< اول پادشاهان 9 >
پس از آنکه سلیمان پادشاه بنای خانهٔ خداوند، کاخ سلطنتی و هر چه را که خواسته بود به اتمام رسانید، | 1 |
Sulemani alipomaliza kulijenga hekalu la BWANA, na ikulu ya mfalme, na baada ya kukamilisha vyote alivyokusudia kufanya,
خداوند بار دیگر بر او ظاهر شد، چنانکه پیش از این در جبعون به او ظاهر شده بود، و به او فرمود: «دعای تو را شنیدهام و این خانه را که ساختهای تا نام من تا ابد بر آن باشد، تقدیس کردهام. چشم و دل من همیشه بر این خانه خواهد بود. | 2 |
BWANA alionekana kwa Sulemani kwa mara ya pili, kama alivyoonekana kwake kule Gibeoni.
Na BWANA akamwambia, “Nimeyasikia maombi yako na dua zako ambazo umeniomba. Nimeitakasa nyumba hii ambayo umeijenga, kwa ajili yangu, ili niweke jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu yatakuwa humo kwa nyakati zote.
اگر تو نیز مانند پدرت داوود با کمال صداقت و راستی رفتار کنی و همیشه مطیع من باشی و از احکام و دستورهای من پیروی نمایی، | 4 |
Lakini pia na wewe, kama utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea kwa haki na unyofu katika moyo wako, ukitii yote niliyokuamuru na kuyashika maagizo na sheria zangu,
آنگاه همانطور که به پدرت داوود قول دادم همیشه یک نفر از نسل او بر اسرائیل سلطنت خواهد کرد. | 5 |
ndipo nitakapoimarisha kiti cha enzi kwa Israeli milele, kama nilivyomwahidi baba yako Daudi, nikiseama, 'uzao wako hautaondoka katika kiti cha enzi cha Israeli.
«اما اگر شما و فرزندان شما از دستورهایی که من به شما دادهام سرپیچی کنید و از من روی برگردانید و خدایان دیگر را عبادت کنید، | 6 |
Lakini kama utageuka, wewe au watoto wako, na kutozishika amri zangu na maagizo yangu ambayo nimeyaweka mbele zako, na kama utaenda kuabudu miungu mingine na kuisujidia,
آنگاه بنیاسرائیل را از این سرزمین که به آنان بخشیدهام، بیرون میرانم و حتی این خانه را که به نام خود تقدیس کردهام ترک خواهم گفت؛ به طوری که اسرائیل رسوا شده، زبانزد قومهای دیگر خواهد شد. | 7 |
basi nitaikatilia mbali Israeli kutoka katika ardhi niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli itakuwa mfano wa kukejeliwa na kitu cha kutusiwa katika mataifa yote.
این خانه با خاک یکسان خواهد گردید به گونهای که هر کس از کنارش بگذرد، حیرتزده خواهد گفت: چرا خداوند با این سرزمین و این خانه چنین کرده است؟ | 8 |
Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa, kila mtu atakayepita pembeni yake atasituka na kuzoomea. Watajiuliza, 'Kwa nini BWANA amefanya hili katika chi hii na kwa nyumba hii?'
در جواب به آنها خواهند گفت: چون بنیاسرائیل خداوند، خدای خود را که اجداد آنها را از مصر بیرون آورده بود ترک گفته، بتپرست شدند، به همین علّت خداوند این بلا را بر سر ایشان آورده است.» | 9 |
Na wengine watajibu, 'Ni kwa sababu walimwacha BWANA, Mungu wao, ambaye aliwaleta mababu zao toka Misri, na sasa wamegeukia miungu mingine ambayo wameiinamia na kuisujudu. Hiyo ndiyo sababu BWANA amewaletea majanga haya yote.”
بنای خانهٔ خداوند و کاخ سلیمان بیست سال طول کشید. | 10 |
Ilitokea mwishoni mwa miaka ishirini, Sulemani alikuwa amemaliza kuyajenga majengo yote mawili, hekalu la BWANA na ikulu ya mfalme.
سلیمان به جای چوبهای سرو و صنوبر و طلاهایی که حیرام پادشاه صور برای ساختن خانهٔ خداوند و کاخ سلطنتی او تقدیم کرده بود، بیست شهر از شهرهای جلیل را به او پیشکش نمود. | 11 |
Basi Hiramu, mfalme wa Tiro, alikuwa amemletea Sulemani mbao za mierezi na miboreshi, pamoa na dhahabu; vitu vyote ambavyo Sulemani alitamani. Kwa hiyo mfalme Sulemani akampatia Hiramu miji ishirini huko Galilaya.
ولی وقتی حیرام از صور به دیدن این شهرها آمد آنها را نپسندید | 12 |
Hiramu akaja kutoka Tiro kuiona ile miji ambayo Sulemani alikuwa amempatia, lakini hakupendezwa nayo.
و به سلیمان گفت: «ای برادر، این چه شهرهایی است که به من میدهی؟» (به همین جهت آن شهرها تا به امروز کابول (بیارزش) نامیده میشوند.) | 13 |
Kwa hiyo Hiramu akasema, “Ndugu yangu, ni miji gani hii uliynipatia? Hiramu akaiita nchi ya Kabuli mpaka leo.
حیرام بیش از چهار تن طلا برای سلیمان فرستاده بود. | 14 |
Hiramu alikuwa amemtumia mfalme tani nne za dhahabu.
