 |
Ndipo mwanamke mwerevu akapiga kelele kutoka ndani ya mji, “Sikiliza, Yoabu, tafadhari sikiliza! Sogea karibu nami ili niongee nawe.”
وقتی یوآب به آن زن نزدیک شد، زن پرسید: «آیا تو یوآب هستی؟» گفت: «بله.» زن گفت: «به حرفهای کنیزت گوش بده.» گفت: «بگو، گوش میدهم.» | 17 |
Hivyo Yoabu akakaribia, mwanamke akamwambia, “Je wewe ni Yoabu? Akajibu, “ni mimi.” mwanamke akamwambia, “Sikiliza maneno ya mtumishi wako.” Akajibu, “Nasikiliza.”
زن گفت: «از قدیم گفتهاند: اگر مشکلی دارید به آبل بروید و جوابتان را بگیرید. چون ما همیشه با پندهای حکیمانهٔ خود، مشکل مردم را حل میکنیم. | 18 |
Ndipo aliposema,”Hapo zamani ilisemwa, 'Bila shaka tafuteni ushauri huko Abeli,' na kwamba ushauri huo utakata maneno.
شما میخواهید شهر ما را که در اسرائیل شهری قدیمی و صلحجو و وفادار است خراب کنید. آیا انصاف است شهری که به خداوند تعلق دارد خراب شود؟» | 19 |
Sisi ni mji ulio miongoni mwa miji yenye nguvu na aminifu sana katika Israeli. Mnataka kuharibu mji ambao ni mama katika Israeli. Kwa nini unataka kuumeza urithi wa Yahwe?”
یوآب پاسخ داد: «نه، اینطور نیست. | 20 |
Ndipo Yoabu alipojibu na kusema, “Iwe mbali, iwe mbali nami, hata nikameze au kuharibu.
من فقط به دنبال شبع هستم. او از اهالی کوهستان افرایم است و بر ضد داوود پادشاه شورش نموده است. اگر او را به من تسلیم کنید شهر را ترک خواهیم کرد.» زن گفت: «بسیار خوب، ما سر او را از روی حصار جلوی تو میاندازیم.» | 21 |
Hiyo si kweli. Lakini mtu kutoka katika nchi ya milima ya Efraimu, aitwaye Sheba mwana wa Bikri, ameinua mkono wake kinyume cha mfalme, kinyume cha Daudi. Mtoeni yeye nami nitauacha mji.” Mwanamke akamwambia Yoabu, “Utarushiwa kichwa chake kutoka juu ya ukuta.”
بعد آن زن پیش اهالی شهر رفت و نقشهٔ خود را با آنان در میان گذاشت. آنها نیز سر شبع را از تنش جدا کردند و پیش پای یوآب انداختند. یوآب شیپور زد و سربازانش را از حمله به شهر بازداشت. سپس ایشان به اورشلیم نزد پادشاه بازگشتند. | 22 |
Kisha mwanamke akawaendea watu wote wa mji kwa hekima yake. Wakakiondoa kichwa cha Sheba mwana wa Bikri na kumrushia Yoabu. Ndipo alipopiga tarumbeta na watu wa Yoabu wakauacha mji kila mtu nyumbani kwake. Na Yoabu akarejea Yerusalemu kwa mfalme.
یوآب فرماندهٔ سپاه اسرائیل بود و بنایا پسر یهویاداع، فرماندهٔ محافظین دربار، | 23 |
Yoabu alikuwa juu ya jeshi lote la Israeli na Benaya mwana wa Yehoiada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi.
ادونیرام سرپرست کارهای اجباری، و یهوشافاط وقایعنگار بود. | 24 |
Adoramu alikuwa juu ya watu waliofanya kazi ya shokoa na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mkumbushaji.
شیوا کاتب بود و صادوق و اَبیّاتار هر دو کاهن بودند. | 25 |
Sheva alikuwa mwandishi, na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.
عیرای یائیری نیز یکی از کاهنان داوود به شمار میآمد. | 26 |
Ira wa Yairi alikuwa mhudumu mkuu wa Daudi.