< دوم سموئیل 10 >
پس از چندی، پادشاه عمون مرد و پسرش حانون بر تخت او نشست. | 1 |
Ikawa baadaye mfalme wa watu wa Amoni akafa, na Hanuni mwanaye akawa mfalme mahali pake.
داوود پادشاه، پیش خود فکر کرد: «باید رسم دوستی را با حانون بجا آورم، چون پدرش ناحاش، دوست باوفای من بود.» پس داوود نمایندگانی به دربار حانون فرستاد تا به او تسلیت بگویند. ولی وقتی نمایندگان به عمون رسیدند، | 2 |
Daudi akasema, “Nitaonesha fadhiri Hanuni mwana wa Nahashi, kwa kuwa baba yake alinifadhiri.” Hivyo Daudi akatuma watumishi wake kumfariji Hanuni kwa habari ya baba yake. Watumishi wake wakaingia katika nchi ya watu wa Amoni.
بزرگان عمون به حانون گفتند: «این اشخاص برای احترام به پدرت به اینجا نیامدهاند، بلکه داوود آنها را فرستاده است تا پیش از حمله به ما، شهرها را جاسوسی کنند.» | 3 |
Lakini viongozi wa watu wa Amoni wakamwambia Hanuni bwana wao, “Je unathani kwa hakika Daudi anamweshimu baba yako hata ametuma watu kukutia moyo? Daudi hajawatuma watumishi wake kwako ili kuuangalia mji, kuupeleleza, ili kuupindua?
از این رو، حانون فرستادههای داوود را گرفته، ریش یک طرف صورتشان را تراشید و لباسشان را از پشت پاره کرده، ایشان را نیمه برهنه به کشورشان برگردانید. | 4 |
Hivyo Hanuni akawachukuwa watumishi wa Daudi, akawanyoa nusu ya ndevu zao, akachana mavazi yao hadi kwenye matako, naye akawaacha waende zao.
نمایندگان داوود خجالت میکشیدند با این وضع به وطن بازگردند. داوود چون این خبر را شنید، دستور داد آنها در شهر اریحا بمانند تا ریششان بلند شود. | 5 |
Daudi alipoelezwa kuhusu hili, akatuma watu kwenda kuwalaki, kwa kuwa walikuwa wamefedheheshwa sana. Mfalme akawambia, “Kaeni Yeriko mpaka ndevu zenu zitakapoota, ndipo mrudi.”
مردم عمون وقتی فهمیدند با این کار، داوود را دشمن خود کردهاند، بیست هزار سرباز پیادهٔ سوری از بیترحوب و صوبه و دوازده هزار نفر از طوب، و نیز پادشاه معکه را با هزار نفر اجیر کردند. | 6 |
Watu wa Amoni walipoona kwamba wamenuka kwa Daudi, wakatuma wajumbe na kuwaajiri Washami wa Bethi Rehobu na Soba, askari elfu ishirini waendao kwa mguu, na mfalme wa Maaka pamoja na watu elfu, na watu wa Tobu elfu kumi na mbili.
وقتی داوود از این موضوع باخبر شد، یوآب و تمام سپاه اسرائیل را به مقابله با آنها فرستاد. عمونیها از دروازههای شهر دفاع میکردند و سربازان سوری اهل بیترحوب و صوبه و سربازان طوب و معکه، در صحرا مستقر شده بودند. | 7 |
Daudi aliposikia, akamtuma Yoabu na jeshi lote la askari.
Waamoni wakatoka na wakafanya mistari ya vita katika maingilio ya lango la mji wao, wakati Washami wa Soba na wale wa Rehobu, na watu wa Tobu na Maaka, wakasimama peke yao uwandani.
وقتی یوآب دید که باید در دو جبهه بجنگد، گروهی از بهترین رزمندگان خود را انتخاب کرد و فرماندهی آنها را به عهده گرفت تا به جنگ سربازان سوری برود. | 9 |
Yoabu alipoona mistari ya vita ikimkabili pote mbele na nyuma, alichagua baadhi ya waisraeli wajuao kupigana vizuri na akawapanga dhidi ya Washami.
بقیهٔ سربازان را به برادرش ابیشای سپرد تا به عمونیها که از شهر دفاع میکردند، حمله کند. | 10 |
Na sehemu iliyosalia ya jeshi, akawaweka chini ya Abishai nduguye, naye akawaweka katika mistari ya vita dhidi ya jeshi la Amoni.
یوآب به برادرش گفت: «اگر از عهدهٔ سربازان سوری برنیامدم به کمک من بیا، و اگر تو از عهدهٔ عمونیها برنیامدی، من به کمک تو میآیم. | 11 |
Yoabu akasema, “ikiwa Washami watakuwa na nguvu zaidi juu yangu, kisha wewe, Abishai, lazima uniokoe. Lakini ikiwa jeshi la Amoni litakuwa na nguvu zaidi juu yako, nitakuja kukuokoa.
شجاع باش! اگر واقعاً میخواهیم قوم خود و شهرهای خدای خود را نجات دهیم، امروز باید مردانه بجنگیم. هر چه خواست خداوند است، انجام خواهد شد.» | 12 |
Iweni na nguvu, nasi tujioneshe kuwa wenye nguvu kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu, kwa maana Yahwe atatenda yapendezayo kwa ajili ya kusudi lake.
هنگامی که یوآب و سربازانش حمله کردند، سوریان پا به فرار گذاشتند. | 13 |
Hivyo Yoabu na askari wa jeshi lake wakasonga mbele katika vita dhidi ya Washami, waliolazimika kukimbia mbele ya jeshi la Israeli.
عمونیان نیز وقتی دیدند مزدوران سوری فرار میکنند، آنها هم فرار کرده، تا داخل شهر، عقبنشینی نمودند. یوآب از جنگ با عمونیها بازگشت و به اورشلیم مراجعت کرد. | 14 |
Jeshi la Amoni lilipoona kwamba Washami wamekimbia, nao pia wakakimbia kutoka kwa Abishai wakarudi ndani ya mji. Ndipo Yoabu akarudi kutoka kwa watu wa Amoni na akarejea Yerusalemu.
سوریها وقتی دیدند نمیتوانند در برابر اسرائیلیها مقاومت کنند، تمام سربازان خود را احضار کردند. هددعزر پادشاه، سوریهایی را نیز که در شرق رود فرات بودند جمع کرد. این نیروها به فرماندهی شوبک که فرماندهٔ سپاه هددعزر بود به حیلام آمدند. | 15 |
Washami walipoona kwamba wameshindwa na Israeli, walijikusanya pamoja tena.
Kisha Hadareza akatuma kuleta vikosi vya Washami ng'ambo ya Mto Frati. Wakaja Helamu pamoja na Shobaki, mkuu wa jeshi la Hadareza juu yao.
داوود چون این را شنید، همهٔ سربازان اسرائیلی را جمع کرد و از رود اردن عبور کرده، به حیلام آمد. در آنجا با سربازان سوری وارد جنگ شد. | 17 |
Daudi alipoambiwa, aliwakusanya Israeli wote pamoja, akavuka Yordani, na akafika Helamu. Washami wakajipanga katika mistari ya vita dhidi ya Daudi na wakapigana naye.
ولی سوریها باز هم گریختند و داوود و سربازانش هفتصد ارابه سوار و چهل هزار اسب سوار سوری را کشتند. شوبک نیز در این جنگ کشته شد. | 18 |
Washami wakakimbia mbele ya Israeli. Daudi akaua askari mia saba wa magari na askari wa farasi elfu arobaini. Shobaki mkuu wa jeshi lao alijeruhiwa na akafa huko.
وقتی پادشاهان خدمتگزار هددعزر دیدند که سربازان سوری شکست خوردهاند، با اسرائیلیها صلح نموده، تابع آنها شدند. از آن پس، دیگر سوریها جرأت نکردند به عمونیها کمک کنند. | 19 |
Wafalme wote waliokuwa watumishi wa Hadareza walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, walifanya amani na Israeli na wakawa watumishi wao. Hivyo washami wakaogopa kuwasaidia watu wa Amoni tena.