سلیمان برای ساختن خانهٔ خداوند، کاخ سلطنتی خود، قلعهٔ ملو، حصار اورشلیم، و شهرهای حاصور، مجدو و جازر، افراد زیادی را به کار گرفته بود. | 15 |
Vifuatavyo ndivyo vigezo ambavyo mfalme Sulemani aliweka: ili kulijenga hekalu la BWANA na ikulu yake, kuijenga Milo na ukuta wa Yerusalemu, na Hazori, Megido, na Gezari.
(جازر همان شهری است که پادشاه مصر آن را آتش زده و تمام سکنهٔ کنعانی آن را قتل عام نموده بود. ولی وقتی سلیمان با دختر او ازدواج کرد، فرعون آن شهر را به عنوان جهیزیهٔ دخترش به او بخشید | 16 |
Farao mfalme wa Misri alikuwa ameenda kuitwaa Gezeri, akaichoma moto, na kuwaua Wakanaani katika mji. Kisha Farao akampatia binti yake ule mji, mke wa Sulemani kuwa zawadi ya arusi.
و سلیمان هم آن را بازسازی کرد.) سلیمان همچنین بیتحورون پایین | 17 |
Kwa hiyo Sulemani akaijenga Gezeri na Bethi Horoni ya Loweri,
و شهر بعلت و تدمور را که ویران بودند، از نو ساخت و آباد نمود. | 18 |
Baalathi na Tamari jangwani katika nchi ya Yuda,
سلیمان علاوه بر آنها شهرهای مخصوصی نیز برای انبار آذوقه، نگهداری اسبها و ارابهها ساخت. او هر چه میخواست در اورشلیم و لبنان و سراسر قلمرو سلطنت خود بنا کرد. | 19 |
na miji yote ya hazina yote iliyokuwa yake, na miji ya magari yake, na miji ya wapanda farasi wake, na hata kama alipenda kuijenga kwa ajili ya fahari yake kule Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote kwenye utawala wake.
سلیمان از بازماندگان قومهای کنعانی که اسرائیلیها در زمان تصرف کنعان آنها را از بین نبرده بودند برای کار اجباری استفاده میکرد. این قومها عبارت بودند از: اموریها، فرزیها، حیتیها، حویها و یبوسیها. نسل این قومها تا زمان حاضر نیز برده هستند و به بیگاری گرفته میشوند. | 20 |
Na kwa watu wote waliokuwa wamesalia wa Waamori, Wahiti, Waperezi, Wahivi, na Yebu, ambao hawakuwa Waisraeli,
na uzao wao waliokuwa wamesalia baada yao katika nchi, ambao Waisraeli hawakuweza kuwaangamiza kabisa - Sulemani akawafanya kuwa vibarua, ambao wako hata leo.
اما سلیمان از بنیاسرائیل کسی را به بیگاری نمیگرفت، بلکه ایشان به صورت سرباز، افسر، فرمانده و رئیس ارابهرانها خدمت میکردند. | 22 |
Hata hivyo, Sulemani hakuwafanya kuwa shokoa watu wa Israeli. Badala yake, walifanyika kuwa wanajeshi wake na watumishi wake, maakida wake, na wakuu wake, na majemedari wake na wapanda farasi wake.
پانصد و پنجاه نفر نیز به عنوان سرپرست بر گروههای کارگران گمارده شده بودند. | 23 |
Hawa ndio waliokuwa maakida wakuu waliokuwa wakiwasimamia kazi za Sulemani, watu 550, walikuwa wasimamizi wa watu waliokuwa wakifanya kazi.
آنگاه سلیمان پادشاه، دختر فرعون را از شهر داوود به قصر تازهای که برای او ساخته بود، انتقال داد و سپس قلعهٔ ملو را ساخت. | 24 |
Binti wa Farao alihama kutoka mji wa Daudi kwenda kwenye ile nyumba ambayo Sulemani alimjengea. Baadaye, Sulemani akaijenga Milo.
پس از ساختن خانهٔ خداوند، سلیمان روی مذبح آن سالی سه بار قربانیهای سوختنی و قربانیهای سلامتی به خداوند تقدیم میکرد و بخور میسوزانید. | 25 |
Mara tatu kwa kila mwaka Sulemani alitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani katika madhabahu ambayo alimjengea BWANA, akifukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu ilyokuwa mbele ya BWANA. Kwa hiyo akalimalizia hekalu na sasa alikuwa akilitumia.
سلیمان در عصیون جابر که از بنادر سرزمین ادوم است کشتیها ساخت. (عصیون جابر بندری است در نزدیکی شهر ایلوت واقع در خلیج عقبه.) | 26 |
Tena Sulemani alitengeneza merikebu kule Ezioni Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika ufukwe wa bahari ya shamu, katika nchi ya Edomu.
حیرام پادشاه، دریانوردان با تجربهٔ خود را فرستاد تا در کشتیهای سلیمان با دریانوردان او همکاری کنند. | 27 |
Hiramu alituma watumishi kwenye merikebu ya Sulemani, wanamaji wanaoijua bahari, pamoja na watumishi wake Sulemani.
آنها با کشتی به اوفیر مسافرت کردند و برای سلیمان طلا آوردند. مقدار این طلا بیش از چهارده تن بود. | 28 |
Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani.