< دوم تواریخ 19 >
وقتی یهوشافاط، پادشاه یهودا به سلامت به کاخ خود در اورشلیم برگشت، | 1 |
Mfalme Yehoshafati wa Yuda akarudi salama kwenye jumba lake la kifalme huko Yerusalemu.
ییهوی نبی (پسر حنانی) به سراغ او رفت و گفت: «آیا کمک به بدکاران و دوستی با دشمنان خداوند کار درستی است؟ به دلیل کاری که کردهای، مورد غضب خداوند قرار گرفتهای. | 2 |
Yehu mwonaji, mwana wa Hanani, akapanda kwenda kuonana naye akamwambia Mfalme Yehoshafati, “Je, utawasaidia waovu na kuwapenda wale wanaomchukia Bwana? Kwa sababu ya jambo hili, ghadhabu ya Bwana iko juu yako.
البته کارهای خوبی نیز انجام دادهای؛ تو بتهای شرمآور اشیره را از این سرزمین برانداختی و سعی کردهای از خدا پیروی کنی.» | 3 |
Hata hivyo, kuna mema yaliyoonekana kwako, kwa kuwa umeondoa katika nchi nguzo za Ashera na umeukaza moyo wako katika kumtafuta Mungu.”
یهوشافاط مدتی در اورشلیم ماند. سپس بار دیگر از بئرشبع تا کوهستان افرایم به میان قوم خود رفت و آنان را به سوی خداوند، خدای اجدادشان برگرداند. | 4 |
Yehoshafati aliishi huko Yerusalemu, naye akatoka akaenda tena miongoni mwa watu, kuanzia Beer-Sheba hadi nchi ya vilima ya Efraimu na kuwageuza wakamrudia Bwana, Mungu wa baba zao.
او در تمام شهرهای حصاردار یهودا قضات گماشت | 5 |
Akawaweka waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda yenye maboma.
و به آنها چنین دستور داد: «مواظب رفتار خود باشید، چون شما از جانب خداوند قاضی تعیین شدهاید، نه از جانب انسان. موقع داوری و صدور حکم، خداوند با شما خواهد بود. | 6 |
Akawaambia, “Angalieni kwa makini yale mtendayo, kwa kuwa hamkuhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Bwana ambaye yu pamoja nanyi kila mtoapo hukumu.
از خداوند بترسید و کارتان را درست انجام دهید، زیرا بیانصافی و طرفداری و رشوه گرفتن در کار خداوند، خدای ما نیست.» | 7 |
Basi sasa hofu ya Bwana na iwe juu yenu. Hukumuni kwa uangalifu, kwa kuwa kwa Bwana Mungu wetu hakuna jambo lisilo la haki, upendeleo, wala rushwa.”
یهوشافاط در اورشلیم از لاویان و کاهنان و سران طایفهها نیز قضاتی تعیین کرد تا از جانب خداوند قضاوت کنند. | 8 |
Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati akaweka baadhi ya Walawi, makuhani na viongozi wa jamaa za Waisraeli ili kutoa hukumu kwa ajili ya Bwana na kuamua magomvi. Nao waliishi huko Yerusalemu.
دستورهایی که او به آنها داد چنین بود: «شما باید همیشه با خداترسی و با صداقت رفتار کنید. | 9 |
Akawapa maagizo haya: “Ni lazima mtumike kwa uaminifu na kwa moyo wote katika kicho cha Bwana.
هرگاه قضات شهرهای دیگر قضیهای را به شما ارجاع کنند، خواه قضیهای مربوط به قتل باشد یا تخلف از احکام و قوانین، شما موظف هستید ایشان را در تشخیص جرم کمک نمایید تا حکم را درست صادر کنند، اگر نه خشم خداوند بر شما و آنها افروخته خواهد شد. پس طوری رفتار کنید که قصوری از شما سر نزند. | 10 |
Katika kila shauri lifikalo mbele yenu kutoka kwa ndugu zenu wale waishio katika miji, ikiwa ni la umwagaji wa damu au mambo mengine yahusuyo sheria, amri, hukumu au maagizo, inawapasa ninyi kuwaonya kwamba wasiingie katika hatia dhidi ya Bwana, la sivyo ghadhabu yake itakuja juu yenu na ndugu zenu. Tendeni hivyo, nanyi hamtatenda dhambi.
امریا، کاهن اعظم، بالاترین مرجع در مورد مسائل مذهبی و زبدیا (پسر اسماعیل)، استاندار یهودا، بالاترین مرجع در امور مملکتی خواهند بود و لاویان نیز همراه شما خدمت خواهند کرد. وظایف خود را انجام دهید و از کسی نترسید. خداوند پشتیبان کسانی است که به راستی عمل میکنند.» | 11 |
“Amaria kuhani mkuu atakuwa juu yenu katika jambo lolote linalomhusu Bwana naye Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa kabila la Yuda, atakuwa juu yenu kwa jambo lolote linalomhusu mfalme, nao Walawi watatumika kama maafisa mbele yenu. Tendeni kwa ujasiri, naye Bwana atakuwa pamoja na wale watendao vyema.”